Connect with us

magonjwa ya wanawake

Saratani ya shingo ya kizazi dalili zake,Sababu na Matibabu yake Tanzania

Avatar photo

Published

on

Saratani ya shingo ya kizazi dalili zake,Sababu na Matibabu yake Tanzania

Saratani ni hali ya ukuaji wa seli hai za mwili usio wakawaida au uliozidi kiwango,Kwahyo basi, Saratani ya shingo ya kizazi ni ukuaji usio wa kawaida wa seli hai zilizopo au zinazounda eneo la shingo ya kizazi.

Chanzo cha Saratani ya Shingo ya Kizazi

Saratani ya shingo ya kizazi husababishwa na Kirusi aitwaye HUMAN PAPILLOMA VIRUS (HPV). kirusi huyu ndyo Mhusika mkuu wa Tatizo hili la Saratani ya shingo ya kizazi ambapo kwa kitaalam hujulikana kama “cervical Cancer”

Saratani ya shingo ya kizazi dalili zake

Fahamu hapa kuhusu Saratani ya Shingo ya Kizazi dalili zake,Saratani ya Shingo ya Kizazi ikiwa kwenye hatua za mwanzoni kabsa inaweza isionyeshe dalili zozote, ila ikionyesha dalili Hizi hapa ni baadhi ya Dalili hizo;

  1. Mwanamke kuvuja damu Ukeni wakati wa tendo la ndoa au baada ya tendo la ndoa
  2. Mwanamke kuvuja damu ukeni katikati ya mzunguko wa hedhi(between periods)
  3. Mwanamke kuvuja damu ukeni hata baada ya kufikia ukomo wa hedhi(menopause)
  4. Kua maji Ukeni,wakati mwingine kama damu,ambapo huweza kuwa mengi na yenye harufu mbaya
  5. Kupata maumivu ya kiuno au nyonga,maumivu wakati wa tendo la ndoa n.k
  6. Mwanamke kuvuja damu nyingi sana ya hedhi kuliko kawaida
  7. Wakati mwingine Kupat maumivu makali chini ya Mgongo n.k, Saratani ya Shingo ya Kizazi dalili zake huweza kuanza wakati wowote,ni muhimu sana kwenda hospital kufanya vipimo mapema ukiona dalili kama hizi.

KUNDI LILILOPO KATIKA HATARI YA KUPATA SARATANI YA SHINGO YA KIZAZI

âž– Watu wanaoanza kushiri tendo la Ndoa au mapenzi wakiwa na umri mdogo mfano kabla ya miaka 18 au 20.
âž– Watu wenye wapenzi wengi yaani Multiple parteners
âž– Wanawake wenye Umri mkubwa mfano miaka 50 na kwenda mbele
âž– Kuzaa katika umri mkubwa mfano miaka 48.
âž– wanaotumia dawa zozote zinazohusu kuongeza uzalishaji wa seli hai za Mwili.
– Pia wanaotumia Vidonge vya Uzazi wa mpango(Contraceptives pills) kwa muda mrefu zaidi,mfano zaidi ya miaka 3, miaka 5 n.k

MADHARA YA SARATANI YA SHINGO YA KIZAZI

Haya hapa ni baadhi ya Madhara ya saratani ya Shingo ya Kizazi;
(1) Kupoteza maisha kwa Mwanamke
(2) Kutolewa kizazi chote na kupoteza uwezo wa mwanamke kuzaa tena
(3) Kuvuja damu na kupata maumivu makali wakati wa tendo la ndoa
(4) Kutokwa na harufu kama ya kitu kilichooza Ukeni n.k

MATIBABU YA SARATANI YA SHINGO YA KIZAZI

Endapo tatizo hili la Saratani ya shingo ya Kizazi litakugundulika katika stage za mwanzoni kabsa,mwanamke atapata tiba na atapona kabsa,Lakini kama akachelewa na saratani hiii au kansa hii ikafika stage-4 ni ngumu kupona.
Tiba mbali mbali za Saratani ni Pamoja na;
  • Huduma ya mionzi(radiotherapy)
  • Matumizi ya dawa za Saratani(chemotherapy)
  • Huduma ya Upasuaji n.k
Kwahyo basi kuna umuhimu sana wa Kujichunguza kila wakati na pale unapoona mabadiliko yoyote mwilini,wahi hospital kwa ajili ya uchunguzi na matibabu.

FAQs

Je Saratani ya Shingo ya Kizazi ni nini?

Saratani ya shingo ya kizazi ni ukuaji usio wa kawaida wa seli hai zilizopo au zinazounda eneo la shingo ya kizazi.

Je Saratani ya Shingo ya Kizazi inasababishwa na nini?

Saratani ya shingo ya kizazi husababishwa na Kirusi aitwaye HUMAN PAPILLOMA VIRUS (HPV).

Je Kundi Lipi lipo kwenye hatari Zaidi ya Kupata Saratani ya Shingo ya kizazi?

Kundi hili Lipo kwenye hatari Zaidi ya Kupata Saratani ya Shingo ya Kizazi;

âž– Watu wanaoanza kushiri tendo la Ndoa au mapenzi wakiwa na umri mdogo mfano kabla ya miaka 18 au 20.

âž– Watu wenye wapenzi wengi yaani Multiple parteners

âž– Wanawake wenye Umri mkubwa mfano miaka 50 na kwenda mbele

âž– Kuzaa katika umri mkubwa mfano miaka 48.

âž– wanaotumia dawa zozote zinazohusu kuongeza uzalishaji wa seli hai za Mwili.

– Pia wanaotumia Vidonge vya Uzazi wa mpango(Contraceptives pills) kwa muda mrefu zaidi,mfano zaidi ya miaka 3, miaka 5 n.k

Hitimisho

Saratani ya Shingo ya Kizazi ni hatari na inasababisha vifo Vingi kwa Wanawake Duniani kote,

Ni muhimu Kujenga Tabia ya kufanya checkup au Screening ya Saratani ya Shingo ya Kizazi mara kwa mara ili kuigundua mapema, Kwani ukiigundua mapema unaweza kupoba kabsa,

Pia ni muhimu zaidi kufahamu dalili za Saratani hii ya Shingo ya Kizazi, na hizi hapa ni baadhi ya dalili zake;

  1. Mwanamke kuvuja damu Ukeni wakati wa tendo la ndoa au baada ya tendo la ndoa
  2. Mwanamke kuvuja damu ukeni katikati ya mzunguko wa hedhi(between periods)
  3. Mwanamke kuvuja damu ukeni hata baada ya kufikia ukomo wa hedhi(menopause)
  4. Kua maji Ukeni,wakati mwingine kama damu,ambapo huweza kuwa mengi na yenye harufu mbaya
  5. Kupata maumivu ya kiuno au nyonga,maumivu wakati wa tendo la ndoa n.k
  6. Mwanamke kuvuja damu nyingi sana ya hedhi kuliko kawaida
  7. Wakati mwingine Kupat maumivu makali chini ya Mgongo n.k, Saratani ya Shingo ya Kizazi dalili zake huweza kuanza wakati wowote,

KUMBUKA: Ni muhimu sana kwenda hospital kufanya vipimo mapema ukiona dalili kama hizi.

Ushauri|Tiba|CheckIn 🩺🌡️ContactUs; +255758286584 or INBOX📩. For More Healthtips everyday Link In https://afyaclass.com Also Follow us on Instagram @afyaclass

YOU MUST READ(IMPORTANT)

Magonjwa4 weeks ago

Maumivu chini ya kitovu ni dalili za ugonjwa gani

Maumivu chini ya kitovu ni dalili za ugonjwa gani. Watu wengi huweza kupata maumivu chini ya kitovu, lakini umewahi kujiuliza...

Magonjwa1 month ago

Kaswende ni ugonjwa gani, soma hapa kufahamu

Kaswende ni ugonjwa gani, Kaswende ni maambukizi yanayosababishwa na bakteria. Mara nyingi, huenea kupitia mawasiliano ya kingono au kwa kujamiiana....

Magonjwa2 months ago

Koo kukauka ni dalili ya ugonjwa gani

Koo kukauka ni dalili ya ugonjwa gani Koo kukauka kunaweza kusababishwa na sababu kadhaa, ikiwa ni pamoja na: Upungufu wa...

Magonjwa2 months ago

Amiba ni ugonjwa gani,Fahamu kuhusu Ugonjwa wa Amebiasis

Amiba ni ugonjwa gani Wengi wamezoea kusema hivo ila Amiba(amoeba) ni vimelea vyinavyosababisha ugonjwa, na Ugonjwa huo kitaalam ndyo hujulikana...

Magonjwa3 months ago

kuwashwa nyayo za miguu husababishwa na nini? chanzo na Tiba

kuwashwa nyayo za miguu husababishwa na nini? chanzo na Tiba kuwashwa nyayo za miguu; zipo sababu nyingi ambazo huchangia shida...

magonjwa ya wanawake4 months ago

Ujue Ugonjwa Wa PID (Pelvic Inflammatory Disease)

Ujue Ugonjwa Wa PID (Pelvic Inflammatory Disease) Pid ni ugonjwa gani? PID ni Maambukizi ya bacteria Kwenye Via vya Uzazi...

Magonjwa2 years ago

SHINGO YA MTOTO KULEGEA(CHANZO CHAKE)

SHINGO YA MTOTO KULEGEA(CHANZO CHAKE) Mabadiliko ya Watoto wengi huanza kwenye miezi mitatu ya Mwanzo wakati ambapo Shingo ya mtoto...

Magonjwa3 years ago

MAUMIVU MAKALI SEHEMU YA HAJA KUBWA

Baadhi ya watu wanachanganya tatizo la maumivu makali sehemu ya haja kubwa pamoja na tatizo la Bawasiri,japo mojawapo ya chanzo...

Magonjwa3 years ago

TATIZO LA MASIKIO KUPIGA KELELE,CHANZO NA TIBA YAKE(Tinnitus)

TATIZO LA MASIKIO KUPIGA KELELE,CHANZO NA TIBA YAKE(Tinnitus) tatizo la masikio kupiga kelele Tinnitus, ni Tatizo la masikio kupiga kelele,...

Magonjwa3 years ago

DALILI ZA UGONJWA WA GONO(KISONONO)

 UGONJWA WA KISONONO DALILI ZA UGONJWA WA GONO(KISONONO) Ugonjwa wa gonorrhea maarufu kama GONO au Kisonono ni ugonjwa wa zinaa...

Magonjwa3 years ago

TATIZO LA UKE KUJAMBA PAMOJA NA TIBA YAKE(chanzo cha tatizo hili ni nini?)

Tatizo la Uke Kujamba TATIZO LA UKE KUJAMBA PAMOJA NA TIBA YAKE(chanzo cha tatizo hili ni nini?) Moja ya vitu...

Magonjwa3 years ago

DALILI ZA FANGASI UUMENI,KORODANI PAMOJA NA MATIBABU YAKE

 FANGASI • • • • • DALILI ZA FANGASI UUMENI,KORODANI PAMOJA NA MATIBABU YAKE Mashambulizi ya Fangasi sehemu za siri...

Magonjwa3 years ago

CHANZO CHA TATIZO LA KUOTA NYAMA PUANI PAMOJA NA MATIBABU YAKE

Chanzo cha tatizo la NYAMA PUANI,Dalili zake Pamoja na Tiba yake, Soma makala hii kwa Makini ili upate Kujua kuhusu...

Magonjwa3 years ago

SABABU ZA KUVIMBA KWA MASHAVU YA UKE(TEZI LA BARTHOLIN)

KUVIMBA MASHAVU YA UKE • • • • • • Katika Makala hii tumechambua zaidi kuhusu sababu za kuvimba mashavu...

Magonjwa3 years ago

TATIZO LA MWANAUME KUOTA MATITI(gynecomastia)

TATIZO LA MWANAUME KUOTA MATITI(gynecomastia) Tatizo hili linatokea kwa Baadhi ya wanaume,na hata kupelekea Wanaume hao kuwa na Matiti kama...

MAGONJWA MBALI MBALI

Magonjwa1 day ago

Chanzo cha tatizo la NYAMA PUANI,Dalili zake Pamoja na Tiba yake

Chanzo cha tatizo la NYAMA PUANI,Dalili zake Pamoja na Tiba yake, Soma makala hii kwa Makini ili upate Kujua kuhusu...

Magonjwa2 days ago

Ugonjwa unaosababishwa na kula nyama mbichi

Ugonjwa unaosababishwa na kula nyama mbichi Madhara ya kula nyama ya ng’ombe mbichi Ni desturi ya baadhi ya watu kula...

Magonjwa1 week ago

Mkojo kuuma ni dalili ya ugonjwa gani

Mkojo kuuma ni dalili ya ugonjwa gani Mkojo kuuma au kupata maumivu wakati wa kukojoa ni hali ambayo kwa kitaalam...

Magonjwa1 week ago

Ugonjwa wa gonorrhea maarufu kama GONO au Kisonono dalili Zake

 UGONJWA WA KISONONO DALILI ZA UGONJWA WA GONO(KISONONO) Ugonjwa wa gonorrhea maarufu kama GONO au Kisonono ni ugonjwa wa zinaa...

Magonjwa2 weeks ago

Maana ya hiv negative,Soma hapa kufahamu

Maana ya hiv negative,Soma hapa kufahamu Haya ni maneno ambayo umekuwa ukiyasikia sana linapokuja swala la vipimo cha UKIMWI, je...

Magonjwa3 weeks ago

Kama ndiyo Umegunduliwa ugonjwa wa Kisukari,Soma hii itakusaidia

Kama ndiyo Umegunduliwa ugonjwa wa Kisukari,Soma hii itakusaidia. Kutana na Ilene Raymond Rush ambaye aligunduliwa Kisukari aina ya Pili(Type 2...

Magonjwa3 weeks ago

Ugonjwa unaosababishwa na konokono

Ugonjwa unaosababishwa na konokono Ugonjwa unaosababishwa na konokono unaitwa schistosomiasis, au bilharzia. Ni ugonjwa wa maambukizi unaosababishwa na minyoo wanaoitwa...

Magonjwa3 weeks ago

Ugonjwa wa Pink Eye,chanzo,dalili na Matibabu yake

Ugonjwa wa Pink Eye,chanzo,dalili na Matibabu yake. Wengi tumesikia kuhusu Red Eyes(Macho mekundu) Lakini je umewahi kusikia kuhusu Pink Eyes,?...

Magonjwa3 weeks ago

Omeprazole inatibu ugonjwa gani,Fahamu hapa

Omeprazole inatibu ugonjwa gani Omeprazole inatibu ni nini?, Hili ni swali ambalo limekuwa likiulizwa mara kwa mara na wafwatiliaji wengi...

Magonjwa4 weeks ago

Mate kujaa mdomoni ni dalili ya ugonjwa gani

Mate kujaa mdomoni ni dalili ya ugonjwa gani Mate kujaa Mdomoni,ni tatizo ambalo hutokea kwa baadhi ya watu, na zipo...