Connect with us

Magonjwa

Ugonjwa wa mang’ondi ni ugonjwa gani?

Avatar photo

Published

on

Ugonjwa wa mang’ondi ni ugonjwa gani?

Ugonjwa wa mang’ondi; ni neno ambalo ni maarufu sana kwa Jamii ya Wasukuma, lakini wanachomaanisha ni ugonjwa wa bawasiri,

Hivo ugonjwa wa mang’ondi ni ugonjwa wa bawasiri.

NB: Popote ambapo utaona tumeandika “ugonjwa wa mang’ondi” ujue tunamaanisha ugonjwa wa bawasiri. Na wenzetu wanaoelewa Ugonjwa wa mang’ondi ujue tunaelezea ugonjwa wa bawasiri.

Bawasiri ni nini?

Bawasiri, inayojulikana pia kama “piles au hemorrhoids,” inahusisha uvimbe na kutuna kwa mishipa ya damu katika njia ya haja kubwa, ikisababisha changamoto wakati wa kutoa kinyesi au kujisaidia haja kubwa.

Ugonjwa wa bawasiri huweza kumpata mtu wa jinsia yoyote(mwanaume&mwanamke)

Aina za Ugonjwa wa Bawasiri:

Kuna aina mbili kuu za bawasiri:

  1. Bawasiri za Ndani
  2. Bawasiri za Nje

Sababu za Ugonjwa wa Bawasiri:

Ingawa chanzo kamili cha ugonjwa wa bawasiri hakijulikani, wataalamu wa afya mara nyingi huzungumzia mambo kadhaa yanayochangia kutokea kwa bawasiri ikiwemo:

1. Kuwa na shida ya kupata Choo kigumu hasa ikiwa kwa muda mrefu(chronic constipation)

2. Kujitahidi,kujikaza au kutumia nguvu sana wakati wa kutoa kinyesi

3. Kuketi chooni kwa muda mrefu

4. Bawasiri pia inaweza kutokea kutokana na shughuli za kimwili kama vile;kunyanyua vitu vizito, vikisababisha shinikizo zaidi kwenye eneo husika.

Viashiria vya Hatari vya kupata Ugonjwa wa bawasiri;

Baadhi ya mambo yanayoongeza hatari ya kuwa na bawasiri ni pamoja na:

  • Ujauzito, kutokana na shinikizo kubwa la tumbo
  • Shida hii kuwa Zaidi kwenye familia
  • Uzito Mkubwa
  • Kupata Choo kigumu mara kwa mara n.k

Kutambua Ugonjwa wa Bawasiri:

Kufahamu dalili za Ugonjwa wa bawasiri ni muhimu. Ishara na dalili ambazo huonekana sana ni pamoja na:

– Kuwashwa sehemu ya haja kubwa

– Kutokwa na damu wakati wa haja kubwa

– Kuwa na Uvimbe au kutokeza kwa Kinyama sehemu ya haja kubwa

– Kuhisi kuchomwa au mchanga sehemu ya haja kubwa n.k

Ni muhimu kutofautisha maumivu ya bawasiri na matatizo mengine kama vile michubuko au proctitis.

Uchunguzi na Vipimo:

Wataalamu wa afya hufanya uchunguzi wa kina kwa kutumia anoscope, kifaa maalum kinachoingizwa sehemu ya haja kubwa, ili kuona hali ya njia ya haja kubwa na kutambua kama una Ugonjwa wa bawasiri au la!

Pia kupitia dalili na Ishara alizonazo mgonjwa huweza kusaidia kuitambua bawasiri kwa haraka.

Tiba na Mabadiliko ya Maisha:

Matibabu ya Ugonjwa wa bawasiri yanaweza kufanyika nyumbani au hospitalini. Mabadiliko ya maisha, kama vile kuongeza unywaji wa maji na lishe yenye wingi wa nyuzi nyuzi, ni muhimu kwako.

Ongeza matunda, mboga, na nafaka nzima kwenye lishe.

Fikiria virutubisho vya nyuzi nyuzi kama vile psyllium au methylcellulose kama lishe haijatosheleza.

Hakikisha unakunywa maji ya kutosha, angalau glasi sita hadi nane kwa siku.

Ushauri wa Kitaalam:

Kwa ushauri Zaidi, elimu, au matibabu, wasiliana nasi kupitia +255758286584. Tupo hapa kukusaidia.

Hitimisho:

Kuelewa chanzo, dalili, na chaguzi sahihi za matibabu ya ugonjwa wa bawasiri kunawawezesha watu kushughulikia na kuzuia tatizo hili kwa ufanisi. Jisikie huru kuwasiliana nasi kwa msaada zaidi na taarifa.

Ushauri|Tiba|CheckIn 🩺🌡️ContactUs; +255758286584 or INBOX📩. For More Healthtips everyday Link In https://afyaclass.com Also Follow us on Instagram @afyaclass

YOU MUST READ(IMPORTANT)

Magonjwa4 weeks ago

Maumivu chini ya kitovu ni dalili za ugonjwa gani

Maumivu chini ya kitovu ni dalili za ugonjwa gani. Watu wengi huweza kupata maumivu chini ya kitovu, lakini umewahi kujiuliza...

Magonjwa1 month ago

Kaswende ni ugonjwa gani, soma hapa kufahamu

Kaswende ni ugonjwa gani, Kaswende ni maambukizi yanayosababishwa na bakteria. Mara nyingi, huenea kupitia mawasiliano ya kingono au kwa kujamiiana....

Magonjwa2 months ago

Koo kukauka ni dalili ya ugonjwa gani

Koo kukauka ni dalili ya ugonjwa gani Koo kukauka kunaweza kusababishwa na sababu kadhaa, ikiwa ni pamoja na: Upungufu wa...

Magonjwa2 months ago

Amiba ni ugonjwa gani,Fahamu kuhusu Ugonjwa wa Amebiasis

Amiba ni ugonjwa gani Wengi wamezoea kusema hivo ila Amiba(amoeba) ni vimelea vyinavyosababisha ugonjwa, na Ugonjwa huo kitaalam ndyo hujulikana...

Magonjwa3 months ago

kuwashwa nyayo za miguu husababishwa na nini? chanzo na Tiba

kuwashwa nyayo za miguu husababishwa na nini? chanzo na Tiba kuwashwa nyayo za miguu; zipo sababu nyingi ambazo huchangia shida...

magonjwa ya wanawake4 months ago

Ujue Ugonjwa Wa PID (Pelvic Inflammatory Disease)

Ujue Ugonjwa Wa PID (Pelvic Inflammatory Disease) Pid ni ugonjwa gani? PID ni Maambukizi ya bacteria Kwenye Via vya Uzazi...

Magonjwa2 years ago

SHINGO YA MTOTO KULEGEA(CHANZO CHAKE)

SHINGO YA MTOTO KULEGEA(CHANZO CHAKE) Mabadiliko ya Watoto wengi huanza kwenye miezi mitatu ya Mwanzo wakati ambapo Shingo ya mtoto...

Magonjwa3 years ago

MAUMIVU MAKALI SEHEMU YA HAJA KUBWA

Baadhi ya watu wanachanganya tatizo la maumivu makali sehemu ya haja kubwa pamoja na tatizo la Bawasiri,japo mojawapo ya chanzo...

Magonjwa3 years ago

TATIZO LA MASIKIO KUPIGA KELELE,CHANZO NA TIBA YAKE(Tinnitus)

TATIZO LA MASIKIO KUPIGA KELELE,CHANZO NA TIBA YAKE(Tinnitus) tatizo la masikio kupiga kelele Tinnitus, ni Tatizo la masikio kupiga kelele,...

Magonjwa3 years ago

DALILI ZA UGONJWA WA GONO(KISONONO)

 UGONJWA WA KISONONO DALILI ZA UGONJWA WA GONO(KISONONO) Ugonjwa wa gonorrhea maarufu kama GONO au Kisonono ni ugonjwa wa zinaa...

Magonjwa3 years ago

TATIZO LA UKE KUJAMBA PAMOJA NA TIBA YAKE(chanzo cha tatizo hili ni nini?)

Tatizo la Uke Kujamba TATIZO LA UKE KUJAMBA PAMOJA NA TIBA YAKE(chanzo cha tatizo hili ni nini?) Moja ya vitu...

Magonjwa3 years ago

DALILI ZA FANGASI UUMENI,KORODANI PAMOJA NA MATIBABU YAKE

 FANGASI • • • • • DALILI ZA FANGASI UUMENI,KORODANI PAMOJA NA MATIBABU YAKE Mashambulizi ya Fangasi sehemu za siri...

Magonjwa3 years ago

CHANZO CHA TATIZO LA KUOTA NYAMA PUANI PAMOJA NA MATIBABU YAKE

Chanzo cha tatizo la NYAMA PUANI,Dalili zake Pamoja na Tiba yake, Soma makala hii kwa Makini ili upate Kujua kuhusu...

Magonjwa3 years ago

SABABU ZA KUVIMBA KWA MASHAVU YA UKE(TEZI LA BARTHOLIN)

KUVIMBA MASHAVU YA UKE • • • • • • Katika Makala hii tumechambua zaidi kuhusu sababu za kuvimba mashavu...

Magonjwa3 years ago

TATIZO LA MWANAUME KUOTA MATITI(gynecomastia)

TATIZO LA MWANAUME KUOTA MATITI(gynecomastia) Tatizo hili linatokea kwa Baadhi ya wanaume,na hata kupelekea Wanaume hao kuwa na Matiti kama...

MAGONJWA MBALI MBALI

Magonjwa1 day ago

Chanzo cha tatizo la NYAMA PUANI,Dalili zake Pamoja na Tiba yake

Chanzo cha tatizo la NYAMA PUANI,Dalili zake Pamoja na Tiba yake, Soma makala hii kwa Makini ili upate Kujua kuhusu...

Magonjwa3 days ago

Ugonjwa unaosababishwa na kula nyama mbichi

Ugonjwa unaosababishwa na kula nyama mbichi Madhara ya kula nyama ya ng’ombe mbichi Ni desturi ya baadhi ya watu kula...

Magonjwa1 week ago

Mkojo kuuma ni dalili ya ugonjwa gani

Mkojo kuuma ni dalili ya ugonjwa gani Mkojo kuuma au kupata maumivu wakati wa kukojoa ni hali ambayo kwa kitaalam...

Magonjwa1 week ago

Ugonjwa wa gonorrhea maarufu kama GONO au Kisonono dalili Zake

 UGONJWA WA KISONONO DALILI ZA UGONJWA WA GONO(KISONONO) Ugonjwa wa gonorrhea maarufu kama GONO au Kisonono ni ugonjwa wa zinaa...

Magonjwa2 weeks ago

Maana ya hiv negative,Soma hapa kufahamu

Maana ya hiv negative,Soma hapa kufahamu Haya ni maneno ambayo umekuwa ukiyasikia sana linapokuja swala la vipimo cha UKIMWI, je...

Magonjwa3 weeks ago

Kama ndiyo Umegunduliwa ugonjwa wa Kisukari,Soma hii itakusaidia

Kama ndiyo Umegunduliwa ugonjwa wa Kisukari,Soma hii itakusaidia. Kutana na Ilene Raymond Rush ambaye aligunduliwa Kisukari aina ya Pili(Type 2...

Magonjwa3 weeks ago

Ugonjwa unaosababishwa na konokono

Ugonjwa unaosababishwa na konokono Ugonjwa unaosababishwa na konokono unaitwa schistosomiasis, au bilharzia. Ni ugonjwa wa maambukizi unaosababishwa na minyoo wanaoitwa...

Magonjwa3 weeks ago

Ugonjwa wa Pink Eye,chanzo,dalili na Matibabu yake

Ugonjwa wa Pink Eye,chanzo,dalili na Matibabu yake. Wengi tumesikia kuhusu Red Eyes(Macho mekundu) Lakini je umewahi kusikia kuhusu Pink Eyes,?...

Magonjwa3 weeks ago

Omeprazole inatibu ugonjwa gani,Fahamu hapa

Omeprazole inatibu ugonjwa gani Omeprazole inatibu ni nini?, Hili ni swali ambalo limekuwa likiulizwa mara kwa mara na wafwatiliaji wengi...

Magonjwa4 weeks ago

Mate kujaa mdomoni ni dalili ya ugonjwa gani

Mate kujaa mdomoni ni dalili ya ugonjwa gani Mate kujaa Mdomoni,ni tatizo ambalo hutokea kwa baadhi ya watu, na zipo...