Connect with us

Elimu&Ushauri

Jinsi ya kukabiliana na magonjwa yasiyoambukiza

Avatar photo

Published

on

Jinsi ya kukabiliana na magonjwa yasiyoambukiza

Wataalamu wa afya washauri kuzingatia ulaji sahihi wa vyakula ikiwa ni pamoja na kupunguza matumizi ya sukari, chumvi na mafuta.

Wakati dunia ikiendelea kushuhudia wimbi la ongezeko la magonjwa yasiyoambukiza Mratibu wa Magonjwa Yasiyoambukiza kutoka Hospitali ya Nyamagana, Dk.Sarah Mwendi anasema kubadili mtindo wa maisha ni miongoni mwa njia za kuu za kukabiliana na magonjwa hayo.

Shirika la Afya Duniani (WHO) linaainisha magonjwa yasiyoambukiza kuwa ni saratani, magonjwa ya moyo, kisukari pamoja na magonjwa ya mfumo wa upumuaji ambayo huwaathiri sana watu wenye vipato vya chini na vya kati.

Magonjwa hayo husababisha vifo vya watu takribani milioni 41 kila mwaka sawa na asilimia 76 ya vifo vyote vinavyotokea duniani.

Dk. Mwendi ameiambia Nukta habari kuwa miongoni mwa sababu kubwa zinazochangia magonjwa hayo ni pamoja na mfumo usiofaa wa maisha ambao unahusisha tabia bwete na ulaji usiofaa.

“Ninavyoongelea ulaji mbovu, ninaongelea ulaji wa vyakula vyenye mafuta mengi kama chips, piza…ni muhimu watu wakazingatia ulaji wa mlo kamili ambao umekusanya virutubisho vyote,” amesema Dk. Mwendi.

Sababu nyingine ambazo husababisha magonjwa hayo ni uvutaji wa sigara na tumbaku, matumizi ya vilevi, pamoja na athari za uchafuzi wa hewa.

Jinsi ya kuepuka magonjwa yasiyoambukiza

Ili kukabiliana na magonjwa yasiyo ya kuambukiza, Dtk. Mwendi amewashauri wananchi  kuzingatia ulaji sahihi wa vyakula ikiwa ni pamoja na kupunguza matumizi ya sukari, chumvi na mafuta hali ambayo itasaidia kupunguza magonjwa hayo.

Pia wametakiwa kuzingatia ufanyaji wa mazoezi kwa wingi ili kupunguza magonjwa hayo ikiwemo kisukari na shinikizo la juu la damu kwa kuwa maradhi hayo yanatumia gharama kubwa katika kuyatibu.

Kwa upande wa kituo anachofanyia kazi Dk. Mwendi amebainisha kuwa asilimia kubwa ya wagonjwa wanaoripoti katika hospitali hiyo hubainika kuwa na magonjwa hayo hususani presha na sukari huku kundi linaloathirika zaidi ni wanawake.

“Wanawake kwa maana ya kwamba ndio watu wanaojitokeza kwa wingi kwenda kuchunguza afya zao tofauti na wanaume ambao hata kama anashida hiyo huchukulia kawaida au wakati mwingine kupata mawazo yasiyo sahihi kutoka kwa marafiki,” amesema Dk.Mwendi

Kwa mujibu wa Dk. Mwendi  asilimia 15 ya wagonjwa wanaofika hospitalini hapo husumbuliwa na magonjwa yasiyoambukiza, huku wengi wakisumbuliwa na presha na kisukari.

Baadhi ya wagonjwa waliofika katika hospitali hiyo kupata matibabu ya magonjwa hayo yasiyoambukiza wamesema pamoja na kupatiwa huduma zote mhimu lakini wanakumbana na changamoto ya gharama kubwa za matibabu na kuiomba Serikali ingalie namna ya kuwapunguzia.

“Tunahudumiwa vizuri, lakini changamoto tunayokumbana nayo ni gharama za matibabu kuwa kubwa, na unaweza kupatiwa dawa aina moja nyingine unaelekezwa kwenda kununua sehemu nyingine hivyo tunaomba Serikali itusaidie dawa ziweze kupatikana hospitali,” amesema Mary Minga mkazi wa Mahina.

YOU MUST READ(IMPORTANT)

Magonjwa4 weeks ago

Maumivu chini ya kitovu ni dalili za ugonjwa gani

Maumivu chini ya kitovu ni dalili za ugonjwa gani. Watu wengi huweza kupata maumivu chini ya kitovu, lakini umewahi kujiuliza...

Magonjwa1 month ago

Kaswende ni ugonjwa gani, soma hapa kufahamu

Kaswende ni ugonjwa gani, Kaswende ni maambukizi yanayosababishwa na bakteria. Mara nyingi, huenea kupitia mawasiliano ya kingono au kwa kujamiiana....

Magonjwa2 months ago

Koo kukauka ni dalili ya ugonjwa gani

Koo kukauka ni dalili ya ugonjwa gani Koo kukauka kunaweza kusababishwa na sababu kadhaa, ikiwa ni pamoja na: Upungufu wa...

Magonjwa2 months ago

Amiba ni ugonjwa gani,Fahamu kuhusu Ugonjwa wa Amebiasis

Amiba ni ugonjwa gani Wengi wamezoea kusema hivo ila Amiba(amoeba) ni vimelea vyinavyosababisha ugonjwa, na Ugonjwa huo kitaalam ndyo hujulikana...

Magonjwa3 months ago

kuwashwa nyayo za miguu husababishwa na nini? chanzo na Tiba

kuwashwa nyayo za miguu husababishwa na nini? chanzo na Tiba kuwashwa nyayo za miguu; zipo sababu nyingi ambazo huchangia shida...

magonjwa ya wanawake4 months ago

Ujue Ugonjwa Wa PID (Pelvic Inflammatory Disease)

Ujue Ugonjwa Wa PID (Pelvic Inflammatory Disease) Pid ni ugonjwa gani? PID ni Maambukizi ya bacteria Kwenye Via vya Uzazi...

Magonjwa2 years ago

SHINGO YA MTOTO KULEGEA(CHANZO CHAKE)

SHINGO YA MTOTO KULEGEA(CHANZO CHAKE) Mabadiliko ya Watoto wengi huanza kwenye miezi mitatu ya Mwanzo wakati ambapo Shingo ya mtoto...

Magonjwa3 years ago

MAUMIVU MAKALI SEHEMU YA HAJA KUBWA

Baadhi ya watu wanachanganya tatizo la maumivu makali sehemu ya haja kubwa pamoja na tatizo la Bawasiri,japo mojawapo ya chanzo...

Magonjwa3 years ago

TATIZO LA MASIKIO KUPIGA KELELE,CHANZO NA TIBA YAKE(Tinnitus)

TATIZO LA MASIKIO KUPIGA KELELE,CHANZO NA TIBA YAKE(Tinnitus) tatizo la masikio kupiga kelele Tinnitus, ni Tatizo la masikio kupiga kelele,...

Magonjwa3 years ago

DALILI ZA UGONJWA WA GONO(KISONONO)

 UGONJWA WA KISONONO DALILI ZA UGONJWA WA GONO(KISONONO) Ugonjwa wa gonorrhea maarufu kama GONO au Kisonono ni ugonjwa wa zinaa...

Magonjwa3 years ago

TATIZO LA UKE KUJAMBA PAMOJA NA TIBA YAKE(chanzo cha tatizo hili ni nini?)

Tatizo la Uke Kujamba TATIZO LA UKE KUJAMBA PAMOJA NA TIBA YAKE(chanzo cha tatizo hili ni nini?) Moja ya vitu...

Magonjwa3 years ago

DALILI ZA FANGASI UUMENI,KORODANI PAMOJA NA MATIBABU YAKE

 FANGASI • • • • • DALILI ZA FANGASI UUMENI,KORODANI PAMOJA NA MATIBABU YAKE Mashambulizi ya Fangasi sehemu za siri...

Magonjwa3 years ago

CHANZO CHA TATIZO LA KUOTA NYAMA PUANI PAMOJA NA MATIBABU YAKE

Chanzo cha tatizo la NYAMA PUANI,Dalili zake Pamoja na Tiba yake, Soma makala hii kwa Makini ili upate Kujua kuhusu...

Magonjwa3 years ago

SABABU ZA KUVIMBA KWA MASHAVU YA UKE(TEZI LA BARTHOLIN)

KUVIMBA MASHAVU YA UKE • • • • • • Katika Makala hii tumechambua zaidi kuhusu sababu za kuvimba mashavu...

Magonjwa3 years ago

TATIZO LA MWANAUME KUOTA MATITI(gynecomastia)

TATIZO LA MWANAUME KUOTA MATITI(gynecomastia) Tatizo hili linatokea kwa Baadhi ya wanaume,na hata kupelekea Wanaume hao kuwa na Matiti kama...

MAGONJWA MBALI MBALI

Magonjwa1 day ago

Chanzo cha tatizo la NYAMA PUANI,Dalili zake Pamoja na Tiba yake

Chanzo cha tatizo la NYAMA PUANI,Dalili zake Pamoja na Tiba yake, Soma makala hii kwa Makini ili upate Kujua kuhusu...

Magonjwa3 days ago

Ugonjwa unaosababishwa na kula nyama mbichi

Ugonjwa unaosababishwa na kula nyama mbichi Madhara ya kula nyama ya ng’ombe mbichi Ni desturi ya baadhi ya watu kula...

Magonjwa1 week ago

Mkojo kuuma ni dalili ya ugonjwa gani

Mkojo kuuma ni dalili ya ugonjwa gani Mkojo kuuma au kupata maumivu wakati wa kukojoa ni hali ambayo kwa kitaalam...

Magonjwa1 week ago

Ugonjwa wa gonorrhea maarufu kama GONO au Kisonono dalili Zake

 UGONJWA WA KISONONO DALILI ZA UGONJWA WA GONO(KISONONO) Ugonjwa wa gonorrhea maarufu kama GONO au Kisonono ni ugonjwa wa zinaa...

Magonjwa2 weeks ago

Maana ya hiv negative,Soma hapa kufahamu

Maana ya hiv negative,Soma hapa kufahamu Haya ni maneno ambayo umekuwa ukiyasikia sana linapokuja swala la vipimo cha UKIMWI, je...

Magonjwa3 weeks ago

Kama ndiyo Umegunduliwa ugonjwa wa Kisukari,Soma hii itakusaidia

Kama ndiyo Umegunduliwa ugonjwa wa Kisukari,Soma hii itakusaidia. Kutana na Ilene Raymond Rush ambaye aligunduliwa Kisukari aina ya Pili(Type 2...

Magonjwa3 weeks ago

Ugonjwa unaosababishwa na konokono

Ugonjwa unaosababishwa na konokono Ugonjwa unaosababishwa na konokono unaitwa schistosomiasis, au bilharzia. Ni ugonjwa wa maambukizi unaosababishwa na minyoo wanaoitwa...

Magonjwa3 weeks ago

Ugonjwa wa Pink Eye,chanzo,dalili na Matibabu yake

Ugonjwa wa Pink Eye,chanzo,dalili na Matibabu yake. Wengi tumesikia kuhusu Red Eyes(Macho mekundu) Lakini je umewahi kusikia kuhusu Pink Eyes,?...

Magonjwa3 weeks ago

Omeprazole inatibu ugonjwa gani,Fahamu hapa

Omeprazole inatibu ugonjwa gani Omeprazole inatibu ni nini?, Hili ni swali ambalo limekuwa likiulizwa mara kwa mara na wafwatiliaji wengi...

Magonjwa4 weeks ago

Mate kujaa mdomoni ni dalili ya ugonjwa gani

Mate kujaa mdomoni ni dalili ya ugonjwa gani Mate kujaa Mdomoni,ni tatizo ambalo hutokea kwa baadhi ya watu, na zipo...