Faida na hasara za kukanda mwili Watu wengi wana Desturi ya kukanda mwili kwa maji ya moto hasa kwa wakina mama baada ya kujifungua, Je, kukanda...
Serikali kupitia Wizara ya Afya imesema tayari bunge limepitisha Sheria ya Udhibiti wa Tumbaku ijulikanayo kama “The Tobacco Products (Regulation) Act, 2003” ambayo imetoa katazo la...
Mhogo Una faida gani kiafya? Soma hapa Jules Kouassi, Daktari wa Afya ya Umma na mtaalamu wa lishe, kutoka Ivory Coast, anasema muhogo ni chakula muhimu,...
Clarithromycin inatibu nini Clarithromycin ni dawa inayotumika kutibu aina nyingi za maambukizi yanayotokana na bacteria(bacterial infections). Dawa hii pia huweza kutumika pamoja na dawa zingine za...
Gharama za upasuaji wa kurekebisha maumbile zinaanzia Sh15 milioni hadi Sh22.5 milioni. Wakati Hospitali ya Taifa Muhimbili-Mloganzila ikitarajia kufanya upasuaji wa kurekebisha maumbile Mei 2024, imeelezwa...
Zaidi ya watu 45 wamefariki dunia nchini Kenya baada ya bwawa kupasua kingo zake kufuatia mvua kubwa na mafuriko, maafisa wamesema. Watu katika vijiji karibu na...
Maporomoko ya matope kutoka Mlima Kabumbilo hadi mwalo wa Kabumbilo yalianza kujitokeza Aprili 17, 2024 na awali iliripotiwa kwamba nyumba moja na ekari 10 za mashamba...
Mtoto huweza kuzaliwa akiwa na mabaka mabaka ya rangi ya blue hasa hasa maeneo ya makalioni na mgongoni, mabaka mabaka haya kwa kitaalam hujulikana kama Mongolian...
Mwanamtandao maarufu wa TikTok Nchini Iraq auawa kwa Risasi Mwanamtandao maarufu wa TikTok Nchini Iraq aitwaye Ghufran Sawadi maarufu kama Om Fahad, ameuawa kwa risasi nje...
Ugonjwa unaosababishwa na konokono Ugonjwa unaosababishwa na konokono unaitwa schistosomiasis, au bilharzia. Ni ugonjwa wa maambukizi unaosababishwa na minyoo wanaoitwa Schistosoma. Konokono wanapoambukizwa na minyoo hawa,...