Connect with us

Magonjwa

Sababu za Kutokubeba Ujauzito(Sababu za kutokushika Mimba)

Avatar photo

Published

on

Sababu za Kutokubeba Ujauzito(Sababu za kutokushika Mimba)

Hizi ni baadhi ya Sababu ambazo hupelekea mwanamke kutokushika Mimba au kutokubeba Ujauzito,

1. Kutokujaribu kwa Muda mrefu au Muda wa Kutosha, Watu wengi hujaribu kwa Muda mfupi tu kisha kuanza kukata tamaa,

Na hii huanza kuleta migogoro hasa kwa Wenye ndoa ambao wana muda mfupi tu toka waoane,

Unachotakiwa kufahamu ni kwamba;Takribani Asilimia 80% ya watu wanaoshiriki mapenzi kwa Lengo la Kubeba Mimba wanafanikiwa baada ya miezi sita ya kujaribu,

Takribani asilimia 90% watakuwa wajawazito baada ya miezi 12 ya kujaribu kupata mimba,

Na Viwango hivi ni pale tu ambapo tunatarajia umejaribu kufanya mapenzi wakati unaofaa kila mwezi.

Hata kama huoni Dalili zozote za kuwa na tatizo kiafya, Lakini endapo mmejaribu kutafuta mtoto kulingana na mazingira haya hapa chini lakini hamjafanikiwa ni lazima muonane na wataalam wa afya;

– Una umri wa miaka 35 au zaidi na umejaribu kwa angalau miezi sita bila mafanikio

– Una umri wa chini ya miaka 35 na umejaribu kwa angalau mwaka mmoja bila mafanikio yoyote

2. Kutokufanya Mapenzi wakati Sahihi, hapa tunamaanisha wakati ambao mwanamke anaweza kubeba Mimba,

Kwa Lugha nyingine lazima mfanye mapenzi kwenye “siku za hatari” Siku ambazo mwanamke anaweza kubeba Mimba,

Kama hamfanyi mapenzi kwenye siku ambazo mwanamke anaweza kubeba mimba hakuna matokeo yoyote mnaweza kupata, hivo kutokutambua ni wakati gani sahihi wa kufanya mapenzi huweza kupelekea mwanamke asibebe ujauzito hata kama hana tatizo lolote.

3. Mwanamke kushindwa kupevusha Mayai,

Tatizo la Anovulation ambapo shida hutokea kwenye mayai pamoja na vifuko vya mayai(ovaries),

Shida ya mayai kushindwa kupevushwa huchangiwa na sababu mbali mbali ikiwemo;

– Tatizo la Polycystic ovary syndrome (PCOS)

– Shida ya Mwanamke kuwa na Uzito Mkubwa au Uzito mdogo sana(overweight or underweight),

– Tatizo la primary ovarian insufficiency,

– shida kwenye tezi la Thyroid yaani thyroid dysfunction, hyperprolactinemia.

– Kufanya mazoezi kupita kiasi(excessive exercise) n.k

Wanawake wengi wenye shida ya Ovulation, pia hupata shida ya kuwa na Hedhi isiyoeleweka yaani irregular periods,

Ingawa pia kuwa na hedhi inayoeleweka(regular menstrual cycles) haimaanishi kwamba huna shida yoyote kwenye ovulation.

4. Shida kwa Mwanaume,

Asilimia kubwa kwenye Jamii zetu endapo tatizo la Mwanamke kutokubeba Mimba limetokea,Lawama zote huwa juu yake, bila kujua hata Mwanaume huweza kuwa chanzo kikubwa cha Tatizo hili,

Matatizo kama vile; Mwanaume kuzalisha mbegu ambazo hazina ubora wowote na chache yaani Low sperm counts huweza kupelekea mwanamke kutokubeba mimba,

Mwanaume kutokuzalisha kabsa mbegu za Kiume, hili tatizo ni chanzo kikubwa cha Mwanamke kutokubeba mimba,

HIVO,Linapokuja swala la Kubeba Mimba, Mwanaume na Mwanamke huweza kuwa chanzo.

5. Umri kuwa Mkubwa, kadri Umri wako unavyokuwa Mkubwa ndivo uwezo wa kubeba Mimba au kutungisha Mimba hupungua zaidi,

Tafiti zinaonyesha kwa Wanawake baada ya miaka 35, huweza kuchukua muda mrefu zaidi kushika Mimba,

Na anapofikia ukomo wa hedhi,ndivo na Swala la kubeba mimba huwa historia.

Vivo hivyo kwa Wanaume, Wanaume wenye umri wa baada ya Miaka 40 baadhi yao hupata changamoto ya kutungisha Mimba Kwa Mwanamke.

6. Tatizo la kuziba kwa Mirija ya Uzazi kwa Wanawake yaani blocked fallopian tubes.

7. Mwanamke kuwa na tatizo la endometriosis,

Baadhi ya tafiti zinaonyesha kwamba,Takribani asilimia 50% ya wanawake wenye tatizo la endometriosis huwa vigumu pia kwao kubeba Ujauzito.

8. Matatizo mengine ni kama vile;

– thyroid imbalance

– Shida ya kisukari(undiagnosed diabetes)

– Baadhi ya autoimmune diseases, kama vile lupus,

– Magonjwa ya Zinaa(sexually transmitted infection (STI))

– Maambukizi ya magonjwa kama vile UTI sugu,Fangasi,PID n.k haya huweza kuchangia pia hasa endapo yamekuwa matatizo Sugu au ambayo hayajapata Tiba kwa Muda mrefu

– Shida ya wasiwasi na Msongo mkubwa wa Mawazo n.k

9. Matumizi ya baadhi ya Dawa, baadhi ya Dawa huweza kuathiri pia uwezo wa Mwanamke Kubeba Mimba,

10. Mtindo mbaya wa Maisha ikiwemo;

– Matumizi ya dawa za Kulevyia,Cocaine,Marijuana, n.k

– Uvutaji wa Sigara,Tumbaku,Kutumia Ugoro

– Unywaji wa Pombe kupita kiasi n.k

KWA USHAURI ZAIDI,ELIMU AU TIBA TUWASILIANE KWA NAMBA +255758286584.

Ushauri|Tiba|CheckIn 🩺🌡️ContactUs; +255758286584 or INBOX📩. For More Healthtips everyday Link In https://afyaclass.com Also Follow us on Instagram @afyaclass

YOU MUST READ(IMPORTANT)

Magonjwa4 weeks ago

Maumivu chini ya kitovu ni dalili za ugonjwa gani

Maumivu chini ya kitovu ni dalili za ugonjwa gani. Watu wengi huweza kupata maumivu chini ya kitovu, lakini umewahi kujiuliza...

Magonjwa1 month ago

Kaswende ni ugonjwa gani, soma hapa kufahamu

Kaswende ni ugonjwa gani, Kaswende ni maambukizi yanayosababishwa na bakteria. Mara nyingi, huenea kupitia mawasiliano ya kingono au kwa kujamiiana....

Magonjwa2 months ago

Koo kukauka ni dalili ya ugonjwa gani

Koo kukauka ni dalili ya ugonjwa gani Koo kukauka kunaweza kusababishwa na sababu kadhaa, ikiwa ni pamoja na: Upungufu wa...

Magonjwa2 months ago

Amiba ni ugonjwa gani,Fahamu kuhusu Ugonjwa wa Amebiasis

Amiba ni ugonjwa gani Wengi wamezoea kusema hivo ila Amiba(amoeba) ni vimelea vyinavyosababisha ugonjwa, na Ugonjwa huo kitaalam ndyo hujulikana...

Magonjwa3 months ago

kuwashwa nyayo za miguu husababishwa na nini? chanzo na Tiba

kuwashwa nyayo za miguu husababishwa na nini? chanzo na Tiba kuwashwa nyayo za miguu; zipo sababu nyingi ambazo huchangia shida...

magonjwa ya wanawake4 months ago

Ujue Ugonjwa Wa PID (Pelvic Inflammatory Disease)

Ujue Ugonjwa Wa PID (Pelvic Inflammatory Disease) Pid ni ugonjwa gani? PID ni Maambukizi ya bacteria Kwenye Via vya Uzazi...

Magonjwa2 years ago

SHINGO YA MTOTO KULEGEA(CHANZO CHAKE)

SHINGO YA MTOTO KULEGEA(CHANZO CHAKE) Mabadiliko ya Watoto wengi huanza kwenye miezi mitatu ya Mwanzo wakati ambapo Shingo ya mtoto...

Magonjwa3 years ago

MAUMIVU MAKALI SEHEMU YA HAJA KUBWA

Baadhi ya watu wanachanganya tatizo la maumivu makali sehemu ya haja kubwa pamoja na tatizo la Bawasiri,japo mojawapo ya chanzo...

Magonjwa3 years ago

TATIZO LA MASIKIO KUPIGA KELELE,CHANZO NA TIBA YAKE(Tinnitus)

TATIZO LA MASIKIO KUPIGA KELELE,CHANZO NA TIBA YAKE(Tinnitus) tatizo la masikio kupiga kelele Tinnitus, ni Tatizo la masikio kupiga kelele,...

Magonjwa3 years ago

DALILI ZA UGONJWA WA GONO(KISONONO)

 UGONJWA WA KISONONO DALILI ZA UGONJWA WA GONO(KISONONO) Ugonjwa wa gonorrhea maarufu kama GONO au Kisonono ni ugonjwa wa zinaa...

Magonjwa3 years ago

TATIZO LA UKE KUJAMBA PAMOJA NA TIBA YAKE(chanzo cha tatizo hili ni nini?)

Tatizo la Uke Kujamba TATIZO LA UKE KUJAMBA PAMOJA NA TIBA YAKE(chanzo cha tatizo hili ni nini?) Moja ya vitu...

Magonjwa3 years ago

DALILI ZA FANGASI UUMENI,KORODANI PAMOJA NA MATIBABU YAKE

 FANGASI • • • • • DALILI ZA FANGASI UUMENI,KORODANI PAMOJA NA MATIBABU YAKE Mashambulizi ya Fangasi sehemu za siri...

Magonjwa3 years ago

CHANZO CHA TATIZO LA KUOTA NYAMA PUANI PAMOJA NA MATIBABU YAKE

Chanzo cha tatizo la NYAMA PUANI,Dalili zake Pamoja na Tiba yake, Soma makala hii kwa Makini ili upate Kujua kuhusu...

Magonjwa3 years ago

SABABU ZA KUVIMBA KWA MASHAVU YA UKE(TEZI LA BARTHOLIN)

KUVIMBA MASHAVU YA UKE • • • • • • Katika Makala hii tumechambua zaidi kuhusu sababu za kuvimba mashavu...

Magonjwa3 years ago

TATIZO LA MWANAUME KUOTA MATITI(gynecomastia)

TATIZO LA MWANAUME KUOTA MATITI(gynecomastia) Tatizo hili linatokea kwa Baadhi ya wanaume,na hata kupelekea Wanaume hao kuwa na Matiti kama...

MAGONJWA MBALI MBALI

Magonjwa1 day ago

Chanzo cha tatizo la NYAMA PUANI,Dalili zake Pamoja na Tiba yake

Chanzo cha tatizo la NYAMA PUANI,Dalili zake Pamoja na Tiba yake, Soma makala hii kwa Makini ili upate Kujua kuhusu...

Magonjwa2 days ago

Ugonjwa unaosababishwa na kula nyama mbichi

Ugonjwa unaosababishwa na kula nyama mbichi Madhara ya kula nyama ya ng’ombe mbichi Ni desturi ya baadhi ya watu kula...

Magonjwa1 week ago

Mkojo kuuma ni dalili ya ugonjwa gani

Mkojo kuuma ni dalili ya ugonjwa gani Mkojo kuuma au kupata maumivu wakati wa kukojoa ni hali ambayo kwa kitaalam...

Magonjwa1 week ago

Ugonjwa wa gonorrhea maarufu kama GONO au Kisonono dalili Zake

 UGONJWA WA KISONONO DALILI ZA UGONJWA WA GONO(KISONONO) Ugonjwa wa gonorrhea maarufu kama GONO au Kisonono ni ugonjwa wa zinaa...

Magonjwa2 weeks ago

Maana ya hiv negative,Soma hapa kufahamu

Maana ya hiv negative,Soma hapa kufahamu Haya ni maneno ambayo umekuwa ukiyasikia sana linapokuja swala la vipimo cha UKIMWI, je...

Magonjwa3 weeks ago

Kama ndiyo Umegunduliwa ugonjwa wa Kisukari,Soma hii itakusaidia

Kama ndiyo Umegunduliwa ugonjwa wa Kisukari,Soma hii itakusaidia. Kutana na Ilene Raymond Rush ambaye aligunduliwa Kisukari aina ya Pili(Type 2...

Magonjwa3 weeks ago

Ugonjwa unaosababishwa na konokono

Ugonjwa unaosababishwa na konokono Ugonjwa unaosababishwa na konokono unaitwa schistosomiasis, au bilharzia. Ni ugonjwa wa maambukizi unaosababishwa na minyoo wanaoitwa...

Magonjwa3 weeks ago

Ugonjwa wa Pink Eye,chanzo,dalili na Matibabu yake

Ugonjwa wa Pink Eye,chanzo,dalili na Matibabu yake. Wengi tumesikia kuhusu Red Eyes(Macho mekundu) Lakini je umewahi kusikia kuhusu Pink Eyes,?...

Magonjwa3 weeks ago

Omeprazole inatibu ugonjwa gani,Fahamu hapa

Omeprazole inatibu ugonjwa gani Omeprazole inatibu ni nini?, Hili ni swali ambalo limekuwa likiulizwa mara kwa mara na wafwatiliaji wengi...

Magonjwa4 weeks ago

Mate kujaa mdomoni ni dalili ya ugonjwa gani

Mate kujaa mdomoni ni dalili ya ugonjwa gani Mate kujaa Mdomoni,ni tatizo ambalo hutokea kwa baadhi ya watu, na zipo...