Magonjwa
Mazoezi ya Asubuhi na Kupunguza Uzito(afyatips)
![](https://afyaclass.com/mk_omb/uploads/2023/01/20230118_065608.jpg)
Mazoezi ya Asubuhi na Kupunguza Uzito,
Moja ya njia ya Kupunguza Uzito ni kufanya Mazoezi,
Mazoezi ya asubuhi huleta matokeo mazuri zaidi,
Unashauriwa kufanya mazoezi kiasi yaani moderate exercise kabla ya kukaa na kula kitu chochote wakati wa asubuh.
Kufanya mazoezi huku tumbo lako likiwa halijapata kitu(empty stomach) husaidia kupata matokeo mazuri kwa haraka zaidi,
Kutoa jasho kabla ya kupata breakfast huweza kusaidia kuunguza zaidi mafuta yako ya mwili(body’s fat) kitu ambacho ni kizuri zaidi kwako.
• Fanya Mazoezi angalau kwa muda wa Nusu saa au Dakika 30,
• Ondoa Uchovu na Mawazo au stress
• Jiweke kwenye Mood ya kufanya kazi zako za Siku
• Punguza Uzito wako wa Mwili
#Mazoezi #Asubuh #UzitowaMwili
-
Magonjwa6 days ago
Dalili za acid reflux,Soma hapa Kufahamu
-
magonjwa ya wanawake5 days ago
Dalili za Ectopic pregnancy,Mimba kutunga nje ya kizazi
-
Magonjwa2 days ago
Ugonjwa wa ngozi sehemu za siri
-
Elimu&Ushauri4 days ago
Afya za watu bilioni 1.8 duniani matatani kwa kutokufanya Mazoezi – WHO
-
Events1 day ago
Chad yafanikiwa kuondoa Ugonjwa wa trypanosomiasis,WHO yatangaza
-
Uzazi/Ujauzito11 hours ago
Dalili za hatari baada ya kujifungua kwa upasuaji
-
Events6 days ago
Princess Anne alilazwa hospitalini na majeraha madogo kufuatia tukio nyumbani kwake
-
News4 days ago
Mlipuko Mbaya wa homa ya nyani watokea tena KIVU KASKAZINI