Mlipuko wa ugonjwa wa macho,Macho Mekundu Baada ya Ugonjwa huu wa macho kusumbua watu wengi kwa kipindi cha Hivi Karibuni, ndani ya Afyaclass tulitoa elimu mbali...
Taarifa: Kuhusu utoaji wa dawa za Ugonjwa wa macho mekundu(Red eyes) kiholela pic.twitter.com/DZen6GGsQT — Wizara ya Afya Tanzania 🇹🇿 (@wizara_afyatz) February 6, 2024 Soma Zaidi hapa:...
Mkojo,Chumvi, kitunguu saumu sio dawa ya kutibu ‘red eyes’ Wataalamu wasema zinachangia kuongeza maumivu, waonya zaweza kusababisha uoni hafifu na upofu. Wataalamu wa afya na madaktari...
Ugonjwa wa Macho Mekundu(RED EYES),chanzo,dalili na Matibabu Ugonjwa wa macho mekundu ni ugonjwa ambao hujulikana kama Red Eyes, Ugonjwa wa red eyes ni ugonjwa ambao huhusisha...