Connect with us

Uzazi/Ujauzito

BAO LA KWANZA HUSABABISHA MIMBA

Avatar photo

Published

on

BAO LA KWANZA HUSABABISHA MIMBA

Kumekuwa na dhana hii ya kwamba Bao la kwanza haliwezi kusababisha Mimba,

Na watu wengi wamekuwa wakihangaika kutafta ukweli juu ya hili, kwa kuliona hilo na kukutana na maswali mengi tumeona tutoe ufafanuzi katika makala hii.

JIBU: kwanza fahamu kwamba Bao la Kwanza huweza kusababisha Mimba kwa asilimia 100%, Na kinachoangaliwa sio bao la kwanza,bali kinachoangaliwa ni uwezo wa mbegu zako kufanya urutubishaji,

Na hapa nitakutajia vitu vichache ambavyo huweza kuangaliwa kwenye uwezo wa mbegu zako kufanya urutubishaji au kuweza kutungisha mimba.

1. Quantity, hapa nazungumzia idadi ya mbegu zinazotoka kwa bao moja au single ejaculation,

Kwa kawaida Mwanaume mwenye uwezo wa kutoa mbegu nyingi kwa bao moja(single ejaculation) angalau Million 15 kwa Milliliter ana uwezo mkubwa wa kutungisha mimba.

Kumbuka tatizo la low sperm count(au mwanaume kuwa na mbegu chache) huchangia kwa asilimia kubwa mwanaume kushindwa kumpa mwanamke mimba,

Wakati mbegu za kiume zinasafiri ili kukutana na yai la mwanamke,mbegu nyingi sana hufia njiani kabla ya kulikuta yai,hivo kama unatoa mbegu chache hata uwezo wa mbegu zako kulifikia yai ni mdogo sana, hali hii huchangia kushindwa kufanya urutubishaji na Mimba ikatokea.

2. Movement, hapa nazungumzia uwezo wa mbegu za kiume kusafiri na kulikuta yai la mwanamke,

Ili yai la mwanamke likutane na mbegu ya kiume kisha kufanya urutubishaji(mimba kutokea) ni lazima mbegu za kiume zisafiri hasa kuelekea kwenye mirija ya uzazi yaani Fallopian tubes ambapo kwa asilimia kubwa urutubishaji huu hutokea hapa kwenye mirija ya uzazi.

Baadhi ya wataalam wa maswala ya uzazi wanasema kama angalau asilimia 40% ya mbegu zako zinaweza kusafiri vizuri basi uwezekano wa kutungisha mimba ni mkubwa.

3. Structure(Morphology), Wengine wanasema shape ya mbegu zako za kiume,

Kwa kawaida mbegu zako za kiume zinatakiwa ziwe na shape ya Oval heads pamoja na Long tails, ili kusaidia kusafiri vizuri pamoja na kufanya kazi ya kulirutubisha yai kwa uharaka zaidi.

ikiwa mbegu zako za kiume hazina shape hii,ni ngumu sana kulirutubisha yai na kusababisha mimba kutokea.

BONUS POINT: ZINGATIA HAYA ILI KUBORESHA MBEGU ZAKO ZA KIUME PAMOJA NA AFYA YA UZAZI KWA UJUMLA

– Hakikisha unakuwa na uzito wa mwili unaotakiwa, kama una tatizo la uzito mkubwa hakikisha unatatua tatizo hili mapema zaidi.

– Hakikisha unakula mlo kamili(Balance diet), yaani unakula chakula chenye virutubisho vyote vinavyohitajika mwilini kwa kiwango kinachohitajika pia,

epuka ulaji wa vyakula vya mafuta mengi,chumvi nyingi sana n.k

– Jikinge na magonjwa yote ya zinaa yaani sexual transimitted diseases-STD’s kama chlamydia,gonorhea,syphilis n.k

– Hakikisha unadhibiti tatizo la msongo wa mawazo kama unalo

– Fanya mazoezi mbali mbali ya mwili

– Epuka uvutaji wa Sigara na unywaji wa Pombe kupita kiasi.

KWA USHAURI ZAIDI,ELIMU AU TIBA JUU YA TATIZO LOLOTE TUWASILIANE KWA NAMBA +255758286584.

Ushauri|Tiba|CheckIn 🩺🌡️ContactUs; +255758286584 or INBOX📩. For More Healthtips everyday Link In https://afyaclass.com Also Follow us on Instagram @afyaclass

YOU MUST READ(IMPORTANT)

Magonjwa4 weeks ago

Maumivu chini ya kitovu ni dalili za ugonjwa gani

Maumivu chini ya kitovu ni dalili za ugonjwa gani. Watu wengi huweza kupata maumivu chini ya kitovu, lakini umewahi kujiuliza...

Magonjwa1 month ago

Kaswende ni ugonjwa gani, soma hapa kufahamu

Kaswende ni ugonjwa gani, Kaswende ni maambukizi yanayosababishwa na bakteria. Mara nyingi, huenea kupitia mawasiliano ya kingono au kwa kujamiiana....

Magonjwa2 months ago

Koo kukauka ni dalili ya ugonjwa gani

Koo kukauka ni dalili ya ugonjwa gani Koo kukauka kunaweza kusababishwa na sababu kadhaa, ikiwa ni pamoja na: Upungufu wa...

Magonjwa2 months ago

Amiba ni ugonjwa gani,Fahamu kuhusu Ugonjwa wa Amebiasis

Amiba ni ugonjwa gani Wengi wamezoea kusema hivo ila Amiba(amoeba) ni vimelea vyinavyosababisha ugonjwa, na Ugonjwa huo kitaalam ndyo hujulikana...

Magonjwa3 months ago

kuwashwa nyayo za miguu husababishwa na nini? chanzo na Tiba

kuwashwa nyayo za miguu husababishwa na nini? chanzo na Tiba kuwashwa nyayo za miguu; zipo sababu nyingi ambazo huchangia shida...

magonjwa ya wanawake4 months ago

Ujue Ugonjwa Wa PID (Pelvic Inflammatory Disease)

Ujue Ugonjwa Wa PID (Pelvic Inflammatory Disease) Pid ni ugonjwa gani? PID ni Maambukizi ya bacteria Kwenye Via vya Uzazi...

Magonjwa2 years ago

SHINGO YA MTOTO KULEGEA(CHANZO CHAKE)

SHINGO YA MTOTO KULEGEA(CHANZO CHAKE) Mabadiliko ya Watoto wengi huanza kwenye miezi mitatu ya Mwanzo wakati ambapo Shingo ya mtoto...

Magonjwa3 years ago

MAUMIVU MAKALI SEHEMU YA HAJA KUBWA

Baadhi ya watu wanachanganya tatizo la maumivu makali sehemu ya haja kubwa pamoja na tatizo la Bawasiri,japo mojawapo ya chanzo...

Magonjwa3 years ago

TATIZO LA MASIKIO KUPIGA KELELE,CHANZO NA TIBA YAKE(Tinnitus)

TATIZO LA MASIKIO KUPIGA KELELE,CHANZO NA TIBA YAKE(Tinnitus) tatizo la masikio kupiga kelele Tinnitus, ni Tatizo la masikio kupiga kelele,...

Magonjwa3 years ago

DALILI ZA UGONJWA WA GONO(KISONONO)

 UGONJWA WA KISONONO DALILI ZA UGONJWA WA GONO(KISONONO) Ugonjwa wa gonorrhea maarufu kama GONO au Kisonono ni ugonjwa wa zinaa...

Magonjwa3 years ago

TATIZO LA UKE KUJAMBA PAMOJA NA TIBA YAKE(chanzo cha tatizo hili ni nini?)

Tatizo la Uke Kujamba TATIZO LA UKE KUJAMBA PAMOJA NA TIBA YAKE(chanzo cha tatizo hili ni nini?) Moja ya vitu...

Magonjwa3 years ago

DALILI ZA FANGASI UUMENI,KORODANI PAMOJA NA MATIBABU YAKE

 FANGASI • • • • • DALILI ZA FANGASI UUMENI,KORODANI PAMOJA NA MATIBABU YAKE Mashambulizi ya Fangasi sehemu za siri...

Magonjwa3 years ago

CHANZO CHA TATIZO LA KUOTA NYAMA PUANI PAMOJA NA MATIBABU YAKE

Chanzo cha tatizo la NYAMA PUANI,Dalili zake Pamoja na Tiba yake, Soma makala hii kwa Makini ili upate Kujua kuhusu...

Magonjwa3 years ago

SABABU ZA KUVIMBA KWA MASHAVU YA UKE(TEZI LA BARTHOLIN)

KUVIMBA MASHAVU YA UKE • • • • • • Katika Makala hii tumechambua zaidi kuhusu sababu za kuvimba mashavu...

Magonjwa3 years ago

TATIZO LA MWANAUME KUOTA MATITI(gynecomastia)

TATIZO LA MWANAUME KUOTA MATITI(gynecomastia) Tatizo hili linatokea kwa Baadhi ya wanaume,na hata kupelekea Wanaume hao kuwa na Matiti kama...

MAGONJWA MBALI MBALI

Magonjwa1 day ago

Chanzo cha tatizo la NYAMA PUANI,Dalili zake Pamoja na Tiba yake

Chanzo cha tatizo la NYAMA PUANI,Dalili zake Pamoja na Tiba yake, Soma makala hii kwa Makini ili upate Kujua kuhusu...

Magonjwa2 days ago

Ugonjwa unaosababishwa na kula nyama mbichi

Ugonjwa unaosababishwa na kula nyama mbichi Madhara ya kula nyama ya ng’ombe mbichi Ni desturi ya baadhi ya watu kula...

Magonjwa1 week ago

Mkojo kuuma ni dalili ya ugonjwa gani

Mkojo kuuma ni dalili ya ugonjwa gani Mkojo kuuma au kupata maumivu wakati wa kukojoa ni hali ambayo kwa kitaalam...

Magonjwa1 week ago

Ugonjwa wa gonorrhea maarufu kama GONO au Kisonono dalili Zake

 UGONJWA WA KISONONO DALILI ZA UGONJWA WA GONO(KISONONO) Ugonjwa wa gonorrhea maarufu kama GONO au Kisonono ni ugonjwa wa zinaa...

Magonjwa2 weeks ago

Maana ya hiv negative,Soma hapa kufahamu

Maana ya hiv negative,Soma hapa kufahamu Haya ni maneno ambayo umekuwa ukiyasikia sana linapokuja swala la vipimo cha UKIMWI, je...

Magonjwa3 weeks ago

Kama ndiyo Umegunduliwa ugonjwa wa Kisukari,Soma hii itakusaidia

Kama ndiyo Umegunduliwa ugonjwa wa Kisukari,Soma hii itakusaidia. Kutana na Ilene Raymond Rush ambaye aligunduliwa Kisukari aina ya Pili(Type 2...

Magonjwa3 weeks ago

Ugonjwa unaosababishwa na konokono

Ugonjwa unaosababishwa na konokono Ugonjwa unaosababishwa na konokono unaitwa schistosomiasis, au bilharzia. Ni ugonjwa wa maambukizi unaosababishwa na minyoo wanaoitwa...

Magonjwa3 weeks ago

Ugonjwa wa Pink Eye,chanzo,dalili na Matibabu yake

Ugonjwa wa Pink Eye,chanzo,dalili na Matibabu yake. Wengi tumesikia kuhusu Red Eyes(Macho mekundu) Lakini je umewahi kusikia kuhusu Pink Eyes,?...

Magonjwa3 weeks ago

Omeprazole inatibu ugonjwa gani,Fahamu hapa

Omeprazole inatibu ugonjwa gani Omeprazole inatibu ni nini?, Hili ni swali ambalo limekuwa likiulizwa mara kwa mara na wafwatiliaji wengi...

Magonjwa4 weeks ago

Mate kujaa mdomoni ni dalili ya ugonjwa gani

Mate kujaa mdomoni ni dalili ya ugonjwa gani Mate kujaa Mdomoni,ni tatizo ambalo hutokea kwa baadhi ya watu, na zipo...