Connect with us

Uzazi/Ujauzito

Fahamu Vyakula vya kula wakati wa maandalizi ya kubeba ujauzito

Avatar photo

Published

on

Fahamu Vyakula vya kula wakati wa maandalizi ya kubeba ujauzito

Yapo  maandalizi mbalimbali ambayo wenza wanaokusudia kutafuta ujauzito wanapaswa kuyafanya. Miongoni mwa maandalizi hayo ni kuwa na lishe bora yenye virutubishi kutoka katika makundi yote ya vyakula.Mlo kamili husaidia kuuandaa mwili kuwa katika hali nzuri ya kutungisha na kuutunza ujauzito.

Umuhimu wa chakula katika mandalizi ya ujauzito

Zifuatazo ni faida za mlo kamili katika kipindi cha maandalizi ya kupata ujauzito kwa mwanamke na mwanaume;

– Kupata virutubishi ambavyo husaidia mwili kufanya kazi vema na kuimarisha afya ya uzazi

– Kusaidia kuongeza ubora wa mbegu za kiume na uovuleshaji

– Kupunguza msongo katika mwili unaoweza kuathiri afya ya uzazi

– Kuzuia mtoto kuzaliwa na kasoro za kimaumbile, mfano matumizi ya vyakula vyenye madini ya folate (foliki asidi)

– Kuzuia upungufu wa damu katika kipindi cha ujauzito, mfano vyakula vyenye madini chuma

– Kuufanya mwili uwe katika uzito unaoshauriwa kiafya, ambao una athari chanya katika afya ya uzazi

Vyakula unavyoshauriwa kutumia kwa wingi

Unashauriwa kutumia vyakula vifuatavyo kwa wingi unapokuwa katika maandalizi ya kutafuta ujauzito;

1. Vyakula vyenye madini ya zinki;

Mfano wa vyakula hivi ni;

  • nyama,
  • mimea jamii ya kunde ,
  • nafaka zisizokobolewa,
  • mbegu, karanga nk

2. Vyakula vyenye madini ya folate (foliki aside);

Mfano wa vyakula hivi ni maini, mayai, mboga za majani za kijani nk

3. Vyakula vyenye vitamini hasa vitamin C; 

Mfano wa vyakula hivi ni; atunda jamii ya limao, mboga za majani, mbegu nk

4. Vyakula vyenye madini chuma;

Mfano wa vyakula hivi ni nyama, spinachi, maharagwe nk

5. Vyakula vyenye nyuzi nyuzi;

Mfano wa vyakula hivi ni nafaka zisizokobolewa, mboga za majani, matunda nk

Vyakula ambavyo hupaswi kutumia

Matumizi  vyakula hivi kwa wingi huathiri afya ya uzazi:

  • Vyakula vya kusindika
  • Nafaka za kukobolewa
  • Vinywaji vyenye sukari nyingi
  • Vyakula vyenye mafuta mengi
  • Pombe

Wapi utapata maelezo zaidi

Kwa maelezo zaidi kuhusu maandalizi ya kufanya wakati wa kutafuta ujauzito bofya hapa;

Rejea za Mada;..

Female Fertility and the Nutritional Approach: The Most Essential Aspects – NCBI. https://www.ncbi.nlm.nih.gov/pmc/articles/PMC8634384/. Imechukuliwa 19.02.2024

Diet and Nutritional Factors in Male (In) fertility—Underestimated Factors. NCBI. https://www.ncbi.nlm.nih.gov/pmc/articles/PMC7291266/. Imechukuliwa 19.02.2024

16 Natural Ways to Boost Fertility – Healthline. https://www.healthline.com/nutrition/16-fertility-tips-to-get-pregnant. Imechukuliwa 19.02.2024

The Influence of Metabolic Factors and Diet on Fertility – PMC. https://www.ncbi.nlm.nih.gov/pmc/articles/PMC10005661/. Imechukuliwa 19.02.2024

YOU MUST READ(IMPORTANT)

Magonjwa4 weeks ago

Maumivu chini ya kitovu ni dalili za ugonjwa gani

Maumivu chini ya kitovu ni dalili za ugonjwa gani. Watu wengi huweza kupata maumivu chini ya kitovu, lakini umewahi kujiuliza...

Magonjwa1 month ago

Kaswende ni ugonjwa gani, soma hapa kufahamu

Kaswende ni ugonjwa gani, Kaswende ni maambukizi yanayosababishwa na bakteria. Mara nyingi, huenea kupitia mawasiliano ya kingono au kwa kujamiiana....

Magonjwa2 months ago

Koo kukauka ni dalili ya ugonjwa gani

Koo kukauka ni dalili ya ugonjwa gani Koo kukauka kunaweza kusababishwa na sababu kadhaa, ikiwa ni pamoja na: Upungufu wa...

Magonjwa2 months ago

Amiba ni ugonjwa gani,Fahamu kuhusu Ugonjwa wa Amebiasis

Amiba ni ugonjwa gani Wengi wamezoea kusema hivo ila Amiba(amoeba) ni vimelea vyinavyosababisha ugonjwa, na Ugonjwa huo kitaalam ndyo hujulikana...

Magonjwa3 months ago

kuwashwa nyayo za miguu husababishwa na nini? chanzo na Tiba

kuwashwa nyayo za miguu husababishwa na nini? chanzo na Tiba kuwashwa nyayo za miguu; zipo sababu nyingi ambazo huchangia shida...

magonjwa ya wanawake4 months ago

Ujue Ugonjwa Wa PID (Pelvic Inflammatory Disease)

Ujue Ugonjwa Wa PID (Pelvic Inflammatory Disease) Pid ni ugonjwa gani? PID ni Maambukizi ya bacteria Kwenye Via vya Uzazi...

Magonjwa2 years ago

SHINGO YA MTOTO KULEGEA(CHANZO CHAKE)

SHINGO YA MTOTO KULEGEA(CHANZO CHAKE) Mabadiliko ya Watoto wengi huanza kwenye miezi mitatu ya Mwanzo wakati ambapo Shingo ya mtoto...

Magonjwa3 years ago

MAUMIVU MAKALI SEHEMU YA HAJA KUBWA

Baadhi ya watu wanachanganya tatizo la maumivu makali sehemu ya haja kubwa pamoja na tatizo la Bawasiri,japo mojawapo ya chanzo...

Magonjwa3 years ago

TATIZO LA MASIKIO KUPIGA KELELE,CHANZO NA TIBA YAKE(Tinnitus)

TATIZO LA MASIKIO KUPIGA KELELE,CHANZO NA TIBA YAKE(Tinnitus) tatizo la masikio kupiga kelele Tinnitus, ni Tatizo la masikio kupiga kelele,...

Magonjwa3 years ago

DALILI ZA UGONJWA WA GONO(KISONONO)

 UGONJWA WA KISONONO DALILI ZA UGONJWA WA GONO(KISONONO) Ugonjwa wa gonorrhea maarufu kama GONO au Kisonono ni ugonjwa wa zinaa...

Magonjwa3 years ago

TATIZO LA UKE KUJAMBA PAMOJA NA TIBA YAKE(chanzo cha tatizo hili ni nini?)

Tatizo la Uke Kujamba TATIZO LA UKE KUJAMBA PAMOJA NA TIBA YAKE(chanzo cha tatizo hili ni nini?) Moja ya vitu...

Magonjwa3 years ago

DALILI ZA FANGASI UUMENI,KORODANI PAMOJA NA MATIBABU YAKE

 FANGASI • • • • • DALILI ZA FANGASI UUMENI,KORODANI PAMOJA NA MATIBABU YAKE Mashambulizi ya Fangasi sehemu za siri...

Magonjwa3 years ago

CHANZO CHA TATIZO LA KUOTA NYAMA PUANI PAMOJA NA MATIBABU YAKE

Chanzo cha tatizo la NYAMA PUANI,Dalili zake Pamoja na Tiba yake, Soma makala hii kwa Makini ili upate Kujua kuhusu...

Magonjwa3 years ago

SABABU ZA KUVIMBA KWA MASHAVU YA UKE(TEZI LA BARTHOLIN)

KUVIMBA MASHAVU YA UKE • • • • • • Katika Makala hii tumechambua zaidi kuhusu sababu za kuvimba mashavu...

Magonjwa3 years ago

TATIZO LA MWANAUME KUOTA MATITI(gynecomastia)

TATIZO LA MWANAUME KUOTA MATITI(gynecomastia) Tatizo hili linatokea kwa Baadhi ya wanaume,na hata kupelekea Wanaume hao kuwa na Matiti kama...

MAGONJWA MBALI MBALI

Magonjwa1 day ago

Chanzo cha tatizo la NYAMA PUANI,Dalili zake Pamoja na Tiba yake

Chanzo cha tatizo la NYAMA PUANI,Dalili zake Pamoja na Tiba yake, Soma makala hii kwa Makini ili upate Kujua kuhusu...

Magonjwa2 days ago

Ugonjwa unaosababishwa na kula nyama mbichi

Ugonjwa unaosababishwa na kula nyama mbichi Madhara ya kula nyama ya ng’ombe mbichi Ni desturi ya baadhi ya watu kula...

Magonjwa1 week ago

Mkojo kuuma ni dalili ya ugonjwa gani

Mkojo kuuma ni dalili ya ugonjwa gani Mkojo kuuma au kupata maumivu wakati wa kukojoa ni hali ambayo kwa kitaalam...

Magonjwa1 week ago

Ugonjwa wa gonorrhea maarufu kama GONO au Kisonono dalili Zake

 UGONJWA WA KISONONO DALILI ZA UGONJWA WA GONO(KISONONO) Ugonjwa wa gonorrhea maarufu kama GONO au Kisonono ni ugonjwa wa zinaa...

Magonjwa2 weeks ago

Maana ya hiv negative,Soma hapa kufahamu

Maana ya hiv negative,Soma hapa kufahamu Haya ni maneno ambayo umekuwa ukiyasikia sana linapokuja swala la vipimo cha UKIMWI, je...

Magonjwa3 weeks ago

Kama ndiyo Umegunduliwa ugonjwa wa Kisukari,Soma hii itakusaidia

Kama ndiyo Umegunduliwa ugonjwa wa Kisukari,Soma hii itakusaidia. Kutana na Ilene Raymond Rush ambaye aligunduliwa Kisukari aina ya Pili(Type 2...

Magonjwa3 weeks ago

Ugonjwa unaosababishwa na konokono

Ugonjwa unaosababishwa na konokono Ugonjwa unaosababishwa na konokono unaitwa schistosomiasis, au bilharzia. Ni ugonjwa wa maambukizi unaosababishwa na minyoo wanaoitwa...

Magonjwa3 weeks ago

Ugonjwa wa Pink Eye,chanzo,dalili na Matibabu yake

Ugonjwa wa Pink Eye,chanzo,dalili na Matibabu yake. Wengi tumesikia kuhusu Red Eyes(Macho mekundu) Lakini je umewahi kusikia kuhusu Pink Eyes,?...

Magonjwa3 weeks ago

Omeprazole inatibu ugonjwa gani,Fahamu hapa

Omeprazole inatibu ugonjwa gani Omeprazole inatibu ni nini?, Hili ni swali ambalo limekuwa likiulizwa mara kwa mara na wafwatiliaji wengi...

Magonjwa4 weeks ago

Mate kujaa mdomoni ni dalili ya ugonjwa gani

Mate kujaa mdomoni ni dalili ya ugonjwa gani Mate kujaa Mdomoni,ni tatizo ambalo hutokea kwa baadhi ya watu, na zipo...