Connect with us

Magonjwa

Dalili za Saratani ya Tumbo,Chanzo,na Tiba yake

Avatar photo

Published

on

Dalili za Saratani ya Tumbo,Chanzo,na Tiba yake

Kuna tofauti kati ya Saratani ya Tumbo na Saratani ya Utumbo, Saratani ya tumbo hutokea kwenye eneo la tumbo(Stomach Cancer) na Saratani ya utumbo hutokea eneo la utumbo mfano; Saratani ya Utumbo mpana(Colon Cancer) n.k

Katika Makala Hii tumechambua Zaidi kuhusu Saratani hii ya Tumbo(Stomach Cancer),chanzo chake,dalili Pamoja na Tiba

CHANZO CHA SARATANI YA TUMBO

Chanzo halisi cha Saratani ya tumbo Hakifahamiki, Ingawa kuna Sababu zenye Uhusiano wa Karibu Sana na tatizo hili la Saratani ya Tumbo,

Moja ya Sababu hizo ni Pamoja na;

• Maambukizi ya Bacteria H. pylori, Bacteria anayesababisha Vidonda vya tumbo,

• Kuvimba kwenye kuta za tumbo yaani gastritis,

• Aina ya Upungufu wa Damu kwa Muda mrefu inayojulikana kama pernicious anemia,

• kuwa na Ukuaji(Growths) kama vile polyps

• Ukuaji Usio wakawaida wa Seli ndani ya Tumbo

• SABABU ZINGINE Ambazo huongeza hatari ya mtu kupata Saratani ya Tumbo;

– Uvutaji wa Sigara

– Kuwa na tatizo la Uzito mkubwa,Unene n.k(overweight/obesity)

– Kula vyakula vyenye chumvi nyingi Mara kwa Mara

– Unywaji wa Pombe Kupita Kiasi

– Kufanyiwa upasuaji wa tumbo kwa ajili ya vidonda tumboni(ulcer)

– Maambukizi ya Virusi kama vile Epstein-Barr virus infection

– Kufanya kazi katika viwanda vya makaa ya mawe, chuma, mbao au mpira

– Kuwa na Historia ya tatizo hili kutokea kwenye Familia yako(genes/genetic factors)

DALILI ZA SARATANI YA TUMBO NI ZIPI?

Dalili za Mwanzoni Kabsa ni Pamoja na;

– Kuhisi tumbo Kujaa baada ya kula chakula

– Kupata Kiungulia mara kwa mara

– Kupata Kichefuchefu kidogo

– Kupoteza hamu ya kula

– Tatizo la Indigestion

KUMBUKA; Kuwa na Dalili hizi haitoshi kusema tayari mtu ana Saratani ya Tumbo, Dalili hizi huingiliana na magonjwa mengine mengi,

Kadri Saratani ya Tumbo inavyoendelea kukua, ndipo Dalili zaidi huanza kuonekana, Mfano wa Dalili zingine ni kama vile;

– Kupata Maumivu makali ya Tumbo

– Kujisaidia kinyesi kimechanganyika na Damu

– Kutapika Mara kwa Mara

– Uzito wa Mwili Kupungua kwa Kasi Pasipo Sababu inayoeleweka

– Kuanza kupata shida wakati Ukimeza kitu

– Macho au ngozi kubadilika rangi na Kuwa Manjano

– Tumbo kuwa kubwa au Kuvimba

– Kupata shida ya Choo Kigumu(Constipation) au Kuharisha Mara kwa Mara(diarrhea)

– Kuhisi uchovu wa Mwili usiowakawaida n.k

VIPIMO:

Hivi ni Baadhi ya Vipimo ambavyo huweza kufanyika kwa Mgonjwa;

  • Vipimo vya Damu(Blood tests)
  • Kipimo cha endoscopy
  • Ct Scan
  • Ultrasound
  •  Kuchukua Kinyama na kwenda kukichunguza yaani Biopsy N.K

MATIBABU YA SARATANI YA TUMBO

Kama ilivyo kwa aina Zingine za Saratani, Kupata Tiba Mapema ndyo Kupona Kabsa, Lakini ukichelewa kupata Tiba na Saratani hii Kufikia Stage 4 ni ngumu zaidi kupata Tiba na Kupona,

Baadhi ya Matibabu yake ni Pamoja na;

– Mgonjwa kufanyiwa UPASUAJI

– Huduma ya chemotherapy

– Huduma ya radiation therapy

– Huduma Ya Chemo na Radiation kwa Pamoja yaani Chemoradiation n.k

KWA USHAURI ZAIDI,ELIMU AU TIBA JUU YA TATIZO LOLOTE TUWASILIANE KWA NAMBA +255758286584.

Ushauri|Tiba|CheckIn 🩺🌡️ContactUs; +255758286584 or INBOX📩. For More Healthtips everyday Link In https://afyaclass.com Also Follow us on Instagram @afyaclass

YOU MUST READ(IMPORTANT)

Magonjwa4 weeks ago

Maumivu chini ya kitovu ni dalili za ugonjwa gani

Maumivu chini ya kitovu ni dalili za ugonjwa gani. Watu wengi huweza kupata maumivu chini ya kitovu, lakini umewahi kujiuliza...

Magonjwa1 month ago

Kaswende ni ugonjwa gani, soma hapa kufahamu

Kaswende ni ugonjwa gani, Kaswende ni maambukizi yanayosababishwa na bakteria. Mara nyingi, huenea kupitia mawasiliano ya kingono au kwa kujamiiana....

Magonjwa2 months ago

Koo kukauka ni dalili ya ugonjwa gani

Koo kukauka ni dalili ya ugonjwa gani Koo kukauka kunaweza kusababishwa na sababu kadhaa, ikiwa ni pamoja na: Upungufu wa...

Magonjwa2 months ago

Amiba ni ugonjwa gani,Fahamu kuhusu Ugonjwa wa Amebiasis

Amiba ni ugonjwa gani Wengi wamezoea kusema hivo ila Amiba(amoeba) ni vimelea vyinavyosababisha ugonjwa, na Ugonjwa huo kitaalam ndyo hujulikana...

Magonjwa3 months ago

kuwashwa nyayo za miguu husababishwa na nini? chanzo na Tiba

kuwashwa nyayo za miguu husababishwa na nini? chanzo na Tiba kuwashwa nyayo za miguu; zipo sababu nyingi ambazo huchangia shida...

magonjwa ya wanawake4 months ago

Ujue Ugonjwa Wa PID (Pelvic Inflammatory Disease)

Ujue Ugonjwa Wa PID (Pelvic Inflammatory Disease) Pid ni ugonjwa gani? PID ni Maambukizi ya bacteria Kwenye Via vya Uzazi...

Magonjwa2 years ago

SHINGO YA MTOTO KULEGEA(CHANZO CHAKE)

SHINGO YA MTOTO KULEGEA(CHANZO CHAKE) Mabadiliko ya Watoto wengi huanza kwenye miezi mitatu ya Mwanzo wakati ambapo Shingo ya mtoto...

Magonjwa3 years ago

MAUMIVU MAKALI SEHEMU YA HAJA KUBWA

Baadhi ya watu wanachanganya tatizo la maumivu makali sehemu ya haja kubwa pamoja na tatizo la Bawasiri,japo mojawapo ya chanzo...

Magonjwa3 years ago

TATIZO LA MASIKIO KUPIGA KELELE,CHANZO NA TIBA YAKE(Tinnitus)

TATIZO LA MASIKIO KUPIGA KELELE,CHANZO NA TIBA YAKE(Tinnitus) tatizo la masikio kupiga kelele Tinnitus, ni Tatizo la masikio kupiga kelele,...

Magonjwa3 years ago

DALILI ZA UGONJWA WA GONO(KISONONO)

 UGONJWA WA KISONONO DALILI ZA UGONJWA WA GONO(KISONONO) Ugonjwa wa gonorrhea maarufu kama GONO au Kisonono ni ugonjwa wa zinaa...

Magonjwa3 years ago

TATIZO LA UKE KUJAMBA PAMOJA NA TIBA YAKE(chanzo cha tatizo hili ni nini?)

Tatizo la Uke Kujamba TATIZO LA UKE KUJAMBA PAMOJA NA TIBA YAKE(chanzo cha tatizo hili ni nini?) Moja ya vitu...

Magonjwa3 years ago

DALILI ZA FANGASI UUMENI,KORODANI PAMOJA NA MATIBABU YAKE

 FANGASI • • • • • DALILI ZA FANGASI UUMENI,KORODANI PAMOJA NA MATIBABU YAKE Mashambulizi ya Fangasi sehemu za siri...

Magonjwa3 years ago

CHANZO CHA TATIZO LA KUOTA NYAMA PUANI PAMOJA NA MATIBABU YAKE

Chanzo cha tatizo la NYAMA PUANI,Dalili zake Pamoja na Tiba yake, Soma makala hii kwa Makini ili upate Kujua kuhusu...

Magonjwa3 years ago

SABABU ZA KUVIMBA KWA MASHAVU YA UKE(TEZI LA BARTHOLIN)

KUVIMBA MASHAVU YA UKE • • • • • • Katika Makala hii tumechambua zaidi kuhusu sababu za kuvimba mashavu...

Magonjwa3 years ago

TATIZO LA MWANAUME KUOTA MATITI(gynecomastia)

TATIZO LA MWANAUME KUOTA MATITI(gynecomastia) Tatizo hili linatokea kwa Baadhi ya wanaume,na hata kupelekea Wanaume hao kuwa na Matiti kama...

MAGONJWA MBALI MBALI

Magonjwa1 day ago

Chanzo cha tatizo la NYAMA PUANI,Dalili zake Pamoja na Tiba yake

Chanzo cha tatizo la NYAMA PUANI,Dalili zake Pamoja na Tiba yake, Soma makala hii kwa Makini ili upate Kujua kuhusu...

Magonjwa2 days ago

Ugonjwa unaosababishwa na kula nyama mbichi

Ugonjwa unaosababishwa na kula nyama mbichi Madhara ya kula nyama ya ng’ombe mbichi Ni desturi ya baadhi ya watu kula...

Magonjwa1 week ago

Mkojo kuuma ni dalili ya ugonjwa gani

Mkojo kuuma ni dalili ya ugonjwa gani Mkojo kuuma au kupata maumivu wakati wa kukojoa ni hali ambayo kwa kitaalam...

Magonjwa1 week ago

Ugonjwa wa gonorrhea maarufu kama GONO au Kisonono dalili Zake

 UGONJWA WA KISONONO DALILI ZA UGONJWA WA GONO(KISONONO) Ugonjwa wa gonorrhea maarufu kama GONO au Kisonono ni ugonjwa wa zinaa...

Magonjwa2 weeks ago

Maana ya hiv negative,Soma hapa kufahamu

Maana ya hiv negative,Soma hapa kufahamu Haya ni maneno ambayo umekuwa ukiyasikia sana linapokuja swala la vipimo cha UKIMWI, je...

Magonjwa3 weeks ago

Kama ndiyo Umegunduliwa ugonjwa wa Kisukari,Soma hii itakusaidia

Kama ndiyo Umegunduliwa ugonjwa wa Kisukari,Soma hii itakusaidia. Kutana na Ilene Raymond Rush ambaye aligunduliwa Kisukari aina ya Pili(Type 2...

Magonjwa3 weeks ago

Ugonjwa unaosababishwa na konokono

Ugonjwa unaosababishwa na konokono Ugonjwa unaosababishwa na konokono unaitwa schistosomiasis, au bilharzia. Ni ugonjwa wa maambukizi unaosababishwa na minyoo wanaoitwa...

Magonjwa3 weeks ago

Ugonjwa wa Pink Eye,chanzo,dalili na Matibabu yake

Ugonjwa wa Pink Eye,chanzo,dalili na Matibabu yake. Wengi tumesikia kuhusu Red Eyes(Macho mekundu) Lakini je umewahi kusikia kuhusu Pink Eyes,?...

Magonjwa3 weeks ago

Omeprazole inatibu ugonjwa gani,Fahamu hapa

Omeprazole inatibu ugonjwa gani Omeprazole inatibu ni nini?, Hili ni swali ambalo limekuwa likiulizwa mara kwa mara na wafwatiliaji wengi...

Magonjwa4 weeks ago

Mate kujaa mdomoni ni dalili ya ugonjwa gani

Mate kujaa mdomoni ni dalili ya ugonjwa gani Mate kujaa Mdomoni,ni tatizo ambalo hutokea kwa baadhi ya watu, na zipo...