Connect with us

Magonjwa

Dalili za ukimwi kwenye uume,Soma hapa kufahamu

Avatar photo

Published

on

Dalili za ukimwi kwenye uume

Dalili za HIV/AIDS kwenye uume zinaweza kujumuisha maumivu, kuwasha, kuvimba, au maambukizi yanayoshindwa kupona. Hata hivyo, dalili hizi pekee hazimaanishi mtu ameambukizwa HIV.

Ni muhimu kufanya vipimo vya HIV ili kuthibitisha hali yako ikiwa una wasiwasi. Kumbuka, dalili zinaweza kutofautiana kati ya watu na hii si njia sahihi ya kutambua ugonjwa huo.

Dalili za ukimwi kwenye uume

Kumbuka; Dalili hizi pekee hazitoshi kusema una maambukizi ya Ukimwi, dalili hizi huweza kuingiliana na matatizo mengine ya kiafya,

Hizi hapa ni baadhi ya Dalili za Ukimwi kwenye Uume;

– Kupata maumivu wakati unafika kileleni(Pain with ejaculation).

– Kupata vidonda kwenye Uume au ngozi ya Uume(Sores or ulcers on the penis).

– Kutokwa na uchafu usio wakawaida kwenye Uume.

– Kupata maumivu ndani ya Uume au kuzunguka Uume

– Kupata maumivu kwenye korodani,au eneo kati ya ngozi ya korodani(Scrotum) na njia ya haja kubwa(anus).

– Kupata shida ya Uume kushindwa kusimama vizuri(Erectile dysfunction). n.k

Dalili za Ukimwi kwa Ujumla

Dalili za HIV/AIDS zinaweza kutofautiana kati ya watu na zinaweza kuchukua muda kidogo kujitokeza baada ya kuambukizwa. Baadhi ya dalili zinazoweza kutokea ni pamoja na:

1. Homa isiyoeleweka:

Homa za mara kwa mara ambazo haziwezi kuelezewa Sababu yake halisi ni nini.

2. Kuhisi uchovu na kukosa nguvu:

Kutokuwa na nguvu na uchovu wa mwili bila sababu za wazi.

3. Kupungua kwa uzito:

Kupoteza uzito bila sababu za msingi.

4. Kuvimba tezi:

Kuvimba kwa tezi za limfu kwenye shingo, kifundo cha mgongo, au sehemu nyingine za mwili.

5. Koo kuwa kavu na kupata maumivu ya koo:

Koo kuwa kavu,hali isiyoisha pamoja na kupata maumivu ya koo yanayodumu, hizi huweza kudalili pia za maambukizi ya VVU

6. Kikohozi kisichoisha:

Kupata Kikohozi kisichoisha, hasa kwa muda mrefu.

7. Kupata Maambukizi ya ngozi na madoa:

Maambukizi kama vile vipele, madoa, au vidonda ambavyo haviponi haraka.

8. Kutokwa na jasho usiku:

Kutokwa na jasho sana usiku, hasa wakati wa kulala.

9. Tatizo la Kuharisha:

Kuharisha sana au matatizo mengine ya utumbo.

10. Kupata Maumivu ya misuli na viungo:

Maumivu ya mara kwa mara ya misuli na viungo bila sababu wazi.n.k

>>Soma Zaidi hapa Dalili za maambukizi ya Virusi vya Ukimwi(VVU)

Ni muhimu kutambua kwamba dalili hizi pekee hazimaanishi kwamba mtu ameambukizwa HIV, lakini ni vizuri kupata vipimo vya HIV kwa ushauri wa kitaalamu. Kumbuka, watu wengine wanaweza kuishi na HIV bila kuonyesha dalili kwa miaka mingi.

Ushauri|Tiba|CheckIn 🩺🌡️ContactUs; +255758286584 or INBOX📩. For More Healthtips everyday Link In https://afyaclass.com Also Follow us on Instagram @afyaclass

YOU MUST READ(IMPORTANT)

Magonjwa4 weeks ago

Maumivu chini ya kitovu ni dalili za ugonjwa gani

Maumivu chini ya kitovu ni dalili za ugonjwa gani. Watu wengi huweza kupata maumivu chini ya kitovu, lakini umewahi kujiuliza...

Magonjwa1 month ago

Kaswende ni ugonjwa gani, soma hapa kufahamu

Kaswende ni ugonjwa gani, Kaswende ni maambukizi yanayosababishwa na bakteria. Mara nyingi, huenea kupitia mawasiliano ya kingono au kwa kujamiiana....

Magonjwa2 months ago

Koo kukauka ni dalili ya ugonjwa gani

Koo kukauka ni dalili ya ugonjwa gani Koo kukauka kunaweza kusababishwa na sababu kadhaa, ikiwa ni pamoja na: Upungufu wa...

Magonjwa2 months ago

Amiba ni ugonjwa gani,Fahamu kuhusu Ugonjwa wa Amebiasis

Amiba ni ugonjwa gani Wengi wamezoea kusema hivo ila Amiba(amoeba) ni vimelea vyinavyosababisha ugonjwa, na Ugonjwa huo kitaalam ndyo hujulikana...

Magonjwa3 months ago

kuwashwa nyayo za miguu husababishwa na nini? chanzo na Tiba

kuwashwa nyayo za miguu husababishwa na nini? chanzo na Tiba kuwashwa nyayo za miguu; zipo sababu nyingi ambazo huchangia shida...

magonjwa ya wanawake4 months ago

Ujue Ugonjwa Wa PID (Pelvic Inflammatory Disease)

Ujue Ugonjwa Wa PID (Pelvic Inflammatory Disease) Pid ni ugonjwa gani? PID ni Maambukizi ya bacteria Kwenye Via vya Uzazi...

Magonjwa2 years ago

SHINGO YA MTOTO KULEGEA(CHANZO CHAKE)

SHINGO YA MTOTO KULEGEA(CHANZO CHAKE) Mabadiliko ya Watoto wengi huanza kwenye miezi mitatu ya Mwanzo wakati ambapo Shingo ya mtoto...

Magonjwa3 years ago

MAUMIVU MAKALI SEHEMU YA HAJA KUBWA

Baadhi ya watu wanachanganya tatizo la maumivu makali sehemu ya haja kubwa pamoja na tatizo la Bawasiri,japo mojawapo ya chanzo...

Magonjwa3 years ago

TATIZO LA MASIKIO KUPIGA KELELE,CHANZO NA TIBA YAKE(Tinnitus)

TATIZO LA MASIKIO KUPIGA KELELE,CHANZO NA TIBA YAKE(Tinnitus) tatizo la masikio kupiga kelele Tinnitus, ni Tatizo la masikio kupiga kelele,...

Magonjwa3 years ago

DALILI ZA UGONJWA WA GONO(KISONONO)

 UGONJWA WA KISONONO DALILI ZA UGONJWA WA GONO(KISONONO) Ugonjwa wa gonorrhea maarufu kama GONO au Kisonono ni ugonjwa wa zinaa...

Magonjwa3 years ago

TATIZO LA UKE KUJAMBA PAMOJA NA TIBA YAKE(chanzo cha tatizo hili ni nini?)

Tatizo la Uke Kujamba TATIZO LA UKE KUJAMBA PAMOJA NA TIBA YAKE(chanzo cha tatizo hili ni nini?) Moja ya vitu...

Magonjwa3 years ago

DALILI ZA FANGASI UUMENI,KORODANI PAMOJA NA MATIBABU YAKE

 FANGASI • • • • • DALILI ZA FANGASI UUMENI,KORODANI PAMOJA NA MATIBABU YAKE Mashambulizi ya Fangasi sehemu za siri...

Magonjwa3 years ago

CHANZO CHA TATIZO LA KUOTA NYAMA PUANI PAMOJA NA MATIBABU YAKE

Chanzo cha tatizo la NYAMA PUANI,Dalili zake Pamoja na Tiba yake, Soma makala hii kwa Makini ili upate Kujua kuhusu...

Magonjwa3 years ago

SABABU ZA KUVIMBA KWA MASHAVU YA UKE(TEZI LA BARTHOLIN)

KUVIMBA MASHAVU YA UKE • • • • • • Katika Makala hii tumechambua zaidi kuhusu sababu za kuvimba mashavu...

Magonjwa3 years ago

TATIZO LA MWANAUME KUOTA MATITI(gynecomastia)

TATIZO LA MWANAUME KUOTA MATITI(gynecomastia) Tatizo hili linatokea kwa Baadhi ya wanaume,na hata kupelekea Wanaume hao kuwa na Matiti kama...

MAGONJWA MBALI MBALI

Magonjwa1 day ago

Chanzo cha tatizo la NYAMA PUANI,Dalili zake Pamoja na Tiba yake

Chanzo cha tatizo la NYAMA PUANI,Dalili zake Pamoja na Tiba yake, Soma makala hii kwa Makini ili upate Kujua kuhusu...

Magonjwa2 days ago

Ugonjwa unaosababishwa na kula nyama mbichi

Ugonjwa unaosababishwa na kula nyama mbichi Madhara ya kula nyama ya ng’ombe mbichi Ni desturi ya baadhi ya watu kula...

Magonjwa1 week ago

Mkojo kuuma ni dalili ya ugonjwa gani

Mkojo kuuma ni dalili ya ugonjwa gani Mkojo kuuma au kupata maumivu wakati wa kukojoa ni hali ambayo kwa kitaalam...

Magonjwa1 week ago

Ugonjwa wa gonorrhea maarufu kama GONO au Kisonono dalili Zake

 UGONJWA WA KISONONO DALILI ZA UGONJWA WA GONO(KISONONO) Ugonjwa wa gonorrhea maarufu kama GONO au Kisonono ni ugonjwa wa zinaa...

Magonjwa2 weeks ago

Maana ya hiv negative,Soma hapa kufahamu

Maana ya hiv negative,Soma hapa kufahamu Haya ni maneno ambayo umekuwa ukiyasikia sana linapokuja swala la vipimo cha UKIMWI, je...

Magonjwa3 weeks ago

Kama ndiyo Umegunduliwa ugonjwa wa Kisukari,Soma hii itakusaidia

Kama ndiyo Umegunduliwa ugonjwa wa Kisukari,Soma hii itakusaidia. Kutana na Ilene Raymond Rush ambaye aligunduliwa Kisukari aina ya Pili(Type 2...

Magonjwa3 weeks ago

Ugonjwa unaosababishwa na konokono

Ugonjwa unaosababishwa na konokono Ugonjwa unaosababishwa na konokono unaitwa schistosomiasis, au bilharzia. Ni ugonjwa wa maambukizi unaosababishwa na minyoo wanaoitwa...

Magonjwa3 weeks ago

Ugonjwa wa Pink Eye,chanzo,dalili na Matibabu yake

Ugonjwa wa Pink Eye,chanzo,dalili na Matibabu yake. Wengi tumesikia kuhusu Red Eyes(Macho mekundu) Lakini je umewahi kusikia kuhusu Pink Eyes,?...

Magonjwa3 weeks ago

Omeprazole inatibu ugonjwa gani,Fahamu hapa

Omeprazole inatibu ugonjwa gani Omeprazole inatibu ni nini?, Hili ni swali ambalo limekuwa likiulizwa mara kwa mara na wafwatiliaji wengi...

Magonjwa4 weeks ago

Mate kujaa mdomoni ni dalili ya ugonjwa gani

Mate kujaa mdomoni ni dalili ya ugonjwa gani Mate kujaa Mdomoni,ni tatizo ambalo hutokea kwa baadhi ya watu, na zipo...