Connect with us

Other posts

Wataalam wa optometria watakiwa kujisajili kwenye mfumo wa usajili wa wataalam (hprs)

Avatar photo

Published

on

Wataalam wa optometria nchini watakiwa kujisajili kwenye mfumo wa usajili wa wataalam (hprs) ili waweze kutambulika

Na WAF – Dodoma

Msajili wa Baraza la Optometria nchini Bw. Sebastiano G. Millanzi amewataka wataalam wa kada ya Optometria waliohitimu mafunzo yao kutoka vyuo vya Mvumi, KCMC na nje ya nchi kuhakikisha wanajisajili katika mfumo wa _Health Practitioner Registration System_ utakaowawezesha kutambulika katika mifumo mingine ya Serikali.

Millanzi ametoa rai hiyo Machi 22, 2024 jijini Dodoma wakati akifungua mafunzo ya wataalam wa Optometria waliohitimu vyuo na wanaotarajia kutoa huduma ya macho yanayofanyika kwa siku moja jijini hapo yenye lengo la kuwafanya wataalam kutoa huduma kwa kuzingatia Maadili pamoja na utoaji wa huduma bora kwa jamii.

Millanzi amesema uwepo wa Baraza hilo unatambuliwa kupitia Sheria ya Bunge ya Mwaka 2007.

“Baraza ni ndio chombo pekee nchini chenye dhamana ya kutoa Leseni za wataalam wa Optometria na kuzisimamia, kwa wale waliosoma vyuo vya ndani na nje ya nchi, hivyo kila muhitimu wa kozi hiyo ili aweze kutekeleza majukumu yake lazima apate usajili wa Baraza hilo”. Amesema ndugu Millanzi.

Millanzi amefafanua kuwa, lengo la sheria husika ni kutumika kudhibiti ubora wa huduma zitolewazo na wataalam hao na kwa mujibu wa kifungu cha 11 kinachohusu sifa za mtaalam kupata usajili wa baraza.

Akiwasomea baadhi ya sheria zinazo simamia watoa huduma, Naibu Msajili Ramadhani Msuya kutoka baraza hilo, amesema mtaalam yeyote atakaye kwenda kinyume ataadhibiwa kwa mujibu wa Sheria zinazosimamia taaluma hiyo.

“Tumezoea kuona watu wanauza miwani mtaani lakini hilo ni kosa kisheria kwani kupitia kifungu cha 40 (1) ataweza kushtakiwa na kuadhibiwa au faini yake kufikia hadi Sh. milioni kumi au kifungo cha miaka mitano ama vyote viwili kwa pamoja.

Kwa upande wao wataalam hao, wamesema watakuwa tayari kufanya kazi kwa weledi ili kulinda hadhi ya taaluma.

“Kazi hii ni lazima uwe muadilifu, hivyo nitahakikisha ninatunza siri za mgonjwa nikiwa mtoa huduma niliye hitimu mafunzo yangu ambayo yananitaka kufanya hivyo”. Amesema Bi. Digna Kakazoka ambaye ni muhitimu wa kada ya optometria kutoka chuo cha KCMC mkoani Kilimanjaro.

Jumla ya wataalam 32 wamepatiwa usajili wa kudumu na jumla ya wataalam 44 wamepatiwa usajili muda ambapo watatakiwa kutoa huduma katika vituo vinavyotambuliwa na baraza chini ya uangalizi wa Mtaalam wa Optometria au Madaktari Bingwa wa Macho mzoefu.

Karibu AfyaUpdates Kwa Taarifa Zote Muhimu ndani na Nje. More Updates everyday Link In https://afyaclass.com  Also Follow us on Instagram @afyaclass

YOU MUST READ(IMPORTANT)

Magonjwa4 weeks ago

Maumivu chini ya kitovu ni dalili za ugonjwa gani

Maumivu chini ya kitovu ni dalili za ugonjwa gani. Watu wengi huweza kupata maumivu chini ya kitovu, lakini umewahi kujiuliza...

Magonjwa1 month ago

Kaswende ni ugonjwa gani, soma hapa kufahamu

Kaswende ni ugonjwa gani, Kaswende ni maambukizi yanayosababishwa na bakteria. Mara nyingi, huenea kupitia mawasiliano ya kingono au kwa kujamiiana....

Magonjwa2 months ago

Koo kukauka ni dalili ya ugonjwa gani

Koo kukauka ni dalili ya ugonjwa gani Koo kukauka kunaweza kusababishwa na sababu kadhaa, ikiwa ni pamoja na: Upungufu wa...

Magonjwa2 months ago

Amiba ni ugonjwa gani,Fahamu kuhusu Ugonjwa wa Amebiasis

Amiba ni ugonjwa gani Wengi wamezoea kusema hivo ila Amiba(amoeba) ni vimelea vyinavyosababisha ugonjwa, na Ugonjwa huo kitaalam ndyo hujulikana...

Magonjwa3 months ago

kuwashwa nyayo za miguu husababishwa na nini? chanzo na Tiba

kuwashwa nyayo za miguu husababishwa na nini? chanzo na Tiba kuwashwa nyayo za miguu; zipo sababu nyingi ambazo huchangia shida...

magonjwa ya wanawake4 months ago

Ujue Ugonjwa Wa PID (Pelvic Inflammatory Disease)

Ujue Ugonjwa Wa PID (Pelvic Inflammatory Disease) Pid ni ugonjwa gani? PID ni Maambukizi ya bacteria Kwenye Via vya Uzazi...

Magonjwa2 years ago

SHINGO YA MTOTO KULEGEA(CHANZO CHAKE)

SHINGO YA MTOTO KULEGEA(CHANZO CHAKE) Mabadiliko ya Watoto wengi huanza kwenye miezi mitatu ya Mwanzo wakati ambapo Shingo ya mtoto...

Magonjwa3 years ago

MAUMIVU MAKALI SEHEMU YA HAJA KUBWA

Baadhi ya watu wanachanganya tatizo la maumivu makali sehemu ya haja kubwa pamoja na tatizo la Bawasiri,japo mojawapo ya chanzo...

Magonjwa3 years ago

TATIZO LA MASIKIO KUPIGA KELELE,CHANZO NA TIBA YAKE(Tinnitus)

TATIZO LA MASIKIO KUPIGA KELELE,CHANZO NA TIBA YAKE(Tinnitus) tatizo la masikio kupiga kelele Tinnitus, ni Tatizo la masikio kupiga kelele,...

Magonjwa3 years ago

DALILI ZA UGONJWA WA GONO(KISONONO)

 UGONJWA WA KISONONO DALILI ZA UGONJWA WA GONO(KISONONO) Ugonjwa wa gonorrhea maarufu kama GONO au Kisonono ni ugonjwa wa zinaa...

Magonjwa3 years ago

TATIZO LA UKE KUJAMBA PAMOJA NA TIBA YAKE(chanzo cha tatizo hili ni nini?)

Tatizo la Uke Kujamba TATIZO LA UKE KUJAMBA PAMOJA NA TIBA YAKE(chanzo cha tatizo hili ni nini?) Moja ya vitu...

Magonjwa3 years ago

DALILI ZA FANGASI UUMENI,KORODANI PAMOJA NA MATIBABU YAKE

 FANGASI • • • • • DALILI ZA FANGASI UUMENI,KORODANI PAMOJA NA MATIBABU YAKE Mashambulizi ya Fangasi sehemu za siri...

Magonjwa3 years ago

CHANZO CHA TATIZO LA KUOTA NYAMA PUANI PAMOJA NA MATIBABU YAKE

Chanzo cha tatizo la NYAMA PUANI,Dalili zake Pamoja na Tiba yake, Soma makala hii kwa Makini ili upate Kujua kuhusu...

Magonjwa3 years ago

SABABU ZA KUVIMBA KWA MASHAVU YA UKE(TEZI LA BARTHOLIN)

KUVIMBA MASHAVU YA UKE • • • • • • Katika Makala hii tumechambua zaidi kuhusu sababu za kuvimba mashavu...

Magonjwa3 years ago

TATIZO LA MWANAUME KUOTA MATITI(gynecomastia)

TATIZO LA MWANAUME KUOTA MATITI(gynecomastia) Tatizo hili linatokea kwa Baadhi ya wanaume,na hata kupelekea Wanaume hao kuwa na Matiti kama...

MAGONJWA MBALI MBALI

Magonjwa1 day ago

Chanzo cha tatizo la NYAMA PUANI,Dalili zake Pamoja na Tiba yake

Chanzo cha tatizo la NYAMA PUANI,Dalili zake Pamoja na Tiba yake, Soma makala hii kwa Makini ili upate Kujua kuhusu...

Magonjwa2 days ago

Ugonjwa unaosababishwa na kula nyama mbichi

Ugonjwa unaosababishwa na kula nyama mbichi Madhara ya kula nyama ya ng’ombe mbichi Ni desturi ya baadhi ya watu kula...

Magonjwa1 week ago

Mkojo kuuma ni dalili ya ugonjwa gani

Mkojo kuuma ni dalili ya ugonjwa gani Mkojo kuuma au kupata maumivu wakati wa kukojoa ni hali ambayo kwa kitaalam...

Magonjwa1 week ago

Ugonjwa wa gonorrhea maarufu kama GONO au Kisonono dalili Zake

 UGONJWA WA KISONONO DALILI ZA UGONJWA WA GONO(KISONONO) Ugonjwa wa gonorrhea maarufu kama GONO au Kisonono ni ugonjwa wa zinaa...

Magonjwa2 weeks ago

Maana ya hiv negative,Soma hapa kufahamu

Maana ya hiv negative,Soma hapa kufahamu Haya ni maneno ambayo umekuwa ukiyasikia sana linapokuja swala la vipimo cha UKIMWI, je...

Magonjwa3 weeks ago

Kama ndiyo Umegunduliwa ugonjwa wa Kisukari,Soma hii itakusaidia

Kama ndiyo Umegunduliwa ugonjwa wa Kisukari,Soma hii itakusaidia. Kutana na Ilene Raymond Rush ambaye aligunduliwa Kisukari aina ya Pili(Type 2...

Magonjwa3 weeks ago

Ugonjwa unaosababishwa na konokono

Ugonjwa unaosababishwa na konokono Ugonjwa unaosababishwa na konokono unaitwa schistosomiasis, au bilharzia. Ni ugonjwa wa maambukizi unaosababishwa na minyoo wanaoitwa...

Magonjwa3 weeks ago

Ugonjwa wa Pink Eye,chanzo,dalili na Matibabu yake

Ugonjwa wa Pink Eye,chanzo,dalili na Matibabu yake. Wengi tumesikia kuhusu Red Eyes(Macho mekundu) Lakini je umewahi kusikia kuhusu Pink Eyes,?...

Magonjwa3 weeks ago

Omeprazole inatibu ugonjwa gani,Fahamu hapa

Omeprazole inatibu ugonjwa gani Omeprazole inatibu ni nini?, Hili ni swali ambalo limekuwa likiulizwa mara kwa mara na wafwatiliaji wengi...

Magonjwa4 weeks ago

Mate kujaa mdomoni ni dalili ya ugonjwa gani

Mate kujaa mdomoni ni dalili ya ugonjwa gani Mate kujaa Mdomoni,ni tatizo ambalo hutokea kwa baadhi ya watu, na zipo...