Connect with us

Other posts

Wizara ya afya ipo katika mapitio ya Sera ya Afya ya mwaka 2007

Avatar photo

Published

on

Wizara ya afya ipo katika mapitio ya Sera ya Afya ya mwaka 2007.

 Waziri Ummy Mwalimu amesema mazungumzo ya NHIF na watoa huduma za afya yanaendelea, wiki hii anatarajia kupokea ripoti ya kilichozungumzwa na mwafaka uliofikiwa.

Waziri wa Afya, Ummy Mwalimu amesema wizara ipo katika mapitio ya Sera ya Afya ya mwaka 2007 katika kuboresha sekta ya afya.

Amesema uboreshaji utaimarisha ubora wa huduma za afya, ugharamiaji huduma na udhibiti wa magonjwa yasiyoambukiza.

Amesema watatoa elimu kwa wananchi kuhusu mtindo bora wa maisha.

“Tunataka tukirudi kwenye maadhimisho ya utendaji kazi wa Rais Samia Suluhu Hassan mtupime kwenye huduma za afya, kwani tunataka zifanyike kwenye ubora uliokusudiwa, maana tunaweza kuwa na miundombinu lakini utendaji kazi na lugha zetu hazifai,” amesema.

Akizungumza leo Jumatano Machi 27, 2024 kwenye kongamano la Kurasa 365 za Mama Samia lililoandaliwa na Clouds Media, Ummy amesema sera inayoandaliwa ina dira ya kuwa na jamii yenye afya bora na ustawi, inayochangia kikamilifu katika maendeleo binafsi na ya nchi.

Amesema Serikali inalenga kuimarisha huduma za kibingwa na ubingwa bobezi ili kupunguza rufaa za wagonjwa za nje ya nchi na kuvutia wagonjwa kutoka nje.

Kwa kuzingatia dira ya Taifa ya maendeleo, mpango mkakati wa sekta hiyo amesema ni kuendelea kufanya uwekezaji kwenye huduma ya afya ili kufikia lengo la afya kwa wote.

Pia kuhakikisha kila mwananchi anakuwa katika mfumo wa bima ya afya kwa kuimarisha huduma ya kinga na tiba.

“Tatizo lililopo hapa ni ubora wa huduma kwani wanaoenda kwenye hospitali za binafsi wanatibiwa na madaktari wa Serikali lakini tatizo lililopo ni lugha inayotumika,” amesema.

Wizara itaendelea kutekeleza mikakati ya kuimarisha mifumo ya ugharimiaji kwa lengo la kuhakikisha wananchi wanapata huduma bora bila kikwazo cha fedha, ikiwemo kuanza utekelezaji wa sheria ya Bima ya Afya kwa wote.

Amezungumzia pia kuimarisha Mfuko wa Taifa ya Bima ya Afya (NHIF), akiwataka watoa huduma ya bima ya afya binafsi kuanzisha vifurushi vitakavyowasaidia wananchi.

Amesema ili kufikia malengo hayo, mazungumzo ya NHIF na watoa huduma yanaendelea na wiki hii anatarajia kupokea ripoti ya kilichozungumzwa na mwafaka uliofikiwa.

Amesema Serikali imeendelea kuimarisha huduma za afya ya uzazi, mama na mtoto ili kufikia lengo la asilimia 95 ya wanaojifungulia kwenye vituo vya afya ifikapo mwaka 2030.

Amesema idadi ya wanaojifungulia vituo vya kutolea huduma za afya imeendelea kuongezeka kutoka asilimia 63 mwaka 2021 hadi asilimia 85 mwaka 2023.

Waziri Ummy amesema watahakikisha wanapunguza vifo vya watoto kwani fedha zimetolewa kwa ajili ya ujenzi wa wodi maalumu kwa ajili ya kuhudumia watoto wachanga kuanzia umri 0 hadi siku 28.

Amesema katika kipindi cha Serikali ya awamu ya sita wameongeza vituo vya afya kutoka 8,549 mwaka 2021 hadi kufikia 9,610 Machi 2024 sawa na ongezeko la vituo 1,061.

Pia wamejenga majengo mapya, ukarabati na kukamilisha ujenzi wa hospitali mpya katika mikoa mitano, uboreshaji huo ukigharimu Sh1.02 trilioni.

“Tumekamilisha awamu ya kwanza ya ujenzi wa Hospitali ya Rufaa ya Kanda ya Kusini Mtwara, awamu ya pili ya Hospitali ya Rufaa Kanda ya Chato,” amesema Ummy.

Pia wameendeleza ujenzi wa hospitali za rufaa za mikoa ya Katavi, Njombe, Songwe, Simiyu na Geita na tayari zimeanza kutoa huduma.

Katika huduma za vipimo, amesema kwa sasa CT-Scan zinapatikana katika hospitali 27 kati ya hospitali 28 za rufaa za mikoa nchini.

Amesema kwa mwaka 2023 jumla ya wagonjwa 15,386 walipatiwa huduma za kipimo hicho.

Ili kuhakikisha wagonjwa hawakosi vitanda, amesema wameongeza idadi ya vitanda kutoka 86,131 mwaka 2021 hadi 126,209 Machi, 2024.

YOU MUST READ(IMPORTANT)

Magonjwa4 weeks ago

Maumivu chini ya kitovu ni dalili za ugonjwa gani

Maumivu chini ya kitovu ni dalili za ugonjwa gani. Watu wengi huweza kupata maumivu chini ya kitovu, lakini umewahi kujiuliza...

Magonjwa1 month ago

Kaswende ni ugonjwa gani, soma hapa kufahamu

Kaswende ni ugonjwa gani, Kaswende ni maambukizi yanayosababishwa na bakteria. Mara nyingi, huenea kupitia mawasiliano ya kingono au kwa kujamiiana....

Magonjwa2 months ago

Koo kukauka ni dalili ya ugonjwa gani

Koo kukauka ni dalili ya ugonjwa gani Koo kukauka kunaweza kusababishwa na sababu kadhaa, ikiwa ni pamoja na: Upungufu wa...

Magonjwa2 months ago

Amiba ni ugonjwa gani,Fahamu kuhusu Ugonjwa wa Amebiasis

Amiba ni ugonjwa gani Wengi wamezoea kusema hivo ila Amiba(amoeba) ni vimelea vyinavyosababisha ugonjwa, na Ugonjwa huo kitaalam ndyo hujulikana...

Magonjwa3 months ago

kuwashwa nyayo za miguu husababishwa na nini? chanzo na Tiba

kuwashwa nyayo za miguu husababishwa na nini? chanzo na Tiba kuwashwa nyayo za miguu; zipo sababu nyingi ambazo huchangia shida...

magonjwa ya wanawake4 months ago

Ujue Ugonjwa Wa PID (Pelvic Inflammatory Disease)

Ujue Ugonjwa Wa PID (Pelvic Inflammatory Disease) Pid ni ugonjwa gani? PID ni Maambukizi ya bacteria Kwenye Via vya Uzazi...

Magonjwa2 years ago

SHINGO YA MTOTO KULEGEA(CHANZO CHAKE)

SHINGO YA MTOTO KULEGEA(CHANZO CHAKE) Mabadiliko ya Watoto wengi huanza kwenye miezi mitatu ya Mwanzo wakati ambapo Shingo ya mtoto...

Magonjwa3 years ago

MAUMIVU MAKALI SEHEMU YA HAJA KUBWA

Baadhi ya watu wanachanganya tatizo la maumivu makali sehemu ya haja kubwa pamoja na tatizo la Bawasiri,japo mojawapo ya chanzo...

Magonjwa3 years ago

TATIZO LA MASIKIO KUPIGA KELELE,CHANZO NA TIBA YAKE(Tinnitus)

TATIZO LA MASIKIO KUPIGA KELELE,CHANZO NA TIBA YAKE(Tinnitus) tatizo la masikio kupiga kelele Tinnitus, ni Tatizo la masikio kupiga kelele,...

Magonjwa3 years ago

DALILI ZA UGONJWA WA GONO(KISONONO)

 UGONJWA WA KISONONO DALILI ZA UGONJWA WA GONO(KISONONO) Ugonjwa wa gonorrhea maarufu kama GONO au Kisonono ni ugonjwa wa zinaa...

Magonjwa3 years ago

TATIZO LA UKE KUJAMBA PAMOJA NA TIBA YAKE(chanzo cha tatizo hili ni nini?)

Tatizo la Uke Kujamba TATIZO LA UKE KUJAMBA PAMOJA NA TIBA YAKE(chanzo cha tatizo hili ni nini?) Moja ya vitu...

Magonjwa3 years ago

DALILI ZA FANGASI UUMENI,KORODANI PAMOJA NA MATIBABU YAKE

 FANGASI • • • • • DALILI ZA FANGASI UUMENI,KORODANI PAMOJA NA MATIBABU YAKE Mashambulizi ya Fangasi sehemu za siri...

Magonjwa3 years ago

CHANZO CHA TATIZO LA KUOTA NYAMA PUANI PAMOJA NA MATIBABU YAKE

Chanzo cha tatizo la NYAMA PUANI,Dalili zake Pamoja na Tiba yake, Soma makala hii kwa Makini ili upate Kujua kuhusu...

Magonjwa3 years ago

SABABU ZA KUVIMBA KWA MASHAVU YA UKE(TEZI LA BARTHOLIN)

KUVIMBA MASHAVU YA UKE • • • • • • Katika Makala hii tumechambua zaidi kuhusu sababu za kuvimba mashavu...

Magonjwa3 years ago

TATIZO LA MWANAUME KUOTA MATITI(gynecomastia)

TATIZO LA MWANAUME KUOTA MATITI(gynecomastia) Tatizo hili linatokea kwa Baadhi ya wanaume,na hata kupelekea Wanaume hao kuwa na Matiti kama...

MAGONJWA MBALI MBALI

Magonjwa1 day ago

Chanzo cha tatizo la NYAMA PUANI,Dalili zake Pamoja na Tiba yake

Chanzo cha tatizo la NYAMA PUANI,Dalili zake Pamoja na Tiba yake, Soma makala hii kwa Makini ili upate Kujua kuhusu...

Magonjwa2 days ago

Ugonjwa unaosababishwa na kula nyama mbichi

Ugonjwa unaosababishwa na kula nyama mbichi Madhara ya kula nyama ya ng’ombe mbichi Ni desturi ya baadhi ya watu kula...

Magonjwa1 week ago

Mkojo kuuma ni dalili ya ugonjwa gani

Mkojo kuuma ni dalili ya ugonjwa gani Mkojo kuuma au kupata maumivu wakati wa kukojoa ni hali ambayo kwa kitaalam...

Magonjwa1 week ago

Ugonjwa wa gonorrhea maarufu kama GONO au Kisonono dalili Zake

 UGONJWA WA KISONONO DALILI ZA UGONJWA WA GONO(KISONONO) Ugonjwa wa gonorrhea maarufu kama GONO au Kisonono ni ugonjwa wa zinaa...

Magonjwa2 weeks ago

Maana ya hiv negative,Soma hapa kufahamu

Maana ya hiv negative,Soma hapa kufahamu Haya ni maneno ambayo umekuwa ukiyasikia sana linapokuja swala la vipimo cha UKIMWI, je...

Magonjwa3 weeks ago

Kama ndiyo Umegunduliwa ugonjwa wa Kisukari,Soma hii itakusaidia

Kama ndiyo Umegunduliwa ugonjwa wa Kisukari,Soma hii itakusaidia. Kutana na Ilene Raymond Rush ambaye aligunduliwa Kisukari aina ya Pili(Type 2...

Magonjwa3 weeks ago

Ugonjwa unaosababishwa na konokono

Ugonjwa unaosababishwa na konokono Ugonjwa unaosababishwa na konokono unaitwa schistosomiasis, au bilharzia. Ni ugonjwa wa maambukizi unaosababishwa na minyoo wanaoitwa...

Magonjwa3 weeks ago

Ugonjwa wa Pink Eye,chanzo,dalili na Matibabu yake

Ugonjwa wa Pink Eye,chanzo,dalili na Matibabu yake. Wengi tumesikia kuhusu Red Eyes(Macho mekundu) Lakini je umewahi kusikia kuhusu Pink Eyes,?...

Magonjwa3 weeks ago

Omeprazole inatibu ugonjwa gani,Fahamu hapa

Omeprazole inatibu ugonjwa gani Omeprazole inatibu ni nini?, Hili ni swali ambalo limekuwa likiulizwa mara kwa mara na wafwatiliaji wengi...

Magonjwa4 weeks ago

Mate kujaa mdomoni ni dalili ya ugonjwa gani

Mate kujaa mdomoni ni dalili ya ugonjwa gani Mate kujaa Mdomoni,ni tatizo ambalo hutokea kwa baadhi ya watu, na zipo...