Connect with us

Afya News

UK yaidhinisha wagonjwa mahututi kupewa Msaada wa kujitoa Uhai

Doctor Ombeni

Published

on

103 Views
0 Comments

Wabunge wa Uingereza wameuidhinisha muswada wa sheria ya kuwaruhusu wagonjwa mahututi na ambao ni watu wazima kupewa msaada wa kumaliza uhai wao.

Baada ya miezi kadhaa ya majadiliano makali, muswada huo umefanikiwa kuvuuka kihunzi cha kwanza hivi leo kabla ya kuidhinishwa rasmi kuwa sheria miezi michache inayokuja.

Mnamo mwezi Novemba mwaka uliopita wabunge walio wengi waliunga mkono pendekezo la kuandaliwa muswada wa sheria ya kuruhusu huduma ya msaada wa kifo kwa kura 330, huku waliopinga wakipata kura 275.

Chini ya mapendekezo ya muswada huo, wagonjwa wenye akili timamu walio na umri kuanzia miaka 18 lakini walio kwenye hali mahututi na wanaokadiriwa kuwa na muda usiozidi miezi sita ya kuishi wataweza kuomba huduma ya kukatisha uhai wao katika miji ya England na Wales. Na ili kutimiza hilo, mgonjwa mahututi atatakiwa kuwa na uwezo wa kumeza mwenyewe dawa zitakazokatisha maisha yake.

103 Views
0 Comments

Medical Disclaimer

Medical Disclaimer: Taarifa kwenye makala hii ni kwa ajili ya Updates au elimu ya jumla tu na haichukui nafasi ya uchunguzi,Tiba au ushauri wa kitaalamu wa daktari kwa mtu mmoja mmoja. Kama una dharura au tatizo lolote la kiafya, tafadhali Wasiliana na Daktari moja kwa moja hapa.

Je, unahitaji ushauri binafsi au matibabu ya tatizo lolote?

💬 Wasiliana na Daktari Hapa

🏆Certified| Doctor from Afyaclass. Maudhui haya ni kwa ajili ya elimu ya jumla ya afya. Unapohitaji ushauri wa kina, uchunguzi, au matibabu binafsi, wasiliana na daktari kupitia namba:+255758286584.Pia tufwatilie kupitia: @Facebook | @Instagram | @YouTube.

Click to comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Guest Avatar

LATEST POSTS

magonjwa ya wanawake15 hours ago

Mabadiliko ya Hedhi (CHANZO, DALILI NA TIBA)

Mabadiliko ya Hedhi (CHANZO, DALILI NA TIBA)  Mabadiliko ya Hedhi ni hali ambapo mzunguko wa hedhi hauwi kwa mpangilio wake...

EVENTS19 hours ago

Japan yafikisha Rekodi ya Watu Zaidi ya 100,000 Wenye Miaka 100 au Zaidi

Japan imeweka rekodi mpya ya idadi ya watu wenye umri wa miaka 100 au zaidi, huku idadi yao ikifikia zaidi...

Utafiti23 hours ago

Saratani yaathiri zaidi watu wa UMRI WA kufanya kazi AFRIKA

Utafiti mpya umeonyesha kuwa saratani inaendelea kuwa changamoto kubwa ya kiafya barani Afrika, huku watu walio katika umri wa kufanya...

Ebola1 day ago

Ebola yaendelea Kuua Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo: Vifo Vyafikia 3,605

Mlipuko wa ugonjwa wa Ebola unaendelea kuwa changamoto kubwa kiafya katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DR Congo), huku maelfu...

Uzazi/Ujauzito3 days ago

Sababu za mapacha wengi kuwa kwenye hatari ya kupoteza maisha

Mimba ya mapacha inaweza kuendelea vizuri na watoto wakazaliwa wakiwa salama. Hata hivyo, ikilinganishwa na mimba ya mtoto mmoja, mimba...

mazingira1 day ago

Mafuriko Nepal: Takribani Watu 1,400 Wafariki, Maelfu Hawajulikani Walipo

Nepal imekumbwa na moja ya majanga makubwa ya mafuriko na maporomoko ya ardhi baada ya kuporomoka kwa sehemu ya mlima...

Afya News2 days ago

Mwanaume Akutwa na Sindano Nyingi Ndani ya Mwili, Moja Ikiwa Karibu na Moyo

Tukio la Kushangaza Limeripotiwa nchini China baada ya madaktari kumgundua mwanaume mwenye umri wa miaka 35 akiwa na vitu vingi...

magonjwa ya wanaume3 days ago

Mwanaume kuwa na korodani moja

Mwanaume Kuwa na Korodani Moja: Sababu, Madhara na Uwezo wa Kupata Watoto Hali hii ya Mwanaume kuwa na Korodani moja...

CHANJO3 days ago

Burundi Yazindua Chanjo ya HPV kwa Wasichana wa Miaka 9 hadi 14

Burundi imeanza kutoa chanjo dhidi ya Human Papillomavirus (HPV) kwa wasichana wenye umri wa miaka 9 hadi 14, ikiwa ni...

magonjwa ya wanawake3 months ago

Madhara ya p2 kwa mwanamke

Madhara ya p2 kwa mwanamke Fahamu P2 ni dawa ya dharura yaani kwa kitaalam hujulikana kama emergency contraceptive pill, dawa hii inazuia...

104
0