Connect with us

Magonjwa

Amoxicillin inatibu ugonjwa gani,Soma hapa kufahamu

Avatar photo

Published

on

Amoxicillin inatibu ugonjwa gani

Katika makala hii tumechambua baadhi ya magonjwa ambayo hutibiwa kwa kutumia dawa aina hii ya Amoxicillin

1. Ijue dawa ya amoxicillin inatibu nini

Amoxicillin ni dawa ambayo ipo kwenye kundi la penicillin antibiotic. Dawa hii inaweza kutumika kutibu maambukizi mbali mbali ya bacteria(bacterial infections),

Maambukizi hayo ni pamoja na; Maambukizi ya kifua/chest infections ikiwemo ugonjwa wa pneumonia, majibu kwenye meno(dental abscesses).

Dawa hii huweza kutumika pamoja na aina nyingine za antibiotics kutibu magonjwa mengine mengi.

Dawa ya Amoxicillin huweza kutumika kutibu maambukizi ya Sikio pamoja na maambukizi ya kifua kwa Watoto, Hiyo ni kwa Uchache tu ila;

Amoxicillin hutumiwa kutibu aina nyingi za maambukizi ya bakteria. Dawa hii ni antibiotic,aina ya penicillin. Hufanya kazi kwa kuzuia ukuaji wa bakteria, Antibiotic hii hutibu maambukizi ya bakteria pekee.

Haitafanya kazi kwa maambukizi ya virusi (haiwezi kutibu magonjwa yanayotokana na maambukizi ya Virusi).

Kutumia antibiotiki yoyote wakati haihitajiki kunaweza kusababisha isifanye kazi kwa maambukizi ya siku zijazo.Amoxicillin pia hutumiwa pamoja na dawa nyingine kutibu vidonda vya tumbo/utumbo vinavyosababishwa na bakteria H. pylori na kuzuia vidonda kurudi.

Dawa ya Amoxicillin huja kwa mfumo wa;

  • vidonge(capsules),
  • Maji au syrup,
  • pia huweza kutolewa kama Sindano.

2. Mambo muhimu ya kufahamu kuhusu dawa ya amoxicillin

– Kwa asilimia kubwa,maudhi madogo madogo au Side effects ya dawa hii ya amoxicillin ni kuhisi kichefuchefu pamoja na kuharisha

– Aina ya amoxicillin inayokuja kwa mfumo wa maji au syrup huweza kutia doa kwenye meno yako(stain your teeth).

Uzuri ni kwamba madoa haya hayadumu, huweza kuondolewa mara moja kwa kupiga tu mswaki.

– Usitumie dawa hii pasipo kupewa maelekezo ya kitaalam.

3. Nani anaruhusiwa kutumia na nani haruhusiwi kutumia dawa ya amoxicillin

Dawa hii ya amoxicillin huweza kutumiwa na Watu wazima pamoja na watoto, ingawa sio salama kwako ikiwa;

• Una mzio au unapata allergic reaction unapotumia dawa hii ya amoxicillin au dawa zingine zote jamii ya penicillin

• Usitumie amoxicillin ikiwa una matatizo ya Ini au Figo,

• Ndyo umepewa saivi chanjo yoyote, au umepewa hivi karibuni chanjo yoyote.n.k

4. Matumizi ya dawa ya amoxicillin(Dosage)

Kiwango cha kawaida cha vidonge vya amoxicillin(capsules) ni 250mg hadi 500mg, Na huweza kutumika mara 3 kwa siku. Lakini Kiwango hiki kinaweza kupunguzwa zaidi kwa watoto.

Syrup/Kioevu au kimiminika cha Amoxicillin kinapatikana katika kipimo cha 125mg na 250mg.

Muhimu:
Endelea kutumia dawa hii hadi ukamilishe dozi hiyo, hata kama unahisi nafuu. Ukiacha matibabu yako mapema, maambukizi yanaweza kurudi tena.

Jinsi ya kutumia:
Ikiwa unatumia mara 3 kwa siku, hii inaweza kuwa asubuhi, katikati ya mchana na wakati wa kulala.

Kumbuka; Kutwa mara 3-Ni kila baada ya masaa 8. Soma vizuri hapa Saa za kumeza dawa

Unaweza kutumia dawa ya amoxicillin kabla au baada ya chakula,Meza vidonge vya amoxicillin vikiwa vizima kwa kunywa maji. Usivitafune au kuvivunja.

Amoxicillin inapatikana kama Syrup kwa watoto na watu ambao wanaona vigumu kumeza vidonge.

Ikiwa wewe au mtoto wako mnatumia amoksilini syrup, kwa kawaida itatengenezewa kwa ajili yako. Dawa itakuja na kizibo cha plastiki au kijiko ili kukusaidia kupima kipimo sahihi. Ikiwa haina, muulize mfamasia wako. Usitumie kijiko cha jikoni kwani hakitapima kiwango sahihi.

Ushauri|Tiba|CheckIn 🩺🌡️ContactUs; +255758286584 or INBOX📩. For More Healthtips everyday Link In https://afyaclass.com Also Follow us on Instagram @afyaclass

YOU MUST READ(IMPORTANT)

Magonjwa4 weeks ago

Maumivu chini ya kitovu ni dalili za ugonjwa gani

Maumivu chini ya kitovu ni dalili za ugonjwa gani. Watu wengi huweza kupata maumivu chini ya kitovu, lakini umewahi kujiuliza...

Magonjwa1 month ago

Kaswende ni ugonjwa gani, soma hapa kufahamu

Kaswende ni ugonjwa gani, Kaswende ni maambukizi yanayosababishwa na bakteria. Mara nyingi, huenea kupitia mawasiliano ya kingono au kwa kujamiiana....

Magonjwa2 months ago

Koo kukauka ni dalili ya ugonjwa gani

Koo kukauka ni dalili ya ugonjwa gani Koo kukauka kunaweza kusababishwa na sababu kadhaa, ikiwa ni pamoja na: Upungufu wa...

Magonjwa2 months ago

Amiba ni ugonjwa gani,Fahamu kuhusu Ugonjwa wa Amebiasis

Amiba ni ugonjwa gani Wengi wamezoea kusema hivo ila Amiba(amoeba) ni vimelea vyinavyosababisha ugonjwa, na Ugonjwa huo kitaalam ndyo hujulikana...

Magonjwa3 months ago

kuwashwa nyayo za miguu husababishwa na nini? chanzo na Tiba

kuwashwa nyayo za miguu husababishwa na nini? chanzo na Tiba kuwashwa nyayo za miguu; zipo sababu nyingi ambazo huchangia shida...

magonjwa ya wanawake4 months ago

Ujue Ugonjwa Wa PID (Pelvic Inflammatory Disease)

Ujue Ugonjwa Wa PID (Pelvic Inflammatory Disease) Pid ni ugonjwa gani? PID ni Maambukizi ya bacteria Kwenye Via vya Uzazi...

Magonjwa2 years ago

SHINGO YA MTOTO KULEGEA(CHANZO CHAKE)

SHINGO YA MTOTO KULEGEA(CHANZO CHAKE) Mabadiliko ya Watoto wengi huanza kwenye miezi mitatu ya Mwanzo wakati ambapo Shingo ya mtoto...

Magonjwa3 years ago

MAUMIVU MAKALI SEHEMU YA HAJA KUBWA

Baadhi ya watu wanachanganya tatizo la maumivu makali sehemu ya haja kubwa pamoja na tatizo la Bawasiri,japo mojawapo ya chanzo...

Magonjwa3 years ago

TATIZO LA MASIKIO KUPIGA KELELE,CHANZO NA TIBA YAKE(Tinnitus)

TATIZO LA MASIKIO KUPIGA KELELE,CHANZO NA TIBA YAKE(Tinnitus) tatizo la masikio kupiga kelele Tinnitus, ni Tatizo la masikio kupiga kelele,...

Magonjwa3 years ago

DALILI ZA UGONJWA WA GONO(KISONONO)

 UGONJWA WA KISONONO DALILI ZA UGONJWA WA GONO(KISONONO) Ugonjwa wa gonorrhea maarufu kama GONO au Kisonono ni ugonjwa wa zinaa...

Magonjwa3 years ago

TATIZO LA UKE KUJAMBA PAMOJA NA TIBA YAKE(chanzo cha tatizo hili ni nini?)

Tatizo la Uke Kujamba TATIZO LA UKE KUJAMBA PAMOJA NA TIBA YAKE(chanzo cha tatizo hili ni nini?) Moja ya vitu...

Magonjwa3 years ago

DALILI ZA FANGASI UUMENI,KORODANI PAMOJA NA MATIBABU YAKE

 FANGASI • • • • • DALILI ZA FANGASI UUMENI,KORODANI PAMOJA NA MATIBABU YAKE Mashambulizi ya Fangasi sehemu za siri...

Magonjwa3 years ago

CHANZO CHA TATIZO LA KUOTA NYAMA PUANI PAMOJA NA MATIBABU YAKE

Chanzo cha tatizo la NYAMA PUANI,Dalili zake Pamoja na Tiba yake, Soma makala hii kwa Makini ili upate Kujua kuhusu...

Magonjwa3 years ago

SABABU ZA KUVIMBA KWA MASHAVU YA UKE(TEZI LA BARTHOLIN)

KUVIMBA MASHAVU YA UKE • • • • • • Katika Makala hii tumechambua zaidi kuhusu sababu za kuvimba mashavu...

Magonjwa3 years ago

TATIZO LA MWANAUME KUOTA MATITI(gynecomastia)

TATIZO LA MWANAUME KUOTA MATITI(gynecomastia) Tatizo hili linatokea kwa Baadhi ya wanaume,na hata kupelekea Wanaume hao kuwa na Matiti kama...

MAGONJWA MBALI MBALI

Magonjwa1 day ago

Chanzo cha tatizo la NYAMA PUANI,Dalili zake Pamoja na Tiba yake

Chanzo cha tatizo la NYAMA PUANI,Dalili zake Pamoja na Tiba yake, Soma makala hii kwa Makini ili upate Kujua kuhusu...

Magonjwa2 days ago

Ugonjwa unaosababishwa na kula nyama mbichi

Ugonjwa unaosababishwa na kula nyama mbichi Madhara ya kula nyama ya ng’ombe mbichi Ni desturi ya baadhi ya watu kula...

Magonjwa1 week ago

Mkojo kuuma ni dalili ya ugonjwa gani

Mkojo kuuma ni dalili ya ugonjwa gani Mkojo kuuma au kupata maumivu wakati wa kukojoa ni hali ambayo kwa kitaalam...

Magonjwa1 week ago

Ugonjwa wa gonorrhea maarufu kama GONO au Kisonono dalili Zake

 UGONJWA WA KISONONO DALILI ZA UGONJWA WA GONO(KISONONO) Ugonjwa wa gonorrhea maarufu kama GONO au Kisonono ni ugonjwa wa zinaa...

Magonjwa2 weeks ago

Maana ya hiv negative,Soma hapa kufahamu

Maana ya hiv negative,Soma hapa kufahamu Haya ni maneno ambayo umekuwa ukiyasikia sana linapokuja swala la vipimo cha UKIMWI, je...

Magonjwa3 weeks ago

Kama ndiyo Umegunduliwa ugonjwa wa Kisukari,Soma hii itakusaidia

Kama ndiyo Umegunduliwa ugonjwa wa Kisukari,Soma hii itakusaidia. Kutana na Ilene Raymond Rush ambaye aligunduliwa Kisukari aina ya Pili(Type 2...

Magonjwa3 weeks ago

Ugonjwa unaosababishwa na konokono

Ugonjwa unaosababishwa na konokono Ugonjwa unaosababishwa na konokono unaitwa schistosomiasis, au bilharzia. Ni ugonjwa wa maambukizi unaosababishwa na minyoo wanaoitwa...

Magonjwa3 weeks ago

Ugonjwa wa Pink Eye,chanzo,dalili na Matibabu yake

Ugonjwa wa Pink Eye,chanzo,dalili na Matibabu yake. Wengi tumesikia kuhusu Red Eyes(Macho mekundu) Lakini je umewahi kusikia kuhusu Pink Eyes,?...

Magonjwa3 weeks ago

Omeprazole inatibu ugonjwa gani,Fahamu hapa

Omeprazole inatibu ugonjwa gani Omeprazole inatibu ni nini?, Hili ni swali ambalo limekuwa likiulizwa mara kwa mara na wafwatiliaji wengi...

Magonjwa4 weeks ago

Mate kujaa mdomoni ni dalili ya ugonjwa gani

Mate kujaa mdomoni ni dalili ya ugonjwa gani Mate kujaa Mdomoni,ni tatizo ambalo hutokea kwa baadhi ya watu, na zipo...