Connect with us

Uzazi/Ujauzito

Hatari ya Upungufu wa damu kwa mama Mjamzito

Avatar photo

Published

on

Hatari ya Upungufu wa damu kwa mama Mjamzito

Kwa mujibu wa Shirika la Afya Duniani WHO, hivi sasa takriban asilimia 30% ya watu duniani wanatatizo la upungufu wa damu(anemia), hasa anemia inayotokana na upungufu wa madini ya chuma yaani Iron deficiency anemia. Wanawake na watoto ndio wagonjwa wenye shida hii zaidi ya anemia.

Upungufu wa damu kwa wanawake wajawazito ni tatizo linalogusa afya ya umma katika nchi nyingi. Utafiti wa Taasisi ya Kitaifa ya Lishe ulionyesha kuwa asilimia 36.8% ya wanawake wajawazito nchini Vietnam wana upungufu wa damu wakati wa ujauzito.

Anemia kwa wanawake wajawazito mara nyingi hujidhihirisha kwa dalili kama vile;

  • uchovu na udhaifu wa mwili,
  • upotezaji wa nywele,
  • kucha kubadilika rangi
  • Rangi kubadilika kwenye utando wa mucous mdomoni,
  • Lips za midomo kuwa nyeupe zaidi,macho, viganja vya mikono n.k
  • Mapigo ya moyo kwenda mbio, Shida ya kupumua, n.k

#SOMA Zaidi kuhusu dalili za Upungufu wa damu mwilini

Wanawake wajawazito huchukuliwa kuwa na tatizo la upungufu wa damu au anemia wakati wa ujauzito ikiwa wana kiwango cha hemoglobin (Hb) chini ya 11g/dl.

Kuna sababu nyingi zinazoweza kusababisha upungufu wa damu mwilini lakini kinachojulikana zaidi kwa wajawazito ni upungufu wa madini ya Chuma.

>>Soma hapa kufahamu Damu imetengezwa na nini?

Hatari ya Upungufu wa damu kwa mama Mjamzito

“Athari za upungufu wa damu kutokana na madini chuma Katika kipindi chote cha ujauzito, Hali hii huathiri vibaya ustawi wa mama na kiumbe tumboni, na inahusishwa na kuongezeka kwa magonjwa na kifo cha mtoto aliyetumboni.

Akina mama walioathiriwa mara kwa mara na shida hii ya Upungufu wa damu hupata matatizo ya kupumua, kuzirai, uchovu, mapigo ya moyo kwenda mbio, na matatizo ya usingizi.

Pia wana hatari kubwa ya kupata maambukizi ya kabla ya kuzaa, tatizo la kifafa cha mimba pre-eclampsia, na kutokwa na damu.

Athari Zaidi za Upungufu wa damu kwa Mjamzito ni pamoja na;

Matokeo mabaya ya uzazi yanayojumuisha kuchelewa kwa ukuaji wa mtoto aliyetumboni, Mtoto kuzaliwa kabla ya wakati, Mtoto kuzaliwa na uzito mdogo, Na vyote hivi vina hatari kubwa ya kusababisha vifo kwa Watoto, hasa katika ulimwengu unaoendelea.

(1) Madhara yanayoweza kujitokeza kwa Mama mjamzito

  • Kuharibika kwa mimba kwa urahisi,
  • Kupata tatizo la placenta previa,
  • kupata tatizo la  placenta abruption
  • shinikizo la damu wakati wa ujauzito,
  • preeclampsia,
  • kupasuka mapema kwa chupa ya Uzazi,
  • kutokwa na damu nyingi baada ya kuzaa,
  • maambukizi ya baada ya kujifungua.

(2) Madhara yanayoweza kujitokeza kwa Mtoto

– Mtoto kuzaliwa na Uzito mdogo sana

– kuzaliwa kabla ya wakati,

– Watoto wanaozaliwa na mama walio na upungufu wa damu wakati wa ujauzito pia huwa na upungufu wa damu, uzito mdogo, kuzaliwa kabla ya wakati,hatari ya kuongezeka kwa magonjwa ya watoto wachanga kuliko kawaida.

Anemia ya upungufu wa madini ya chuma kwa watoto wachanga inaweza kuwa na athari za muda mrefu katika ukuaji wa ubongo na matokeo yake yanaweza kudhoofisha uwezo wa mtoto kujifunza kutokana na kasoro za malezi ya myelin kutokana na upungufu huo.

Watoto wa akina mama walio na anemia ya ujauzito katika ujauzito wa mapema wana hatari kubwa ya kupata ugonjwa wa moyo na mishipa ya damu kuliko watoto wengine hadi utu uzima.

Kwa hiyo, madaktari wamezingatia upungufu wa Damu kutokana na madini chuma(Iron deficiency anemia) wakati wa ujauzito kama tishio la uzazi.

KWA USHAURI ZAIDI,ELIMU  AU TIBA TUWASILIANE KWA NAMBA +255758286584.

Rejea Link;

• Mayoclinic

•https://www.ncbi.nlm.nih.gov/pmc/articles/PMC4375689/#:~:text=Throughout%20pregnancy%2C%20iron%20deficiency%20anemia,%2C%20palpitations%2C%20and%20sleep%20difficulties

Ushauri|Tiba|CheckIn 🩺🌡️ContactUs; +255758286584 or INBOX📩. For More Healthtips everyday Link In https://afyaclass.com Also Follow us on Instagram @afyaclass

YOU MUST READ(IMPORTANT)

Magonjwa4 weeks ago

Maumivu chini ya kitovu ni dalili za ugonjwa gani

Maumivu chini ya kitovu ni dalili za ugonjwa gani. Watu wengi huweza kupata maumivu chini ya kitovu, lakini umewahi kujiuliza...

Magonjwa1 month ago

Kaswende ni ugonjwa gani, soma hapa kufahamu

Kaswende ni ugonjwa gani, Kaswende ni maambukizi yanayosababishwa na bakteria. Mara nyingi, huenea kupitia mawasiliano ya kingono au kwa kujamiiana....

Magonjwa2 months ago

Koo kukauka ni dalili ya ugonjwa gani

Koo kukauka ni dalili ya ugonjwa gani Koo kukauka kunaweza kusababishwa na sababu kadhaa, ikiwa ni pamoja na: Upungufu wa...

Magonjwa2 months ago

Amiba ni ugonjwa gani,Fahamu kuhusu Ugonjwa wa Amebiasis

Amiba ni ugonjwa gani Wengi wamezoea kusema hivo ila Amiba(amoeba) ni vimelea vyinavyosababisha ugonjwa, na Ugonjwa huo kitaalam ndyo hujulikana...

Magonjwa3 months ago

kuwashwa nyayo za miguu husababishwa na nini? chanzo na Tiba

kuwashwa nyayo za miguu husababishwa na nini? chanzo na Tiba kuwashwa nyayo za miguu; zipo sababu nyingi ambazo huchangia shida...

magonjwa ya wanawake4 months ago

Ujue Ugonjwa Wa PID (Pelvic Inflammatory Disease)

Ujue Ugonjwa Wa PID (Pelvic Inflammatory Disease) Pid ni ugonjwa gani? PID ni Maambukizi ya bacteria Kwenye Via vya Uzazi...

Magonjwa2 years ago

SHINGO YA MTOTO KULEGEA(CHANZO CHAKE)

SHINGO YA MTOTO KULEGEA(CHANZO CHAKE) Mabadiliko ya Watoto wengi huanza kwenye miezi mitatu ya Mwanzo wakati ambapo Shingo ya mtoto...

Magonjwa3 years ago

MAUMIVU MAKALI SEHEMU YA HAJA KUBWA

Baadhi ya watu wanachanganya tatizo la maumivu makali sehemu ya haja kubwa pamoja na tatizo la Bawasiri,japo mojawapo ya chanzo...

Magonjwa3 years ago

TATIZO LA MASIKIO KUPIGA KELELE,CHANZO NA TIBA YAKE(Tinnitus)

TATIZO LA MASIKIO KUPIGA KELELE,CHANZO NA TIBA YAKE(Tinnitus) tatizo la masikio kupiga kelele Tinnitus, ni Tatizo la masikio kupiga kelele,...

Magonjwa3 years ago

DALILI ZA UGONJWA WA GONO(KISONONO)

 UGONJWA WA KISONONO DALILI ZA UGONJWA WA GONO(KISONONO) Ugonjwa wa gonorrhea maarufu kama GONO au Kisonono ni ugonjwa wa zinaa...

Magonjwa3 years ago

TATIZO LA UKE KUJAMBA PAMOJA NA TIBA YAKE(chanzo cha tatizo hili ni nini?)

Tatizo la Uke Kujamba TATIZO LA UKE KUJAMBA PAMOJA NA TIBA YAKE(chanzo cha tatizo hili ni nini?) Moja ya vitu...

Magonjwa3 years ago

DALILI ZA FANGASI UUMENI,KORODANI PAMOJA NA MATIBABU YAKE

 FANGASI • • • • • DALILI ZA FANGASI UUMENI,KORODANI PAMOJA NA MATIBABU YAKE Mashambulizi ya Fangasi sehemu za siri...

Magonjwa3 years ago

CHANZO CHA TATIZO LA KUOTA NYAMA PUANI PAMOJA NA MATIBABU YAKE

Chanzo cha tatizo la NYAMA PUANI,Dalili zake Pamoja na Tiba yake, Soma makala hii kwa Makini ili upate Kujua kuhusu...

Magonjwa3 years ago

SABABU ZA KUVIMBA KWA MASHAVU YA UKE(TEZI LA BARTHOLIN)

KUVIMBA MASHAVU YA UKE • • • • • • Katika Makala hii tumechambua zaidi kuhusu sababu za kuvimba mashavu...

Magonjwa3 years ago

TATIZO LA MWANAUME KUOTA MATITI(gynecomastia)

TATIZO LA MWANAUME KUOTA MATITI(gynecomastia) Tatizo hili linatokea kwa Baadhi ya wanaume,na hata kupelekea Wanaume hao kuwa na Matiti kama...

MAGONJWA MBALI MBALI

Magonjwa1 day ago

Chanzo cha tatizo la NYAMA PUANI,Dalili zake Pamoja na Tiba yake

Chanzo cha tatizo la NYAMA PUANI,Dalili zake Pamoja na Tiba yake, Soma makala hii kwa Makini ili upate Kujua kuhusu...

Magonjwa2 days ago

Ugonjwa unaosababishwa na kula nyama mbichi

Ugonjwa unaosababishwa na kula nyama mbichi Madhara ya kula nyama ya ng’ombe mbichi Ni desturi ya baadhi ya watu kula...

Magonjwa1 week ago

Mkojo kuuma ni dalili ya ugonjwa gani

Mkojo kuuma ni dalili ya ugonjwa gani Mkojo kuuma au kupata maumivu wakati wa kukojoa ni hali ambayo kwa kitaalam...

Magonjwa1 week ago

Ugonjwa wa gonorrhea maarufu kama GONO au Kisonono dalili Zake

 UGONJWA WA KISONONO DALILI ZA UGONJWA WA GONO(KISONONO) Ugonjwa wa gonorrhea maarufu kama GONO au Kisonono ni ugonjwa wa zinaa...

Magonjwa2 weeks ago

Maana ya hiv negative,Soma hapa kufahamu

Maana ya hiv negative,Soma hapa kufahamu Haya ni maneno ambayo umekuwa ukiyasikia sana linapokuja swala la vipimo cha UKIMWI, je...

Magonjwa3 weeks ago

Kama ndiyo Umegunduliwa ugonjwa wa Kisukari,Soma hii itakusaidia

Kama ndiyo Umegunduliwa ugonjwa wa Kisukari,Soma hii itakusaidia. Kutana na Ilene Raymond Rush ambaye aligunduliwa Kisukari aina ya Pili(Type 2...

Magonjwa3 weeks ago

Ugonjwa unaosababishwa na konokono

Ugonjwa unaosababishwa na konokono Ugonjwa unaosababishwa na konokono unaitwa schistosomiasis, au bilharzia. Ni ugonjwa wa maambukizi unaosababishwa na minyoo wanaoitwa...

Magonjwa3 weeks ago

Ugonjwa wa Pink Eye,chanzo,dalili na Matibabu yake

Ugonjwa wa Pink Eye,chanzo,dalili na Matibabu yake. Wengi tumesikia kuhusu Red Eyes(Macho mekundu) Lakini je umewahi kusikia kuhusu Pink Eyes,?...

Magonjwa3 weeks ago

Omeprazole inatibu ugonjwa gani,Fahamu hapa

Omeprazole inatibu ugonjwa gani Omeprazole inatibu ni nini?, Hili ni swali ambalo limekuwa likiulizwa mara kwa mara na wafwatiliaji wengi...

Magonjwa4 weeks ago

Mate kujaa mdomoni ni dalili ya ugonjwa gani

Mate kujaa mdomoni ni dalili ya ugonjwa gani Mate kujaa Mdomoni,ni tatizo ambalo hutokea kwa baadhi ya watu, na zipo...