Connect with us

Uzazi/Ujauzito

SAYANA PRESS ni nini? Je,ni Njia mpya ya Uzazi wa mpango?

Avatar photo

Published

on

SAYANA PRESS ni nini? Je,ni Njia mpya ya Uzazi wa mpango?

SAYANA PRESS ni nini?

Hii ni njia mpya ya Uzazi wa mpango, njia hii huzuia kupata ujauzito kwa muda mrefu,

na kwa mujibu wa campuni ya utengenezaji Pfizer” wanasema;

Njia hii ya muda mrefu itatumika endapo wewe pamoja na Wataalam wa afya wameona inafaa zaidi kwako kutumia, hivo ni muhimu kupata Ushauri wa kutosha na Elimu kabla ya matumizi yake.

Na ikiwa una upango wa Kutumia SAYANA PRESS kwa muda wa Zaidi ya Miaka 2 wewe pamoja na Wataalam wa afya lazima mjadili Faida na Hasara zake kwa kina kabla ya kutumia.

SAYANA PRESS imetengenezwa na nini?

Ingredient kubwa ndani ya SAYANA PRESS ni Medroxyprogesterone acetate(MPA) ambapo inafanana na hormone asilia mwilini ya Progesterone ila sio sawa.

SAYANA PRESS inafanyaje Kazi?

SAYANA PRESS inafanya kazi kwa kuzuia mayai yasikomae na kutolewa kwenye Ovaries wakati wa Mzunguko wako wa Hedhi,

Hivo kama mayai hayatatolewa au hakuna Ovulation, basi ni dhahiri kwamba hakuna Ujauzito Pia, maana mbegu za kiume haziwezi kukutana na mayai.

Kwa mujibu wa nhs.uk wanasema;

SAYANA PRESS ni mfumo mpya wa Depo-Provera(njia ya Sindano), na inafanana kabsa na Depo-provera jinsi inafanya kazi pamoja na matokeo yake mwilini.

Haya ni maneno yao;

“Sayana Press is a new form of Depo-Provera and is available in some clinics.

It’s very similar to Depo-Provera in the way it works and the effects it can have on your body”.

Je,Kwa hapa Tanzania SAYANA PRESS imefika?

Haya ni maelezo ya Dkt.Mollel Bungeni;

Swali&Majibu; Sayana Press ni njia ya kuzuia kupata ujauzito kwa muda mrefu, hivyo matumizi ya kuzuia mimba kwa Sayana Press na P2 ni tofauti.

Dkt. Mollel amesema Sayana Press imesajiliwa na TMDA na inapatikana kwenye vituo binafsi vya kutolea huduma za afya kwa Wateja wanaohitaji.

Watu ambao hawaruhusiwi kutumia SAYANA PRESS

Huruhusiwi kabsa Kutumia SAYANA PRESS Kama;

  • Una Mzio au ALLERGY na Ingredient za Medroxyprogesterone acetate(MPA) au Ingredients nyingine zilizotajwa ndani ya SAYANA PRESS
  • Ikiwa unafikiri wewe ni Mjamzito
  • Kama una tatizo la Kuvuja damu Ukeni ambapo hujui chanzo chake ni nini
  • Kama una magonjwa ya Ini(LIVER DISEASES)
  • Ikiwa una Saratani ya matiti au Viungo vingine vya Uzazi(Sex organs)
  • Una tatizo la Blood clots ambapo ni matokeo ya tatizo la deep vein thrombosis n.k
  • Au kuwa na tatizo lolote linalohusu mzunguko wa damu
  • Kama una matatizo ya mifupa kama vile mifupa kudhoofika,kukosa nguvu,kuwa mywembamba n.k
  • Kama una ugonjwa wowote unaoathiri mishipa ya damu ndani ya Ubongo

Tahadhari dhidi ya Matumizi ya SAYANA PRESS

– Hakikisha umefanyiwa uchunguzi wa kutosha kabla ya kuanza kutumia SAYANA PRESS

-ZUNGUZA NA DAKTARI WAKO AU WATAALAM WA AFYA Ikiwa una hali kama hizi;

• Una tatizo la maumivu makali ya kichwa au kipandauso(migraine headache)

• Una ugonjwa wa kisukari au historia ya ugonjwa huu kwenye Familia yako

• Maumivu makali ya miguu, miguu kuvimba n.k

• Matatizo ya Mifupa

• Matatizo kwenye damu,ikiwemo damu kugandana, blood clots n.k

• Kuwa na magonjwa ya Moyo

• Kuwa na magonjwa ya Ini

• Una matatizo mbali mbali ya hedhi

• Una tatizo la kiharusi(stroke)

• Una ugonjwa wa Presha, pamoja na matatizo mbali mbali kwenye mzunguko wa damu

• Una ugonjwa wa Pumu,Asthma

• Una Saratani ya Matiti au Saratani Zingine

• Una ugonjwa wa Kifafa n.k

#PICHA: Hii ni pdf documentation kuhusu Njia hii ya Uzazi wa Mpango(SAYANA PRESS)

YOU MUST READ(IMPORTANT)

Magonjwa4 weeks ago

Maumivu chini ya kitovu ni dalili za ugonjwa gani

Maumivu chini ya kitovu ni dalili za ugonjwa gani. Watu wengi huweza kupata maumivu chini ya kitovu, lakini umewahi kujiuliza...

Magonjwa1 month ago

Kaswende ni ugonjwa gani, soma hapa kufahamu

Kaswende ni ugonjwa gani, Kaswende ni maambukizi yanayosababishwa na bakteria. Mara nyingi, huenea kupitia mawasiliano ya kingono au kwa kujamiiana....

Magonjwa2 months ago

Koo kukauka ni dalili ya ugonjwa gani

Koo kukauka ni dalili ya ugonjwa gani Koo kukauka kunaweza kusababishwa na sababu kadhaa, ikiwa ni pamoja na: Upungufu wa...

Magonjwa2 months ago

Amiba ni ugonjwa gani,Fahamu kuhusu Ugonjwa wa Amebiasis

Amiba ni ugonjwa gani Wengi wamezoea kusema hivo ila Amiba(amoeba) ni vimelea vyinavyosababisha ugonjwa, na Ugonjwa huo kitaalam ndyo hujulikana...

Magonjwa3 months ago

kuwashwa nyayo za miguu husababishwa na nini? chanzo na Tiba

kuwashwa nyayo za miguu husababishwa na nini? chanzo na Tiba kuwashwa nyayo za miguu; zipo sababu nyingi ambazo huchangia shida...

magonjwa ya wanawake4 months ago

Ujue Ugonjwa Wa PID (Pelvic Inflammatory Disease)

Ujue Ugonjwa Wa PID (Pelvic Inflammatory Disease) Pid ni ugonjwa gani? PID ni Maambukizi ya bacteria Kwenye Via vya Uzazi...

Magonjwa2 years ago

SHINGO YA MTOTO KULEGEA(CHANZO CHAKE)

SHINGO YA MTOTO KULEGEA(CHANZO CHAKE) Mabadiliko ya Watoto wengi huanza kwenye miezi mitatu ya Mwanzo wakati ambapo Shingo ya mtoto...

Magonjwa3 years ago

MAUMIVU MAKALI SEHEMU YA HAJA KUBWA

Baadhi ya watu wanachanganya tatizo la maumivu makali sehemu ya haja kubwa pamoja na tatizo la Bawasiri,japo mojawapo ya chanzo...

Magonjwa3 years ago

TATIZO LA MASIKIO KUPIGA KELELE,CHANZO NA TIBA YAKE(Tinnitus)

TATIZO LA MASIKIO KUPIGA KELELE,CHANZO NA TIBA YAKE(Tinnitus) tatizo la masikio kupiga kelele Tinnitus, ni Tatizo la masikio kupiga kelele,...

Magonjwa3 years ago

DALILI ZA UGONJWA WA GONO(KISONONO)

 UGONJWA WA KISONONO DALILI ZA UGONJWA WA GONO(KISONONO) Ugonjwa wa gonorrhea maarufu kama GONO au Kisonono ni ugonjwa wa zinaa...

Magonjwa3 years ago

TATIZO LA UKE KUJAMBA PAMOJA NA TIBA YAKE(chanzo cha tatizo hili ni nini?)

Tatizo la Uke Kujamba TATIZO LA UKE KUJAMBA PAMOJA NA TIBA YAKE(chanzo cha tatizo hili ni nini?) Moja ya vitu...

Magonjwa3 years ago

DALILI ZA FANGASI UUMENI,KORODANI PAMOJA NA MATIBABU YAKE

 FANGASI • • • • • DALILI ZA FANGASI UUMENI,KORODANI PAMOJA NA MATIBABU YAKE Mashambulizi ya Fangasi sehemu za siri...

Magonjwa3 years ago

CHANZO CHA TATIZO LA KUOTA NYAMA PUANI PAMOJA NA MATIBABU YAKE

Chanzo cha tatizo la NYAMA PUANI,Dalili zake Pamoja na Tiba yake, Soma makala hii kwa Makini ili upate Kujua kuhusu...

Magonjwa3 years ago

SABABU ZA KUVIMBA KWA MASHAVU YA UKE(TEZI LA BARTHOLIN)

KUVIMBA MASHAVU YA UKE • • • • • • Katika Makala hii tumechambua zaidi kuhusu sababu za kuvimba mashavu...

Magonjwa3 years ago

TATIZO LA MWANAUME KUOTA MATITI(gynecomastia)

TATIZO LA MWANAUME KUOTA MATITI(gynecomastia) Tatizo hili linatokea kwa Baadhi ya wanaume,na hata kupelekea Wanaume hao kuwa na Matiti kama...

MAGONJWA MBALI MBALI

Magonjwa1 day ago

Chanzo cha tatizo la NYAMA PUANI,Dalili zake Pamoja na Tiba yake

Chanzo cha tatizo la NYAMA PUANI,Dalili zake Pamoja na Tiba yake, Soma makala hii kwa Makini ili upate Kujua kuhusu...

Magonjwa2 days ago

Ugonjwa unaosababishwa na kula nyama mbichi

Ugonjwa unaosababishwa na kula nyama mbichi Madhara ya kula nyama ya ng’ombe mbichi Ni desturi ya baadhi ya watu kula...

Magonjwa1 week ago

Mkojo kuuma ni dalili ya ugonjwa gani

Mkojo kuuma ni dalili ya ugonjwa gani Mkojo kuuma au kupata maumivu wakati wa kukojoa ni hali ambayo kwa kitaalam...

Magonjwa1 week ago

Ugonjwa wa gonorrhea maarufu kama GONO au Kisonono dalili Zake

 UGONJWA WA KISONONO DALILI ZA UGONJWA WA GONO(KISONONO) Ugonjwa wa gonorrhea maarufu kama GONO au Kisonono ni ugonjwa wa zinaa...

Magonjwa2 weeks ago

Maana ya hiv negative,Soma hapa kufahamu

Maana ya hiv negative,Soma hapa kufahamu Haya ni maneno ambayo umekuwa ukiyasikia sana linapokuja swala la vipimo cha UKIMWI, je...

Magonjwa3 weeks ago

Kama ndiyo Umegunduliwa ugonjwa wa Kisukari,Soma hii itakusaidia

Kama ndiyo Umegunduliwa ugonjwa wa Kisukari,Soma hii itakusaidia. Kutana na Ilene Raymond Rush ambaye aligunduliwa Kisukari aina ya Pili(Type 2...

Magonjwa3 weeks ago

Ugonjwa unaosababishwa na konokono

Ugonjwa unaosababishwa na konokono Ugonjwa unaosababishwa na konokono unaitwa schistosomiasis, au bilharzia. Ni ugonjwa wa maambukizi unaosababishwa na minyoo wanaoitwa...

Magonjwa3 weeks ago

Ugonjwa wa Pink Eye,chanzo,dalili na Matibabu yake

Ugonjwa wa Pink Eye,chanzo,dalili na Matibabu yake. Wengi tumesikia kuhusu Red Eyes(Macho mekundu) Lakini je umewahi kusikia kuhusu Pink Eyes,?...

Magonjwa3 weeks ago

Omeprazole inatibu ugonjwa gani,Fahamu hapa

Omeprazole inatibu ugonjwa gani Omeprazole inatibu ni nini?, Hili ni swali ambalo limekuwa likiulizwa mara kwa mara na wafwatiliaji wengi...

Magonjwa4 weeks ago

Mate kujaa mdomoni ni dalili ya ugonjwa gani

Mate kujaa mdomoni ni dalili ya ugonjwa gani Mate kujaa Mdomoni,ni tatizo ambalo hutokea kwa baadhi ya watu, na zipo...