Connect with us

afyatips

Kula Zabibu, zinaweza kufanya maajabu haya mwilini mwako

Avatar photo

Published

on

Ukiziona Zabibu usizigeuzie Kisogo,Kula,Zababu zinaweza kufanya maajabu haya mwilini mwako

Zabibu ni chanzo kizuri cha potasiamu. Madini haya yanaweza kusaidia kupunguza shinikizo la damu na kupunguza hatari ya ugonjwa wa moyo na kiharusi!

Faida za kutumia zabibu kila wakati…. Kwa mujibu wa tafiti za kiafya zinaonyesha, ipo faida kubwa sana kwa mtu yeyote anayetumia zabibu katika upande wa afya yake.

Inaonyesha moja kwa moja, zabibu kutokana na wingi wa madini zilizonayo ndani yake, zina uwezo wa kusaidia kwa watu wenye magonjwa mbalimbali kama zikitumiwa kwa uhakika.

katika makala haya tumekuwekea dondoo za kukusaidia kukuonyesha baadhi ya magonjwa yanaweza kudhibitiwa au kuepukwa hasa kutokana na matumizi ya zabibu.

Faida za Zabibu Mwilini

Hapa kuna faida kuu za kiafya kwa kula zabibu;

1. Chanzo bora cha Virutubisho(Packed with nutrients)

Zabibu zimesheheni virutubisho vingi muhimu mwilini. Kwa mujibu wa Tafiti mbali mbali zinaonyesha;

Kikombe kimoja tu,sawa na (151 grams) cha zabibu nyekundu au kijani kinatoa;

  • Calories: 104
  • Carbs: 27 grams
  • Protein: 1 gram
  • Fat: 0.2 grams
  • Fiber: 1.4 grams
  • Copper: 21% of the daily value (DV)
  • Vitamin K: 18% of the DV
  • Thiamine (vitamin B1): 9% of the DV
  • Riboflavin (vitamin B2): 8% of the DV
  • Vitamin B6: 8% of the DV
  • Potassium: 6% of the DV
  • Vitamin C: 5% of the DV
  • Manganese: 5% of the DV
  • Vitamin E: 2% of the DV

2. Zabibu husaidia kuboresha afya ya Moyo;

Zabibu huweza kuboresha afya ya moyo kwa njia mbali mbali ikiwemo;

  • Kupunguza presha ya damu

Hii ni kwa sababu zabibu zina kiwango cha kutosha cha virutubisho kama Potassium, Kikombe kimoja sawa na grams 151 hutoa asilimia 6% ya DV kwa potassium.

Madini haya ni muhimu kwenye kuboresha na kudhibiti presha ya damu kuwa kwenye kiwango kizuri.

  • Kupunguza kiwango cha cholestrol, Hii ni muhimu sana kwa afya ya Moyo Pia.

3. Zabibu zina kiwango kikubwa cha antioxidants

Antioxidants ni kampaundi ambazo husaidia kurepair seli zilizoharibika kwa sababu ya free radicals.

4. Zabibu husaidia kujikinga na magonjwa ya kudumu kama vile Saratani,

Kwa Sababu ya Antioxidants nyingi kwenye Zabibu — Hii husaidia mwili kujikinga na magonjwa ya kudumu kama vile Saratani n.k

5. Zabibu husaidia kujikinga na magojwa kama vile kisukari na presha

6. Zabibu pia ni muhimu kwa afya ya Macho

Misombo ya mimea katika zabibu inaweza kukulinda dhidi ya magonjwa ya kawaida ya macho.

Kwa mfano, katika utafiti wa panya, zabibu hizo zilikuwa na utendaji bora wa retina kwa panya ambao walipewa kuliko panya ambao hawakupewa tunda.

7. Zabibu huboresha kumbukumbu

Zababu zinaweza kuboresha kumbukumbu, umakini na hisia
Kula zabibu kunaweza kuongeza kumbukumbu na afya ya ubongo.

8. Zabibu huboresha afya ya Mifupa

Zabibu zina madini mengi muhimu kwa afya ya mifupa – ikiwa ni pamoja na potasiamu, manganese, na vitamini B, C, na K, ambayo husaidia kuzuia ugonjwa wa mifupa(osteoporosis) hali ambayo husababisha mifupa kuharibika.

9. Zabibu huboresha afya ya ngozi na nywele

Hii pia ni faida mojawapo ya Zabibu;kuboresha afya ya ngozi pamoja na nywele zako

10. Zabibu husaidia kwa wale wanaohitaji kupunguza Uzito(anti-obesity effects)

Kunenepa kupita kiasi kunaweza kuongeza hatari ya kupata matatizo mengi ya kiafya, ikijumuisha magonjwa kama vile kisukari, ugonjwa wa moyo na saratani.

Anthocyanins katika zabibu inaweza kuwa na athari ya kupambana na shida ya Uzito mkubwa. Uchunguzi wa panya wanaolishwa chakula chenye mafuta mengi unaonyesha kuwa anthocyanins zinaweza kukandamiza uzito wa mwili na kupunguza mafuta kwenye ini (60Trusted Source).

Soma zaidi jinsi ya kupunguza Uzito kwa njia rahisi

14. Zabibu husaidia kama una tatizo la kipata choo kigumu au kukosa choo kabsa(constipation)

Hii pia ni Faida mojawapo ya Faida za kula Zabibu.

Nyuzinyuzi katika matunda yote kama vile zabibu zinaweza kuboresha kwa kiasi kikubwa dalili za kupata choo kigumu au kukosa choo kabsa, kwa kupunguza muda unaochukua kinyesi kupita kwenye utumbo mpana, na pia kuongeza uzito wa kinyesi na kinyesi kila siku, ikilinganishwa na juisi za matunda.

SUMMARY: Endelea kusoma Zaidi hapa…!!!!

Zabibu ni matunda yenye umuhimu mkubwa katika lishe na afya ya binadamu. Hapa nitaelezea umuhimu wa zabibu kwa kina:

Chanzo cha Virutubisho: Zabibu zina wingi wa virutubisho muhimu kama vile vitamin C, potassium, vitamin K, na antioxidants. Vitamin C husaidia katika kuimarisha mfumo wa kinga na kusaidia katika uponyaji wa vidonda, wakati potassium husaidia katika kudumisha afya ya moyo na kudhibiti shinikizo la damu.

Afya ya Moyo: Zabibu zina flavonoids na resveratrol, ambayo ni antioxidants ambayo husaidia katika kudumisha afya ya moyo. Resveratrol, hasa, imehusishwa na kupunguza hatari ya magonjwa ya moyo kwa kuongeza mzunguko wa damu na kuzuia malezi ya uvimbe kwenye mishipa ya damu.

Kupunguza Hatari ya Kansa: Baadhi ya utafiti umeonyesha kwamba resveratrol inayopatikana katika zabibu inaweza kusaidia kupunguza hatari ya baadhi ya aina za kansa, kama vile kansa ya utumbo mkubwa na kansa ya matiti, kwa kuzuia ukuaji wa seli za kansa.

Afya ya Utumbo: Zabibu zina nyuzinyuzi ambazo husaidia katika kudumisha afya ya utumbo na kuzuia matatizo kama vile kuvimbiwa na magonjwa ya utumbo kama vile ugonjwa wa kuhara. Pia, zinaweza kusaidia katika kusafisha mwili na kuondoa sumu.

Afya ya Ngozi: Vitamin C na antioxidants zilizomo katika zabibu husaidia katika kudumisha afya ya ngozi kwa kuzuia uharibifu unaosababishwa na miale ya jua na kuongeza uzalishaji wa collagen, ambayo husaidia katika kudumisha ngozi kuwa na umaridadi na yenye afya.

Kudhibiti Uzito: Zabibu zina kalori kidogo na zinajaa maji na nyuzinyuzi, hivyo zinaweza kusaidia katika kudhibiti uzito kwa kutoa hisia kamili na kuzuia kula kupita kiasi.

Kuimarisha Utendaji wa Akili: Flavonoids zilizomo katika zabibu zimehusishwa na kuboresha utendaji wa akili na kumbukumbu, huku resveratrol ikisaidia katika kulinda seli za ubongo na kupunguza hatari ya magonjwa ya akili kama vile ugonjwa wa Alzheimer.

Hitimisho:

Kwa kumalizia, zabibu ni matunda yenye umuhimu mkubwa katika kudumisha afya na ustawi wa binadamu kutokana na wingi wake wa virutubisho muhimu na uwezo wa kinga dhidi ya magonjwa mbalimbali. Kuingiza zabibu katika lishe ya kila siku kunaweza kusaidia kukuza afya njema na kuzuia magonjwa.

Summary points: kuhusu faida za Zabibu mwilini;

1. Zabibu husaidia kwa watu wenye pumu (Asthma)

2. Zabibu inaimarisha mifupa.

3. Zabibu inazuia magonjwa mengi ya moyo.

4. Zabibu inapunguza unene kwa sehemu.

5. Zabibu inapunguza kisukari.

6. Zabibu ni kinga ya magonjwa ya meno.

7. Zabibu ni kinga kwa kansa ya matiti.

8. Zabibu inapunguza ugonjwa wa mapafu.

9. Zabibu inapunguza tatizo la kushindwa kuona mbali.

Ushauri|Tiba|CheckIn 🩺🌡️ContactUs; +255758286584 or INBOX📩. For More Healthtips everyday Link In https://afyaclass.com Also Follow us on Instagram @afyaclass

YOU MUST READ(IMPORTANT)

Magonjwa4 weeks ago

Maumivu chini ya kitovu ni dalili za ugonjwa gani

Maumivu chini ya kitovu ni dalili za ugonjwa gani. Watu wengi huweza kupata maumivu chini ya kitovu, lakini umewahi kujiuliza...

Magonjwa1 month ago

Kaswende ni ugonjwa gani, soma hapa kufahamu

Kaswende ni ugonjwa gani, Kaswende ni maambukizi yanayosababishwa na bakteria. Mara nyingi, huenea kupitia mawasiliano ya kingono au kwa kujamiiana....

Magonjwa2 months ago

Koo kukauka ni dalili ya ugonjwa gani

Koo kukauka ni dalili ya ugonjwa gani Koo kukauka kunaweza kusababishwa na sababu kadhaa, ikiwa ni pamoja na: Upungufu wa...

Magonjwa2 months ago

Amiba ni ugonjwa gani,Fahamu kuhusu Ugonjwa wa Amebiasis

Amiba ni ugonjwa gani Wengi wamezoea kusema hivo ila Amiba(amoeba) ni vimelea vyinavyosababisha ugonjwa, na Ugonjwa huo kitaalam ndyo hujulikana...

Magonjwa3 months ago

kuwashwa nyayo za miguu husababishwa na nini? chanzo na Tiba

kuwashwa nyayo za miguu husababishwa na nini? chanzo na Tiba kuwashwa nyayo za miguu; zipo sababu nyingi ambazo huchangia shida...

magonjwa ya wanawake4 months ago

Ujue Ugonjwa Wa PID (Pelvic Inflammatory Disease)

Ujue Ugonjwa Wa PID (Pelvic Inflammatory Disease) Pid ni ugonjwa gani? PID ni Maambukizi ya bacteria Kwenye Via vya Uzazi...

Magonjwa2 years ago

SHINGO YA MTOTO KULEGEA(CHANZO CHAKE)

SHINGO YA MTOTO KULEGEA(CHANZO CHAKE) Mabadiliko ya Watoto wengi huanza kwenye miezi mitatu ya Mwanzo wakati ambapo Shingo ya mtoto...

Magonjwa3 years ago

MAUMIVU MAKALI SEHEMU YA HAJA KUBWA

Baadhi ya watu wanachanganya tatizo la maumivu makali sehemu ya haja kubwa pamoja na tatizo la Bawasiri,japo mojawapo ya chanzo...

Magonjwa3 years ago

TATIZO LA MASIKIO KUPIGA KELELE,CHANZO NA TIBA YAKE(Tinnitus)

TATIZO LA MASIKIO KUPIGA KELELE,CHANZO NA TIBA YAKE(Tinnitus) tatizo la masikio kupiga kelele Tinnitus, ni Tatizo la masikio kupiga kelele,...

Magonjwa3 years ago

DALILI ZA UGONJWA WA GONO(KISONONO)

 UGONJWA WA KISONONO DALILI ZA UGONJWA WA GONO(KISONONO) Ugonjwa wa gonorrhea maarufu kama GONO au Kisonono ni ugonjwa wa zinaa...

Magonjwa3 years ago

TATIZO LA UKE KUJAMBA PAMOJA NA TIBA YAKE(chanzo cha tatizo hili ni nini?)

Tatizo la Uke Kujamba TATIZO LA UKE KUJAMBA PAMOJA NA TIBA YAKE(chanzo cha tatizo hili ni nini?) Moja ya vitu...

Magonjwa3 years ago

DALILI ZA FANGASI UUMENI,KORODANI PAMOJA NA MATIBABU YAKE

 FANGASI • • • • • DALILI ZA FANGASI UUMENI,KORODANI PAMOJA NA MATIBABU YAKE Mashambulizi ya Fangasi sehemu za siri...

Magonjwa3 years ago

CHANZO CHA TATIZO LA KUOTA NYAMA PUANI PAMOJA NA MATIBABU YAKE

Chanzo cha tatizo la NYAMA PUANI,Dalili zake Pamoja na Tiba yake, Soma makala hii kwa Makini ili upate Kujua kuhusu...

Magonjwa3 years ago

SABABU ZA KUVIMBA KWA MASHAVU YA UKE(TEZI LA BARTHOLIN)

KUVIMBA MASHAVU YA UKE • • • • • • Katika Makala hii tumechambua zaidi kuhusu sababu za kuvimba mashavu...

Magonjwa3 years ago

TATIZO LA MWANAUME KUOTA MATITI(gynecomastia)

TATIZO LA MWANAUME KUOTA MATITI(gynecomastia) Tatizo hili linatokea kwa Baadhi ya wanaume,na hata kupelekea Wanaume hao kuwa na Matiti kama...

MAGONJWA MBALI MBALI

Magonjwa1 day ago

Chanzo cha tatizo la NYAMA PUANI,Dalili zake Pamoja na Tiba yake

Chanzo cha tatizo la NYAMA PUANI,Dalili zake Pamoja na Tiba yake, Soma makala hii kwa Makini ili upate Kujua kuhusu...

Magonjwa3 days ago

Ugonjwa unaosababishwa na kula nyama mbichi

Ugonjwa unaosababishwa na kula nyama mbichi Madhara ya kula nyama ya ng’ombe mbichi Ni desturi ya baadhi ya watu kula...

Magonjwa1 week ago

Mkojo kuuma ni dalili ya ugonjwa gani

Mkojo kuuma ni dalili ya ugonjwa gani Mkojo kuuma au kupata maumivu wakati wa kukojoa ni hali ambayo kwa kitaalam...

Magonjwa1 week ago

Ugonjwa wa gonorrhea maarufu kama GONO au Kisonono dalili Zake

 UGONJWA WA KISONONO DALILI ZA UGONJWA WA GONO(KISONONO) Ugonjwa wa gonorrhea maarufu kama GONO au Kisonono ni ugonjwa wa zinaa...

Magonjwa2 weeks ago

Maana ya hiv negative,Soma hapa kufahamu

Maana ya hiv negative,Soma hapa kufahamu Haya ni maneno ambayo umekuwa ukiyasikia sana linapokuja swala la vipimo cha UKIMWI, je...

Magonjwa3 weeks ago

Kama ndiyo Umegunduliwa ugonjwa wa Kisukari,Soma hii itakusaidia

Kama ndiyo Umegunduliwa ugonjwa wa Kisukari,Soma hii itakusaidia. Kutana na Ilene Raymond Rush ambaye aligunduliwa Kisukari aina ya Pili(Type 2...

Magonjwa3 weeks ago

Ugonjwa unaosababishwa na konokono

Ugonjwa unaosababishwa na konokono Ugonjwa unaosababishwa na konokono unaitwa schistosomiasis, au bilharzia. Ni ugonjwa wa maambukizi unaosababishwa na minyoo wanaoitwa...

Magonjwa3 weeks ago

Ugonjwa wa Pink Eye,chanzo,dalili na Matibabu yake

Ugonjwa wa Pink Eye,chanzo,dalili na Matibabu yake. Wengi tumesikia kuhusu Red Eyes(Macho mekundu) Lakini je umewahi kusikia kuhusu Pink Eyes,?...

Magonjwa3 weeks ago

Omeprazole inatibu ugonjwa gani,Fahamu hapa

Omeprazole inatibu ugonjwa gani Omeprazole inatibu ni nini?, Hili ni swali ambalo limekuwa likiulizwa mara kwa mara na wafwatiliaji wengi...

Magonjwa4 weeks ago

Mate kujaa mdomoni ni dalili ya ugonjwa gani

Mate kujaa mdomoni ni dalili ya ugonjwa gani Mate kujaa Mdomoni,ni tatizo ambalo hutokea kwa baadhi ya watu, na zipo...