MAMBO 10 YAKUZINGATIA KATIKA AFYA YA MWANAMKE (1) Kutokupuuzia Kila dalili za Magonjwa pale zinapotokea Mfano dalili kama za Kuwashwa sehemu Za siri, Kutokwa na uchafu...
MUHIMU SANA KWA WAZAZI NA WALEZI? Meno yaliyokaa kama haya ya kwenye picha yanaashiria Mtoto ALIAMBUKIZWA KASWENDE AKIWA TUMBONI kwa mama yake(congenital syphilis).. Kama mwanao au...
MAUMIVU YA TUMBO WAKATI WA HEDHI ➡️ Hedhi Leo tutaangalia kuhusiana na maumivu ya tumbo wakati wa hedhi. Maumivu wakati wa hedhi ni ile hali mwanamke...
? KUKOSA HEDHI KWA MWANAMKE Visababishi vya kuchelewa au kukosa kupata hedhi. kwa sababu umechelewa kuona siku zako, na unajua wewe si mjamzito? . Kuchelewa kuona...
MATATIZO YATOKANAYO NA UNYWAJI WA POMBE KIPINDI CHA UJAUZITO Baadhi ya madhara yanayoweza kumpata kiumbe aliye tumboni kwa mama kutokana na unywaji wa pombe kipindi cha...
Impower the women,Wanawake wanapitia changamoto nyingi sana katika safar ya maisha,Lakini pia mwanamke ni kiwanda cha kufwatua matofali”watu”. . Mwanamke anapojifungua anahitaji faraja sana kutokana na...
Moja ya vitu ambavyo vinaweza kukukosesha furaha kama mwanamke ni kuumwa. . Leo nazungumzia tabia ambayo inaweza kukuletea ugonjwa wa FANGASI. . Kuvaa nguo ya ndani...
Afya bora kwa mtoto ipo mikononi mwako.Kuna mambo muhimu lazima uyafanye kwa mtoto kuanzia tu pale anapozaliwa. . Jambo la kwanza kabsa ni kuhakikisha unaanza kumnyonyesha...
YAFAHAMU MADHARA AMBAYO MTU HUWEZA KUPATA BAADA YA KUTOA MIMBA Madhara gani mtu anaweza kupata kwakutoa mimba au ujauzito? Kitendo hiki ni hatari sana kwa afya...
FAHAMU KUHUSU KISUKARI CHA MIMBA. Kama ilivyo kwa tatizo la kisukari, pia kisukari cha mimba ni tatizo ambalo huwapata baadhi ya wanawake wakati wa kipindi cha...