JE UNAIFAHAM UPT? UPT-kirefu chake ni urinary pregnancy test au ni kifaa cha kupima mimba kwa njia ya kutumia mkojo. Kifaa hiki kikisoma mstari mmoja humaanisha...
☑️ HUU UGONJWA UNAITWA PARONYCHIA .Ni maambukizi katika kucha na maeneo jirani na kucha kama kwenye hio picha inavoonekana..Ugonjwa huu unaweza kusababishwa na vimelea kama bakteria,kuvu...
ZIPO DALILI ZA HATARI KWA MAMA MJAMZITO NA MAMA BAADA YA KUJIFUNGUA ➡️ Ombeni Mkumbwa (1) DALILI ZA HATARI KWA MJAMZITO -Mama mjamzito kuvimba miguu,uso na...
TATIZO LA MGONGO WAZI KWA WATOTO,CHANZO CHAKE,DALILI NA TIBA YAKE Ugonjwa wa mgongo wazi: Mgongo wazi ni nini? Mgongo wazi(Spinal bifida) ni hali ambayo mtoto anazaliwa...
Mwanamke kutokwa na uchafu wenye rangi tofauti mfano maziwa au manjano,mzito na wenye harufu kali sio dalili nzuri. Hii inaweza kuwa dalili au viashiria vya magonjwa...
Kwa kawaida kwa kila mwanamke,uke wake unapaswa kuwa na hali ya unyevunyevu kutokana na ute mwepesi unaozalishwa ili kusaidia kuuweka uke katika hali hii. Hormone inayojulikana...
Ugonjwa huu umekuwa ukiwasumbua watu wengi siku hizi,bila kujali umri au jinsia. ZIPO SABABU MBALI MBALI KITAALAM AMBAZO HUCHANGIA HALI HII IKIWEMO; -Swala la allergy ambayo...
MAUMIVU WAKATI WA TENDO LA NDOA ➡️ Post Wanawake wengi wamekuwa wakilalamika Juu ya Tatizo hili siku hizi. Wengine Hata kushindwa kabsa Kushiriki Tendo la Ndoa,kwa...
MADHARA YA KUTUMIA P2 ➡️ P2 p2 ni dawa ya dharura (emergency contraceptive),inazuia mtu asipate Mimba kwenye mazingira ambayo umefanya sex pasipo kupanga na upo siku...
Mkanda wa Jeshi,chanzo,dalili na matibabu yake Fahamu kuhusu Mkanda wa Jeshi, maana yake,chanzo,dalili,pamoja na matibabu yake,kupitia makala hii. Mkanda wa Jeshi Mkanda wa Jeshi ni tatizo...