Connect with us

Magonjwa

jinsi ya kupima BMI, soma hapa kufahamu

Avatar photo

Published

on

jinsi ya kupima BMI, soma hapa kufahamu

BMI Ni kifupi cha “Body Mass Index” ambapo huhusisha mahesabu rahisi ya Kutumia Uzito(weight) wa Mtu pamoja na Urefu wa mtu(height),

ili kujua Uzito halisi wa Mtu upo kwenye kiwango gani, na kwa kutumia BMI ndipo tunapoweza kutoa Majibu kwamba;

  • Mtu huyu ana Uzito mkubwa kupita kiasi(overweight),
  • Mtu huyu ana uzito wa kawaida(Normal weight),
  • Mtu huyu ana uzito mdogo sana(underweight) n.k.

Formula ya BMI = kg/m2 ambapo “kg” ni kipimo cha uzito wa mtu kwenye kilograms na “m2” ni kipimo cha urefu wa mtu kwenye metres squared,

Hivo basi,ili kupata majibu ya BMI unachukua Uzito wa Mtu kwenye (Kg) kugawanya Urefu wa Mtu kwenye(m2).

Mfano; Mtu mzima mwenye Uzito wa kilogram(kg) 70 ambaye urefu wake ni Metres(m) 1.75 atakuwa na BMI ya 22.9.

70 (kg)/1.752 (m2) = 22.9 BMI.

Majibu ya BMI yakiwa 25.0 au Zaidi basi una uzito mkubwa au overweight, wakati Majibu ya BMI yakiwa 18.5 mpaka 24.9 basi una uzito wa kawaida ambao unatakiwa kiafya(healthy weight/normal weight).

BMI hutumika Zaidi kwa watu wenye umri wa Miaka 18-65.

Kwa Mujibu wa Shirika la Afya Duniani(WHO)

“kwa Mtu Mzima mwenye Miaka zaidi ya 20, BMI yake itakuwa kama ifuatavyo;”

Kwa watu wazima zaidi ya umri wa miaka 20, BMI iko katika mojawapo ya makundi yafuatayo.

Table 1. Nutritional status

BMI Nutritional status
Below 18.5 Underweight
18.5–24.9 Normal weight
25.0–29.9 Pre-obesity
30.0–34.9 Obesity class I
35.0–39.9 Obesity class II
Above 40 Obesity class III

Summary;

(1) Majibu ya BMI yakiwa 25.0 au Zaidi basi una uzito mkubwa au overweight,

(2) wakati Majibu ya BMI yakiwa 18.5 mpaka 24.9 basi una uzito wa kawaida ambao unatakiwa kiafya(healthy weight/normal weight),

(3) Lakini Majibu ya BMI yakiwa chini ya 18.5 basi una Uzito mdogo(Underweight)

Je,ni Watu gani hawaruhusiwi kutumia BMI calculator?

Kundi hili la Watu linashauriwa kutokutumia BMI kwani majibu yanaweza yasiwe Sahihi kwao;

– BMI isitumike kwa wajenga misuli(muscle builders),

– wanariadha wa masafa mareful(Long distance athletes),

– Wakina mama wajawazito(pregnant women),

– Wazee au watoto wadogo(the elderly or young children).

  • Hii ni kwa sababu BMI haizingatii ikiwa uzito unabebwa kama misuli au mafuta, bali namba tu.
  • Wale walio na misuli mikubwa(higher muscle mass), kama vile wanariadha, wanaweza kuwa na BMI ya juu lakini wasiwe katika hatari kubwa ya kiafya.
  • Wale walio na misuli midogo(lower muscle mass), kama vile watoto ambao bado wapo kwenye hatua za ukuaji au wazee ambao wanaweza kupoteza misuli fulani wanaweza kuwa na BMI ya chini.
  • Wakati wa ujauzito na Unyonyeshaji, muundo wa mwili wa mwanamke hubadilika, hivyo kutumia BMI sio sahihi.

Hitimisho

BMI Ni kifupi cha “Body Mass Index” ambapo huhusisha mahesabu rahisi ya Kutumia Uzito(weight) wa Mtu pamoja na Urefu wa mtu(height),ili kujua Uzito halisi wa Mtu upo kwenye kiwango gani.

Mfano;

(1) Majibu ya BMI yakiwa 25.0 au Zaidi basi una uzito mkubwa au overweight,

(2) wakati Majibu ya BMI yakiwa 18.5 mpaka 24.9 basi una uzito wa kawaida ambao unatakiwa kiafya(healthy weight/normal weight),

(3) Lakini Majibu ya BMI yakiwa chini ya 18.5 basi una Uzito mdogo(Underweight)

Lakini Pia,Kundi hili la Watu linashauriwa kutokutumia BMI kwani majibu yanaweza yasiwe Sahihi kwao;

– BMI isitumike kwa wajenga misuli(muscle builders),

– wanariadha wa masafa mareful(Long distance athletes),

– Wakina mama wajawazito(pregnant women),

– Wazee au watoto wadogo(the elderly or young children).

KWA USHAURI ZAIDI,ELIMU AU TIBA JUU YA TATIZO LOLOTE TUWASILIANE KWA NAMBA +255758286584.

YOU MUST READ(IMPORTANT)

Magonjwa2 months ago

Maumivu chini ya kitovu ni dalili za ugonjwa gani

Maumivu chini ya kitovu ni dalili za ugonjwa gani. Watu wengi huweza kupata maumivu chini ya kitovu, lakini umewahi kujiuliza...

Magonjwa3 months ago

Kaswende ni ugonjwa gani, soma hapa kufahamu

Kaswende ni ugonjwa gani, Kaswende ni maambukizi yanayosababishwa na bakteria. Mara nyingi, huenea kupitia mawasiliano ya kingono au kwa kujamiiana....

Magonjwa3 months ago

Koo kukauka ni dalili ya ugonjwa gani

Koo kukauka ni dalili ya ugonjwa gani Koo kukauka kunaweza kusababishwa na sababu kadhaa, ikiwa ni pamoja na: Upungufu wa...

Magonjwa3 months ago

Amiba ni ugonjwa gani,Fahamu kuhusu Ugonjwa wa Amebiasis

Amiba ni ugonjwa gani Wengi wamezoea kusema hivo ila Amiba(amoeba) ni vimelea vyinavyosababisha ugonjwa, na Ugonjwa huo kitaalam ndyo hujulikana...

Magonjwa5 months ago

kuwashwa nyayo za miguu husababishwa na nini? chanzo na Tiba

kuwashwa nyayo za miguu husababishwa na nini? chanzo na Tiba kuwashwa nyayo za miguu; zipo sababu nyingi ambazo huchangia shida...

magonjwa ya wanawake5 months ago

Ujue Ugonjwa Wa PID (Pelvic Inflammatory Disease)

Ujue Ugonjwa Wa PID (Pelvic Inflammatory Disease) Pid ni ugonjwa gani? PID ni Maambukizi ya bacteria Kwenye Via vya Uzazi...

Magonjwa2 years ago

SHINGO YA MTOTO KULEGEA(CHANZO CHAKE)

SHINGO YA MTOTO KULEGEA(CHANZO CHAKE) Mabadiliko ya Watoto wengi huanza kwenye miezi mitatu ya Mwanzo wakati ambapo Shingo ya mtoto...

Magonjwa3 years ago

MAUMIVU MAKALI SEHEMU YA HAJA KUBWA

Baadhi ya watu wanachanganya tatizo la maumivu makali sehemu ya haja kubwa pamoja na tatizo la Bawasiri,japo mojawapo ya chanzo...

Magonjwa3 years ago

TATIZO LA MASIKIO KUPIGA KELELE,CHANZO NA TIBA YAKE(Tinnitus)

TATIZO LA MASIKIO KUPIGA KELELE,CHANZO NA TIBA YAKE(Tinnitus) tatizo la masikio kupiga kelele Tinnitus, ni Tatizo la masikio kupiga kelele,...

Magonjwa3 years ago

DALILI ZA UGONJWA WA GONO(KISONONO)

 UGONJWA WA KISONONO DALILI ZA UGONJWA WA GONO(KISONONO) Ugonjwa wa gonorrhea maarufu kama GONO au Kisonono ni ugonjwa wa zinaa...

Magonjwa3 years ago

TATIZO LA UKE KUJAMBA PAMOJA NA TIBA YAKE(chanzo cha tatizo hili ni nini?)

Tatizo la Uke Kujamba TATIZO LA UKE KUJAMBA PAMOJA NA TIBA YAKE(chanzo cha tatizo hili ni nini?) Moja ya vitu...

Magonjwa3 years ago

DALILI ZA FANGASI UUMENI,KORODANI PAMOJA NA MATIBABU YAKE

 FANGASI • • • • • DALILI ZA FANGASI UUMENI,KORODANI PAMOJA NA MATIBABU YAKE Mashambulizi ya Fangasi sehemu za siri...

Magonjwa3 years ago

CHANZO CHA TATIZO LA KUOTA NYAMA PUANI PAMOJA NA MATIBABU YAKE

Chanzo cha tatizo la NYAMA PUANI,Dalili zake Pamoja na Tiba yake, Soma makala hii kwa Makini ili upate Kujua kuhusu...

Magonjwa3 years ago

SABABU ZA KUVIMBA KWA MASHAVU YA UKE(TEZI LA BARTHOLIN)

KUVIMBA MASHAVU YA UKE • • • • • • Katika Makala hii tumechambua zaidi kuhusu sababu za kuvimba mashavu...

Magonjwa4 years ago

TATIZO LA MWANAUME KUOTA MATITI(gynecomastia)

TATIZO LA MWANAUME KUOTA MATITI(gynecomastia) Tatizo hili linatokea kwa Baadhi ya wanaume,na hata kupelekea Wanaume hao kuwa na Matiti kama...

MAGONJWA MBALI MBALI

Magonjwa2 days ago

Ugonjwa wa ngozi sehemu za siri

Ugonjwa wa ngozi sehemu za siri Yapo magonjwa mbali mbali ya ngozi ambayo huweza kuathiri Sehemu za Siri za Mwanaume...

Magonjwa6 days ago

Dalili za acid reflux,Soma hapa Kufahamu

Dalili za acid reflux: Tatizo la Gastroesophageal reflux disease (GERD), ni tatizo ambalo huwapata Watu wengi,Tatizo hili hujulikana kwa jina...

Magonjwa3 weeks ago

Ugonjwa wa ngozi kuwa nyeupe,VITILIGO

Ugonjwa wa ngozi kuwa nyeupe,VITILIGO Vitiligo ni ugonjwa wa ngozi kuwa nyeupe au ni ugonjwa ambao huhusisha ngozi kupoteza rangi...

Magonjwa3 weeks ago

Mlipuko wa ugonjwa wa macho,Macho Mekundu

Mlipuko wa ugonjwa wa macho,Macho Mekundu Baada ya Ugonjwa huu wa macho kusumbua watu wengi kwa kipindi cha Hivi Karibuni,...

Magonjwa4 weeks ago

Scabies ni ugonjwa gani? Soma hapa kufahamu

Scabies ni ugonjwa gani? Soma hapa kufahamu Utangulizi: Scabies huhusisha mtu kuwa na vipele na muwasho kwenye ngozi yake ambapo...

Magonjwa4 weeks ago

Dalili za ugonjwa wa gono kwa mwanaume

Dalili za ugonjwa wa gono kwa mwanaume Gono ni neno maarufu ambalo kirefu chake ni Gonorrhea na kiswahili chake ni...

Magonjwa1 month ago

Dalili Mpya za ukimwi kwenye ngozi

Zipi ni Dalili za ukimwi kwenye ngozi Zipi ni dalili za Ukimwi kwenye ngozi ya mtu? Fahamu hapa kupitia makala...

Magonjwa1 month ago

Madhara ya COVID-19: Athari za Ugonjwa, Asili na Matibabu

Madhara ya COVID-19: Athari za Ugonjwa, Asili na Matibabu Huu ni ugonjwa wa kuambukiza uliosababishwa na kirusi cha corona, ambao...

Magonjwa1 month ago

Ishara za Maambukizi ya Njia ya Mkojo (UTI) kwa Wanaume na Wanawake

Ishara za Maambukizi ya Njia ya Mkojo (UTI) kwa Wanaume na Wanawake Karibu! Hapa kwa makala yenye taarifa muhimu kuhusu...

Magonjwa1 month ago

Vyanzo Vya Kifo cha Ghafla: Sababu Zinazotisha na Jinsi ya Kujikinga

“Vyanzo Vya Kifo cha Ghafla: Sababu Zinazotisha na Jinsi ya Kujikinga” Kifo cha ghafla ni janga lisilotarajiwa ambalo linaweza kumpata...

Trending