Connect with us

Magonjwa

Kangaroo mother care (KMC), kupunguza Vifo vya watoto waliozaliwa na Uzito mdogo

Avatar photo

Published

on

Kangaroo mother care (KMC), kupunguza Vifo vya watoto waliozaliwa na Uzito mdogo

Kangaroo mother care (KMC), huhusisha mgusano wa karibu wa ngozi kwa ngozi kati ya akina mama na watoto wao wachanga waliozaliwa na uzito mdogo,

(Tazama mfano kwenye picha hii)

Kangaroo mother care (KMC),inaonekana kupunguza hatari ya vifo vya watoto waliozaliwa na uzito mdogo kwa karibu theluthi moja ukilinganisha na utunzaji wa kawaida kwa Watoto hawa, Hii ni kulingana na utafiti mpya uliochapishwa kwenye jarida la “BMJ Global Health”.

Kuanzisha mawasiliano ya karibu(close skin-to-skin contact) ambayo yanahusisha akina mama kubeba mtoto mchanga katika kombeo, ndani ya saa 24 baada ya kuzaliwa na kuendelea kwa angalau saa 8 kwa siku zote mbili zinaonekana kuongeza matokeo chanya katika kupunguza vifo na maambukizi kwa Watoto waliozaliwa na Uzito mdogo.

Utafiti ulihusisha majaribio 31 ambayo yalijumuisha watoto 15,559 waliozaliwa na Uzito mdogo pamoja na watoto waliozaliwa kabla ya wakati kwa pamoja,

Kati ya majaribio 31, tafiti 27 zililinganisha Kangaroo Mother Care(KMC )na utunzaji wa kawaida kwa watoto hawa,

Wakati nne zilizobaki zikilinganisha kati ya kuanza mapema na kuchelewa kuanza kwa kangaroo mother care(KMC).

Kupunguza hatari ya vifo

Uchambuzi ulionyesha kuwa, ikilinganishwa na utunzaji wa kawaida, Kangaroo Mother Care(KMC) ilionekana kupunguza hatari ya vifo kwa asilimia 32% wakati wa kulazwa hospitalini au kwa siku 28 baada ya watoto hawa kuzaliwa,

Pia ilionekana kupunguza hatari ya maambukizi makali, kama vile sepsis, kwa asilimia15%.

kupungua kwa hatari ya vifo kwa Watoto hawa wenye uzito mdogo na kuzaliwa kabla ya wakati(premature) kulionekana bila kujali umri wa ujauzito au uzito wa mtoto wakati wa kuandikishwa, wakati wa kuanza kangaroo mother care(KMC), wala ikiwa Kangaroo mother care(KMC) ilianzishwa hospitalini au nyumbani.

Tafiti zilizolinganishwa ikiwa KMC iliyochelewa kuanzishwa zilionyesha kupungua kwa vifo vya watoto wachanga kwa asilimia 33%.

Nchi zenye kipato cha chini na cha kati zina viwango vya juu zaidi vya Watoto kuzaliwa kabla ya wakati (umri wa ujauzito ukiwa chini ya wiki 37) na Watoto kuzaliwa na uzito mdogo (chini ya gramu 2,500),

Watoto Kuzaliwa kabla ya wakati(premature) na kuzaliwa wakiwa na uzito mdogo(low-birth weight) vyote hivi ni sababu kuu za kifo na ulemavu kwa Watoto.

Shirika la Afya Duniani(WHO) linapendekeza Kangaroo Mother Care(KMC) kama standard of care kwa watoto wachanga waliozaliwa na uzito mdogo.

Ushauri|Tiba|CheckIn ContactUs; +255758286584 or INBOX. For More Healthtips everyday Link In https://afyaclass.com Also Follow us on Instagram @afyaclass

YOU MUST READ(IMPORTANT)

Magonjwa2 months ago

Maumivu chini ya kitovu ni dalili za ugonjwa gani

Maumivu chini ya kitovu ni dalili za ugonjwa gani. Watu wengi huweza kupata maumivu chini ya kitovu, lakini umewahi kujiuliza...

Magonjwa3 months ago

Kaswende ni ugonjwa gani, soma hapa kufahamu

Kaswende ni ugonjwa gani, Kaswende ni maambukizi yanayosababishwa na bakteria. Mara nyingi, huenea kupitia mawasiliano ya kingono au kwa kujamiiana....

Magonjwa3 months ago

Koo kukauka ni dalili ya ugonjwa gani

Koo kukauka ni dalili ya ugonjwa gani Koo kukauka kunaweza kusababishwa na sababu kadhaa, ikiwa ni pamoja na: Upungufu wa...

Magonjwa3 months ago

Amiba ni ugonjwa gani,Fahamu kuhusu Ugonjwa wa Amebiasis

Amiba ni ugonjwa gani Wengi wamezoea kusema hivo ila Amiba(amoeba) ni vimelea vyinavyosababisha ugonjwa, na Ugonjwa huo kitaalam ndyo hujulikana...

Magonjwa5 months ago

kuwashwa nyayo za miguu husababishwa na nini? chanzo na Tiba

kuwashwa nyayo za miguu husababishwa na nini? chanzo na Tiba kuwashwa nyayo za miguu; zipo sababu nyingi ambazo huchangia shida...

magonjwa ya wanawake5 months ago

Ujue Ugonjwa Wa PID (Pelvic Inflammatory Disease)

Ujue Ugonjwa Wa PID (Pelvic Inflammatory Disease) Pid ni ugonjwa gani? PID ni Maambukizi ya bacteria Kwenye Via vya Uzazi...

Magonjwa2 years ago

SHINGO YA MTOTO KULEGEA(CHANZO CHAKE)

SHINGO YA MTOTO KULEGEA(CHANZO CHAKE) Mabadiliko ya Watoto wengi huanza kwenye miezi mitatu ya Mwanzo wakati ambapo Shingo ya mtoto...

Magonjwa3 years ago

MAUMIVU MAKALI SEHEMU YA HAJA KUBWA

Baadhi ya watu wanachanganya tatizo la maumivu makali sehemu ya haja kubwa pamoja na tatizo la Bawasiri,japo mojawapo ya chanzo...

Magonjwa3 years ago

TATIZO LA MASIKIO KUPIGA KELELE,CHANZO NA TIBA YAKE(Tinnitus)

TATIZO LA MASIKIO KUPIGA KELELE,CHANZO NA TIBA YAKE(Tinnitus) tatizo la masikio kupiga kelele Tinnitus, ni Tatizo la masikio kupiga kelele,...

Magonjwa3 years ago

DALILI ZA UGONJWA WA GONO(KISONONO)

 UGONJWA WA KISONONO DALILI ZA UGONJWA WA GONO(KISONONO) Ugonjwa wa gonorrhea maarufu kama GONO au Kisonono ni ugonjwa wa zinaa...

Magonjwa3 years ago

TATIZO LA UKE KUJAMBA PAMOJA NA TIBA YAKE(chanzo cha tatizo hili ni nini?)

Tatizo la Uke Kujamba TATIZO LA UKE KUJAMBA PAMOJA NA TIBA YAKE(chanzo cha tatizo hili ni nini?) Moja ya vitu...

Magonjwa3 years ago

DALILI ZA FANGASI UUMENI,KORODANI PAMOJA NA MATIBABU YAKE

 FANGASI • • • • • DALILI ZA FANGASI UUMENI,KORODANI PAMOJA NA MATIBABU YAKE Mashambulizi ya Fangasi sehemu za siri...

Magonjwa3 years ago

CHANZO CHA TATIZO LA KUOTA NYAMA PUANI PAMOJA NA MATIBABU YAKE

Chanzo cha tatizo la NYAMA PUANI,Dalili zake Pamoja na Tiba yake, Soma makala hii kwa Makini ili upate Kujua kuhusu...

Magonjwa3 years ago

SABABU ZA KUVIMBA KWA MASHAVU YA UKE(TEZI LA BARTHOLIN)

KUVIMBA MASHAVU YA UKE • • • • • • Katika Makala hii tumechambua zaidi kuhusu sababu za kuvimba mashavu...

Magonjwa4 years ago

TATIZO LA MWANAUME KUOTA MATITI(gynecomastia)

TATIZO LA MWANAUME KUOTA MATITI(gynecomastia) Tatizo hili linatokea kwa Baadhi ya wanaume,na hata kupelekea Wanaume hao kuwa na Matiti kama...

MAGONJWA MBALI MBALI

Magonjwa1 day ago

Dalili za infection kwenye damu,mchafuko wa damu

Dalili za infection kwenye damu Mchafuko wa damu,chanzo,dalili na Tiba Mchafuko wa damu; hiki ni kiswahili ambacho watu wamezoea kukitumia...

Magonjwa4 days ago

Ugonjwa wa ngozi sehemu za siri

Ugonjwa wa ngozi sehemu za siri Yapo magonjwa mbali mbali ya ngozi ambayo huweza kuathiri Sehemu za Siri za Mwanaume...

Magonjwa1 week ago

Dalili za acid reflux,Soma hapa Kufahamu

Dalili za acid reflux: Tatizo la Gastroesophageal reflux disease (GERD), ni tatizo ambalo huwapata Watu wengi,Tatizo hili hujulikana kwa jina...

Magonjwa3 weeks ago

Ugonjwa wa ngozi kuwa nyeupe,VITILIGO

Ugonjwa wa ngozi kuwa nyeupe,VITILIGO Vitiligo ni ugonjwa wa ngozi kuwa nyeupe au ni ugonjwa ambao huhusisha ngozi kupoteza rangi...

Magonjwa4 weeks ago

Mlipuko wa ugonjwa wa macho,Macho Mekundu

Mlipuko wa ugonjwa wa macho,Macho Mekundu Baada ya Ugonjwa huu wa macho kusumbua watu wengi kwa kipindi cha Hivi Karibuni,...

Magonjwa4 weeks ago

Scabies ni ugonjwa gani? Soma hapa kufahamu

Scabies ni ugonjwa gani? Soma hapa kufahamu Utangulizi: Scabies huhusisha mtu kuwa na vipele na muwasho kwenye ngozi yake ambapo...

Magonjwa1 month ago

Dalili za ugonjwa wa gono kwa mwanaume

Dalili za ugonjwa wa gono kwa mwanaume Gono ni neno maarufu ambalo kirefu chake ni Gonorrhea na kiswahili chake ni...

Magonjwa1 month ago

Dalili Mpya za ukimwi kwenye ngozi

Zipi ni Dalili za ukimwi kwenye ngozi Zipi ni dalili za Ukimwi kwenye ngozi ya mtu? Fahamu hapa kupitia makala...

Magonjwa1 month ago

Madhara ya COVID-19: Athari za Ugonjwa, Asili na Matibabu

Madhara ya COVID-19: Athari za Ugonjwa, Asili na Matibabu Huu ni ugonjwa wa kuambukiza uliosababishwa na kirusi cha corona, ambao...

Magonjwa1 month ago

Ishara za Maambukizi ya Njia ya Mkojo (UTI) kwa Wanaume na Wanawake

Ishara za Maambukizi ya Njia ya Mkojo (UTI) kwa Wanaume na Wanawake Karibu! Hapa kwa makala yenye taarifa muhimu kuhusu...

Trending