Magonjwa
SUKARI NYINGI CHANZO CHA UBOVU WA MENO
SUKARI NYINGI CHANZO CHA UBOVU WA MENO
Ulaji wa sukari nyingi au vitu vyenye sukari nyingi huweza kuwa chanzo cha kuharibu meno yako au chanzo cha ubovu wa meno,
Ukipenda kula vitu vya sukari nyingi ambavyo huacha mabaki ya sukari mara kwa mara kwenye meno yako,
usipokuwa mwangalifu na kusafisha kinywa chako kwa mswaki na dawa mara tu baada ya matumizi ya vitu hivo,
Huweza kuanza kuleta madhara kwenye meno yako,
Hii hutokana na nini?
Ukila sukari au vitu vya sukari sana;
Bacteria wa kinywani huvunja ile sukari na kutengeneza Tindikali au acid ambayo sio salama sana katika afya meno.
Lakini pia mabaki yale ya sukari kwenye meno yako,huweza kuwa chanzo kizuri cha Bacteria kuzaliana na kuongezeka,
kisha kuanza kushambulia fizi zako pamoja na meno yako
Wataalam wa afya wanashauri kusafisha meno yako au kupiga mswaki na dawa sio tu wakati wa asubuh,ila na baada ya mlo,
Hii itasaidia kuondoa mabaki ya vyakula na kunyima mazingira ya bacteria kuzaliana.
KWA USHAURI ZAIDI,ELIMU AU TIBA JUU YA TATIZO LOLOTE TUWASILIANE KWA NAMBA +255758286584.
-
Uzazi/Ujauzito5 days ago
Dalili za hatari baada ya kujifungua kwa upasuaji
-
Magonjwa4 days ago
Dalili za infection kwenye damu,mchafuko wa damu
-
Uzazi/Ujauzito3 days ago
Dalili za mimba hutokea baada ya siku ngapi
-
Magonjwa7 days ago
Ugonjwa wa ngozi sehemu za siri
-
Magonjwa2 days ago
kuharisha na kutapika ni dalili za ugonjwa gani
-
Events6 days ago
Chad yafanikiwa kuondoa Ugonjwa wa trypanosomiasis,WHO yatangaza
-
News4 days ago
TANZIA:Yusuf Manji afariki dunia akipatiwa Matibabu Marekani
-
Utafiti22 hours ago
Zaidi ya vifo milioni 3 kila mwaka hutokana na matumizi ya pombe na madawa ya kulevya-WHO