Magonjwa
TATIZO LA MIGUU KUWAKA MOTO CHANZO CHAKE
TATIZO LA MIGUU KUWAKA MOTO CHANZO CHAKE,
Tatizo hili huwapata watu wengu sana,na hizi hapa chini ni baadhi ya sababu za tatizo hilo;
1. Kuwa na tatizo la kisukari au Diabetes
2. Tatizo la Peripheral neuropathy ambapo nerves zinazounganisha uti wa mgongo(spinal cord) kwenda miguuni na mikononi huharibiwa,
chanzo cha kuharibika kwa Nerves hizi ni pamoja na;
– Ugonjwa huu wa Kisukari
– Matumizi ya dawa za Kansa(cancer drugs au huduma ya chemotherapy)
– Tatizo la Figo kufail yaani Kidney failure
– Magonjwa ambayo ni autoimmune diseases kama vile Rheumatoid arthritis n.k
– Uwepo wa toxic chemicals mbali mbali
– Maambukizi ya vimelea mbali mbali vya magonjwa
– Pamoja na matatizo kwenye lishe yaani nutrition problems.
3. Unywaji pombe kupita kiasi,pombe ina madhara mengi sana mwilini ikiwemo hili la kuharibu kabsa nerves zinazounganisha miguuni, na kusababisha tatizo la miguu kuwaka moto
4. Tatizo la Athlete’s foot au Tinea pedis ambapo huhusisha mashambulizi ya fangasi miguuni ikiwemo kati kati ya vidole vya miguu na kuleta hali ya muwasho sana na miguu kuwaka moto
5. Upungufu mkubwa wa Vitamins hasa Vitamin B12 n.k
KWA USHAURI ZAIDI,ELIMU AU TIBA TUWASILIANE KWA NAMBA +255758286584.
-
Uzazi/Ujauzito6 days ago
Dalili za hatari baada ya kujifungua kwa upasuaji
-
Uzazi/Ujauzito4 days ago
Dalili za mimba hutokea baada ya siku ngapi
-
Magonjwa5 days ago
Dalili za infection kwenye damu,mchafuko wa damu
-
Magonjwa3 days ago
kuharisha na kutapika ni dalili za ugonjwa gani
-
Events7 days ago
Chad yafanikiwa kuondoa Ugonjwa wa trypanosomiasis,WHO yatangaza
-
News5 days ago
TANZIA:Yusuf Manji afariki dunia akipatiwa Matibabu Marekani
-
afyatips20 hours ago
Madhara ya damu kuwa nyingi mwilini
-
Utafiti2 days ago
Zaidi ya vifo milioni 3 kila mwaka hutokana na matumizi ya pombe na madawa ya kulevya-WHO