Magonjwa
PATA MUDA WA KUTOSHA WA KULALA,UMUHIMU WAKE
PATA MUDA WA KUTOSHA WA KULALA,UMUHIMU WAKE
Tafiti zinaonyesha kwamba,kupata muda mzuri wa kulala usiku angalau masaa 8 kwa mtu mzima,
husaidia sana kuboresha afya ya akili,ikiwa ni pamoja na kurepair seli hai za mwili wako,
Ikiwa unapata muda wa kutosha wa kupumzika pamoja na kulala,
hata uwezo wako wa kufikiri na kufanya maamuzi sahihi unaongezeka.
Epuka matumizi ya dawa ili upate usingizi mara kwa mara, badala yake angalia vitu vinavyokufanya usilale na kuviepuka.
Mlinzi wa kwanza wa afya yako ni wewe mwenyewe.
-
Uzazi/Ujauzito5 days ago
Dalili za hatari baada ya kujifungua kwa upasuaji
-
Magonjwa4 days ago
Dalili za infection kwenye damu,mchafuko wa damu
-
Uzazi/Ujauzito3 days ago
Dalili za mimba hutokea baada ya siku ngapi
-
Magonjwa7 days ago
Ugonjwa wa ngozi sehemu za siri
-
Magonjwa2 days ago
kuharisha na kutapika ni dalili za ugonjwa gani
-
Events6 days ago
Chad yafanikiwa kuondoa Ugonjwa wa trypanosomiasis,WHO yatangaza
-
News4 days ago
TANZIA:Yusuf Manji afariki dunia akipatiwa Matibabu Marekani
-
Utafiti23 hours ago
Zaidi ya vifo milioni 3 kila mwaka hutokana na matumizi ya pombe na madawa ya kulevya-WHO