Connect with us

Magonjwa

TATIZO LA KUPATA HEDHI KWA MUDA MREFU

Avatar photo

Published

on

TATIZO LA KUPATA HEDHI KWA MUDA MREFU

Tunasema mwanamke ana tatizo la kupata hedhi kwa muda mrefu hasa pale ambapo inachukua zaidi ya siku 7 au wiki moja.

Hivo basi,Mwanamke ambaye anapata hedhi mfululizo zaidi ya siku 7 au zaidi ya wiki, yupo kwenye kundi la wanawake wenye tatizo la kupata hedhi kwa Muda mrefu.

CHANZO CHA TATIZO LA KUPATA HEDHI KWA MUDA MREFU

Zipo baadhi ya sababu mbali mbali ambazo huchangia uwepo wa tatizo hili,na sababu hizo ni kama vile;

1. Mabadiliko ya vichocheo mwilini(hormone changes), Mwanamke huweza kubata mabadiliko makubwa ya vichocheo mwilini kutokana na sababu mbali mbali kama vile;

• Matumizi ya njia za uzazi wa mpango kama sindano,vidonge n.k

• Matumizi ya Emergence contraceptives maarufu kama P2 mara kwa mara

• Mabadiliko makubwa ya vichocheo mwilini kipindi cha balehe(puberty) au karibu na kufikia ukomo wa hedhi yaani Perimenopause

• Matatizo kama thyroid disorders or polycystic ovary syndrome. n.k

2. Mabadiliko kwenye utokaji wa yai yaani Ovulation changes, Kama Ovaries zako hazitoi mayai kipindi cha hedhi, basi ukuta mzito hujengwa kwenye mji wa mimba,

Ambapo wakati ikifikia hatua ya kubomoka yaani Uterine thick line sheding ndipo mwanamke hupata period kwa muda mrefu sana kuliko kawaida.

3. Matumizi ya dawa mbali mbali kama vile;

– Matumizi ya njia za uzazi wa mpango kama sindano,vidonge n.k

– Matumizi ya Emergence contraceptives maarufu kama P2 mara kwa mara

– Matumizi ya aspirin, anti-inflammatories,pamoja na blood thinners nyingine

4. Ujauzito, sio period kama period nyingine,lakini wakati mwingine unaweza kuendelea kuvuja damu ukiwa mjamzito kumbe ni mimba inatishia kutoka, au tatizo la mimba kutunga nje ya kizazi yaani ectopic pregnancy.

5. Tatizo la uvimbe kwenye kizazi yaani(Uterine fibroids ,Adenomyosis or polyps), Tatizo hili pia huweza kusababisha mwanamke kupata period kwa muda mrefu zaidi.

6. Tatizo kwenye tezi la Thyroid, unaweza kuwa na tatizo la kublid kwa muda mrefu kutokana na kutokufanya kazi vizuri kwa thyroid gland hali ambayo kwa kitaalam hujulikana kama hypothyroidism

7. Hali ya damu yako mwenyewe, hapa nazungumzia vitu kama uwezo wako wa damu kuganda,hemophilia n.k

Kama una tatizo hili la damu kutokuganda unaweza kupata blid mfululizo kwa muda mrefu sana.

8. Tatizo la Obesity, Watu wengi hawajui kwamba kuwa na uzito mkubwa kupita kawaida(Excessive body weight) huweza kuchangia mwanamke kupata period kwa muda mrefu zaidi.

Hii ni kwa sababu ya FATTY TISSUE huweza kusababisha mwili wako kuzalisha zaidi kichocheo cha Estrogen,hali ambayo huweza kuleta mabadiliko kwenye mzunguko wako wa hedhi.

9. Maambukizi ya bacteria kwenye via vya uzazi vya Mwanamke yaani Pelvic inflammatory disease (PID), Tatizo hili huweza kusababisha mwanamke kuanza kutokwa na uchafu ukeni,period nyeusi,na blid kwa muda mrefu pia.

10. Tatizo la kansa/Saratani ya kizazi au Saratani ya shingo ya kizazi, kwa baadhi ya Wanawake wenye Saratani hizi huweza kuanza kupata period kwa muda mrefu zaidi kuliko kawaida kama dalili za mwanzoni kabsa za Saratani hizi.

KWA USHAURI ZAIDI,ELIMU AU TIBA TUWASILIANE KWA NAMBA +255758286584.

Ushauri|Tiba|CheckIn ContactUs; +255758286584 or INBOX. For More Healthtips everyday Link In https://afyaclass.com Also Follow us on Instagram @afyaclass

YOU MUST READ(IMPORTANT)

Magonjwa3 months ago

Maumivu chini ya kitovu ni dalili za ugonjwa gani

Maumivu chini ya kitovu ni dalili za ugonjwa gani. Watu wengi huweza kupata maumivu chini ya kitovu, lakini umewahi kujiuliza...

Magonjwa3 months ago

Kaswende ni ugonjwa gani, soma hapa kufahamu

Kaswende ni ugonjwa gani, Kaswende ni maambukizi yanayosababishwa na bakteria. Mara nyingi, huenea kupitia mawasiliano ya kingono au kwa kujamiiana....

Magonjwa3 months ago

Koo kukauka ni dalili ya ugonjwa gani

Koo kukauka ni dalili ya ugonjwa gani Koo kukauka kunaweza kusababishwa na sababu kadhaa, ikiwa ni pamoja na: Upungufu wa...

Magonjwa3 months ago

Amiba ni ugonjwa gani,Fahamu kuhusu Ugonjwa wa Amebiasis

Amiba ni ugonjwa gani Wengi wamezoea kusema hivo ila Amiba(amoeba) ni vimelea vyinavyosababisha ugonjwa, na Ugonjwa huo kitaalam ndyo hujulikana...

Magonjwa5 months ago

kuwashwa nyayo za miguu husababishwa na nini? chanzo na Tiba

kuwashwa nyayo za miguu husababishwa na nini? chanzo na Tiba kuwashwa nyayo za miguu; zipo sababu nyingi ambazo huchangia shida...

magonjwa ya wanawake5 months ago

Ujue Ugonjwa Wa PID (Pelvic Inflammatory Disease)

Ujue Ugonjwa Wa PID (Pelvic Inflammatory Disease) Pid ni ugonjwa gani? PID ni Maambukizi ya bacteria Kwenye Via vya Uzazi...

Magonjwa2 years ago

SHINGO YA MTOTO KULEGEA(CHANZO CHAKE)

SHINGO YA MTOTO KULEGEA(CHANZO CHAKE) Mabadiliko ya Watoto wengi huanza kwenye miezi mitatu ya Mwanzo wakati ambapo Shingo ya mtoto...

Magonjwa3 years ago

MAUMIVU MAKALI SEHEMU YA HAJA KUBWA

Baadhi ya watu wanachanganya tatizo la maumivu makali sehemu ya haja kubwa pamoja na tatizo la Bawasiri,japo mojawapo ya chanzo...

Magonjwa3 years ago

TATIZO LA MASIKIO KUPIGA KELELE,CHANZO NA TIBA YAKE(Tinnitus)

TATIZO LA MASIKIO KUPIGA KELELE,CHANZO NA TIBA YAKE(Tinnitus) tatizo la masikio kupiga kelele Tinnitus, ni Tatizo la masikio kupiga kelele,...

Magonjwa3 years ago

DALILI ZA UGONJWA WA GONO(KISONONO)

 UGONJWA WA KISONONO DALILI ZA UGONJWA WA GONO(KISONONO) Ugonjwa wa gonorrhea maarufu kama GONO au Kisonono ni ugonjwa wa zinaa...

Magonjwa3 years ago

TATIZO LA UKE KUJAMBA PAMOJA NA TIBA YAKE(chanzo cha tatizo hili ni nini?)

Tatizo la Uke Kujamba TATIZO LA UKE KUJAMBA PAMOJA NA TIBA YAKE(chanzo cha tatizo hili ni nini?) Moja ya vitu...

Magonjwa3 years ago

DALILI ZA FANGASI UUMENI,KORODANI PAMOJA NA MATIBABU YAKE

 FANGASI • • • • • DALILI ZA FANGASI UUMENI,KORODANI PAMOJA NA MATIBABU YAKE Mashambulizi ya Fangasi sehemu za siri...

Magonjwa3 years ago

CHANZO CHA TATIZO LA KUOTA NYAMA PUANI PAMOJA NA MATIBABU YAKE

Chanzo cha tatizo la NYAMA PUANI,Dalili zake Pamoja na Tiba yake, Soma makala hii kwa Makini ili upate Kujua kuhusu...

Magonjwa3 years ago

SABABU ZA KUVIMBA KWA MASHAVU YA UKE(TEZI LA BARTHOLIN)

KUVIMBA MASHAVU YA UKE • • • • • • Katika Makala hii tumechambua zaidi kuhusu sababu za kuvimba mashavu...

Magonjwa4 years ago

TATIZO LA MWANAUME KUOTA MATITI(gynecomastia)

TATIZO LA MWANAUME KUOTA MATITI(gynecomastia) Tatizo hili linatokea kwa Baadhi ya wanaume,na hata kupelekea Wanaume hao kuwa na Matiti kama...

MAGONJWA MBALI MBALI

Magonjwa2 days ago

kuharisha na kutapika ni dalili za ugonjwa gani

kuharisha na kutapika ni dalili za ugonjwa gani Unapopata tatizo la kuharisha na kutapika kwa wakati mmoja unaweza kuwaza sana,...

Magonjwa4 days ago

Dalili za infection kwenye damu,mchafuko wa damu

Dalili za infection kwenye damu Mchafuko wa damu,chanzo,dalili na Tiba Mchafuko wa damu; hiki ni kiswahili ambacho watu wamezoea kukitumia...

Magonjwa7 days ago

Ugonjwa wa ngozi sehemu za siri

Ugonjwa wa ngozi sehemu za siri Yapo magonjwa mbali mbali ya ngozi ambayo huweza kuathiri Sehemu za Siri za Mwanaume...

Magonjwa2 weeks ago

Dalili za acid reflux,Soma hapa Kufahamu

Dalili za acid reflux: Tatizo la Gastroesophageal reflux disease (GERD), ni tatizo ambalo huwapata Watu wengi,Tatizo hili hujulikana kwa jina...

Magonjwa4 weeks ago

Ugonjwa wa ngozi kuwa nyeupe,VITILIGO

Ugonjwa wa ngozi kuwa nyeupe,VITILIGO Vitiligo ni ugonjwa wa ngozi kuwa nyeupe au ni ugonjwa ambao huhusisha ngozi kupoteza rangi...

Magonjwa4 weeks ago

Mlipuko wa ugonjwa wa macho,Macho Mekundu

Mlipuko wa ugonjwa wa macho,Macho Mekundu Baada ya Ugonjwa huu wa macho kusumbua watu wengi kwa kipindi cha Hivi Karibuni,...

Magonjwa1 month ago

Scabies ni ugonjwa gani? Soma hapa kufahamu

Scabies ni ugonjwa gani? Soma hapa kufahamu Utangulizi: Scabies huhusisha mtu kuwa na vipele na muwasho kwenye ngozi yake ambapo...

Magonjwa1 month ago

Dalili za ugonjwa wa gono kwa mwanaume

Dalili za ugonjwa wa gono kwa mwanaume Gono ni neno maarufu ambalo kirefu chake ni Gonorrhea na kiswahili chake ni...

Magonjwa1 month ago

Dalili Mpya za ukimwi kwenye ngozi

Zipi ni Dalili za ukimwi kwenye ngozi Zipi ni dalili za Ukimwi kwenye ngozi ya mtu? Fahamu hapa kupitia makala...

Magonjwa1 month ago

Madhara ya COVID-19: Athari za Ugonjwa, Asili na Matibabu

Madhara ya COVID-19: Athari za Ugonjwa, Asili na Matibabu Huu ni ugonjwa wa kuambukiza uliosababishwa na kirusi cha corona, ambao...

Trending