Magonjwa
Maambukizi ya Njia ya Mkojo dalili zake
Maambukizi ya Njia ya Mkojo dalili zake
Katika makala hii,nmekupa baadhi ya dalili ambazo ukiziona zinatokea kwenye mwili wako,
unaweza kuwa na maambukizi ya kwenye njia ya Mkojo au UTI
KUMBUKA; UTI ni kifupi cha maneno haya “Urinary tract Infection”
Hapa tunazungumzia maambukizi ya vimelea vya magonjwa kama vile bacteria,
ambayo huhusisha mfumo wa mkojo ikiwemo;Njia ya mkojo,kibofu cha mkojo,Figo N.k
DALILI ZA UTI KWA WOTE(MWANAMKE NA MWANAUME) NI PAMOJA NA;
– Kupata maumivu makali ya nyonga,mgongo,joint pamoja na viungo mbali mbali vya mwili
– Kupata maumivu ya tumbo hasa hasa upande wa kushoto
– Kuhisi kukojoa mara kwa mara ila ukikojoa mkojo haushi
– Kuhisi hali ya kuchoma wakati wa kukojoa
– Kukojoa mkojo wenye rangi kama pink au nyekundu,hii ni baada ya UTI kuwa ya mda mrefu na kuanza kuleta madhara makubwa
– Kuhisi hali ya uume kuwaka Moto
– Kuhisi hali ya kuchoma au kuwasha kwenye tundu au njia ya mkojo
– Kupata uchovu wa mwili kupita kiasi au Mwili kuchoka sana
– Joto la mwili kuwa juu au Mtu kuwa na Homa(Fever)N.k
KWA USHAURI ZAIDI,ELIMU AU TIBA TUWASILIANE KWA NAMBA +255758286584.
-
Uzazi/Ujauzito5 days ago
Dalili za hatari baada ya kujifungua kwa upasuaji
-
Magonjwa4 days ago
Dalili za infection kwenye damu,mchafuko wa damu
-
Uzazi/Ujauzito3 days ago
Dalili za mimba hutokea baada ya siku ngapi
-
Magonjwa7 days ago
Ugonjwa wa ngozi sehemu za siri
-
Magonjwa2 days ago
kuharisha na kutapika ni dalili za ugonjwa gani
-
Events6 days ago
Chad yafanikiwa kuondoa Ugonjwa wa trypanosomiasis,WHO yatangaza
-
News4 days ago
TANZIA:Yusuf Manji afariki dunia akipatiwa Matibabu Marekani
-
Utafiti22 hours ago
Zaidi ya vifo milioni 3 kila mwaka hutokana na matumizi ya pombe na madawa ya kulevya-WHO