Connect with us

News

Madhara ya  UKEKETAJI kwa WANAWAKE Na Faida ya TOHARA kwa Wanaume

Avatar photo

Published

on

Madhara ya  UKEKETAJI kwa WANAWAKE Na Faida ya TOHARA kwa Wanaume

• • • • •

MADHARA YA UKEKETAJI KWA MWANAMKE(Hii ni mojawapo ya mila potofu)

Hii ni mojawapo ya mila potofu ambayo ni hatari kwa afya ya mwanamke. Kitendo hiki huhusisha kukata au kupunguza baadhi ya sehemu katika utupu(uke) wa mwanamke ikiwemo kisimi,mashavu ya uke N.K

Ambapo jamii zinazofanya kitendo hiki zikiamini kwamba eti kinamsaidia mwanamke kutokuwa na tabia mbaya kama umalaya N.k na kuweza kutulia katika ndoa yake. Lahasha! hyo sio dawa.

MADHARA YA UKEKETAJI KWA MWANAMKE NI PAMOJA NA;

• Mwanamke kuvuja damu nyingi wakati wa ukeketaji na kupata shida ya kuishiwa na damu

• Mwanamke kuchanika vibaya wakati wa kujifungua na kupoteza damu nyingi zaidi

• Mwanamke kupata maumivu makali wakati wa kufanyiwa kitendo hiki

• Mwanamke kupoteza maisha wakati anafanyiwa ukeketaji au wakati anajifungua kutokana na kumwaga damu nyingi sana

• Mwanamke kuathirika kisaikolojia na kujiona yuko tofauti na wanawake wenzake hasa akiangalia maumbile yake

• Mwanamke kupatwa na magonjwa mengine kwa haraka kwani kwa asilimia kubwa kitendo hiki hakifanyiki katika mazingira ya Usafi

N.K

EPUKA UKATILI HUU KWANI HAUNA FAIDA YOYOTE KIAFYA,BADALA YAKE NI CHANZO CHA MADHARA MAKUBWA KIAFYA IKIWEMO PAMOJA NA KUPOTEZA MAISHA YA WATU.

TOHARA KWA WANAUME

Baadhi ya jamii bado hazijafahamu faida za wanaume kufanyiwa tohara na hasara kubwa ambazo huweza kutokea kwa wanaume ambao hawajafanyiwa tohara. katika makala hii tumechambua faida za mwanaume kufanyiwa tohara kama ifuatavyo;

FAIDA KWA MWANAUME MWENYEWE BAADA YA KUFANYIWA TOHARA NI PAMOJA NA;

– Mwanaume aliyetahiriwa huwa rahisi zaidi kujisafisha na kuondoa uchafu wote kwenye ngozi ya uume wake

– Mwanaume kutahiriwa hupunguza sana maambukizi kwenye mfumo mzima wa mkojo yaani Urinary tract infection(UTI)

– Mwanaume kutahiriwa hupunguza sana maambukizi ya magonjwa mbali mbali ya zinaa yaani Sexual transmitted diseases(STD’s)

– Mwanaume kutahiriwa hupunguza matatizo mbali mbali kwenye uume kama vile tatizo la phimosis ambalo huweza kusababisha ngozi ya mbele ya uume(foreskin) au kichwa cha uume kuvimba

– Mwanaume aliyetahiriwa huweza kufanya tendo la ndoa vizuri zaidi kuliko mwanaume ambaye hajatahiriwa

– Mwanaume kutahiriwa hupunguza tatizo la kansa ya uume yaani penile cancer n.k

FAIDA KWA MWANAMKE AMBAYE YUPO KIMAHUSIANO NA MWANAUME AMBAYE AMEFANYIWA TOHARA

• Mwanamke anayeshiriki tendo la ndoa na mwanaume ambaye katahiriwa huridhika kwa urahisi zaidi kuliko mwanamke ambaye hushirki tendo la ndoa na mwanaume ambaye hajatahiriwa,

Hii ni kwa sababu mwanaume aliyetahiriwa uume wake huweza kusimama kwa muda mrefu zaidi na kuwa na hamasa ya kurudia tendo mara nyingi zaidi kuliko mwanaume ambaye hajatahiriwa

• Mwanamke anayeshiriki tendo la ndoa na mwanaume ambaye katahiriwa huwa katika hatari ndogo zaidi ya kushambuliwa na magonjwa mbali mbali ya zinaa(STD’s) kuliko mwanamke ambaye hushirki tendo la ndoa na mwanaume ambaye hajatahiriwa,

Baadhi ya tafiti zinaonyesha kwamba; Maambukizi ya kirusi cha Human papilloma virus(HPV),genital herpes,kaswende(syphillis), Trichomoniasis pamoja na maambukizi ya HIV hupungua zaidi endapo tendo la ndoa linafanyika na mwanaume akiwa ametahiriwa kuliko ambaye bado hajatahiriwa.

• Mwanamke anayeshiriki tendo la ndoa na mwanaume ambaye katahiriwa yupo kwenye hatari ndogo ya kupatwa na saratani ya mlango wa kizazi(cervical cancer) kuliko mwanamke ambaye hushirki tendo la ndoa na mwanaume ambaye hajatahiriwa,

• Mwanamke anayeshiriki tendo la ndoa na mwanaume ambaye hajatahiriwa yupo kwenye hatari ya kuingiziwa uchafu kutoka kwa mwanaume,kushambuliwa na vimelea vya magonjwa kama vile bacterial vaginosis,yeast infection, pamoja na kushindwa kubalance kiwango cha PH ukeni, kuliko mwanamke ambaye hushirki tendo la ndoa na mwanaume ambaye katahiriwa

KWA USHAURI ZAIDI,ELIMU AU TIBA JUU YA TATIZO LOLOTE TUWASILIANE KWA NAMBA +255758286584.

Ushauri|Tiba|CheckIn ContactUs; +255758286584 or INBOX. For More Healthtips everyday Link In https://afyaclass.com Also Follow us on Instagram @afyaclass

YOU MUST READ(IMPORTANT)

Magonjwa2 months ago

Maumivu chini ya kitovu ni dalili za ugonjwa gani

Maumivu chini ya kitovu ni dalili za ugonjwa gani. Watu wengi huweza kupata maumivu chini ya kitovu, lakini umewahi kujiuliza...

Magonjwa3 months ago

Kaswende ni ugonjwa gani, soma hapa kufahamu

Kaswende ni ugonjwa gani, Kaswende ni maambukizi yanayosababishwa na bakteria. Mara nyingi, huenea kupitia mawasiliano ya kingono au kwa kujamiiana....

Magonjwa3 months ago

Koo kukauka ni dalili ya ugonjwa gani

Koo kukauka ni dalili ya ugonjwa gani Koo kukauka kunaweza kusababishwa na sababu kadhaa, ikiwa ni pamoja na: Upungufu wa...

Magonjwa3 months ago

Amiba ni ugonjwa gani,Fahamu kuhusu Ugonjwa wa Amebiasis

Amiba ni ugonjwa gani Wengi wamezoea kusema hivo ila Amiba(amoeba) ni vimelea vyinavyosababisha ugonjwa, na Ugonjwa huo kitaalam ndyo hujulikana...

Magonjwa5 months ago

kuwashwa nyayo za miguu husababishwa na nini? chanzo na Tiba

kuwashwa nyayo za miguu husababishwa na nini? chanzo na Tiba kuwashwa nyayo za miguu; zipo sababu nyingi ambazo huchangia shida...

magonjwa ya wanawake5 months ago

Ujue Ugonjwa Wa PID (Pelvic Inflammatory Disease)

Ujue Ugonjwa Wa PID (Pelvic Inflammatory Disease) Pid ni ugonjwa gani? PID ni Maambukizi ya bacteria Kwenye Via vya Uzazi...

Magonjwa2 years ago

SHINGO YA MTOTO KULEGEA(CHANZO CHAKE)

SHINGO YA MTOTO KULEGEA(CHANZO CHAKE) Mabadiliko ya Watoto wengi huanza kwenye miezi mitatu ya Mwanzo wakati ambapo Shingo ya mtoto...

Magonjwa3 years ago

MAUMIVU MAKALI SEHEMU YA HAJA KUBWA

Baadhi ya watu wanachanganya tatizo la maumivu makali sehemu ya haja kubwa pamoja na tatizo la Bawasiri,japo mojawapo ya chanzo...

Magonjwa3 years ago

TATIZO LA MASIKIO KUPIGA KELELE,CHANZO NA TIBA YAKE(Tinnitus)

TATIZO LA MASIKIO KUPIGA KELELE,CHANZO NA TIBA YAKE(Tinnitus) tatizo la masikio kupiga kelele Tinnitus, ni Tatizo la masikio kupiga kelele,...

Magonjwa3 years ago

DALILI ZA UGONJWA WA GONO(KISONONO)

 UGONJWA WA KISONONO DALILI ZA UGONJWA WA GONO(KISONONO) Ugonjwa wa gonorrhea maarufu kama GONO au Kisonono ni ugonjwa wa zinaa...

Magonjwa3 years ago

TATIZO LA UKE KUJAMBA PAMOJA NA TIBA YAKE(chanzo cha tatizo hili ni nini?)

Tatizo la Uke Kujamba TATIZO LA UKE KUJAMBA PAMOJA NA TIBA YAKE(chanzo cha tatizo hili ni nini?) Moja ya vitu...

Magonjwa3 years ago

DALILI ZA FANGASI UUMENI,KORODANI PAMOJA NA MATIBABU YAKE

 FANGASI • • • • • DALILI ZA FANGASI UUMENI,KORODANI PAMOJA NA MATIBABU YAKE Mashambulizi ya Fangasi sehemu za siri...

Magonjwa3 years ago

CHANZO CHA TATIZO LA KUOTA NYAMA PUANI PAMOJA NA MATIBABU YAKE

Chanzo cha tatizo la NYAMA PUANI,Dalili zake Pamoja na Tiba yake, Soma makala hii kwa Makini ili upate Kujua kuhusu...

Magonjwa3 years ago

SABABU ZA KUVIMBA KWA MASHAVU YA UKE(TEZI LA BARTHOLIN)

KUVIMBA MASHAVU YA UKE • • • • • • Katika Makala hii tumechambua zaidi kuhusu sababu za kuvimba mashavu...

Magonjwa4 years ago

TATIZO LA MWANAUME KUOTA MATITI(gynecomastia)

TATIZO LA MWANAUME KUOTA MATITI(gynecomastia) Tatizo hili linatokea kwa Baadhi ya wanaume,na hata kupelekea Wanaume hao kuwa na Matiti kama...

MAGONJWA MBALI MBALI

Magonjwa3 hours ago

Dalili za infection kwenye damu,mchafuko wa damu

Dalili za infection kwenye damu Mchafuko wa damu,chanzo,dalili na Tiba Mchafuko wa damu; hiki ni kiswahili ambacho watu wamezoea kukitumia...

Magonjwa3 days ago

Ugonjwa wa ngozi sehemu za siri

Ugonjwa wa ngozi sehemu za siri Yapo magonjwa mbali mbali ya ngozi ambayo huweza kuathiri Sehemu za Siri za Mwanaume...

Magonjwa1 week ago

Dalili za acid reflux,Soma hapa Kufahamu

Dalili za acid reflux: Tatizo la Gastroesophageal reflux disease (GERD), ni tatizo ambalo huwapata Watu wengi,Tatizo hili hujulikana kwa jina...

Magonjwa3 weeks ago

Ugonjwa wa ngozi kuwa nyeupe,VITILIGO

Ugonjwa wa ngozi kuwa nyeupe,VITILIGO Vitiligo ni ugonjwa wa ngozi kuwa nyeupe au ni ugonjwa ambao huhusisha ngozi kupoteza rangi...

Magonjwa4 weeks ago

Mlipuko wa ugonjwa wa macho,Macho Mekundu

Mlipuko wa ugonjwa wa macho,Macho Mekundu Baada ya Ugonjwa huu wa macho kusumbua watu wengi kwa kipindi cha Hivi Karibuni,...

Magonjwa4 weeks ago

Scabies ni ugonjwa gani? Soma hapa kufahamu

Scabies ni ugonjwa gani? Soma hapa kufahamu Utangulizi: Scabies huhusisha mtu kuwa na vipele na muwasho kwenye ngozi yake ambapo...

Magonjwa4 weeks ago

Dalili za ugonjwa wa gono kwa mwanaume

Dalili za ugonjwa wa gono kwa mwanaume Gono ni neno maarufu ambalo kirefu chake ni Gonorrhea na kiswahili chake ni...

Magonjwa1 month ago

Dalili Mpya za ukimwi kwenye ngozi

Zipi ni Dalili za ukimwi kwenye ngozi Zipi ni dalili za Ukimwi kwenye ngozi ya mtu? Fahamu hapa kupitia makala...

Magonjwa1 month ago

Madhara ya COVID-19: Athari za Ugonjwa, Asili na Matibabu

Madhara ya COVID-19: Athari za Ugonjwa, Asili na Matibabu Huu ni ugonjwa wa kuambukiza uliosababishwa na kirusi cha corona, ambao...

Magonjwa1 month ago

Ishara za Maambukizi ya Njia ya Mkojo (UTI) kwa Wanaume na Wanawake

Ishara za Maambukizi ya Njia ya Mkojo (UTI) kwa Wanaume na Wanawake Karibu! Hapa kwa makala yenye taarifa muhimu kuhusu...

Trending