Magonjwa
Ni mara ngapi unaweza kuhitaji kubadilisha pedi yako kila siku?
Kukaa na Pedi kwa Muda Mrefu huweza kuongeza hatari ya Mwanamke kupata magonjwa mbali mbali ikiwemo Fangasi.
Ni mara ngapi unaweza kuhitaji kubadilisha pedi yako kila siku?
Hii inaweza kutegemea kiwango chako cha Hedhi unachopata, jinsi mtiririko wako ulivyo mzito, na aina ya pedi unayotumia. Lakini unapaswa kuibadilisha kabla haijajaa.
Kwa Mujibu wa “The American College of Obstetricians and Gynecologists (ACOG)” wanapendekeza ubadilishe pedi yako angalau kila baada ya saa 4 hadi 8, lakini hayo ni masaa ya jumla tu.
Ni mara ngapi unabadilisha pedi yako inategemea na sababu mbali mbali ikiwemo; mtiririko wako, aina ya pedi unayotumia n.k.
-
Uzazi/Ujauzito5 days ago
Dalili za hatari baada ya kujifungua kwa upasuaji
-
Magonjwa4 days ago
Dalili za infection kwenye damu,mchafuko wa damu
-
Uzazi/Ujauzito3 days ago
Dalili za mimba hutokea baada ya siku ngapi
-
Magonjwa7 days ago
Ugonjwa wa ngozi sehemu za siri
-
Magonjwa2 days ago
kuharisha na kutapika ni dalili za ugonjwa gani
-
Events6 days ago
Chad yafanikiwa kuondoa Ugonjwa wa trypanosomiasis,WHO yatangaza
-
News4 days ago
TANZIA:Yusuf Manji afariki dunia akipatiwa Matibabu Marekani
-
Utafiti21 hours ago
Zaidi ya vifo milioni 3 kila mwaka hutokana na matumizi ya pombe na madawa ya kulevya-WHO