Connect with us

Magonjwa

Ugonjwa wa Leukemia,Saratani ya damu

Avatar photo

Published

on

Ugonjwa wa Leukemia,Saratani ya damu

Leukemia huu ni ugonjwa wa Saratani ya damu ambayo huathiri na kushambulia zaidi tisu mbali mbali mwilini ambazo zinahusika na utengenezaji wa damu kama vile tissu za Bone marrow,Lymphatic system n.k.

katika Makala hii tumechambua Zaidi kuhusu Ugonjwa huu wa saratani ya damu,Sababu Zake Pamoja na Matibabu yake.

CHANZO CHA UGONJWA WA SARATANI YA DAMU(LEUKEMIA)

– Hakuna sababu ya moja kwa moja iliyogundulika na kuonekana inasababisha aina hii ya Saratani ya damu/Leukemia, japo kuna baadhi ya sababu ambazo huongeza uwezekano wa mtu kupatwa na Ugonjwa wa Saratani ya damu, Sababu hizo ni kama vile;

• Sababu za kuwa na vinasaba vya Ugonjwa wa kansa ya damu katika familia au ukoo

• Kuwahi kupatwa na aina zingine za saratani au kansa kisha kupata huduma ya mionzi pamoja na baadhi ya dawa za kumsaidia mtu mwenye tatizo la saratani kwa muda flani

• Mtu kuwa na magonjwa mengine yanayohusisha damu

• Kupata miale mikali ya Mionzi n.k

• Uvutaji wa Sigara,

Pia Uvutaji wa Sigara huweza kuongeza uwezekano wa mtu kupata Ugonjwa wa Saratani ya damu

• Matumizi ya baadhi ya vitu vyenye kemikali kali n.k

Vyote hivi kwa Pamoja huweza kuongeza hatari ya Mtu kupata Ugonjwa wa saratani ya damu(Leukemia).

DALILI ZA UGONJWA WA SARATANI YA DAMU(LEUKEMIA)

Dalili za Ugonjwa wa saratani ya damu ni Pamoja na;

– Joto la mwili kuwa juu au mgonjwa kuwa na homa

– Mwili kuchoka kupita kiasi pamoja na kukosa nguvu

– Uzito wa mwili kupungua kwa kasi kubwa

– Mgonjwa kukosa hamu ya kula chakula kabsa

– Mgonjwa kuvimba ini,lymph nodes n.k.

– Kuwa na tatizo la damu kuvuja puani kwa kujirudia mara kwa mara

– Rahisi sana kwa mgonjwa kuvuja damu au kupata michubuko mbali mbali ya ngozi, hii pia ni mojawapo ya dalili za Ugonjwa wa kansa ya damu

– Ngozi kuwa na madoa doa ya rangi nyekundu kama vile maeneo ya usoni(tazama picha hapo chini) pamoja na maeneo mengine ya mwili

– Mwili kuvuja sana jasho kupita kiasi hasa wakati wa usiku

– Kupata maumivu makali ya mifupa n.k

MATIBABU YA UGONJWA WA SARATANI YA DAMU

• Yapo matibabu ya aina mbali mbali kulingana na ukubwa wa ugonjwa wa Saratani ya Damu,chanzo chake pamoja na Stage uliopo. Ila kwa ufupi kuna Tiba mbali mbali za Ugonjwa wa saratani ya damu kama vile;

  •  Tiba ya mionzi(Radiotherapy)
  •  Chemotherapy
  • Bone marrow transplant
  • Immunotherapy N.k

FAQs:Maswali ambayo huulizwa mara kwa mara

Je, Ugonjwa wa saratani ya damu una dalili Zipi?

Dalili za Ugonjwa wa Saratani ya damu ni Pamoja na;

– Joto la mwili kuwa juu au mgonjwa kuwa na homa

– Mwili kuchoka kupita kiasi pamoja na kukosa nguvu

– Uzito wa mwili kupungua kwa kasi kubwa

– Mgonjwa kukosa hamu ya kula chakula kabsa

– Mgonjwa kuvimba ini,lymph nodes n.k.

– Kuwa na tatizo la damu kuvuja puani kwa kujirudia mara kwa mara

– Rahisi sana kwa mgonjwa kuvuja damu au kupata michubuko mbali mbali ya ngozi, hii pia ni mojawapo ya dalili za Ugonjwa wa kansa ya damu

– Ngozi kuwa na madoa doa ya rangi nyekundu kama vile maeneo ya usoni(tazama picha hapo chini) pamoja na maeneo mengine ya mwili

– Mwili kuvuja sana jasho kupita kiasi hasa wakati wa usiku

– Kupata maumivu makali ya mifupa n.k

Je, Matibabu ya Ugonjwa wa kansa ya damu ni yapi?

kuna Tiba mbali mbali za Ugonjwa wa Saratani ya damu kama vile;

  •  Tiba ya mionzi(Radiotherapy)
  •  Chemotherapy
  • Bone marrow transplant
  • Immunotherapy N.k

Hitimisho

Ugonjwa wa saratani ya damu(LEUKEMIA) ni miongoni mwa magonjwa hatari ambayo husababisha mtu kupoteza Maisha,

Ingawa ukigundulika Mapema,ni rahisi kupata matibabu na Kupona kabsa kama ilivyo kwa Kansa Zingine mbali mbali,

Hivo basi, ni muhimu sana kufahamu dalili za Ugonjwa wa kansa ya damu ili kupata Matibabu mapema zaidi ikiwa zitajionyesha, Dalili hizo ni pamoja na;

– Joto la mwili kuwa juu au mgonjwa kuwa na homa

– Mwili kuchoka kupita kiasi pamoja na kukosa nguvu

– Uzito wa mwili kupungua kwa kasi kubwa

– Mgonjwa kukosa hamu ya kula chakula kabsa

– Mgonjwa kuvimba ini,lymph nodes n.k.

– Kuwa na tatizo la damu kuvuja puani kwa kujirudia mara kwa mara

– Rahisi sana kwa mgonjwa kuvuja damu au kupata michubuko mbali mbali ya ngozi, hii pia ni mojawapo ya dalili za Ugonjwa wa kansa ya damu

– Ngozi kuwa na madoa doa ya rangi nyekundu kama vile maeneo ya usoni(tazama picha hapo chini) pamoja na maeneo mengine ya mwili

– Mwili kuvuja sana jasho kupita kiasi hasa wakati wa usiku

– Kupata maumivu makali ya mifupa n.k

Lakini pia ni muhimu zaidi kufahamu vitu vinavyoongeza hatari ya kupata ugonjwa wa kansa ya Damu ili kuviepuka na kujikinga na Kansa hii ya Damu.

KWA USHAURI ZAIDI,ELIMU AU TIBA JUU YA TATIZO LOLOTE TUWASILIANE KWA NAMBA +255758286584.

YOU MUST READ(IMPORTANT)

Magonjwa2 months ago

Maumivu chini ya kitovu ni dalili za ugonjwa gani

Maumivu chini ya kitovu ni dalili za ugonjwa gani. Watu wengi huweza kupata maumivu chini ya kitovu, lakini umewahi kujiuliza...

Magonjwa3 months ago

Kaswende ni ugonjwa gani, soma hapa kufahamu

Kaswende ni ugonjwa gani, Kaswende ni maambukizi yanayosababishwa na bakteria. Mara nyingi, huenea kupitia mawasiliano ya kingono au kwa kujamiiana....

Magonjwa3 months ago

Koo kukauka ni dalili ya ugonjwa gani

Koo kukauka ni dalili ya ugonjwa gani Koo kukauka kunaweza kusababishwa na sababu kadhaa, ikiwa ni pamoja na: Upungufu wa...

Magonjwa3 months ago

Amiba ni ugonjwa gani,Fahamu kuhusu Ugonjwa wa Amebiasis

Amiba ni ugonjwa gani Wengi wamezoea kusema hivo ila Amiba(amoeba) ni vimelea vyinavyosababisha ugonjwa, na Ugonjwa huo kitaalam ndyo hujulikana...

Magonjwa5 months ago

kuwashwa nyayo za miguu husababishwa na nini? chanzo na Tiba

kuwashwa nyayo za miguu husababishwa na nini? chanzo na Tiba kuwashwa nyayo za miguu; zipo sababu nyingi ambazo huchangia shida...

magonjwa ya wanawake5 months ago

Ujue Ugonjwa Wa PID (Pelvic Inflammatory Disease)

Ujue Ugonjwa Wa PID (Pelvic Inflammatory Disease) Pid ni ugonjwa gani? PID ni Maambukizi ya bacteria Kwenye Via vya Uzazi...

Magonjwa2 years ago

SHINGO YA MTOTO KULEGEA(CHANZO CHAKE)

SHINGO YA MTOTO KULEGEA(CHANZO CHAKE) Mabadiliko ya Watoto wengi huanza kwenye miezi mitatu ya Mwanzo wakati ambapo Shingo ya mtoto...

Magonjwa3 years ago

MAUMIVU MAKALI SEHEMU YA HAJA KUBWA

Baadhi ya watu wanachanganya tatizo la maumivu makali sehemu ya haja kubwa pamoja na tatizo la Bawasiri,japo mojawapo ya chanzo...

Magonjwa3 years ago

TATIZO LA MASIKIO KUPIGA KELELE,CHANZO NA TIBA YAKE(Tinnitus)

TATIZO LA MASIKIO KUPIGA KELELE,CHANZO NA TIBA YAKE(Tinnitus) tatizo la masikio kupiga kelele Tinnitus, ni Tatizo la masikio kupiga kelele,...

Magonjwa3 years ago

DALILI ZA UGONJWA WA GONO(KISONONO)

 UGONJWA WA KISONONO DALILI ZA UGONJWA WA GONO(KISONONO) Ugonjwa wa gonorrhea maarufu kama GONO au Kisonono ni ugonjwa wa zinaa...

Magonjwa3 years ago

TATIZO LA UKE KUJAMBA PAMOJA NA TIBA YAKE(chanzo cha tatizo hili ni nini?)

Tatizo la Uke Kujamba TATIZO LA UKE KUJAMBA PAMOJA NA TIBA YAKE(chanzo cha tatizo hili ni nini?) Moja ya vitu...

Magonjwa3 years ago

DALILI ZA FANGASI UUMENI,KORODANI PAMOJA NA MATIBABU YAKE

 FANGASI • • • • • DALILI ZA FANGASI UUMENI,KORODANI PAMOJA NA MATIBABU YAKE Mashambulizi ya Fangasi sehemu za siri...

Magonjwa3 years ago

CHANZO CHA TATIZO LA KUOTA NYAMA PUANI PAMOJA NA MATIBABU YAKE

Chanzo cha tatizo la NYAMA PUANI,Dalili zake Pamoja na Tiba yake, Soma makala hii kwa Makini ili upate Kujua kuhusu...

Magonjwa3 years ago

SABABU ZA KUVIMBA KWA MASHAVU YA UKE(TEZI LA BARTHOLIN)

KUVIMBA MASHAVU YA UKE • • • • • • Katika Makala hii tumechambua zaidi kuhusu sababu za kuvimba mashavu...

Magonjwa4 years ago

TATIZO LA MWANAUME KUOTA MATITI(gynecomastia)

TATIZO LA MWANAUME KUOTA MATITI(gynecomastia) Tatizo hili linatokea kwa Baadhi ya wanaume,na hata kupelekea Wanaume hao kuwa na Matiti kama...

MAGONJWA MBALI MBALI

Magonjwa2 days ago

kuharisha na kutapika ni dalili za ugonjwa gani

kuharisha na kutapika ni dalili za ugonjwa gani Unapopata tatizo la kuharisha na kutapika kwa wakati mmoja unaweza kuwaza sana,...

Magonjwa4 days ago

Dalili za infection kwenye damu,mchafuko wa damu

Dalili za infection kwenye damu Mchafuko wa damu,chanzo,dalili na Tiba Mchafuko wa damu; hiki ni kiswahili ambacho watu wamezoea kukitumia...

Magonjwa7 days ago

Ugonjwa wa ngozi sehemu za siri

Ugonjwa wa ngozi sehemu za siri Yapo magonjwa mbali mbali ya ngozi ambayo huweza kuathiri Sehemu za Siri za Mwanaume...

Magonjwa2 weeks ago

Dalili za acid reflux,Soma hapa Kufahamu

Dalili za acid reflux: Tatizo la Gastroesophageal reflux disease (GERD), ni tatizo ambalo huwapata Watu wengi,Tatizo hili hujulikana kwa jina...

Magonjwa4 weeks ago

Ugonjwa wa ngozi kuwa nyeupe,VITILIGO

Ugonjwa wa ngozi kuwa nyeupe,VITILIGO Vitiligo ni ugonjwa wa ngozi kuwa nyeupe au ni ugonjwa ambao huhusisha ngozi kupoteza rangi...

Magonjwa4 weeks ago

Mlipuko wa ugonjwa wa macho,Macho Mekundu

Mlipuko wa ugonjwa wa macho,Macho Mekundu Baada ya Ugonjwa huu wa macho kusumbua watu wengi kwa kipindi cha Hivi Karibuni,...

Magonjwa1 month ago

Scabies ni ugonjwa gani? Soma hapa kufahamu

Scabies ni ugonjwa gani? Soma hapa kufahamu Utangulizi: Scabies huhusisha mtu kuwa na vipele na muwasho kwenye ngozi yake ambapo...

Magonjwa1 month ago

Dalili za ugonjwa wa gono kwa mwanaume

Dalili za ugonjwa wa gono kwa mwanaume Gono ni neno maarufu ambalo kirefu chake ni Gonorrhea na kiswahili chake ni...

Magonjwa1 month ago

Dalili Mpya za ukimwi kwenye ngozi

Zipi ni Dalili za ukimwi kwenye ngozi Zipi ni dalili za Ukimwi kwenye ngozi ya mtu? Fahamu hapa kupitia makala...

Magonjwa1 month ago

Madhara ya COVID-19: Athari za Ugonjwa, Asili na Matibabu

Madhara ya COVID-19: Athari za Ugonjwa, Asili na Matibabu Huu ni ugonjwa wa kuambukiza uliosababishwa na kirusi cha corona, ambao...

Trending