Connect with us

Magonjwa

Bacteria wanaosababisha vidonda vya tumbo

Avatar photo

Published

on

Bacteria wanaosababisha vidonda vya tumbo

Vidonda vya tumbo kwa kawaida husababishwa na maambukizi ya bacteria wanaojulikana kama Helicobacter pylori (H. pylori) bacteria, au matumizi yaliyokithiri ya dawa jamii ya anti-inflammatory medicines (NSAIDs) kama vile ibuprofen and aspirin.

Vitu hivi vina uwezo wa kuvunja Ulinzi wa tumbo dhidi ya Tindikali(Acid) ambayo huzalishwa kwa Lengo la kumeng’enya chakula,

Hali hii hupelekea kuta za tumbo kuharibiwa na kutengeneza vidonda vya Tumbo(Stomach Ulcers).

Maambukizi ya bacteria wa Helicobacter pylori (H. pylori) hutokea wakati bacteria hawa wa Helicobacter pylori (H. pylori) wanapoweza kushambulia eneo la tumbo, na mara nyingi hutokea hata Mtu akiwa katika umri mdogo(childhood).

Maambukizi ya H. Pylori ambayo ni chanzo kikubwa cha Vidonda vya tumbo, huweza kutokea kwa Zaidi ya Nusu ya Watu Duniani,

Ingawa watu wengi hawajui kwamba wana bacteria wa H. Pylori kwa Sababu hawaugui chochote,

Baada ya kuanza kupata dalili na Ishara za Vidonda vya tumbo, ndipo wataalam wa afya hufanya vipimo vya maambukizi ya H.Pylori.

Vidonda vya tumbo vinaweza kutokea kwenye kuta za tumbo ambapo tunaita peptic ulcer(gastric ulcer), au vitokee kwenye sehemu ya kwanza ya utumbo mdogo ambapo hapa tunaita(duodenal ulcer).

 HELICOBACTER PYLORI

• • • • • •

FAHAMU KUHUSU BACTERIA ANAYESABABISHA VIDONDA VYA TUMBO Maarufu kama Helicobacter Pylori

Helicobacter Pylori ni Bacteria ambaye huweza kusababisha matatizo mbali mbali kwenye mwili wa Binadamu ikiwa ni pamoja na tatizo la Vidonda vya Tumbo au Peptic Ulcers.

Maambukizi ya Bacteria HELICOBACTER PYLORI huweza kutoka kwa mtu mmoja kwenda kwa mwingine kupitia njia ya Mate,matapishi,Kinyesi n.k

DALILI ZA MAAMBUKIZI YA HELICOBACTER PYLORI

– Bacteria huyu huanza kushambulia watoto wadogo na Watu wengi hawaonyeshi dalili yoyote baada ya maambukizi,

Dalili za Maambukizi ya H.Pylori ni pamoja na;

• Mtu kupata maumivu makali ya tumbo hasa akiwa na Njaa

•  Kuhisi hali ya kuungua tumboni

• Kuhisi kichefuchefu na kutapika mara kwa mara

• Hamu ya chakula kupotea

• Tumbo kujaa gesi mara kwa mara

• Uzito wa mwili kupungua kwa kasi

N.k

UKIWA NA DALILI HIZI HAPA UNATAKIWA KUPATA TIBA MAPEMA

✓ Maumivu makali sana ya tumbo mpaka unashindwa kufanya chochote au mwili kukosa nguvu

✓ Kushindwa kumeza kitu chochote

✓ Kujisaidia kinyesi kimechanganyika na Damu

✓ Kutapika matapishi ambayo yamechanganyika na Damu

MADHARA YA MASHAMBULIZI YA HELICOBACTER PYLORI

~ Mtu kupata vidonda vya tumbo au Peptic Ulcers

~ Kuvimba kwa kuta za tumboni

~ Kupata Kansa ya tumbo

MATIBABU YA MASHAMBULIZI YA HELICOBACTER PYLORI

• Tatizo hili hutibiwa kwa Dawa mbali mbali kama vile;

– Dawa jamii ya PROTON PUMP INHIBITORS ambazo huzuia uzalishaji wa Acid tumboni kama vile; OMEPRAZOLE, ESOMEPRAZOLE, PANTOPRAZOLE n.k

– Dawa jamii ya HISTAMINE BLOCKERS kama CIMETIDINE n.k

Kujua zaidi Kuhusu VIDONDA VYA TUMBO soma hapa

KWA USHAURI ZAIDI,ELIMU AU TIBA TUWASILIANE KWA NAMBA +255758286584.

YOU MUST READ(IMPORTANT)

Magonjwa3 months ago

Maumivu chini ya kitovu ni dalili za ugonjwa gani

Maumivu chini ya kitovu ni dalili za ugonjwa gani. Watu wengi huweza kupata maumivu chini ya kitovu, lakini umewahi kujiuliza...

Magonjwa3 months ago

Kaswende ni ugonjwa gani, soma hapa kufahamu

Kaswende ni ugonjwa gani, Kaswende ni maambukizi yanayosababishwa na bakteria. Mara nyingi, huenea kupitia mawasiliano ya kingono au kwa kujamiiana....

Magonjwa3 months ago

Koo kukauka ni dalili ya ugonjwa gani

Koo kukauka ni dalili ya ugonjwa gani Koo kukauka kunaweza kusababishwa na sababu kadhaa, ikiwa ni pamoja na: Upungufu wa...

Magonjwa3 months ago

Amiba ni ugonjwa gani,Fahamu kuhusu Ugonjwa wa Amebiasis

Amiba ni ugonjwa gani Wengi wamezoea kusema hivo ila Amiba(amoeba) ni vimelea vyinavyosababisha ugonjwa, na Ugonjwa huo kitaalam ndyo hujulikana...

Magonjwa5 months ago

kuwashwa nyayo za miguu husababishwa na nini? chanzo na Tiba

kuwashwa nyayo za miguu husababishwa na nini? chanzo na Tiba kuwashwa nyayo za miguu; zipo sababu nyingi ambazo huchangia shida...

magonjwa ya wanawake5 months ago

Ujue Ugonjwa Wa PID (Pelvic Inflammatory Disease)

Ujue Ugonjwa Wa PID (Pelvic Inflammatory Disease) Pid ni ugonjwa gani? PID ni Maambukizi ya bacteria Kwenye Via vya Uzazi...

Magonjwa2 years ago

SHINGO YA MTOTO KULEGEA(CHANZO CHAKE)

SHINGO YA MTOTO KULEGEA(CHANZO CHAKE) Mabadiliko ya Watoto wengi huanza kwenye miezi mitatu ya Mwanzo wakati ambapo Shingo ya mtoto...

Magonjwa3 years ago

MAUMIVU MAKALI SEHEMU YA HAJA KUBWA

Baadhi ya watu wanachanganya tatizo la maumivu makali sehemu ya haja kubwa pamoja na tatizo la Bawasiri,japo mojawapo ya chanzo...

Magonjwa3 years ago

TATIZO LA MASIKIO KUPIGA KELELE,CHANZO NA TIBA YAKE(Tinnitus)

TATIZO LA MASIKIO KUPIGA KELELE,CHANZO NA TIBA YAKE(Tinnitus) tatizo la masikio kupiga kelele Tinnitus, ni Tatizo la masikio kupiga kelele,...

Magonjwa3 years ago

DALILI ZA UGONJWA WA GONO(KISONONO)

 UGONJWA WA KISONONO DALILI ZA UGONJWA WA GONO(KISONONO) Ugonjwa wa gonorrhea maarufu kama GONO au Kisonono ni ugonjwa wa zinaa...

Magonjwa3 years ago

TATIZO LA UKE KUJAMBA PAMOJA NA TIBA YAKE(chanzo cha tatizo hili ni nini?)

Tatizo la Uke Kujamba TATIZO LA UKE KUJAMBA PAMOJA NA TIBA YAKE(chanzo cha tatizo hili ni nini?) Moja ya vitu...

Magonjwa3 years ago

DALILI ZA FANGASI UUMENI,KORODANI PAMOJA NA MATIBABU YAKE

 FANGASI • • • • • DALILI ZA FANGASI UUMENI,KORODANI PAMOJA NA MATIBABU YAKE Mashambulizi ya Fangasi sehemu za siri...

Magonjwa3 years ago

CHANZO CHA TATIZO LA KUOTA NYAMA PUANI PAMOJA NA MATIBABU YAKE

Chanzo cha tatizo la NYAMA PUANI,Dalili zake Pamoja na Tiba yake, Soma makala hii kwa Makini ili upate Kujua kuhusu...

Magonjwa3 years ago

SABABU ZA KUVIMBA KWA MASHAVU YA UKE(TEZI LA BARTHOLIN)

KUVIMBA MASHAVU YA UKE • • • • • • Katika Makala hii tumechambua zaidi kuhusu sababu za kuvimba mashavu...

Magonjwa4 years ago

TATIZO LA MWANAUME KUOTA MATITI(gynecomastia)

TATIZO LA MWANAUME KUOTA MATITI(gynecomastia) Tatizo hili linatokea kwa Baadhi ya wanaume,na hata kupelekea Wanaume hao kuwa na Matiti kama...

MAGONJWA MBALI MBALI

Magonjwa2 days ago

kuharisha na kutapika ni dalili za ugonjwa gani

kuharisha na kutapika ni dalili za ugonjwa gani Unapopata tatizo la kuharisha na kutapika kwa wakati mmoja unaweza kuwaza sana,...

Magonjwa4 days ago

Dalili za infection kwenye damu,mchafuko wa damu

Dalili za infection kwenye damu Mchafuko wa damu,chanzo,dalili na Tiba Mchafuko wa damu; hiki ni kiswahili ambacho watu wamezoea kukitumia...

Magonjwa1 week ago

Ugonjwa wa ngozi sehemu za siri

Ugonjwa wa ngozi sehemu za siri Yapo magonjwa mbali mbali ya ngozi ambayo huweza kuathiri Sehemu za Siri za Mwanaume...

Magonjwa2 weeks ago

Dalili za acid reflux,Soma hapa Kufahamu

Dalili za acid reflux: Tatizo la Gastroesophageal reflux disease (GERD), ni tatizo ambalo huwapata Watu wengi,Tatizo hili hujulikana kwa jina...

Magonjwa4 weeks ago

Ugonjwa wa ngozi kuwa nyeupe,VITILIGO

Ugonjwa wa ngozi kuwa nyeupe,VITILIGO Vitiligo ni ugonjwa wa ngozi kuwa nyeupe au ni ugonjwa ambao huhusisha ngozi kupoteza rangi...

Magonjwa4 weeks ago

Mlipuko wa ugonjwa wa macho,Macho Mekundu

Mlipuko wa ugonjwa wa macho,Macho Mekundu Baada ya Ugonjwa huu wa macho kusumbua watu wengi kwa kipindi cha Hivi Karibuni,...

Magonjwa1 month ago

Scabies ni ugonjwa gani? Soma hapa kufahamu

Scabies ni ugonjwa gani? Soma hapa kufahamu Utangulizi: Scabies huhusisha mtu kuwa na vipele na muwasho kwenye ngozi yake ambapo...

Magonjwa1 month ago

Dalili za ugonjwa wa gono kwa mwanaume

Dalili za ugonjwa wa gono kwa mwanaume Gono ni neno maarufu ambalo kirefu chake ni Gonorrhea na kiswahili chake ni...

Magonjwa1 month ago

Dalili Mpya za ukimwi kwenye ngozi

Zipi ni Dalili za ukimwi kwenye ngozi Zipi ni dalili za Ukimwi kwenye ngozi ya mtu? Fahamu hapa kupitia makala...

Magonjwa1 month ago

Madhara ya COVID-19: Athari za Ugonjwa, Asili na Matibabu

Madhara ya COVID-19: Athari za Ugonjwa, Asili na Matibabu Huu ni ugonjwa wa kuambukiza uliosababishwa na kirusi cha corona, ambao...

Trending