Connect with us

Magonjwa

Chanzo cha tatizo la Kunuka Kinywa au kunuka Mdomo na Jinsi ya Kuzuia shida hii

Avatar photo

Published

on

Chanzo cha tatizo la Kunuka Kinywa au kunuka Mdomo na Jinsi ya Kuzuia shida hii.

FAHAMU KUHUSU TATIZO LA KUNUKA KINYWA(MDOMO) NA NJIA ZA KUZUIA.

Tatizo sugu la kunuka kinywa humfanya mtu apate msongo wa mawazo lakini pia tatizo hili huweza kuharibu mahusiano ya mtu huyo na mwenza wake, ndugu jamaa rafiki na hata wafanyakazi wake.

NINI CHANZO CHA TATIZO SUGU LA KUNUKA KINYWA?

1. Sababu kubwa ya kunuka mdomo(kinywa) ni kukosa unadhifu wa kinywa. Watu wengi hawana tamaduni ya kusafisha kinywa na kwa baadhi ya wenye hiyo kawaida hufanya kwa mazoea hii upelekea kutuama kwa vyakula na wadudu na hivyo kunuka kinywa.

2. Matatizo ya meno kama meno kutoboka na kuwa na vishimo ndani ya kinywa hujenga mazingira ya wadudu wasababishao harufu mbaya kukua na kuzaliana.

3. Magonjwa ya sikio, pua na koo. Baadhi ya magonjwa haya upelekea utengenezwaji wa ute mzito(makamasi) ambayo yanapovutwa au kumezwa huwapa wadudu wasababishao harufu mbaya mazingira mazuri ya kuwasiliana.

4. Mdomo mkavu- mate yanafaida nyingi kwa kinywa ikiwemo kusaidia mmeng’enyo wa chakula, kusafisha kinywa lakini pia utengenezaji wa kinga dhidi ya wadudu. Mdomo mkavu husababishwa na madawa, magonjwa, matumizi ya pombe, tumbaku n.k

5. Uvutaji wa tumbaku(sigara)- huacha harufu ya aina yake mdomon ambayo hukaa kwa muda mrefu na ambayo haiondoki kwa njia za kawaida. Watumiaji wa tumbaki pia wapo katika hatari kubwa ya kupata magonjwa ya fizi ambayo pia hupelekea kunuka kwa kinywa.

6. Kutokula au kula vyakula visvyo na wanga hupelekea kuvunjwavunjwa kwa mafuta mwilini hali hii hupelekea kutengenezwa kwa ketones ambazo huwa na harufu kali.

7. Mabaki ya chakula mdomoni husaidia ukuaji wa wadudu ambao hutengeneza sulfur ambayo hupelekea kunuka kwa mdomo. Lakini pia matumizi ya viungo kama vitunguu swaumu, tangawizi na vyakula vyenye viungo vikali baada ya kumeng’enywa hufyonzwa na kuingia kwenye damu na hii hufikia kwenye mapafu na mtu huanza kutoa hewa yenye harufu mbaya.

8. Kunuka kinywa inaweza kuwa ni matokeo ya ugonjwa mwingine mkubwa katika sehemu nyingine ya mwilini kama ini, figo, kisukari na magonjwa ya mfumo wa upumuaji.

MATIBABU Ya Tatizo la Kunuka Kinywa/Mdomo:

1. Safisha kinywa kila baada ya kula

2. Kunywa maji mengi

3. Punguza matumizi ya tumbaku

4. Kama tatizo limekuwa sugu MUONE DAKTARI.

KWA USHAURI ZAIDI,ELIMU AU TIBA TUWASILIANE KWA NAMBA +255758286584.

Ushauri|Tiba|CheckIn ContactUs; +255758286584 or INBOX. For More Healthtips everyday Link In https://afyaclass.com Also Follow us on Instagram @afyaclass

YOU MUST READ(IMPORTANT)

Magonjwa3 months ago

Maumivu chini ya kitovu ni dalili za ugonjwa gani

Maumivu chini ya kitovu ni dalili za ugonjwa gani. Watu wengi huweza kupata maumivu chini ya kitovu, lakini umewahi kujiuliza...

Magonjwa3 months ago

Kaswende ni ugonjwa gani, soma hapa kufahamu

Kaswende ni ugonjwa gani, Kaswende ni maambukizi yanayosababishwa na bakteria. Mara nyingi, huenea kupitia mawasiliano ya kingono au kwa kujamiiana....

Magonjwa3 months ago

Koo kukauka ni dalili ya ugonjwa gani

Koo kukauka ni dalili ya ugonjwa gani Koo kukauka kunaweza kusababishwa na sababu kadhaa, ikiwa ni pamoja na: Upungufu wa...

Magonjwa3 months ago

Amiba ni ugonjwa gani,Fahamu kuhusu Ugonjwa wa Amebiasis

Amiba ni ugonjwa gani Wengi wamezoea kusema hivo ila Amiba(amoeba) ni vimelea vyinavyosababisha ugonjwa, na Ugonjwa huo kitaalam ndyo hujulikana...

Magonjwa5 months ago

kuwashwa nyayo za miguu husababishwa na nini? chanzo na Tiba

kuwashwa nyayo za miguu husababishwa na nini? chanzo na Tiba kuwashwa nyayo za miguu; zipo sababu nyingi ambazo huchangia shida...

magonjwa ya wanawake5 months ago

Ujue Ugonjwa Wa PID (Pelvic Inflammatory Disease)

Ujue Ugonjwa Wa PID (Pelvic Inflammatory Disease) Pid ni ugonjwa gani? PID ni Maambukizi ya bacteria Kwenye Via vya Uzazi...

Magonjwa2 years ago

SHINGO YA MTOTO KULEGEA(CHANZO CHAKE)

SHINGO YA MTOTO KULEGEA(CHANZO CHAKE) Mabadiliko ya Watoto wengi huanza kwenye miezi mitatu ya Mwanzo wakati ambapo Shingo ya mtoto...

Magonjwa3 years ago

MAUMIVU MAKALI SEHEMU YA HAJA KUBWA

Baadhi ya watu wanachanganya tatizo la maumivu makali sehemu ya haja kubwa pamoja na tatizo la Bawasiri,japo mojawapo ya chanzo...

Magonjwa3 years ago

TATIZO LA MASIKIO KUPIGA KELELE,CHANZO NA TIBA YAKE(Tinnitus)

TATIZO LA MASIKIO KUPIGA KELELE,CHANZO NA TIBA YAKE(Tinnitus) tatizo la masikio kupiga kelele Tinnitus, ni Tatizo la masikio kupiga kelele,...

Magonjwa3 years ago

DALILI ZA UGONJWA WA GONO(KISONONO)

 UGONJWA WA KISONONO DALILI ZA UGONJWA WA GONO(KISONONO) Ugonjwa wa gonorrhea maarufu kama GONO au Kisonono ni ugonjwa wa zinaa...

Magonjwa3 years ago

TATIZO LA UKE KUJAMBA PAMOJA NA TIBA YAKE(chanzo cha tatizo hili ni nini?)

Tatizo la Uke Kujamba TATIZO LA UKE KUJAMBA PAMOJA NA TIBA YAKE(chanzo cha tatizo hili ni nini?) Moja ya vitu...

Magonjwa3 years ago

DALILI ZA FANGASI UUMENI,KORODANI PAMOJA NA MATIBABU YAKE

 FANGASI • • • • • DALILI ZA FANGASI UUMENI,KORODANI PAMOJA NA MATIBABU YAKE Mashambulizi ya Fangasi sehemu za siri...

Magonjwa3 years ago

CHANZO CHA TATIZO LA KUOTA NYAMA PUANI PAMOJA NA MATIBABU YAKE

Chanzo cha tatizo la NYAMA PUANI,Dalili zake Pamoja na Tiba yake, Soma makala hii kwa Makini ili upate Kujua kuhusu...

Magonjwa3 years ago

SABABU ZA KUVIMBA KWA MASHAVU YA UKE(TEZI LA BARTHOLIN)

KUVIMBA MASHAVU YA UKE • • • • • • Katika Makala hii tumechambua zaidi kuhusu sababu za kuvimba mashavu...

magonjwa ya wanaume4 years ago

TATIZO LA MWANAUME KUOTA MATITI(gynecomastia)

TATIZO LA MWANAUME KUOTA MATITI(gynecomastia) Tatizo hili linatokea kwa Baadhi ya wanaume,na hata kupelekea Wanaume hao kuwa na Matiti kama...

MAGONJWA MBALI MBALI

Magonjwa5 days ago

kuharisha na kutapika ni dalili za ugonjwa gani

kuharisha na kutapika ni dalili za ugonjwa gani Unapopata tatizo la kuharisha na kutapika kwa wakati mmoja unaweza kuwaza sana,...

Magonjwa7 days ago

Dalili za infection kwenye damu,mchafuko wa damu

Dalili za infection kwenye damu Mchafuko wa damu,chanzo,dalili na Tiba Mchafuko wa damu; hiki ni kiswahili ambacho watu wamezoea kukitumia...

Magonjwa1 week ago

Ugonjwa wa ngozi sehemu za siri

Ugonjwa wa ngozi sehemu za siri Yapo magonjwa mbali mbali ya ngozi ambayo huweza kuathiri Sehemu za Siri za Mwanaume...

Magonjwa2 weeks ago

Dalili za acid reflux,Soma hapa Kufahamu

Dalili za acid reflux: Tatizo la Gastroesophageal reflux disease (GERD), ni tatizo ambalo huwapata Watu wengi,Tatizo hili hujulikana kwa jina...

Magonjwa4 weeks ago

Ugonjwa wa ngozi kuwa nyeupe,VITILIGO

Ugonjwa wa ngozi kuwa nyeupe,VITILIGO Vitiligo ni ugonjwa wa ngozi kuwa nyeupe au ni ugonjwa ambao huhusisha ngozi kupoteza rangi...

Magonjwa1 month ago

Mlipuko wa ugonjwa wa macho,Macho Mekundu

Mlipuko wa ugonjwa wa macho,Macho Mekundu Baada ya Ugonjwa huu wa macho kusumbua watu wengi kwa kipindi cha Hivi Karibuni,...

Magonjwa1 month ago

Scabies ni ugonjwa gani? Soma hapa kufahamu

Scabies ni ugonjwa gani? Soma hapa kufahamu Utangulizi: Scabies huhusisha mtu kuwa na vipele na muwasho kwenye ngozi yake ambapo...

Magonjwa1 month ago

Dalili za ugonjwa wa gono kwa mwanaume

Dalili za ugonjwa wa gono kwa mwanaume Gono ni neno maarufu ambalo kirefu chake ni Gonorrhea na kiswahili chake ni...

Magonjwa1 month ago

Dalili Mpya za ukimwi kwenye ngozi

Zipi ni Dalili za ukimwi kwenye ngozi Zipi ni dalili za Ukimwi kwenye ngozi ya mtu? Fahamu hapa kupitia makala...

Magonjwa1 month ago

Madhara ya COVID-19: Athari za Ugonjwa, Asili na Matibabu

Madhara ya COVID-19: Athari za Ugonjwa, Asili na Matibabu Huu ni ugonjwa wa kuambukiza uliosababishwa na kirusi cha corona, ambao...

Trending