News
Mwaka 2020, takriban wanawake 70,000 Afrika walifariki kwa saratani ya mlango wa kizazi
Mwaka 2020, takriban wanawake 70,000 Afrika walifariki kwa saratani ya mlango wa kizazi.
Dk Matshidiso Rebecca Moeti ni Mkurugenzi wa Shirika la Afya Duniani (WHO) Kanda ya Afrika anasema;
Mnamo mwaka wa 2020, takriban wanawake 70,000 katika eneo la Afrika walipoteza maisha yao kwa saratani ya mlango wa kizazi.
Dk Matshidiso anasisitiza Zaidi;
Mwezi huu wa ufahamu wa #Saratani ya Mlango wa Kizazi, nakuomba uendelee kuifahamu,upate taarifa zaidi juu yake, upime, na upate chanjo.
Wacha tuweke historia ya saratani ya shingo ya kizazi.
“In 2020, about 70,000 women in the African region lost their lives to cervical cancer.
This #CervicalCancer awareness month, I urge you to stay informed, get screened, and get vaccinated.
Let’s make cervical cancer history”.
In 2020, about 70,000 women in the African region lost their lives to cervical cancer.
This #CervicalCancer awareness month, I urge you to stay informed, get screened, and get vaccinated.
Let's make cervical cancer history. pic.twitter.com/KMGbIKYEn7— Dr Matshidiso Moeti (@MoetiTshidi) January 3, 2024
-
Uzazi/Ujauzito6 days ago
Dalili za hatari baada ya kujifungua kwa upasuaji
-
Uzazi/Ujauzito4 days ago
Dalili za mimba hutokea baada ya siku ngapi
-
Magonjwa5 days ago
Dalili za infection kwenye damu,mchafuko wa damu
-
Magonjwa3 days ago
kuharisha na kutapika ni dalili za ugonjwa gani
-
Events7 days ago
Chad yafanikiwa kuondoa Ugonjwa wa trypanosomiasis,WHO yatangaza
-
News5 days ago
TANZIA:Yusuf Manji afariki dunia akipatiwa Matibabu Marekani
-
afyatips19 hours ago
Madhara ya damu kuwa nyingi mwilini
-
Utafiti2 days ago
Zaidi ya vifo milioni 3 kila mwaka hutokana na matumizi ya pombe na madawa ya kulevya-WHO