afyatips
USHAURI KWA WAJAWAZITO JUU YA KUFANYA MAZOEZI
UZAZI
• • • • •
USHAURI KWA WAJAWAZITO JUU YA KUFANYA MAZOEZI
Wanawake wajawazito wanaofanya mazoezi kidogo ili kuimaridsha afya zao,ikitokea wakati wa mazoezi haya umeanza kujihisi maumivu makali ya kichwa,kizunguzungu,maumivu ya mgongo,kiuno na kifua,
Chat Nasi Whatsapp
"Ungana na Wasomaji zaidi ya 12,000 wanaopata huduma ndani ya afyaclass,Kama unachangamoto yoyote ya kiafya;Kwa Ushauri&Tiba tuwasiliane hapa kupitia WhatSapp,Kama huna Whatsapp tuma SMS au Piga +255758286584."
Chat WhatSapp Hapakuongezeka kwa mapigo ya moyo na kukaza kwa misuli unapaswa kuacha mara moja mazoezi kwa wakati huo. Pumzika na endelea kesho yake
–
Kwako wewe mazoezi ni muhimu sana,lakini mwili wako unahitaji utayari na lazima mazoezi haya yafanyike kwa kiasi bila kuathiri ujauzito husika. Ni kidogo tu kwa afya!
KWA USHAURI ZAIDI,ELIMU AU TIBA TUWASILIANE KWA NAMBA +255758286584.
Medical Disclaimer
Medical Disclaimer: Taarifa kwenye makala hii ni kwa ajili ya Updates au elimu ya jumla tu na haichukui nafasi ya uchunguzi,Tiba au ushauri wa kitaalamu wa daktari kwa mtu mmoja mmoja. Kama una dharura au tatizo lolote la kiafya, tafadhali Wasiliana na Daktari moja kwa moja hapa.
Je, unahitaji ushauri binafsi au matibabu ya tatizo lolote?
💬 Wasiliana na Daktari Hapa


