afyatips
Faida za Kutoa Gesi Tumboni,Soma hapa Kufahamu
![](https://afyaclass.com/mk_omb/uploads/2024/05/images-5.jpeg)
Faida za Kutoa Gesi Tumboni,Soma hapa Kufahamu
Je, kutoa gesi tumboni ni muhimu kwa afya? Ndio, kwa mujibu wa Daktari Prince Igor Any Grah, kutoka Ivory Coast, ambaye anasema kuwa gesi ya tumboni ni sehemu ya asili ya mchakato wa kumeng’enya chakula mwilini.
Kutoa gesi ni ishara kwamba mfumo wa kumeng’enya chakula unafanya kazi vizuri. Kwa wastani, mtu mwenye afya nzuri hutoa gesi mara 12 hadi 25 kwa siku. Kuzuia kutoa gesi kunaweza kusababisha matatizo ya usagaji chakula na uvimbe wa tumbo.
Daktari Any Grah anasisitiza umuhimu wa lishe bora katika kudhibiti gesi. Anapendekeza kula kwa kiasi, kuepuka kula vyakula vyenye wanga sana jioni, na kupunguza matumizi ya maziwa jioni ili kuzuia uzalishaji mkubwa wa asidi mwilini, ambayo inaweza kusababisha matatizo ya utumbo.
Kwa hiyo, kwa kufuata mbinu hizi rahisi, unaweza kudumisha afya bora na kuepuka matatizo yanayotokana na gesi tumboni.”
-
Magonjwa6 days ago
Dalili za acid reflux,Soma hapa Kufahamu
-
magonjwa ya wanawake5 days ago
Dalili za Ectopic pregnancy,Mimba kutunga nje ya kizazi
-
Magonjwa2 days ago
Ugonjwa wa ngozi sehemu za siri
-
Elimu&Ushauri4 days ago
Afya za watu bilioni 1.8 duniani matatani kwa kutokufanya Mazoezi – WHO
-
Events1 day ago
Chad yafanikiwa kuondoa Ugonjwa wa trypanosomiasis,WHO yatangaza
-
Uzazi/Ujauzito11 hours ago
Dalili za hatari baada ya kujifungua kwa upasuaji
-
Events6 days ago
Princess Anne alilazwa hospitalini na majeraha madogo kufuatia tukio nyumbani kwake
-
News4 days ago
Mlipuko Mbaya wa homa ya nyani watokea tena KIVU KASKAZINI