Connect with us

afyatips

Jinsi ya Kupunguza Uzito kwa Ufanisi: Mbinu Rahisi Zaidi

Avatar photo

Published

on

Jinsi ya Kupunguza Uzito kwa Ufanisi: Mbinu Rahisi Zaidi

Linapokuja Swala la Uzito,Zipo Makala nyingi na njia nyingi Sana utazikuta mtandaoni zinazohusu kupunguza Uzito, Je zinafanya kazi? na je hazina madhara yeyote?

Kwanza,Ili ujue Una Uzito Mkubwa kupita kiasi ni Lazima upime, na Vipimo vinategemea na nchi au Mahali Ulipo,Kitaalam ukienda kwa ajili ya Checkup za aina hii vitu hivi huweza kufanyika;

  • Kupata historia ya afya yako kwa Ujumla, ikiwemo historia ya uzito wako,njia ulizowahi kutumia kupunguza uzito,aina ya kazi unayofanya,mazoezi,historia ya watu kuwa na Uzito mkubwa kwenye familia yako n.k
  • Vipimo muhimu kama vile,Uzito wako,Urefu wako,Mapigo ya Moyo,Presha,afya ya moyo,mapafu n.k
  • Baada ya Vipimo hivi tunafanya mahesabu ya BMI, Hii sasa ndyo itakuambia Uzito wako umezidi,upo kawaida,au mdogo sana.

#SOMA KWA kina Hapa,Jinsi ya kufanya mahesabu ya BMI,

Baada ya kufanya vyote hivo na Kujua Una shida ya Uzito mkubwa(Overweight), Hapa ndyo tunakuja na njia za jinsi ya kupunguza Uzito wako wa mwili;

Jinsi ya Kupunguza Uzito kwa Ufanisi: Mbinu Rahisi Zaidi

Hapa kuna Vidokezo rahisi vya kufuata,Ingawa tumekuandalia kitabu mfumo wa ebook ambacho ukikipata utafuata hatua Zote kwa Kina na kupunguza Uzito hata ukiwa mwenyewe nyumbani. Kukipata Bofya Hapa.

1. Badilisha aina ya Mlo unaokula

Tafiti zinaonyesha kupunguza kiwango cha calories na kula mlo unaotakiwa kiafya ni NJIA KUU ya kukabiliana na tatizo la Uzito Mkubwa.

Punguza kalori; Njia kubwa ya kupunguza uzito ni kupunguza kalori,Hatua ya kwanza ni kukagua tabia zako za kawaida za kula na kunywa.

Unaweza kuona ni kalori ngapi unazotumia kwa kawaida na wapi unaweza kupunguza. Wewe na mtaalamu wako wa afya mnaweza kuamua ni kalori ngapi unazohitaji kutumia kila siku ili kupunguza uzito. Kiasi cha kawaida ni kalori 1,200 hadi 1,500 kwa wanawake na 1,500 hadi 1,800 kwa wanaume.

Fanya chaguzi bora la Mlo kwa Afya; Unashauriwa kula vyakula vya mimea zaidi yaani plant-based foods. Hapa ni pamoja na MATUNDA,MBOGA ZA MAJANI pamoja na Nafaka nzima,

Pia unashauriwa kula vyanzo bora vya proteins kama vile maharage,soya,nyama,samaki n.k kwa kiwango kidogo.

Dhibiti Matumizi ya chumvi nyingi,Sukari nyingi au Mafuta mengi

Epuka kula vyakula vyenye kiwango kikubwa cha Wanga, vyakula vya Mafuta mengi sana, au Vinywaji vyenye kiwango kikubwa  cha Sukari kama POMBE n.k.

2. Fanya Mazoezi ya Mwili,

Baadhi ya Tafiti zinaonyesha Mtu mwenye Uzito Mkubwa anatakiwa kufanya Mazoezi angalau kwa dakika 150 ndani ya wiki Moja,

Hii inaweza kusaidia kuzuia kupata uzito zaidi au kudumisha upotezaji wa uzito wa kawaida. Pengine utahitaji kuongeza hatua kwa hatua kiasi unachofanya mazoezi kadri ustahimilivu wako unavyoboreka.

3. Mabadiliko ya Kitabia ikiwemo Msongo wa Mawazo

Hapa unaangalia ni vitu gani vinakusababishia Uzito wako kuongezeka,kisha unavibadilisha,

Watu wengi hawafahamu Msongo wa mawazo huweza kusababisha baadhi ya Watu Uzito wao wa mwili kuongezeka kwa kasi sana

#SOMA ZAIDI hapa madhara ya Msongo wa mawazo(Stress)

4. Pata Ushauri kutoka kwa Wataalam

Hii ni hatua muhimu sana,kwani huwezi kupunguza kitu ambacho hukijui,

Hakikisha unapata Maelekezo kutokwa kwa Wataalam au

KWA USHAURI ZAIDI,ELIMU NA TIBA TUWASILIANE NDANI YA AFYACLASS,HIZI HAPA NI NJIA ZA MAWASILIANO

YOU MUST READ(IMPORTANT)

Magonjwa2 months ago

Maumivu chini ya kitovu ni dalili za ugonjwa gani

Maumivu chini ya kitovu ni dalili za ugonjwa gani. Watu wengi huweza kupata maumivu chini ya kitovu, lakini umewahi kujiuliza...

Magonjwa3 months ago

Kaswende ni ugonjwa gani, soma hapa kufahamu

Kaswende ni ugonjwa gani, Kaswende ni maambukizi yanayosababishwa na bakteria. Mara nyingi, huenea kupitia mawasiliano ya kingono au kwa kujamiiana....

Magonjwa3 months ago

Koo kukauka ni dalili ya ugonjwa gani

Koo kukauka ni dalili ya ugonjwa gani Koo kukauka kunaweza kusababishwa na sababu kadhaa, ikiwa ni pamoja na: Upungufu wa...

Magonjwa3 months ago

Amiba ni ugonjwa gani,Fahamu kuhusu Ugonjwa wa Amebiasis

Amiba ni ugonjwa gani Wengi wamezoea kusema hivo ila Amiba(amoeba) ni vimelea vyinavyosababisha ugonjwa, na Ugonjwa huo kitaalam ndyo hujulikana...

Magonjwa4 months ago

kuwashwa nyayo za miguu husababishwa na nini? chanzo na Tiba

kuwashwa nyayo za miguu husababishwa na nini? chanzo na Tiba kuwashwa nyayo za miguu; zipo sababu nyingi ambazo huchangia shida...

magonjwa ya wanawake5 months ago

Ujue Ugonjwa Wa PID (Pelvic Inflammatory Disease)

Ujue Ugonjwa Wa PID (Pelvic Inflammatory Disease) Pid ni ugonjwa gani? PID ni Maambukizi ya bacteria Kwenye Via vya Uzazi...

Magonjwa2 years ago

SHINGO YA MTOTO KULEGEA(CHANZO CHAKE)

SHINGO YA MTOTO KULEGEA(CHANZO CHAKE) Mabadiliko ya Watoto wengi huanza kwenye miezi mitatu ya Mwanzo wakati ambapo Shingo ya mtoto...

Magonjwa3 years ago

MAUMIVU MAKALI SEHEMU YA HAJA KUBWA

Baadhi ya watu wanachanganya tatizo la maumivu makali sehemu ya haja kubwa pamoja na tatizo la Bawasiri,japo mojawapo ya chanzo...

Magonjwa3 years ago

TATIZO LA MASIKIO KUPIGA KELELE,CHANZO NA TIBA YAKE(Tinnitus)

TATIZO LA MASIKIO KUPIGA KELELE,CHANZO NA TIBA YAKE(Tinnitus) tatizo la masikio kupiga kelele Tinnitus, ni Tatizo la masikio kupiga kelele,...

Magonjwa3 years ago

DALILI ZA UGONJWA WA GONO(KISONONO)

 UGONJWA WA KISONONO DALILI ZA UGONJWA WA GONO(KISONONO) Ugonjwa wa gonorrhea maarufu kama GONO au Kisonono ni ugonjwa wa zinaa...

Magonjwa3 years ago

TATIZO LA UKE KUJAMBA PAMOJA NA TIBA YAKE(chanzo cha tatizo hili ni nini?)

Tatizo la Uke Kujamba TATIZO LA UKE KUJAMBA PAMOJA NA TIBA YAKE(chanzo cha tatizo hili ni nini?) Moja ya vitu...

Magonjwa3 years ago

DALILI ZA FANGASI UUMENI,KORODANI PAMOJA NA MATIBABU YAKE

 FANGASI • • • • • DALILI ZA FANGASI UUMENI,KORODANI PAMOJA NA MATIBABU YAKE Mashambulizi ya Fangasi sehemu za siri...

Magonjwa3 years ago

CHANZO CHA TATIZO LA KUOTA NYAMA PUANI PAMOJA NA MATIBABU YAKE

Chanzo cha tatizo la NYAMA PUANI,Dalili zake Pamoja na Tiba yake, Soma makala hii kwa Makini ili upate Kujua kuhusu...

Magonjwa3 years ago

SABABU ZA KUVIMBA KWA MASHAVU YA UKE(TEZI LA BARTHOLIN)

KUVIMBA MASHAVU YA UKE • • • • • • Katika Makala hii tumechambua zaidi kuhusu sababu za kuvimba mashavu...

Magonjwa3 years ago

TATIZO LA MWANAUME KUOTA MATITI(gynecomastia)

TATIZO LA MWANAUME KUOTA MATITI(gynecomastia) Tatizo hili linatokea kwa Baadhi ya wanaume,na hata kupelekea Wanaume hao kuwa na Matiti kama...

MAGONJWA MBALI MBALI

Magonjwa7 hours ago

Ugonjwa wa ngozi sehemu za siri

Ugonjwa wa ngozi sehemu za siri Yapo magonjwa mbali mbali ya ngozi ambayo huweza kuathiri Sehemu za Siri za Mwanaume...

Magonjwa4 days ago

Dalili za acid reflux,Soma hapa Kufahamu

Dalili za acid reflux: Tatizo la Gastroesophageal reflux disease (GERD), ni tatizo ambalo huwapata Watu wengi,Tatizo hili hujulikana kwa jina...

Magonjwa3 weeks ago

Ugonjwa wa ngozi kuwa nyeupe,VITILIGO

Ugonjwa wa ngozi kuwa nyeupe,VITILIGO Vitiligo ni ugonjwa wa ngozi kuwa nyeupe au ni ugonjwa ambao huhusisha ngozi kupoteza rangi...

Magonjwa3 weeks ago

Mlipuko wa ugonjwa wa macho,Macho Mekundu

Mlipuko wa ugonjwa wa macho,Macho Mekundu Baada ya Ugonjwa huu wa macho kusumbua watu wengi kwa kipindi cha Hivi Karibuni,...

Magonjwa3 weeks ago

Scabies ni ugonjwa gani? Soma hapa kufahamu

Scabies ni ugonjwa gani? Soma hapa kufahamu Utangulizi: Scabies huhusisha mtu kuwa na vipele na muwasho kwenye ngozi yake ambapo...

Magonjwa4 weeks ago

Dalili za ugonjwa wa gono kwa mwanaume

Dalili za ugonjwa wa gono kwa mwanaume Gono ni neno maarufu ambalo kirefu chake ni Gonorrhea na kiswahili chake ni...

Magonjwa4 weeks ago

Dalili Mpya za ukimwi kwenye ngozi

Zipi ni Dalili za ukimwi kwenye ngozi Zipi ni dalili za Ukimwi kwenye ngozi ya mtu? Fahamu hapa kupitia makala...

Magonjwa1 month ago

Madhara ya COVID-19: Athari za Ugonjwa, Asili na Matibabu

Madhara ya COVID-19: Athari za Ugonjwa, Asili na Matibabu Huu ni ugonjwa wa kuambukiza uliosababishwa na kirusi cha corona, ambao...

Magonjwa1 month ago

Ishara za Maambukizi ya Njia ya Mkojo (UTI) kwa Wanaume na Wanawake

Ishara za Maambukizi ya Njia ya Mkojo (UTI) kwa Wanaume na Wanawake Karibu! Hapa kwa makala yenye taarifa muhimu kuhusu...

Magonjwa1 month ago

Vyanzo Vya Kifo cha Ghafla: Sababu Zinazotisha na Jinsi ya Kujikinga

“Vyanzo Vya Kifo cha Ghafla: Sababu Zinazotisha na Jinsi ya Kujikinga” Kifo cha ghafla ni janga lisilotarajiwa ambalo linaweza kumpata...

Trending