Connect with us

afyatips

Kujisaidia Choo chenye Makamasi,chanzo,dalili na Tiba

Avatar photo

Published

on

Kujisaidia Choo chenye Makamasi,chanzo,dalili na Tiba

Je,unashangaa wakati wa kujisaidia unaona choo chako kimechanganyika na vitu kama Makamasi?, Sababu ya hili ni nini?

Sehemu nyingi za mwili wako hutengeneza kamasi au Mucus, ikiwemo kwenye Utumbo. Hii Inaweka njia yako ya utumbo katika hali nzuri, na kuunda safu ya kinga dhidi ya bakteria. Pia husaidia taka kupita vizuri kwenye Utumbo mpana. Baadhi ya Kamasi huweza kushikamana na kinyesi wakati kinatoka kwenye mwili wako, Je hili ni tatizo au kawaida? Soma Zaidi hapa….

Chanzo cha Kujisaidia Choo chenye Makamasi

Matatizo tofauti ya usagaji chakula yanaweza kufanya kamasi zaidi kuonekana kwenye kinyesi chako. Wakati mwingine ni dalili mbaya na ambayo huweza kudumu kwa muda mrefu. Ila kuna wakati Makamasi haya huweza kujisafisha haraka. Matatizo ambayo yanaweza kusababisha kamasi kwenye Kinyesi chako ni pamoja na;

Ugonjwa wa Amoebiasis au wengi husema amoeba,#Soma Zaidi hapa dalili Zake

Moja ya Dalili kubwa ya Ugonjwa huu ni Mtu kujisaidia kinyesi chenye Vitu kama Kamasi au Makamasi.

Tatizo La Irritable Bowel Syndrome (Ibs)

Takriban nusu ya watu ambao wana tatizo la IBS hupata shida ya kuharisha na Pia huripoti kwamba wana kamasi kwenye kinyesi chao. Ute huo unaweza kuwa mweupe. Baadhi ya tafiti zinasema kwamba unaweza kuwa na uwezekano mkubwa wa kuwa na kamasi kwenye kinyesi kama una tatizo la IBS ikiwa pia una huzuni au una wasiwasi.

Crohn’s disease 

Ugonjwa huu wa uvimbe wa tumbo (IBD) husababisha njia yako ya usagaji chakula kuvimba na kuwashwa. Kuharisha na kutokwa na damu kwenye njia ya haja kubwa au rectum ni dalili za kawaida. Wakati ugonjwa unapoanza, unaweza kuona damu au kamasi kwenye kinyesi chako. Kuharisha damu, mara nyingi hufuatana na kamasi au usaha;

Ulcerative colitis (UC)

Tatizo hili pia huhusisha hali ya Vidonda kwenye Utumbo pamoja na kuvimba, Hii huweza kusababisha kuvuja damu na kutengeneza Usaha au Makasi ambayo huweza kutoka kwa njia ya haja Kubwa.

Tatizo la kuvimba kwa Rectum au Proctitis 

Hili ni tatizo ambalo huhusisha kuvimba kwa sehemu ya chini ya Utumbo Mkubwa inayojulikana kama rectum, Matokeo yake ni kupata maumivu makali ya Rectum, au njia ya haja kubwa,kutokwa na damu au Makamasi kwenye kinyesi n.k

Magonjwa ya Zinaa kama vile Kisonono au chlamydia, Magonjwa ya chakula au foodborne illnesses kama salmonella, huduma ya mionzi au radiation therapy, huweza kuchangia tatizo hili la proctitis.

Maambukizi ya bacteria,C. difficile (C. diff )  

Pia maambukizi ya bacteria hawa huweza kusababisha Mtu kuharisha sana, na hata wakati mwingine kujisaidia kinyesi chenye Makamasi.

Bacteria wengine ambao huweza kusababisha shida hii ni pamoja na campylobacter.

Sumu kwenye Vyakula au Food poisoning 

Aina fulani za viini huwa kama sumu kwenye chakula, mfano ni kama vile salmonella na shigella, ambapo huweza kusababisha kupata tatizo la kuharisha choo chenye kamasi au damu, pamoja na dalili zingine kama vile tumbo kuuma, homa, na kutapika.n.k

Maambukizi ya Parasite,Parasitic infections

Vimelea, ambavyo ni viumbe vidogo jamii ya Parasites, wakati mwingine kama minyoo, vinaweza kusababisha maambukizi katika njia yako ya utumbo. Aina kuu mbili za vimelea vinavyoweza kuambukiza mfumo wako wa usagaji chakula huitwa protozoa na helminths.

Vimelea hivi vinaweza kusababisha tatizo la kuharisha damu, ambapo huweza kuambatana na kamasi, pamoja na kichefuchefu, kutapika, homa, tumbo kuuma, na kupoteza uzito.

Saratani ya Utumbo Mpana,Colorectal cancer

Asilimia kubwa,Saratani ya utumbo mpana(colorectal cancer),ambayo hujulikana kama adenocarcinoma, huanzia kwenye mucosa, ambapo hapa ndyo penye Seli hai zinazotengeneza Kamasi.

Kuwa na Fistula aina ya Anal fistulas au Vidonda njia ya haja kubwa, rectal ulcers

Fistula ya Njia ya haja kubwa(Anal fistula) hutengeneza tundu lenye maambukizi kati ya ngozi na njia ya haja kubwa. Tatizo hili huweza kuundwa baada ya kuwa na jipu. Ni matatizo yanayoweza kusababishwa na IBD, na pia yanaweza kusababishwa na magonjwa ya zinaa sehemu ya haja kubwa, jeraha, ugonjwa wa kifua kikuu, na tiba ya mionzi kuzunguka pelvisi yako.

Tatizo hili la Fistula Wakati mwingine huweza kusababisha kamasi, pamoja na Usaha na damu, kutoka Sehemu ya haja kubwa.

Vidonda kwenye Puru au Rectum, vinavyosababishwa na jeraha kwenye ukuta wa puru yako, ni vidonda vilivyo wazi ndani ya puru yako ambavyo vinaweza pia kusababisha kamasi au damu kuonekana kwenye kinyesi chako. N.k….!!!!

Hizi ni Baadhi Ya Sababu za Wewe Kujiaidia Kinyesi chenye Makamasi

IKIWA UNA SHIDA HII,KWA USHAURI ZAIDI,ELIMU AU TIBA TUWASILIANE KWA NAMBA +255758286584.

YOU MUST READ(IMPORTANT)

Magonjwa2 months ago

Maumivu chini ya kitovu ni dalili za ugonjwa gani

Maumivu chini ya kitovu ni dalili za ugonjwa gani. Watu wengi huweza kupata maumivu chini ya kitovu, lakini umewahi kujiuliza...

Magonjwa3 months ago

Kaswende ni ugonjwa gani, soma hapa kufahamu

Kaswende ni ugonjwa gani, Kaswende ni maambukizi yanayosababishwa na bakteria. Mara nyingi, huenea kupitia mawasiliano ya kingono au kwa kujamiiana....

Magonjwa3 months ago

Koo kukauka ni dalili ya ugonjwa gani

Koo kukauka ni dalili ya ugonjwa gani Koo kukauka kunaweza kusababishwa na sababu kadhaa, ikiwa ni pamoja na: Upungufu wa...

Magonjwa3 months ago

Amiba ni ugonjwa gani,Fahamu kuhusu Ugonjwa wa Amebiasis

Amiba ni ugonjwa gani Wengi wamezoea kusema hivo ila Amiba(amoeba) ni vimelea vyinavyosababisha ugonjwa, na Ugonjwa huo kitaalam ndyo hujulikana...

Magonjwa5 months ago

kuwashwa nyayo za miguu husababishwa na nini? chanzo na Tiba

kuwashwa nyayo za miguu husababishwa na nini? chanzo na Tiba kuwashwa nyayo za miguu; zipo sababu nyingi ambazo huchangia shida...

magonjwa ya wanawake5 months ago

Ujue Ugonjwa Wa PID (Pelvic Inflammatory Disease)

Ujue Ugonjwa Wa PID (Pelvic Inflammatory Disease) Pid ni ugonjwa gani? PID ni Maambukizi ya bacteria Kwenye Via vya Uzazi...

Magonjwa2 years ago

SHINGO YA MTOTO KULEGEA(CHANZO CHAKE)

SHINGO YA MTOTO KULEGEA(CHANZO CHAKE) Mabadiliko ya Watoto wengi huanza kwenye miezi mitatu ya Mwanzo wakati ambapo Shingo ya mtoto...

Magonjwa3 years ago

MAUMIVU MAKALI SEHEMU YA HAJA KUBWA

Baadhi ya watu wanachanganya tatizo la maumivu makali sehemu ya haja kubwa pamoja na tatizo la Bawasiri,japo mojawapo ya chanzo...

Magonjwa3 years ago

TATIZO LA MASIKIO KUPIGA KELELE,CHANZO NA TIBA YAKE(Tinnitus)

TATIZO LA MASIKIO KUPIGA KELELE,CHANZO NA TIBA YAKE(Tinnitus) tatizo la masikio kupiga kelele Tinnitus, ni Tatizo la masikio kupiga kelele,...

Magonjwa3 years ago

DALILI ZA UGONJWA WA GONO(KISONONO)

 UGONJWA WA KISONONO DALILI ZA UGONJWA WA GONO(KISONONO) Ugonjwa wa gonorrhea maarufu kama GONO au Kisonono ni ugonjwa wa zinaa...

Magonjwa3 years ago

TATIZO LA UKE KUJAMBA PAMOJA NA TIBA YAKE(chanzo cha tatizo hili ni nini?)

Tatizo la Uke Kujamba TATIZO LA UKE KUJAMBA PAMOJA NA TIBA YAKE(chanzo cha tatizo hili ni nini?) Moja ya vitu...

Magonjwa3 years ago

DALILI ZA FANGASI UUMENI,KORODANI PAMOJA NA MATIBABU YAKE

 FANGASI • • • • • DALILI ZA FANGASI UUMENI,KORODANI PAMOJA NA MATIBABU YAKE Mashambulizi ya Fangasi sehemu za siri...

Magonjwa3 years ago

CHANZO CHA TATIZO LA KUOTA NYAMA PUANI PAMOJA NA MATIBABU YAKE

Chanzo cha tatizo la NYAMA PUANI,Dalili zake Pamoja na Tiba yake, Soma makala hii kwa Makini ili upate Kujua kuhusu...

Magonjwa3 years ago

SABABU ZA KUVIMBA KWA MASHAVU YA UKE(TEZI LA BARTHOLIN)

KUVIMBA MASHAVU YA UKE • • • • • • Katika Makala hii tumechambua zaidi kuhusu sababu za kuvimba mashavu...

Magonjwa4 years ago

TATIZO LA MWANAUME KUOTA MATITI(gynecomastia)

TATIZO LA MWANAUME KUOTA MATITI(gynecomastia) Tatizo hili linatokea kwa Baadhi ya wanaume,na hata kupelekea Wanaume hao kuwa na Matiti kama...

MAGONJWA MBALI MBALI

Magonjwa2 days ago

Ugonjwa wa ngozi sehemu za siri

Ugonjwa wa ngozi sehemu za siri Yapo magonjwa mbali mbali ya ngozi ambayo huweza kuathiri Sehemu za Siri za Mwanaume...

Magonjwa6 days ago

Dalili za acid reflux,Soma hapa Kufahamu

Dalili za acid reflux: Tatizo la Gastroesophageal reflux disease (GERD), ni tatizo ambalo huwapata Watu wengi,Tatizo hili hujulikana kwa jina...

Magonjwa3 weeks ago

Ugonjwa wa ngozi kuwa nyeupe,VITILIGO

Ugonjwa wa ngozi kuwa nyeupe,VITILIGO Vitiligo ni ugonjwa wa ngozi kuwa nyeupe au ni ugonjwa ambao huhusisha ngozi kupoteza rangi...

Magonjwa3 weeks ago

Mlipuko wa ugonjwa wa macho,Macho Mekundu

Mlipuko wa ugonjwa wa macho,Macho Mekundu Baada ya Ugonjwa huu wa macho kusumbua watu wengi kwa kipindi cha Hivi Karibuni,...

Magonjwa4 weeks ago

Scabies ni ugonjwa gani? Soma hapa kufahamu

Scabies ni ugonjwa gani? Soma hapa kufahamu Utangulizi: Scabies huhusisha mtu kuwa na vipele na muwasho kwenye ngozi yake ambapo...

Magonjwa4 weeks ago

Dalili za ugonjwa wa gono kwa mwanaume

Dalili za ugonjwa wa gono kwa mwanaume Gono ni neno maarufu ambalo kirefu chake ni Gonorrhea na kiswahili chake ni...

Magonjwa1 month ago

Dalili Mpya za ukimwi kwenye ngozi

Zipi ni Dalili za ukimwi kwenye ngozi Zipi ni dalili za Ukimwi kwenye ngozi ya mtu? Fahamu hapa kupitia makala...

Magonjwa1 month ago

Madhara ya COVID-19: Athari za Ugonjwa, Asili na Matibabu

Madhara ya COVID-19: Athari za Ugonjwa, Asili na Matibabu Huu ni ugonjwa wa kuambukiza uliosababishwa na kirusi cha corona, ambao...

Magonjwa1 month ago

Ishara za Maambukizi ya Njia ya Mkojo (UTI) kwa Wanaume na Wanawake

Ishara za Maambukizi ya Njia ya Mkojo (UTI) kwa Wanaume na Wanawake Karibu! Hapa kwa makala yenye taarifa muhimu kuhusu...

Magonjwa1 month ago

Vyanzo Vya Kifo cha Ghafla: Sababu Zinazotisha na Jinsi ya Kujikinga

“Vyanzo Vya Kifo cha Ghafla: Sababu Zinazotisha na Jinsi ya Kujikinga” Kifo cha ghafla ni janga lisilotarajiwa ambalo linaweza kumpata...

Trending