Connect with us

Magonjwa

MAUMIVU YA TUMBO AMBAYO HUSHUKA MPAKA KWENYE MIGUU

Avatar photo

Published

on

MAUMIVU YA TUMBO AMBAYO HUSHUKA MPAKA KWENYE MIGUU

Unaweza kupata maumivu ambayo huanzia tumboni,eneo la sehemu za siri,kiunoni mpaka kwenye mguu mmoja wa kulia,kushoto au miguu yote miwili.

CHANZO CHA MAUMIVU KAMA HAYA

– Ujauzito, baadhi ya wanawake wajawazito hupata Maumivu haya ambayo huanzia tumboni mpaka miguuni,

Hii ni kutokana na Ujauzito kusababisha pressure zaidi kwenye misuli,ligaments za eneo la kiunoni(pelvis) kuvutwa zaidi n.k

Na maumivu haya huweza kuwa makali hasa wakati mama mjamzito akitembea.

Ukiwa unapata maumivu kama haya unaweza kuomba ushauri kutoka kwa wataalam wa afya wakuambie nini chakufanya.

– Tatizo la Fibromyalgia, Tatizo hili huhusisha maumivu makali sana na ya muda mrefu ambayo husambaa mpaka kwenye misuli, Maumivu haya huambatana na;

• Uchovu wa mwili kupita kiasi

• Maumivu kwenye viungo,joints pamoja na misuli

• Kushindwa kufocus kwenye kitu unachokifanya

• Kuwa na shida ya Depression

• Kukosa usingizi

• Kupata maumivu makali ya kichwa

• Kuwa na hofu au wasi wasi sana

• Kuhisi vitu vinachoma choma kwenye mikono pamoja na miguuni

• Tumbo kujaa gesi,Kupata choo kigumu

• Maumivu ya tumbo,uso,taya n.k

KUMBUKA; ukiwa na tatizo hili kuna dawa pamoja na vitu vya kufanya ukiwa nyumbani ikiwemo mazoezi ya kukusaidia hilo tatizo likaisha kabsa.

– Tatizo la Pelvic floor dysfunction, tatizo hili huweza kusababishwa na ujauzito,umri mkubwa,kuumia kama kuchanika sana wakati wa kujifungua n.k

Japo kwa asilimia kubwa ya wanawake wenye tatizo hili hawapati maumivu yoyote ila hupata shida ya kushindwa kuzuia mkojo kutoka hasa wakati wa kukimbia au kuruka.

Matibabu yake huweza kuhusisha dawa pamoja na mazoezi ila kama tatizo ni kubwa sana yaani severe pelvic floor injuries basi hapa lazima upasuaji kufanyika.

– Tatizo la Sciatica pain, ambalo huhusisha maumivu makali kuanzia nyuma ya mgongo(lower back) na kusambaa kwenye maeneo mengine mpaka miguuni,

Na chanzo chake ni shida kwenye sciatic nerve, ambapo husababishwa na vitu mbali mbali kama vile; Kuharibiwa kwa Nerves hizo, maumivu yanayotokana na ugonjwa wa kisukari yaani diabetic nerve pain,tatizo la herniated disc n.k

– Tatizo la Myofascial pain syndrome, haya ni maumivu makali ambayo huanzia sehemu moja kama kwenye kifundo cha msuli mgumu, kisha kusambaa kwenye maeneo mengine mwilini,

Maumivu haya huweza kutibiwa kwa dawa, mfano wa jamii ya steroids, muscle relaxants,n.k, Pamoja na Massage na mazoezi.

– Tatizo la Soft tissue injuries, hapa nazungumzia ligaments, tendons au muscles ambazo huzunguka eneo la pelvis kwa wanawake.

Endapo soft tissue kwenye maeneo haya zikapata jeraha lolote, huweza kusababisha maumivu kwenye eneo la kiuno,hips, tumboni kushuka chini sehemu za siri ambayo husambaa hadi miguuni.

KWA USHAURI ZAIDI,ELIMU AU TIBA TUWASILIANE KWA NAMBA +255758286584.

Ushauri|Tiba|CheckIn ContactUs; +255758286584 or INBOX. For More Healthtips everyday Link In https://afyaclass.com Also Follow us on Instagram @afyaclass

YOU MUST READ(IMPORTANT)

Magonjwa2 months ago

Maumivu chini ya kitovu ni dalili za ugonjwa gani

Maumivu chini ya kitovu ni dalili za ugonjwa gani. Watu wengi huweza kupata maumivu chini ya kitovu, lakini umewahi kujiuliza...

Magonjwa3 months ago

Kaswende ni ugonjwa gani, soma hapa kufahamu

Kaswende ni ugonjwa gani, Kaswende ni maambukizi yanayosababishwa na bakteria. Mara nyingi, huenea kupitia mawasiliano ya kingono au kwa kujamiiana....

Magonjwa3 months ago

Koo kukauka ni dalili ya ugonjwa gani

Koo kukauka ni dalili ya ugonjwa gani Koo kukauka kunaweza kusababishwa na sababu kadhaa, ikiwa ni pamoja na: Upungufu wa...

Magonjwa3 months ago

Amiba ni ugonjwa gani,Fahamu kuhusu Ugonjwa wa Amebiasis

Amiba ni ugonjwa gani Wengi wamezoea kusema hivo ila Amiba(amoeba) ni vimelea vyinavyosababisha ugonjwa, na Ugonjwa huo kitaalam ndyo hujulikana...

Magonjwa5 months ago

kuwashwa nyayo za miguu husababishwa na nini? chanzo na Tiba

kuwashwa nyayo za miguu husababishwa na nini? chanzo na Tiba kuwashwa nyayo za miguu; zipo sababu nyingi ambazo huchangia shida...

magonjwa ya wanawake5 months ago

Ujue Ugonjwa Wa PID (Pelvic Inflammatory Disease)

Ujue Ugonjwa Wa PID (Pelvic Inflammatory Disease) Pid ni ugonjwa gani? PID ni Maambukizi ya bacteria Kwenye Via vya Uzazi...

Magonjwa2 years ago

SHINGO YA MTOTO KULEGEA(CHANZO CHAKE)

SHINGO YA MTOTO KULEGEA(CHANZO CHAKE) Mabadiliko ya Watoto wengi huanza kwenye miezi mitatu ya Mwanzo wakati ambapo Shingo ya mtoto...

Magonjwa3 years ago

MAUMIVU MAKALI SEHEMU YA HAJA KUBWA

Baadhi ya watu wanachanganya tatizo la maumivu makali sehemu ya haja kubwa pamoja na tatizo la Bawasiri,japo mojawapo ya chanzo...

Magonjwa3 years ago

TATIZO LA MASIKIO KUPIGA KELELE,CHANZO NA TIBA YAKE(Tinnitus)

TATIZO LA MASIKIO KUPIGA KELELE,CHANZO NA TIBA YAKE(Tinnitus) tatizo la masikio kupiga kelele Tinnitus, ni Tatizo la masikio kupiga kelele,...

Magonjwa3 years ago

DALILI ZA UGONJWA WA GONO(KISONONO)

 UGONJWA WA KISONONO DALILI ZA UGONJWA WA GONO(KISONONO) Ugonjwa wa gonorrhea maarufu kama GONO au Kisonono ni ugonjwa wa zinaa...

Magonjwa3 years ago

TATIZO LA UKE KUJAMBA PAMOJA NA TIBA YAKE(chanzo cha tatizo hili ni nini?)

Tatizo la Uke Kujamba TATIZO LA UKE KUJAMBA PAMOJA NA TIBA YAKE(chanzo cha tatizo hili ni nini?) Moja ya vitu...

Magonjwa3 years ago

DALILI ZA FANGASI UUMENI,KORODANI PAMOJA NA MATIBABU YAKE

 FANGASI • • • • • DALILI ZA FANGASI UUMENI,KORODANI PAMOJA NA MATIBABU YAKE Mashambulizi ya Fangasi sehemu za siri...

Magonjwa3 years ago

CHANZO CHA TATIZO LA KUOTA NYAMA PUANI PAMOJA NA MATIBABU YAKE

Chanzo cha tatizo la NYAMA PUANI,Dalili zake Pamoja na Tiba yake, Soma makala hii kwa Makini ili upate Kujua kuhusu...

Magonjwa3 years ago

SABABU ZA KUVIMBA KWA MASHAVU YA UKE(TEZI LA BARTHOLIN)

KUVIMBA MASHAVU YA UKE • • • • • • Katika Makala hii tumechambua zaidi kuhusu sababu za kuvimba mashavu...

Magonjwa4 years ago

TATIZO LA MWANAUME KUOTA MATITI(gynecomastia)

TATIZO LA MWANAUME KUOTA MATITI(gynecomastia) Tatizo hili linatokea kwa Baadhi ya wanaume,na hata kupelekea Wanaume hao kuwa na Matiti kama...

MAGONJWA MBALI MBALI

Magonjwa1 day ago

Dalili za infection kwenye damu,mchafuko wa damu

Dalili za infection kwenye damu Mchafuko wa damu,chanzo,dalili na Tiba Mchafuko wa damu; hiki ni kiswahili ambacho watu wamezoea kukitumia...

Magonjwa4 days ago

Ugonjwa wa ngozi sehemu za siri

Ugonjwa wa ngozi sehemu za siri Yapo magonjwa mbali mbali ya ngozi ambayo huweza kuathiri Sehemu za Siri za Mwanaume...

Magonjwa1 week ago

Dalili za acid reflux,Soma hapa Kufahamu

Dalili za acid reflux: Tatizo la Gastroesophageal reflux disease (GERD), ni tatizo ambalo huwapata Watu wengi,Tatizo hili hujulikana kwa jina...

Magonjwa3 weeks ago

Ugonjwa wa ngozi kuwa nyeupe,VITILIGO

Ugonjwa wa ngozi kuwa nyeupe,VITILIGO Vitiligo ni ugonjwa wa ngozi kuwa nyeupe au ni ugonjwa ambao huhusisha ngozi kupoteza rangi...

Magonjwa4 weeks ago

Mlipuko wa ugonjwa wa macho,Macho Mekundu

Mlipuko wa ugonjwa wa macho,Macho Mekundu Baada ya Ugonjwa huu wa macho kusumbua watu wengi kwa kipindi cha Hivi Karibuni,...

Magonjwa4 weeks ago

Scabies ni ugonjwa gani? Soma hapa kufahamu

Scabies ni ugonjwa gani? Soma hapa kufahamu Utangulizi: Scabies huhusisha mtu kuwa na vipele na muwasho kwenye ngozi yake ambapo...

Magonjwa1 month ago

Dalili za ugonjwa wa gono kwa mwanaume

Dalili za ugonjwa wa gono kwa mwanaume Gono ni neno maarufu ambalo kirefu chake ni Gonorrhea na kiswahili chake ni...

Magonjwa1 month ago

Dalili Mpya za ukimwi kwenye ngozi

Zipi ni Dalili za ukimwi kwenye ngozi Zipi ni dalili za Ukimwi kwenye ngozi ya mtu? Fahamu hapa kupitia makala...

Magonjwa1 month ago

Madhara ya COVID-19: Athari za Ugonjwa, Asili na Matibabu

Madhara ya COVID-19: Athari za Ugonjwa, Asili na Matibabu Huu ni ugonjwa wa kuambukiza uliosababishwa na kirusi cha corona, ambao...

Magonjwa1 month ago

Ishara za Maambukizi ya Njia ya Mkojo (UTI) kwa Wanaume na Wanawake

Ishara za Maambukizi ya Njia ya Mkojo (UTI) kwa Wanaume na Wanawake Karibu! Hapa kwa makala yenye taarifa muhimu kuhusu...

Trending