Connect with us

Magonjwa

TATIZO LA MTOTO KUZALIWA BILA SEHEMU YA HAJA KUBWA,CHANZO,DALILI NA TIBA

Avatar photo

Published

on

TATIZO LA MTOTO KUZALIWA BILA SEHEMU YA HAJA KUBWA,CHANZO,DALILI NA TIBA

Tatizo hili huweza kutokea kwa baadhi ya watoto,na tafiti zinaonyesha kwamba,tatizo hili hutokea kwa watoto wa jinsia ya kiume zaidi kuliko ya kike,

Na mara nyingi likitokea kwa watoto wa kike huwa,Rectum,bladder pamoja na uke hutengeneza tundu moja ambalo kwa kitaalam hujulikana kama cloaca.

CHANZO CHA TATIZO LA MTOTO KUZALIWA BILA SEHEMU YA HAJA KUBWA

• Tatizo hili hutokea mtoto akiwa tumboni hasa ujauzito ukiwa na wiki tano mpaka saba, na chanzo halisi cha tatizo hili bado hakijulikani,

Na mara nyingi watoto ambao huzaliwa na tatizo hili wanakuwa na shida nyingine kwenye rectum.

DALILI ZA TATIZO LA MTOTO KUZALIWA BILA SEHEMU YA HAJA KUBWA

Kwa asilimia kubwa dalili za tatizo hili huanza kuonekana mara tu baada ya mtoto kuzaliwa, na dalili hizo ni kama vile;

– Mtoto kutokuwa na tundu la haja kubwa(no anal opening)

– Tundu la haja kubwa kuwepo sehemu ambayo sio sahihi,mfano karibu kabsa na ukeni n.k

– Mtoto kutojisaidia haja kubwa kuanzia masaa 24 mpaka 48 toka azaliwe

– Haja kubwa kutokea sehemu ambayo sio sahihi mfano kwenye uke,urethra,chini ya uume,kwenye scrotum n.k

– Tumbo la mtoto kuvimba

– Na asilimia kubwa ya watoto wenye tatizo hili la kukosa sehemu ya haja kubwa huwa na matatizo mengine kama vile;

• Kuwepo kwa tundu kati ya Rectum pamoja na via vyao vya uzazi au njia ya mkojo

• Defects kwenye njia ya mkojo pamoja na Figo

• Shida kwenye uti wa mgongo

• Shida kwenye mikono na miguu

• Shida ya tracheal au windpipe

• Shida kwenye esophageal

• Tatizo la Down syndrome(chromosomal condition),tatizo ambalo huweza kuhusisha hatua za ukuaji wa mtoto kuchelewa kama vile: cognitive delay, intellectual disability, a characteristic facial appearance, pamoja na misuli kuwa dhaifu sana.

• Ugonjwa wa Hirschsprung, ambao huhusisha kukosekana kwa Nerve cells kwenye utumbo mkubwa

• Tatizo la duodenal atresia,ambapo huhusisha defects kwenye sehemu ya kwanza ya Small bowel.

• Matatizo ya moyo(congenital heart defects) N.k.

TATIZO LA MTOTO KUZALIWA BILA SEHEMU YA HAJA KUBWA HUGUNDULIKAJE?

Tatizo hili kwa asilimia kubwa hugundulika mara tu baada ya mtoto kuzaliwa,

– Kuanza kuonekana kwa dalili zote ambazo nimeeleza hapo juu, pamoja na;

– kufanya physical examination(kumkagua mtoto baada ya kuzaliwa)

– Pia vipimo vingine huweza kufanyika ili kujua ukubwa wa tatizo pamoja na madhara yake, kama vile;

• Kufanya X-ray ya tumboni huweza kusaidia pia kujua ukubwa wa tatizo hili

• X-ray ya uti wa mgongo kuangalia defects zozote kwenye uti wa mgongo

• Kipimo cha echocardiogram kuangalia shida yoyote kwenye moyo

• Kipimo cha MRI Kuangalia shida yoyote kwenye esophageal,uwepo wa tundu kwenye trachea n.k

MATIBABU YA TATIZO LA MTOTO KUZALIWA BILA SEHEMU YA HAJA KUBWA

Tatizo hili huhitaji matibabu ya haraka kwa mtoto, na asilimia kubwa ya watoto hufanyiwa upasuaji wa kurekebisha sehemu hii.

– Pia huduma ya temporary colostomy inaweza kumsaidia mtoto kukuwa kuwa kabla ya upasuaji,

Pia utaelekezwa jinsi ya kumfanyia mtoto wako huduma ya Anal dilation, ili kusaidia tundu la haja kubwa kutokuwa dogo zaidi,ambapo utafanya zoezi hili kwa miezi kadhaa.

Ushauri|Tiba|CheckIn ContactUs; +255758286584 or INBOX. For More Healthtips everyday Link In https://afyaclass.com Also Follow us on Instagram @afyaclass

YOU MUST READ(IMPORTANT)

Magonjwa2 months ago

Maumivu chini ya kitovu ni dalili za ugonjwa gani

Maumivu chini ya kitovu ni dalili za ugonjwa gani. Watu wengi huweza kupata maumivu chini ya kitovu, lakini umewahi kujiuliza...

Magonjwa3 months ago

Kaswende ni ugonjwa gani, soma hapa kufahamu

Kaswende ni ugonjwa gani, Kaswende ni maambukizi yanayosababishwa na bakteria. Mara nyingi, huenea kupitia mawasiliano ya kingono au kwa kujamiiana....

Magonjwa3 months ago

Koo kukauka ni dalili ya ugonjwa gani

Koo kukauka ni dalili ya ugonjwa gani Koo kukauka kunaweza kusababishwa na sababu kadhaa, ikiwa ni pamoja na: Upungufu wa...

Magonjwa3 months ago

Amiba ni ugonjwa gani,Fahamu kuhusu Ugonjwa wa Amebiasis

Amiba ni ugonjwa gani Wengi wamezoea kusema hivo ila Amiba(amoeba) ni vimelea vyinavyosababisha ugonjwa, na Ugonjwa huo kitaalam ndyo hujulikana...

Magonjwa5 months ago

kuwashwa nyayo za miguu husababishwa na nini? chanzo na Tiba

kuwashwa nyayo za miguu husababishwa na nini? chanzo na Tiba kuwashwa nyayo za miguu; zipo sababu nyingi ambazo huchangia shida...

magonjwa ya wanawake5 months ago

Ujue Ugonjwa Wa PID (Pelvic Inflammatory Disease)

Ujue Ugonjwa Wa PID (Pelvic Inflammatory Disease) Pid ni ugonjwa gani? PID ni Maambukizi ya bacteria Kwenye Via vya Uzazi...

Magonjwa2 years ago

SHINGO YA MTOTO KULEGEA(CHANZO CHAKE)

SHINGO YA MTOTO KULEGEA(CHANZO CHAKE) Mabadiliko ya Watoto wengi huanza kwenye miezi mitatu ya Mwanzo wakati ambapo Shingo ya mtoto...

Magonjwa3 years ago

MAUMIVU MAKALI SEHEMU YA HAJA KUBWA

Baadhi ya watu wanachanganya tatizo la maumivu makali sehemu ya haja kubwa pamoja na tatizo la Bawasiri,japo mojawapo ya chanzo...

Magonjwa3 years ago

TATIZO LA MASIKIO KUPIGA KELELE,CHANZO NA TIBA YAKE(Tinnitus)

TATIZO LA MASIKIO KUPIGA KELELE,CHANZO NA TIBA YAKE(Tinnitus) tatizo la masikio kupiga kelele Tinnitus, ni Tatizo la masikio kupiga kelele,...

Magonjwa3 years ago

DALILI ZA UGONJWA WA GONO(KISONONO)

 UGONJWA WA KISONONO DALILI ZA UGONJWA WA GONO(KISONONO) Ugonjwa wa gonorrhea maarufu kama GONO au Kisonono ni ugonjwa wa zinaa...

Magonjwa3 years ago

TATIZO LA UKE KUJAMBA PAMOJA NA TIBA YAKE(chanzo cha tatizo hili ni nini?)

Tatizo la Uke Kujamba TATIZO LA UKE KUJAMBA PAMOJA NA TIBA YAKE(chanzo cha tatizo hili ni nini?) Moja ya vitu...

Magonjwa3 years ago

DALILI ZA FANGASI UUMENI,KORODANI PAMOJA NA MATIBABU YAKE

 FANGASI • • • • • DALILI ZA FANGASI UUMENI,KORODANI PAMOJA NA MATIBABU YAKE Mashambulizi ya Fangasi sehemu za siri...

Magonjwa3 years ago

CHANZO CHA TATIZO LA KUOTA NYAMA PUANI PAMOJA NA MATIBABU YAKE

Chanzo cha tatizo la NYAMA PUANI,Dalili zake Pamoja na Tiba yake, Soma makala hii kwa Makini ili upate Kujua kuhusu...

Magonjwa3 years ago

SABABU ZA KUVIMBA KWA MASHAVU YA UKE(TEZI LA BARTHOLIN)

KUVIMBA MASHAVU YA UKE • • • • • • Katika Makala hii tumechambua zaidi kuhusu sababu za kuvimba mashavu...

Magonjwa4 years ago

TATIZO LA MWANAUME KUOTA MATITI(gynecomastia)

TATIZO LA MWANAUME KUOTA MATITI(gynecomastia) Tatizo hili linatokea kwa Baadhi ya wanaume,na hata kupelekea Wanaume hao kuwa na Matiti kama...

MAGONJWA MBALI MBALI

Magonjwa2 days ago

kuharisha na kutapika ni dalili za ugonjwa gani

kuharisha na kutapika ni dalili za ugonjwa gani Unapopata tatizo la kuharisha na kutapika kwa wakati mmoja unaweza kuwaza sana,...

Magonjwa4 days ago

Dalili za infection kwenye damu,mchafuko wa damu

Dalili za infection kwenye damu Mchafuko wa damu,chanzo,dalili na Tiba Mchafuko wa damu; hiki ni kiswahili ambacho watu wamezoea kukitumia...

Magonjwa7 days ago

Ugonjwa wa ngozi sehemu za siri

Ugonjwa wa ngozi sehemu za siri Yapo magonjwa mbali mbali ya ngozi ambayo huweza kuathiri Sehemu za Siri za Mwanaume...

Magonjwa2 weeks ago

Dalili za acid reflux,Soma hapa Kufahamu

Dalili za acid reflux: Tatizo la Gastroesophageal reflux disease (GERD), ni tatizo ambalo huwapata Watu wengi,Tatizo hili hujulikana kwa jina...

Magonjwa4 weeks ago

Ugonjwa wa ngozi kuwa nyeupe,VITILIGO

Ugonjwa wa ngozi kuwa nyeupe,VITILIGO Vitiligo ni ugonjwa wa ngozi kuwa nyeupe au ni ugonjwa ambao huhusisha ngozi kupoteza rangi...

Magonjwa4 weeks ago

Mlipuko wa ugonjwa wa macho,Macho Mekundu

Mlipuko wa ugonjwa wa macho,Macho Mekundu Baada ya Ugonjwa huu wa macho kusumbua watu wengi kwa kipindi cha Hivi Karibuni,...

Magonjwa1 month ago

Scabies ni ugonjwa gani? Soma hapa kufahamu

Scabies ni ugonjwa gani? Soma hapa kufahamu Utangulizi: Scabies huhusisha mtu kuwa na vipele na muwasho kwenye ngozi yake ambapo...

Magonjwa1 month ago

Dalili za ugonjwa wa gono kwa mwanaume

Dalili za ugonjwa wa gono kwa mwanaume Gono ni neno maarufu ambalo kirefu chake ni Gonorrhea na kiswahili chake ni...

Magonjwa1 month ago

Dalili Mpya za ukimwi kwenye ngozi

Zipi ni Dalili za ukimwi kwenye ngozi Zipi ni dalili za Ukimwi kwenye ngozi ya mtu? Fahamu hapa kupitia makala...

Magonjwa1 month ago

Madhara ya COVID-19: Athari za Ugonjwa, Asili na Matibabu

Madhara ya COVID-19: Athari za Ugonjwa, Asili na Matibabu Huu ni ugonjwa wa kuambukiza uliosababishwa na kirusi cha corona, ambao...

Trending