Connect with us

Magonjwa

Tatizo la kizunguzungu husababishwa na nini

Avatar photo

Published

on

Tatizo la kizunguzungu husababishwa na nini

Tatizo la kizunguzungu hutokea mara kwa mara kwa watu wengi, na inaweza isiwe shida sana ya kuwa na wasiwasi ila wakati mwingine tatizo la Kizunguzungu ni kiashiria kikubwa na muhimu kwamba kuna tatizo mwilini,

Unaweza kupata Tatizo la kizunguzungu kisha likaondoka lenyewe ndani ya muda mfupi sana, ila endapo unapata Tatizo la kizunguzungu mara kwa mara au kwa kujirudia rudia kwa muda mrefu ni muhimu sana kutafuta msaada wa kitaalam.

Katika Makala hii tutachambua zaidi kuhusu chanzo cha Tatizo la kizunguzungu pamoja na Vitu vya kufanya endapo una tatizo hilo.

Tatizo la kizunguzungu husababishwa na nini?

Zipo Sababu mbali mbali ambazo husababisha Tatizo la kizunguzungu ikiwemo;

1. Tatizo la upungufu wa maji mwilini(dehydration),

Endapo una shida hii ya upungufu wa maji mwilini, moja ya dalili ambayo unaweza kuwa nayo ni pamoja na kupata Tatizo la kizunguzungu.

2. Matumizi ya Pombe, hii pia huweza kusababisha shida ya maumivu ya kichwa(migraine headache) pamoja na Tatizo la kizunguzungu

3. Pia tatizo kwenye Sehemu ya ndani ya Sikio(inner ear),

Kumbuka sehemu hii ndyo huhusika na kuleta uwiano au balance katika ya mwili,

Hivo basi, endapo una tatizo lolote linayoathiri sehemu hii ya ndani ya sikio unaweza kupata matatizo mengine ikiwemo Tatizo la kizunguzungu.

4. Pia matumizi ya baadhi ya Dawa,

Baadhi ya dawa huweza kusababisha Tatizo la kizunguzungu, ikiwemo;

  • dawa za presha
  • dawa jamii ya muscle relaxants
  • antiepileptic drugs
  • dawa jamii ya antihistamines n.k

5. Kushuka gafla kwa presha yaani Sudden drop in blood pressure,

Presha kushuka gafla Kutokana na Sababu mbali mbali ikiwemo hata kusimama tu kwa muda mrefu yaani orthostatic hypotension,

Hali hii pia huweza kusababisha Tatizo la kizunguzungu.

6. Matatizo mbali mbali ya moyo kama vile;

  • Arrhythmia
  • Cardiomyopathy,
  • shambulio la moyo(heart attack) n.k

7. Kufanya Mazoezi kupita kiasi,

Hata kama mazoezi ni mazuri kwa afya ya mwili,unashauriwa kufanya kwa kiasi,

Ukifanya mazoezi kupita kiasi unaweza kupata madhara mengine kama vile;

  • Tatizo la kizunguzungu.
  • Maumivu makali ya kichwa
  • Mwanamke kukosa hedhi au hedhi kutokueleweka n.k

8. Tatizo la Upungufu wa Damu mwilini(Anemia)

Hii pia huweza kupelekea Tatizo la kizunguzungu.

9. Damu kuwa nyingi kuliko kawaida,

Hii pia huweza kusababisha Tatizo la kizunguzungu.

10. Tatizo la Sukari kushuka(Hypoglycemia)

11. Tatizo la Anxiety disorders,

12. Shida ya Motion sickness,

kwa wale ambao huugua wakisafiri kww kutumia vyombo mbali mbali vya Usafiri kama vile gari,boat,ndege n.k

kama una shida hii ya motion sickness pia unaweza kupata matatizo kama vile;

  • Tatizo la kizunguzungu.
  • Kutapika sana
  • Kuharisha
  • Maumivu makali ya tumbo n.k

13. Maambukizi ya Magonjwa mbali mbali ikiwemo;

  • COVID-19
  • Maambukiz kwenye Sikio(Ear infection):
  • Ugonjwa wa Malaria, UTI n.k

FAQs: Maswali ambayo huulizwa mara kwa mara

Je, Upungufu wa maji mwilini huweza kusababisha Tatizo la kizunguzungu?

Ndyo, Moja ya dalili ambazo unaweza kuzipata kama una shida ya Upungufu wa maji mwilini(dehydration) ni Pamoja na kupata Tatizo la kizunguzungu.

Hitimisho:

Tatizo la kizunguzungu huweza kusababishwa na vitu mbali mbali ikiwemo; Upungufu wa maji mwilini,upungufu wa damu,kushuka kwa sukari,maambukizi ya magonjwa mbali mbali kama vile Ugonjwa wa Malaria, magonjwa ya Moyo n.k

Hivo kama unapata Tatizo la kizunguzungu mara kwa mara ni muhimu kufanya VIPIMO ili kujua shida ni nini.

KWA USHAURI ZAIDI,ELIMU AU TIBA JUU YA TATIZO LOLOTE TUWASILIANE KWA NAMBA +255758286584.

Ushauri|Tiba|CheckIn ContactUs; +255758286584 or INBOX. For More Healthtips everyday Link In https://afyaclass.com Also Follow us on Instagram @afyaclass

YOU MUST READ(IMPORTANT)

Magonjwa2 months ago

Maumivu chini ya kitovu ni dalili za ugonjwa gani

Maumivu chini ya kitovu ni dalili za ugonjwa gani. Watu wengi huweza kupata maumivu chini ya kitovu, lakini umewahi kujiuliza...

Magonjwa3 months ago

Kaswende ni ugonjwa gani, soma hapa kufahamu

Kaswende ni ugonjwa gani, Kaswende ni maambukizi yanayosababishwa na bakteria. Mara nyingi, huenea kupitia mawasiliano ya kingono au kwa kujamiiana....

Magonjwa3 months ago

Koo kukauka ni dalili ya ugonjwa gani

Koo kukauka ni dalili ya ugonjwa gani Koo kukauka kunaweza kusababishwa na sababu kadhaa, ikiwa ni pamoja na: Upungufu wa...

Magonjwa3 months ago

Amiba ni ugonjwa gani,Fahamu kuhusu Ugonjwa wa Amebiasis

Amiba ni ugonjwa gani Wengi wamezoea kusema hivo ila Amiba(amoeba) ni vimelea vyinavyosababisha ugonjwa, na Ugonjwa huo kitaalam ndyo hujulikana...

Magonjwa5 months ago

kuwashwa nyayo za miguu husababishwa na nini? chanzo na Tiba

kuwashwa nyayo za miguu husababishwa na nini? chanzo na Tiba kuwashwa nyayo za miguu; zipo sababu nyingi ambazo huchangia shida...

magonjwa ya wanawake5 months ago

Ujue Ugonjwa Wa PID (Pelvic Inflammatory Disease)

Ujue Ugonjwa Wa PID (Pelvic Inflammatory Disease) Pid ni ugonjwa gani? PID ni Maambukizi ya bacteria Kwenye Via vya Uzazi...

Magonjwa2 years ago

SHINGO YA MTOTO KULEGEA(CHANZO CHAKE)

SHINGO YA MTOTO KULEGEA(CHANZO CHAKE) Mabadiliko ya Watoto wengi huanza kwenye miezi mitatu ya Mwanzo wakati ambapo Shingo ya mtoto...

Magonjwa3 years ago

MAUMIVU MAKALI SEHEMU YA HAJA KUBWA

Baadhi ya watu wanachanganya tatizo la maumivu makali sehemu ya haja kubwa pamoja na tatizo la Bawasiri,japo mojawapo ya chanzo...

Magonjwa3 years ago

TATIZO LA MASIKIO KUPIGA KELELE,CHANZO NA TIBA YAKE(Tinnitus)

TATIZO LA MASIKIO KUPIGA KELELE,CHANZO NA TIBA YAKE(Tinnitus) tatizo la masikio kupiga kelele Tinnitus, ni Tatizo la masikio kupiga kelele,...

Magonjwa3 years ago

DALILI ZA UGONJWA WA GONO(KISONONO)

 UGONJWA WA KISONONO DALILI ZA UGONJWA WA GONO(KISONONO) Ugonjwa wa gonorrhea maarufu kama GONO au Kisonono ni ugonjwa wa zinaa...

Magonjwa3 years ago

TATIZO LA UKE KUJAMBA PAMOJA NA TIBA YAKE(chanzo cha tatizo hili ni nini?)

Tatizo la Uke Kujamba TATIZO LA UKE KUJAMBA PAMOJA NA TIBA YAKE(chanzo cha tatizo hili ni nini?) Moja ya vitu...

Magonjwa3 years ago

DALILI ZA FANGASI UUMENI,KORODANI PAMOJA NA MATIBABU YAKE

 FANGASI • • • • • DALILI ZA FANGASI UUMENI,KORODANI PAMOJA NA MATIBABU YAKE Mashambulizi ya Fangasi sehemu za siri...

Magonjwa3 years ago

CHANZO CHA TATIZO LA KUOTA NYAMA PUANI PAMOJA NA MATIBABU YAKE

Chanzo cha tatizo la NYAMA PUANI,Dalili zake Pamoja na Tiba yake, Soma makala hii kwa Makini ili upate Kujua kuhusu...

Magonjwa3 years ago

SABABU ZA KUVIMBA KWA MASHAVU YA UKE(TEZI LA BARTHOLIN)

KUVIMBA MASHAVU YA UKE • • • • • • Katika Makala hii tumechambua zaidi kuhusu sababu za kuvimba mashavu...

Magonjwa4 years ago

TATIZO LA MWANAUME KUOTA MATITI(gynecomastia)

TATIZO LA MWANAUME KUOTA MATITI(gynecomastia) Tatizo hili linatokea kwa Baadhi ya wanaume,na hata kupelekea Wanaume hao kuwa na Matiti kama...

MAGONJWA MBALI MBALI

Magonjwa1 day ago

Dalili za infection kwenye damu,mchafuko wa damu

Dalili za infection kwenye damu Mchafuko wa damu,chanzo,dalili na Tiba Mchafuko wa damu; hiki ni kiswahili ambacho watu wamezoea kukitumia...

Magonjwa4 days ago

Ugonjwa wa ngozi sehemu za siri

Ugonjwa wa ngozi sehemu za siri Yapo magonjwa mbali mbali ya ngozi ambayo huweza kuathiri Sehemu za Siri za Mwanaume...

Magonjwa1 week ago

Dalili za acid reflux,Soma hapa Kufahamu

Dalili za acid reflux: Tatizo la Gastroesophageal reflux disease (GERD), ni tatizo ambalo huwapata Watu wengi,Tatizo hili hujulikana kwa jina...

Magonjwa3 weeks ago

Ugonjwa wa ngozi kuwa nyeupe,VITILIGO

Ugonjwa wa ngozi kuwa nyeupe,VITILIGO Vitiligo ni ugonjwa wa ngozi kuwa nyeupe au ni ugonjwa ambao huhusisha ngozi kupoteza rangi...

Magonjwa4 weeks ago

Mlipuko wa ugonjwa wa macho,Macho Mekundu

Mlipuko wa ugonjwa wa macho,Macho Mekundu Baada ya Ugonjwa huu wa macho kusumbua watu wengi kwa kipindi cha Hivi Karibuni,...

Magonjwa4 weeks ago

Scabies ni ugonjwa gani? Soma hapa kufahamu

Scabies ni ugonjwa gani? Soma hapa kufahamu Utangulizi: Scabies huhusisha mtu kuwa na vipele na muwasho kwenye ngozi yake ambapo...

Magonjwa1 month ago

Dalili za ugonjwa wa gono kwa mwanaume

Dalili za ugonjwa wa gono kwa mwanaume Gono ni neno maarufu ambalo kirefu chake ni Gonorrhea na kiswahili chake ni...

Magonjwa1 month ago

Dalili Mpya za ukimwi kwenye ngozi

Zipi ni Dalili za ukimwi kwenye ngozi Zipi ni dalili za Ukimwi kwenye ngozi ya mtu? Fahamu hapa kupitia makala...

Magonjwa1 month ago

Madhara ya COVID-19: Athari za Ugonjwa, Asili na Matibabu

Madhara ya COVID-19: Athari za Ugonjwa, Asili na Matibabu Huu ni ugonjwa wa kuambukiza uliosababishwa na kirusi cha corona, ambao...

Magonjwa1 month ago

Ishara za Maambukizi ya Njia ya Mkojo (UTI) kwa Wanaume na Wanawake

Ishara za Maambukizi ya Njia ya Mkojo (UTI) kwa Wanaume na Wanawake Karibu! Hapa kwa makala yenye taarifa muhimu kuhusu...

Trending