Connect with us

News

Familia yazika mgomba wa ndizi badala ya mwili wa mpendwa wao

Avatar photo

Published

on

Familia moja katika Kaunti ya Murang’a imelazimika kuzika mgomba wa ndizi badala ya mwili wa mpendwa wao, baada ya hospitali moja ya kibinafsi kukataa na mabaki yake ikidai bili ya Sh1.3 milioni.

Kisanga hicho kilitokea Jumamosi ya Desemba 9, 2023 katika kijiji cha Kamuiru kilichoko katika eneobunge la Maragua, wenyeji wakiitaka hospitali hiyo sasa kufanya itakavyo na maiti ya mwendazake.

Mwili wa Bi Irene Wanjiru, 55 ulikuwa tayari umetolewa kutoka hospitali hiyo na kuwasilishwa hadi Mochari ya hospitali ya Maragua tayari kuandaliwa mazishi lakini kukatolewa ilani usikabidhiwe familia hiyo kabla ya ilipe bili hiyo.

Kwa mujibu wa mwanawe marehemu, Bw Mwangi Irungu, mwendazake alianza kusumbuliwa na mwili mwaka uliopita, 2022 na hali ikamzidia Julai 2022 ambapo alilazwa katika hospitali ya kibinafsi iliyoko Kaunti ya Kirinyaga.

“Mamangu aligunduliwa kuwa na Saratani ya kichwa na baada ya kufanyiwa upasuaji na kushughulikiwa katika fani zinginezo katika hospitali hiyo ya Kerugoya, bili yote ilijumlishwa kuwa Sh3.8 milioni,” akasema.

Bw Irungu aliongeza kuwa; “Tulifanya bidii kupitia kuchangisha na tukafanikiwa kulipa Sh2.5 milioni na ndipo tukaafikiana na wasimamizi wa hospitali hiyo kwamba tungepewa ruhusa ya kuzika mwili”.

Alisema kwamba maelewano yalikuwa familia ya marehemu itafute pesa kidogo zaidi ili ikubaliwe mwili uzikwe.

“Lakini baada ya kuchangisha pesa zingine na tukapata Sh80, 000 ambazo tuliwasilisha kwa hospitali hiyo, hali ambayo ilitufanya tupewe mwili tusafirishe hadi mochari iliyo karibu na kwetu, siku ya mazishi tulipigwa na butwaa kuambiwa kwamba tumenyimwa ruhusa ya kuandaa maziko hayo,” akasema.

Alisema kwamba kuna jamaa na marafiki ambao tayari walikuwa wamesafiri kutoka kila pembe ya taifa ili kuhudhuria mazishi hayo, lakini baada ya kufahamishwa kuhusu utata huo wa bili, wakaamua kuandaa mazishi ya mgomba wa ndizi.

“Tulikuwa tumechimba kaburi na katika mila zetu za jamii ya Agikuyu, huwezi ukaacha kaburi likiwa wazi na pia huwezi ukalijaza mchanga bila ya mwili ulionuiwa kuzikwa,” akasema Mzee Nduati Kariga, 87.

Mzee Kariga alisema kwamba kuthubutu kujaza kaburi mchanga bila mwili ulionuiwa kuzikwa, ni sawa na kulaani ukoo mzima wa mwendazake.

Alisema, “Katika hali hiyo, mgomba wa ndizi ndio huzikwa ili kusimamia mwili wa mwendazake na pia kutakasa ukoo wake kwa mujibu wa mila na desturi”.

Alifafanua kwamba mgomba huo hutafutwa ukiwa na mizizi yake ili hata baada ya kuzikwa, utapambana na kisha kuzalisha migomba mingine “hali hii ikiangazia kustawi kwa familia ya mwendazake hata baada ya dhiki ya msiba”.

Aliongeza kuwa mgomba huzaa ndizi ambayo hutumika kama chakula hasa kwa watoto wachanga “na hiyo ni ishara ya kustawi kwa vizazi hata baada ya maziko hayo ya mgomba”.

Familia hiyo ilisema kwamba ikiwa hospitali hiyo inataka kumiliki mwili wa marehemu iko huru sasa kufanya hivyo.

Karibu AfyaUpdates Kwa Taarifa Zote Muhimu ndani na Nje. More Updates everyday Link In https://afyaclass.com  Also Follow us on Instagram @afyaclass

YOU MUST READ(IMPORTANT)

Magonjwa3 months ago

Maumivu chini ya kitovu ni dalili za ugonjwa gani

Maumivu chini ya kitovu ni dalili za ugonjwa gani. Watu wengi huweza kupata maumivu chini ya kitovu, lakini umewahi kujiuliza...

Magonjwa3 months ago

Kaswende ni ugonjwa gani, soma hapa kufahamu

Kaswende ni ugonjwa gani, Kaswende ni maambukizi yanayosababishwa na bakteria. Mara nyingi, huenea kupitia mawasiliano ya kingono au kwa kujamiiana....

Magonjwa3 months ago

Koo kukauka ni dalili ya ugonjwa gani

Koo kukauka ni dalili ya ugonjwa gani Koo kukauka kunaweza kusababishwa na sababu kadhaa, ikiwa ni pamoja na: Upungufu wa...

Magonjwa3 months ago

Amiba ni ugonjwa gani,Fahamu kuhusu Ugonjwa wa Amebiasis

Amiba ni ugonjwa gani Wengi wamezoea kusema hivo ila Amiba(amoeba) ni vimelea vyinavyosababisha ugonjwa, na Ugonjwa huo kitaalam ndyo hujulikana...

Magonjwa5 months ago

kuwashwa nyayo za miguu husababishwa na nini? chanzo na Tiba

kuwashwa nyayo za miguu husababishwa na nini? chanzo na Tiba kuwashwa nyayo za miguu; zipo sababu nyingi ambazo huchangia shida...

magonjwa ya wanawake5 months ago

Ujue Ugonjwa Wa PID (Pelvic Inflammatory Disease)

Ujue Ugonjwa Wa PID (Pelvic Inflammatory Disease) Pid ni ugonjwa gani? PID ni Maambukizi ya bacteria Kwenye Via vya Uzazi...

Magonjwa2 years ago

SHINGO YA MTOTO KULEGEA(CHANZO CHAKE)

SHINGO YA MTOTO KULEGEA(CHANZO CHAKE) Mabadiliko ya Watoto wengi huanza kwenye miezi mitatu ya Mwanzo wakati ambapo Shingo ya mtoto...

Magonjwa3 years ago

MAUMIVU MAKALI SEHEMU YA HAJA KUBWA

Baadhi ya watu wanachanganya tatizo la maumivu makali sehemu ya haja kubwa pamoja na tatizo la Bawasiri,japo mojawapo ya chanzo...

Magonjwa3 years ago

TATIZO LA MASIKIO KUPIGA KELELE,CHANZO NA TIBA YAKE(Tinnitus)

TATIZO LA MASIKIO KUPIGA KELELE,CHANZO NA TIBA YAKE(Tinnitus) tatizo la masikio kupiga kelele Tinnitus, ni Tatizo la masikio kupiga kelele,...

Magonjwa3 years ago

DALILI ZA UGONJWA WA GONO(KISONONO)

 UGONJWA WA KISONONO DALILI ZA UGONJWA WA GONO(KISONONO) Ugonjwa wa gonorrhea maarufu kama GONO au Kisonono ni ugonjwa wa zinaa...

Magonjwa3 years ago

TATIZO LA UKE KUJAMBA PAMOJA NA TIBA YAKE(chanzo cha tatizo hili ni nini?)

Tatizo la Uke Kujamba TATIZO LA UKE KUJAMBA PAMOJA NA TIBA YAKE(chanzo cha tatizo hili ni nini?) Moja ya vitu...

Magonjwa3 years ago

DALILI ZA FANGASI UUMENI,KORODANI PAMOJA NA MATIBABU YAKE

 FANGASI • • • • • DALILI ZA FANGASI UUMENI,KORODANI PAMOJA NA MATIBABU YAKE Mashambulizi ya Fangasi sehemu za siri...

Magonjwa3 years ago

CHANZO CHA TATIZO LA KUOTA NYAMA PUANI PAMOJA NA MATIBABU YAKE

Chanzo cha tatizo la NYAMA PUANI,Dalili zake Pamoja na Tiba yake, Soma makala hii kwa Makini ili upate Kujua kuhusu...

Magonjwa3 years ago

SABABU ZA KUVIMBA KWA MASHAVU YA UKE(TEZI LA BARTHOLIN)

KUVIMBA MASHAVU YA UKE • • • • • • Katika Makala hii tumechambua zaidi kuhusu sababu za kuvimba mashavu...

magonjwa ya wanaume4 years ago

TATIZO LA MWANAUME KUOTA MATITI(gynecomastia)

TATIZO LA MWANAUME KUOTA MATITI(gynecomastia) Tatizo hili linatokea kwa Baadhi ya wanaume,na hata kupelekea Wanaume hao kuwa na Matiti kama...

MAGONJWA MBALI MBALI

Magonjwa3 days ago

kuharisha na kutapika ni dalili za ugonjwa gani

kuharisha na kutapika ni dalili za ugonjwa gani Unapopata tatizo la kuharisha na kutapika kwa wakati mmoja unaweza kuwaza sana,...

Magonjwa5 days ago

Dalili za infection kwenye damu,mchafuko wa damu

Dalili za infection kwenye damu Mchafuko wa damu,chanzo,dalili na Tiba Mchafuko wa damu; hiki ni kiswahili ambacho watu wamezoea kukitumia...

Magonjwa1 week ago

Ugonjwa wa ngozi sehemu za siri

Ugonjwa wa ngozi sehemu za siri Yapo magonjwa mbali mbali ya ngozi ambayo huweza kuathiri Sehemu za Siri za Mwanaume...

Magonjwa2 weeks ago

Dalili za acid reflux,Soma hapa Kufahamu

Dalili za acid reflux: Tatizo la Gastroesophageal reflux disease (GERD), ni tatizo ambalo huwapata Watu wengi,Tatizo hili hujulikana kwa jina...

Magonjwa4 weeks ago

Ugonjwa wa ngozi kuwa nyeupe,VITILIGO

Ugonjwa wa ngozi kuwa nyeupe,VITILIGO Vitiligo ni ugonjwa wa ngozi kuwa nyeupe au ni ugonjwa ambao huhusisha ngozi kupoteza rangi...

Magonjwa4 weeks ago

Mlipuko wa ugonjwa wa macho,Macho Mekundu

Mlipuko wa ugonjwa wa macho,Macho Mekundu Baada ya Ugonjwa huu wa macho kusumbua watu wengi kwa kipindi cha Hivi Karibuni,...

Magonjwa1 month ago

Scabies ni ugonjwa gani? Soma hapa kufahamu

Scabies ni ugonjwa gani? Soma hapa kufahamu Utangulizi: Scabies huhusisha mtu kuwa na vipele na muwasho kwenye ngozi yake ambapo...

Magonjwa1 month ago

Dalili za ugonjwa wa gono kwa mwanaume

Dalili za ugonjwa wa gono kwa mwanaume Gono ni neno maarufu ambalo kirefu chake ni Gonorrhea na kiswahili chake ni...

Magonjwa1 month ago

Dalili Mpya za ukimwi kwenye ngozi

Zipi ni Dalili za ukimwi kwenye ngozi Zipi ni dalili za Ukimwi kwenye ngozi ya mtu? Fahamu hapa kupitia makala...

Magonjwa1 month ago

Madhara ya COVID-19: Athari za Ugonjwa, Asili na Matibabu

Madhara ya COVID-19: Athari za Ugonjwa, Asili na Matibabu Huu ni ugonjwa wa kuambukiza uliosababishwa na kirusi cha corona, ambao...

Trending