News
Mzee Mwinyi alazwa hospitali akiugua maradhi ya Kifua
Mzee Mwinyi alazwa hospitali akiugua maradhi ya Kifua.
Rais Mstaafu wa Awamu ya Pili Mzee Ali Hassan Mwinyi amelazwa hospitali akiugua maradhi ya kifua na anaendelea kupata matibabu chini ya uangalizi wa karibu wa madaktari.
Taarifa iliyotolewa kwa vyombo vya habari na Msemaji wa familia Abdullah Ali Mwinyi imeeleza kuwa,
kutokana na ushauri wa madaktari, familia imeona ni vema apate faragha akiwa anapatiwa matibabu.
“Hivyo familia inaiomba jamii kumkumbuka kwenye Dua, Sala, na Maombi.
Tunamuomba Mwenyezi Mungu amjaalie shifaa ya haraka Mzee wetu pamoja na wagonjwa wengine wote wanaokabiliwa na maradhi mbali mbali”. Imesema taarifa hiyo ya
Msemaji wa familia ya Mzee Mwinyi.
-
Uzazi/Ujauzito5 days ago
Dalili za hatari baada ya kujifungua kwa upasuaji
-
Magonjwa4 days ago
Dalili za infection kwenye damu,mchafuko wa damu
-
Uzazi/Ujauzito3 days ago
Dalili za mimba hutokea baada ya siku ngapi
-
Magonjwa7 days ago
Ugonjwa wa ngozi sehemu za siri
-
Magonjwa2 days ago
kuharisha na kutapika ni dalili za ugonjwa gani
-
Events6 days ago
Chad yafanikiwa kuondoa Ugonjwa wa trypanosomiasis,WHO yatangaza
-
News4 days ago
TANZIA:Yusuf Manji afariki dunia akipatiwa Matibabu Marekani
-
Utafiti21 hours ago
Zaidi ya vifo milioni 3 kila mwaka hutokana na matumizi ya pombe na madawa ya kulevya-WHO