News
TUKIO: Mwanamke atoroka na mtoto wa mwajiri wake kisha kumuuza
![](https://afyaclass.com/mk_omb/uploads/2024/02/20240203_232706_1706999272.jpg)
TUKIO: Mwanamke atoroka na mtoto wa mwajiri wake kisha kumuuza.
Mwanamke mmoja nchini Nigeria aliyetoroka na mtoto wa mwajiri wake akiri kumuuza mtoto huyo kwa N800k,
Mjakazi huyo ambaye hivi majuzi aliajiriwa na familia kupitia wakala amemuuza mtoto ambaye alikuwa ameajiriwa kumlea.
Mjakazi huyo, aliyetambulika kama Ruth Okezie, aliripotiwa kutoroka na mtoto huyo kutoka kwenye nyumba ya Shomolu mwendo wa saa mbili asubuhi. Jumamosi asubuhi, Februari 3.
Baada ya taarifa ya mtu aliyepotea kutangazwa kwenye mitandao ya kijamii, kijakazi huyo alipatikana Ikorodu, bila mtoto huyo,
Kwa sasa amekiri kumuuza mtoto huyo kwa shilingi N800,000.
Mtumiaji mmoja wa mtandao wa X(twitter) aliye karibu na hali hiyo, ambaye alishiriki hadithi hiyo, alisema mtoto bado hajapatikana.
-
Magonjwa4 days ago
Ugonjwa wa ngozi sehemu za siri
-
Elimu&Ushauri6 days ago
Afya za watu bilioni 1.8 duniani matatani kwa kutokufanya Mazoezi – WHO
-
Uzazi/Ujauzito2 days ago
Dalili za hatari baada ya kujifungua kwa upasuaji
-
Magonjwa1 day ago
Dalili za infection kwenye damu,mchafuko wa damu
-
Events3 days ago
Chad yafanikiwa kuondoa Ugonjwa wa trypanosomiasis,WHO yatangaza
-
Uzazi/Ujauzito10 hours ago
Dalili za mimba hutokea baada ya siku ngapi
-
News6 days ago
Mlipuko Mbaya wa homa ya nyani watokea tena KIVU KASKAZINI
-
News2 days ago
TANZIA:Yusuf Manji afariki dunia akipatiwa Matibabu Marekani