News
Ubadhirifu NHIF; 148 wachukuliwa hatua, kati yao; 129 ni watumishi vituo binafsi
Ubadhirifu NHIF; 148 wachukuliwa hatua, kati yao; 129 ni watumishi vituo binafsi
Meneja wa Kitengo cha Kupambana na Udanganyifu kutoka NHIF Bi. Rose Ntundu ametoa ufafanuzi dhidi ya taarofa za upotoshaji zinazosambazwa mtandaoni kuhusu watumishi 148 wa NHIF kuhusika kwenye vitendo vha udanganyifu.
Bi. Ntundu amesema kuwa kwenye taarifa ya CAG iliyotolewa Machi 2023 ilieleza kuwa kati ya watumishi 148 walibainika wamehusika kwenye vitendo vya udanganyifu, watumishi 129 walitoka kwenye Vituo binafsi vya kutolea huduma huku watumishi 19 pekee walitoka NHIF.
Amebainisha kuwa tayari hatua za kisheria na nidhamu zimechukuliwa kwa watu hao kkupitia mamlaka zao za ajira, bodi au mabaraza ya kitaaluma huku kwa watumishi wa NHIF waliohusika wote tayari wamechukuliwa hatua.
“Nichukue fursa hii kuwasihi wanachama wetu, watoa huduma na waajiri kujiepusha na vitendo vya udanganyifu, Mfuko utachukua hatua kwa mtu yeyote atakayebainika kujihusisha na vitendo vya udanganyifu” amesisitiza Bi. Ntundu.
WADANGANYIFU WOTE DHIDI YA NHIF WAMECHUKULIWA HATUA
Meneja wa Kitengo cha Kupambana na Udanganyifu kutoka NHIF Bi. Rose Ntundu ametoa ufafanuzi dhidi ya taarofa za upotoshaji zinazosambazwa mtandaoni kuhusu watumishi 148 wa NHIF kuhusika kwenye vitendo vha udanganyifu.
Bi. Ntundu amesema kuwa kwenye taarifa ya CAG iliyotolewa Machi 2023 ilieleza kuwa kati ya watumishi 148 walibainika wamehusika kwenye vitendo vya udanganyifu, watumishi 129 walitoka kwenye Vituo binafsi vya kutolea huduma huku watumishi 19 pekee walitoka NHIF.
Amebainisha kuwa tayari hatua za kisheria na nidhamu zimechukuliwa kwa watu hao kkupitia mamlaka zao za ajira, bodi au mabaraza ya kitaaluma huku kwa watumishi wa NHIF waliohusika wote tayari wamechukuliwa hatua.
“Nichukue fursa hii kuwasihi wanachama wetu, watoa huduma na waajiri kujiepusha na vitendo vya udanganyifu, Mfuko utachukua hatua kwa mtu yeyote atakayebainika kujihusisha na vitendo vya udanganyifu” amesisitiza Bi. Ntundu.
-
Uzazi/Ujauzito5 days ago
Dalili za hatari baada ya kujifungua kwa upasuaji
-
Magonjwa4 days ago
Dalili za infection kwenye damu,mchafuko wa damu
-
Uzazi/Ujauzito3 days ago
Dalili za mimba hutokea baada ya siku ngapi
-
Magonjwa7 days ago
Ugonjwa wa ngozi sehemu za siri
-
Magonjwa2 days ago
kuharisha na kutapika ni dalili za ugonjwa gani
-
Events6 days ago
Chad yafanikiwa kuondoa Ugonjwa wa trypanosomiasis,WHO yatangaza
-
News4 days ago
TANZIA:Yusuf Manji afariki dunia akipatiwa Matibabu Marekani
-
Utafiti22 hours ago
Zaidi ya vifo milioni 3 kila mwaka hutokana na matumizi ya pombe na madawa ya kulevya-WHO