News
TUKIO: Mwanamke atoroka na mtoto wa mwajiri wake kisha kumuuza
TUKIO: Mwanamke atoroka na mtoto wa mwajiri wake kisha kumuuza.
Mwanamke mmoja nchini Nigeria aliyetoroka na mtoto wa mwajiri wake akiri kumuuza mtoto huyo kwa N800k,
Mjakazi huyo ambaye hivi majuzi aliajiriwa na familia kupitia wakala amemuuza mtoto ambaye alikuwa ameajiriwa kumlea.
Mjakazi huyo, aliyetambulika kama Ruth Okezie, aliripotiwa kutoroka na mtoto huyo kutoka kwenye nyumba ya Shomolu mwendo wa saa mbili asubuhi. Jumamosi asubuhi, Februari 3.
Baada ya taarifa ya mtu aliyepotea kutangazwa kwenye mitandao ya kijamii, kijakazi huyo alipatikana Ikorodu, bila mtoto huyo,
Kwa sasa amekiri kumuuza mtoto huyo kwa shilingi N800,000.
Mtumiaji mmoja wa mtandao wa X(twitter) aliye karibu na hali hiyo, ambaye alishiriki hadithi hiyo, alisema mtoto bado hajapatikana.
-
Uzazi/Ujauzito5 days ago
Dalili za hatari baada ya kujifungua kwa upasuaji
-
Magonjwa4 days ago
Dalili za infection kwenye damu,mchafuko wa damu
-
Uzazi/Ujauzito3 days ago
Dalili za mimba hutokea baada ya siku ngapi
-
Magonjwa7 days ago
Ugonjwa wa ngozi sehemu za siri
-
Magonjwa2 days ago
kuharisha na kutapika ni dalili za ugonjwa gani
-
Events6 days ago
Chad yafanikiwa kuondoa Ugonjwa wa trypanosomiasis,WHO yatangaza
-
News4 days ago
TANZIA:Yusuf Manji afariki dunia akipatiwa Matibabu Marekani
-
Utafiti22 hours ago
Zaidi ya vifo milioni 3 kila mwaka hutokana na matumizi ya pombe na madawa ya kulevya-WHO