News
Mapacha hawa; “Wanatumia miguu ya mtu mmoja na mfupa wa nyonga mmoja
![](https://afyaclass.com/mk_omb/uploads/2024/02/repost_photo_1-7.jpg)
Hii ni aina ya mapacha walioungana ambao kwa kitaalam hujulikana kama conjoined twins
Mapacha hawa; “Wanatumia miguu ya mtu mmoja na mfupa wa nyonga mmoja.
#PICHA:
“Wanatumia miguu ya mtu mmoja na mfupa wa nyonga mmoja.
“Wana uti za mgongo mbili tofauti na mishipa yao yote lakini kwa namna fulani wanaratibu kabisa kazi za viungo hivi sawa na hawana budi kuambiana jinsi ya kusogeza mkono au jinsi ya kusogeza mguu.”
Hawa ni Watoto mapacha walioungana(conjoined twins) waliotarajiwa kuishi siku chache tu, lakini wameimarika kinyume na matarajio ya madaktari na sasa wametimiza miaka saba.
Marieme na Ndeye hawakutarajiwa kuishi kwa zaidi ya siku chache walipozaliwa Senegal 🇸🇳 2016.
Kwa sasa wanafikiriwa kuwa pacha pekee wanaokua wakiwa wameunganika barani Ulaya.
Wataalam wa matibabu walionya familia hiyo kwamba, bila kuwatenganisha, hakuna mtoto anayeweza kuishi zaidi ya miezi michache.Lakini, madaktari walishauri, hatua ya kuwatenganisha ingempa Ndeye nafasi nzuri zaidi ya kuendelea kuishi.
“Ilikuwa ni kumuua mtoto wangu mmoja kwa ajili ya mwingine, ni jambo ambalo siwezi kufanya,” Ibrahima alisema wakati huo.
“Siwezi kuchagua nani ataishi na nani atakufa sasa.”
Ingawa wasichana wote wana haiba na hisia zao za kipekee, wanategemeana kuishi.
“Wanatumia miguu ya mtu mmoja na fupanyonga moja”..
Soma Zaidi aina hii ya mapacha walioungana(conjoined twins)
-
Magonjwa5 days ago
Ugonjwa wa ngozi sehemu za siri
-
Uzazi/Ujauzito3 days ago
Dalili za hatari baada ya kujifungua kwa upasuaji
-
Magonjwa2 days ago
Dalili za infection kwenye damu,mchafuko wa damu
-
Uzazi/Ujauzito1 day ago
Dalili za mimba hutokea baada ya siku ngapi
-
Events4 days ago
Chad yafanikiwa kuondoa Ugonjwa wa trypanosomiasis,WHO yatangaza
-
News3 days ago
TANZIA:Yusuf Manji afariki dunia akipatiwa Matibabu Marekani
-
Magonjwa4 hours ago
kuharisha na kutapika ni dalili za ugonjwa gani