Magonjwa
MADHARA YA KUCHANGANYA DAWA NA MAZIWA,PAMOJA NA DAWA AMBAZO HURUHUSIWI KUNYWA NA MAZIWA
MAZIWA
• • • • • •
MADHARA YA KUCHANGANYA DAWA NA MAZIWA,PAMOJA NA DAWA AMBAZO HURUHUSIWI KUNYWA NA MAZIWA
Tukinzungumzia swala la kutokuchanganya dawa pamoja na maziwa, tunamaanisha MAZIWA yenyewe pamoja na kula vitu vyote ambavyo vina maziwa ndani yake kama Vile; YOGURT,CHEESE n.k
Kunywa dawa pamoja na maziwa hua sio salama kwani baadhi ya dawa huweza kuathiriwa katika uwezo wake wa Ufyonzwaji mwilini
Hapa tunaweza kusema “milk can interfere and affect some medications’s absorption”
Je nini kinatokea?
Baadhi ya dawa hujishikiza kwenye Calcium(Ca) iliyopo kwenye maziwa na kutengeneza kitu tumboni au sehemu ya juu ya utumbo mdogo ambacho hakiwezi kufyozwa kabsa mwilini.
HIZI HAPA NI BAADHI YA DAWA AMBAZO HURUHUSIWI KUNYWA PAMOJA NA MAZIWA
✓ Tetracycline
✓ Doxycycline
✓ Ciproflaxin
✓ Quinolones
✓ Propranolol
✓ Mercaptopurine
✓ Non-steroidal anti-inflammatory drugs
✓ Digitalis
✓ Amiloride
✓ Omeprazole
✓ Spironolactone
✓ Ranitidine
N.K
KWA USHAURI ZAIDI,ELIMU AU TIBA TUWASILIANE KWA NAMBA +255758286584.
-
Uzazi/Ujauzito5 days ago
Dalili za hatari baada ya kujifungua kwa upasuaji
-
Magonjwa4 days ago
Dalili za infection kwenye damu,mchafuko wa damu
-
Uzazi/Ujauzito3 days ago
Dalili za mimba hutokea baada ya siku ngapi
-
Magonjwa7 days ago
Ugonjwa wa ngozi sehemu za siri
-
Magonjwa2 days ago
kuharisha na kutapika ni dalili za ugonjwa gani
-
Events6 days ago
Chad yafanikiwa kuondoa Ugonjwa wa trypanosomiasis,WHO yatangaza
-
News4 days ago
TANZIA:Yusuf Manji afariki dunia akipatiwa Matibabu Marekani
-
Utafiti22 hours ago
Zaidi ya vifo milioni 3 kila mwaka hutokana na matumizi ya pombe na madawa ya kulevya-WHO