News
Watu billion 5.6 Duniani sawa na asilimia 71% ya watu wote duniani kulindwa na Sera ya kuzuia Tumbaku
Watu billion 5.6 Duniani sawa na asilimia 71% ya watu wote duniani kulindwa na Sera ya kuzuia Tumbaku.
Kwa Mujibu wa takwimu za shirika la Afya Duniani(WHO);
Watu bilioni 5.6— sawa na asilimia 71% ya idadi ya watu duniani—sasa wanalindwa kwa angalau na sera moja ya utendaji bora ya WHO kusaidia kuokoa maisha kutokana na matumizi ya tumbaku,
Hii ni mara tano zaidi ya mwaka 2007.
Katika miaka 15 tangu hatua za WHO za MPOWER za kudhibiti tumbaku kuanzishwa duniani kote, viwango vya uvutaji sigara vimepungua,
na karibu asilimia 40% ya nchi mbali mbali sasa zina maeneo ya ndani ya umma yasiyo na moshi yaani “smoke-free indoor public places”.
Haya ni baadhi tu ya mambo muhimu ya afya duniani ambayo yalitoa matumaini katika Mwaka 2023. Katika 2024, tutachukua hatua zaidi kuelekea ulimwengu wenye afya, usalama na haki linasema shirika la Afya Duniani(WHO).
5.6 billion people—71% of the world’s population—are now protected with at least one WHO best-practice policy to help save lives from tobacco use.
This is five times more than in 2007.In the 15 years since WHO’s MPOWER tobacco control measures were introduced globally, smoking… pic.twitter.com/Y9Bb9387sr
— World Health Organization (WHO) (@WHO) December 25, 2023
-
Uzazi/Ujauzito6 days ago
Dalili za hatari baada ya kujifungua kwa upasuaji
-
Uzazi/Ujauzito4 days ago
Dalili za mimba hutokea baada ya siku ngapi
-
Magonjwa5 days ago
Dalili za infection kwenye damu,mchafuko wa damu
-
Magonjwa3 days ago
kuharisha na kutapika ni dalili za ugonjwa gani
-
Events7 days ago
Chad yafanikiwa kuondoa Ugonjwa wa trypanosomiasis,WHO yatangaza
-
News5 days ago
TANZIA:Yusuf Manji afariki dunia akipatiwa Matibabu Marekani
-
afyatips18 hours ago
Madhara ya damu kuwa nyingi mwilini
-
Utafiti2 days ago
Zaidi ya vifo milioni 3 kila mwaka hutokana na matumizi ya pombe na madawa ya kulevya-WHO