Connect with us

News

Mauaji ya kiongozi wa Hamas Beirut yazidisha mashaka ya vita

Avatar photo

Published

on

Mauaji ya kiongozi wa Hamas Beirut yazidisha mashaka ya vita

Jeshi la Israel limesema limejiandaa kwa hali yoyote baada ya shambulio mjini Beirut, lililomuuwa naibu kiongozi wa Hamas, na kuchochea hofu ya vita katika Ukanda wa Gaza kugeuka mzozo wa kikanda.

Arouri mwenya umri wa miaka 57 ndiye afisa wa kwanza wa ngazi ya juu wa Hamas kuuawa tangu Israel ilipoanzisha mashambulizi makubwa ya angani na ardhini dhidi ya kundi hilo karibu miezi mitatu iliyopita, kufuatia uvamizi wa kushtukiza na mashambulizi dhidi ya miji ya Israel.

Israel haijathibitisha wala kukanusha kufanya mauaji ya Arouri, lakini msemaji wa jeshi lake Daniel Hagari alisema vikosi vya Israel vilikuwa katola hali ya juu ya utayari na vimejindaa kwa hali yoyote.

Israel ilimtuhumu Arouri kwa muda mrefu kuhusika na mashambulizi ya mauaji dhidi ya raia wake, lakini afisa wa Hamas amesema alikuwa muhimu sana katika majadiliano yaliofanywa na Qatar na Misri juu ya matokeo ya vita vya Gaza, na kuachiwa kwa mateka wa Israel walioshikiliwa na Hamas.

Nasser Kanaani, msemaji wa wizara ya mambo ya nje ya Iran, ambayo ni muungaji mkono mkubwa wa Hamas na kundi la Hezbollah la nchini Lebanon, amesema mauaji ya Arouri yatachochea zaidi hamasa ya upinzani na kuongeza motisha katika mapambano dhidi ya wakaliaji wa Kizayuni, siyo tu katika maeneo ya Wapalestina, bali katika kanda nzima na miongoni mwa wapiganiaji wa uhuru kote duniani.

Watu wakiwa wamekusanyika nje ya jengo lililoharibiwa kufuatia mlipuko mkubwa katika kitongoji cha Beirut kusini cha Dahiyeh, Lebanon, Jumanne, Januari 2, 2024.Picha: Bilal Hussein/AP Photo/picture alliance

UN yaelezea wasiwasi, yaomba kujizuwia

Akizungumza mjini New York jana baada ya mauaji hayo kuripotiwa, Naibu Msemaji wa Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, Florencia Soto Nino, aliyataja mauaji hayo kuwa kosa la kimahesabu linalosababisha wasiwasi mkubwa, na linalotilia mkazo kile ambacho Katibu Mkuu Antonio Guterres amekisema juu ya hatari ya kusambaa kwa mzozo huo katika kanda pana, na kutoa wito wa kujizuia.

“Kwa hiyo tunatoa wito tena kwa wanachama wote wa jumuiya ya kimataifa kufanya kila wawezalo ili kuzuia kuongezeka kwa mzozo huko. Kwa sababu ya mvutano unaozidi na kudorora kwa hali katika kanda, tunatoa wito kwa pande zote kujizuilia. Hatutaki kukurupuka kokote, vitendo vyovyote vya kukurupuka ambavyo vinaweza kusababisha vurugu zaidi,” alisema Soto Nino.

Mamia ya Wapalestina waliandamana mjini Ramallah na miji mingine katika Ukingo wa Magharibi kulaani mauaji ya Arouri, huku wakipaza sauti za “Kisasi, kisasi, Qassam!” wakimaanisha tawi la kijeshi la kundi la Hamas, ambalo linapambana na vikosi vya Israel Gaza.

Serikali ya Lebanon yazungumza na Hezbollah kuzuwia kuongezeka

Hofu imetawala juu ya hatua gani zitachukuliwa na kundi la Hezbollah, mshirika mkubwa wa Hamas na ambalo kiongozi wake Sayyed Hassan Nassrallah aliweka wazi kwamba hatua yoyote ya Israel kuwalenga viongozi wa Hamas walioko nchini Lebanon itajibiwa vikali.

Serikali ya Lebanon imesema ilikuwa katika mazungumzo na vuguvugu la Hezbollah kuzuwia kuongezeka kwa mzozo na Israel. Kaimu waziri wa mambo ya nje Abdallah Bou Habib, alikiambia kituo cha BBC 4 cha nchini Uingereza Jumanne usiku, kwamba serikali yake ilikuwa inazungumza na Hezobollah kuwashawishi kutojibu mauaji hayo.

“Tuna wasiwasi sana, [Walebanon] hawataki kuingizwa katika hilo, hata Hezbollah haitaki kuingizwa kwenye vita vya kikanda,” alinukuliwa akisema.

Wizara ya Mambo ya Nje ya Lebanon ilianza “kutayarisha malalamiko kwa Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa kulaani uvamizi wa Israel, kwa kuzingatia maagizo ya Waziri Mkuu wa muda Najib Mikati,” Shirika la Habari la Taifa linaloendeshwa na serikali lilisema.

Kundi jengine la Wahouthi nchini Yemen, ambalo limekuwa likizishambulia meli za kibiashara katika bahari ya Shamu kushinikiza Israel kuacha kuishambulia Gaza, limesema litazidisha mashambulizi yake na kutishia kuzilenga pia meli za kivita za Marekani ikiwa lenyewe litalengwa.

Jumla ya Wapalestina 22,313 wameuawa na 57,296 wamejeruhiwa katika mashambulizi ya Israel dhidi ya Gaza tangu Oktoba 7, imesema wizara ya afya ya Gaza katika taarifa siku ya Jumatano.

Takribani Wapalestina 128 wameuawa na 261 kujeruhiwa katika muda wa masaa 24, iliongeza wizara hiyo. Ujerumani, Marekani, Umoja wa Ulaya na mataifa kadhaa mengine yanaiorodhesha Hama kama kundi la kigaidi.

Chanzo: Mashirika

Karibu AfyaUpdates Kwa Taarifa Zote Muhimu ndani na Nje. More Updates everyday Link In https://afyaclass.com  Also Follow us on Instagram @afyaclass

YOU MUST READ(IMPORTANT)

Magonjwa3 months ago

Maumivu chini ya kitovu ni dalili za ugonjwa gani

Maumivu chini ya kitovu ni dalili za ugonjwa gani. Watu wengi huweza kupata maumivu chini ya kitovu, lakini umewahi kujiuliza...

Magonjwa3 months ago

Kaswende ni ugonjwa gani, soma hapa kufahamu

Kaswende ni ugonjwa gani, Kaswende ni maambukizi yanayosababishwa na bakteria. Mara nyingi, huenea kupitia mawasiliano ya kingono au kwa kujamiiana....

Magonjwa3 months ago

Koo kukauka ni dalili ya ugonjwa gani

Koo kukauka ni dalili ya ugonjwa gani Koo kukauka kunaweza kusababishwa na sababu kadhaa, ikiwa ni pamoja na: Upungufu wa...

Magonjwa3 months ago

Amiba ni ugonjwa gani,Fahamu kuhusu Ugonjwa wa Amebiasis

Amiba ni ugonjwa gani Wengi wamezoea kusema hivo ila Amiba(amoeba) ni vimelea vyinavyosababisha ugonjwa, na Ugonjwa huo kitaalam ndyo hujulikana...

Magonjwa5 months ago

kuwashwa nyayo za miguu husababishwa na nini? chanzo na Tiba

kuwashwa nyayo za miguu husababishwa na nini? chanzo na Tiba kuwashwa nyayo za miguu; zipo sababu nyingi ambazo huchangia shida...

magonjwa ya wanawake5 months ago

Ujue Ugonjwa Wa PID (Pelvic Inflammatory Disease)

Ujue Ugonjwa Wa PID (Pelvic Inflammatory Disease) Pid ni ugonjwa gani? PID ni Maambukizi ya bacteria Kwenye Via vya Uzazi...

Magonjwa2 years ago

SHINGO YA MTOTO KULEGEA(CHANZO CHAKE)

SHINGO YA MTOTO KULEGEA(CHANZO CHAKE) Mabadiliko ya Watoto wengi huanza kwenye miezi mitatu ya Mwanzo wakati ambapo Shingo ya mtoto...

Magonjwa3 years ago

MAUMIVU MAKALI SEHEMU YA HAJA KUBWA

Baadhi ya watu wanachanganya tatizo la maumivu makali sehemu ya haja kubwa pamoja na tatizo la Bawasiri,japo mojawapo ya chanzo...

Magonjwa3 years ago

TATIZO LA MASIKIO KUPIGA KELELE,CHANZO NA TIBA YAKE(Tinnitus)

TATIZO LA MASIKIO KUPIGA KELELE,CHANZO NA TIBA YAKE(Tinnitus) tatizo la masikio kupiga kelele Tinnitus, ni Tatizo la masikio kupiga kelele,...

Magonjwa3 years ago

DALILI ZA UGONJWA WA GONO(KISONONO)

 UGONJWA WA KISONONO DALILI ZA UGONJWA WA GONO(KISONONO) Ugonjwa wa gonorrhea maarufu kama GONO au Kisonono ni ugonjwa wa zinaa...

Magonjwa3 years ago

TATIZO LA UKE KUJAMBA PAMOJA NA TIBA YAKE(chanzo cha tatizo hili ni nini?)

Tatizo la Uke Kujamba TATIZO LA UKE KUJAMBA PAMOJA NA TIBA YAKE(chanzo cha tatizo hili ni nini?) Moja ya vitu...

Magonjwa3 years ago

DALILI ZA FANGASI UUMENI,KORODANI PAMOJA NA MATIBABU YAKE

 FANGASI • • • • • DALILI ZA FANGASI UUMENI,KORODANI PAMOJA NA MATIBABU YAKE Mashambulizi ya Fangasi sehemu za siri...

Magonjwa3 years ago

CHANZO CHA TATIZO LA KUOTA NYAMA PUANI PAMOJA NA MATIBABU YAKE

Chanzo cha tatizo la NYAMA PUANI,Dalili zake Pamoja na Tiba yake, Soma makala hii kwa Makini ili upate Kujua kuhusu...

Magonjwa3 years ago

SABABU ZA KUVIMBA KWA MASHAVU YA UKE(TEZI LA BARTHOLIN)

KUVIMBA MASHAVU YA UKE • • • • • • Katika Makala hii tumechambua zaidi kuhusu sababu za kuvimba mashavu...

Magonjwa4 years ago

TATIZO LA MWANAUME KUOTA MATITI(gynecomastia)

TATIZO LA MWANAUME KUOTA MATITI(gynecomastia) Tatizo hili linatokea kwa Baadhi ya wanaume,na hata kupelekea Wanaume hao kuwa na Matiti kama...

MAGONJWA MBALI MBALI

Magonjwa2 days ago

kuharisha na kutapika ni dalili za ugonjwa gani

kuharisha na kutapika ni dalili za ugonjwa gani Unapopata tatizo la kuharisha na kutapika kwa wakati mmoja unaweza kuwaza sana,...

Magonjwa4 days ago

Dalili za infection kwenye damu,mchafuko wa damu

Dalili za infection kwenye damu Mchafuko wa damu,chanzo,dalili na Tiba Mchafuko wa damu; hiki ni kiswahili ambacho watu wamezoea kukitumia...

Magonjwa1 week ago

Ugonjwa wa ngozi sehemu za siri

Ugonjwa wa ngozi sehemu za siri Yapo magonjwa mbali mbali ya ngozi ambayo huweza kuathiri Sehemu za Siri za Mwanaume...

Magonjwa2 weeks ago

Dalili za acid reflux,Soma hapa Kufahamu

Dalili za acid reflux: Tatizo la Gastroesophageal reflux disease (GERD), ni tatizo ambalo huwapata Watu wengi,Tatizo hili hujulikana kwa jina...

Magonjwa4 weeks ago

Ugonjwa wa ngozi kuwa nyeupe,VITILIGO

Ugonjwa wa ngozi kuwa nyeupe,VITILIGO Vitiligo ni ugonjwa wa ngozi kuwa nyeupe au ni ugonjwa ambao huhusisha ngozi kupoteza rangi...

Magonjwa4 weeks ago

Mlipuko wa ugonjwa wa macho,Macho Mekundu

Mlipuko wa ugonjwa wa macho,Macho Mekundu Baada ya Ugonjwa huu wa macho kusumbua watu wengi kwa kipindi cha Hivi Karibuni,...

Magonjwa1 month ago

Scabies ni ugonjwa gani? Soma hapa kufahamu

Scabies ni ugonjwa gani? Soma hapa kufahamu Utangulizi: Scabies huhusisha mtu kuwa na vipele na muwasho kwenye ngozi yake ambapo...

Magonjwa1 month ago

Dalili za ugonjwa wa gono kwa mwanaume

Dalili za ugonjwa wa gono kwa mwanaume Gono ni neno maarufu ambalo kirefu chake ni Gonorrhea na kiswahili chake ni...

Magonjwa1 month ago

Dalili Mpya za ukimwi kwenye ngozi

Zipi ni Dalili za ukimwi kwenye ngozi Zipi ni dalili za Ukimwi kwenye ngozi ya mtu? Fahamu hapa kupitia makala...

Magonjwa1 month ago

Madhara ya COVID-19: Athari za Ugonjwa, Asili na Matibabu

Madhara ya COVID-19: Athari za Ugonjwa, Asili na Matibabu Huu ni ugonjwa wa kuambukiza uliosababishwa na kirusi cha corona, ambao...

Trending