Connect with us

News

Historia:Haya ni Maeneo hatari zaidi Duniani

Avatar photo

Published

on

Historia:Haya ni Maeneo hatari zaidi kuyafikia Duniani

Dunia imejaa mambo mengi ya kupendeza na yasiyopendeza, lakini pia Dunia ina maajamu mengi ya kushangaza na mengine ni ya hatari zaidi. Kama ulikuwa unapanga kutembelea maeneo yote ya Dunia basi kuna sehemu nyingine inabidi ughairi kwani ni hatari kwako.

Zifuatazo ni sehemu hatari zaidi kutembelea Duniani kwani huko Mamlaka husika zimetoa onyo mara kadhaa ama usifike kabisa, ama uwe na wenyeweji au ufike lakini ukiwa unafahamu fuka kwamba lolote linaweza kukutokea.

Barabara ya kifo.

Barabara ya Yungas Kaskazini, hii inajulikana kama “Barabara ya Kifo” kwa sababu zote sahihi ambazo unaweza kudhani.

Zifahamu sababu za kutofikia maazimio ya mwaka

Kuendesha gari au kushuka kwa kurudi nyuma kwa maili 43 (kilometa 69) ni hatari sana kwa sababu ya ukungu, maporomoko ya ardhi, maporomoko ya maji na miamba inayoanguka mita 2,000 (610 mita) .

Hadi kufikia 1994, karibu madereva 300 walikufa, watu wakathibitisha jina la utani la barabara ya kifo na kuiweka kwenye orodha ya maeneo hatari zaidi kutembelea ulimwenguni.

Kisiwa cha Nyoka.

Kuna kisiwa kilicho karibu maili 25 kutoka pwani ya Brazil, ambapo hakuna mtu wa ndani ambaye anaweza kuthubutu kutembelea.

Upo uvumi kwamba mvuvi wa mwisho ambaye alipotea karibu na mwambao wake alipatikana akielea kwenye mashua yake siku chache baadaye, akiwa ameaga dunia .

Kisiwa hicho cha kushangaza kinajulikana kama Ilha da Queimada Grande, na ufikiqji wa hapo unaarifiwa kuwa ni hatari na Serikali ya Brazil imeharamisha mtu yeyote kutembelea.

Ziwa la Chumvi.

Unaambiwa hapa usiruhusu kuhadaiwa na wingi wa chumvi kando ya Ziwa Natron kwani ni moja ya maeneo yasiyofaa ulimwenguni.

Ziwa Natron lililopo kaskazini mwa Tanzania linaonekana kama ziwa la moto kwani viwango vya juu vya Natron (sodium carbonate decahydrate) hufanya maji yake kuchubua ngozi ya binadamu na macho na wakati mwingine kufikia kiwango cha ph zaidi ya 12.

Bonde la Kifo.

Ni Bonde la jangwa lililipo mpakani mwa California na Nevada likiwa na joto kali.

Lenyewe linajulikana kama moja ya maeneo yenye joto kali zaidi ulimwenguni.

Kuna majangwa machache pekee katika Mashariki ya Kati na Afrika, yanayokaribia joto kali wakati wa majira ya joto, yanayoweza kutoa ushindani kwa Bonde hili la Kifo.

Joto la wastani, pamoja na kiwango cha chini cha usiku, lilikuwa 108.1 ° F.

Kwa siku nne mfululizo, viwango vya juu vya kila siku vilifikia joto la 127 ° F, ambalo ni joto la juu kabisa lililorekodiwa.

Lango la kuzimu.

Hili ni Bwawa la Gesi la huko nchini Turkmenistan Darvaza likijulikana kama “Lango ya Kuzimu.”

Ni eneo la gesi asilia ndani ya pango la chini ya ardhi. Wataalamu wa jiolojia waliwasha moto kuzuia gesi ya methane kuenea, na imekuwa ikiwaka tangu mwaka 1971.

Iko katikati ya Jangwa la Karakum, karibu kilomita 260 kaskazini mwa mji mkuu wa Turkmenistan, karibu na kijiji cha Derweze, Ashgabat na sasa limekuwa eneo la utalii.

Via: dar24

Karibu AfyaUpdates Kwa Taarifa Zote Muhimu ndani na Nje. More Updates everyday Link In https://afyaclass.com  Also Follow us on Instagram @afyaclass

YOU MUST READ(IMPORTANT)

Magonjwa2 months ago

Maumivu chini ya kitovu ni dalili za ugonjwa gani

Maumivu chini ya kitovu ni dalili za ugonjwa gani. Watu wengi huweza kupata maumivu chini ya kitovu, lakini umewahi kujiuliza...

Magonjwa3 months ago

Kaswende ni ugonjwa gani, soma hapa kufahamu

Kaswende ni ugonjwa gani, Kaswende ni maambukizi yanayosababishwa na bakteria. Mara nyingi, huenea kupitia mawasiliano ya kingono au kwa kujamiiana....

Magonjwa3 months ago

Koo kukauka ni dalili ya ugonjwa gani

Koo kukauka ni dalili ya ugonjwa gani Koo kukauka kunaweza kusababishwa na sababu kadhaa, ikiwa ni pamoja na: Upungufu wa...

Magonjwa3 months ago

Amiba ni ugonjwa gani,Fahamu kuhusu Ugonjwa wa Amebiasis

Amiba ni ugonjwa gani Wengi wamezoea kusema hivo ila Amiba(amoeba) ni vimelea vyinavyosababisha ugonjwa, na Ugonjwa huo kitaalam ndyo hujulikana...

Magonjwa5 months ago

kuwashwa nyayo za miguu husababishwa na nini? chanzo na Tiba

kuwashwa nyayo za miguu husababishwa na nini? chanzo na Tiba kuwashwa nyayo za miguu; zipo sababu nyingi ambazo huchangia shida...

magonjwa ya wanawake5 months ago

Ujue Ugonjwa Wa PID (Pelvic Inflammatory Disease)

Ujue Ugonjwa Wa PID (Pelvic Inflammatory Disease) Pid ni ugonjwa gani? PID ni Maambukizi ya bacteria Kwenye Via vya Uzazi...

Magonjwa2 years ago

SHINGO YA MTOTO KULEGEA(CHANZO CHAKE)

SHINGO YA MTOTO KULEGEA(CHANZO CHAKE) Mabadiliko ya Watoto wengi huanza kwenye miezi mitatu ya Mwanzo wakati ambapo Shingo ya mtoto...

Magonjwa3 years ago

MAUMIVU MAKALI SEHEMU YA HAJA KUBWA

Baadhi ya watu wanachanganya tatizo la maumivu makali sehemu ya haja kubwa pamoja na tatizo la Bawasiri,japo mojawapo ya chanzo...

Magonjwa3 years ago

TATIZO LA MASIKIO KUPIGA KELELE,CHANZO NA TIBA YAKE(Tinnitus)

TATIZO LA MASIKIO KUPIGA KELELE,CHANZO NA TIBA YAKE(Tinnitus) tatizo la masikio kupiga kelele Tinnitus, ni Tatizo la masikio kupiga kelele,...

Magonjwa3 years ago

DALILI ZA UGONJWA WA GONO(KISONONO)

 UGONJWA WA KISONONO DALILI ZA UGONJWA WA GONO(KISONONO) Ugonjwa wa gonorrhea maarufu kama GONO au Kisonono ni ugonjwa wa zinaa...

Magonjwa3 years ago

TATIZO LA UKE KUJAMBA PAMOJA NA TIBA YAKE(chanzo cha tatizo hili ni nini?)

Tatizo la Uke Kujamba TATIZO LA UKE KUJAMBA PAMOJA NA TIBA YAKE(chanzo cha tatizo hili ni nini?) Moja ya vitu...

Magonjwa3 years ago

DALILI ZA FANGASI UUMENI,KORODANI PAMOJA NA MATIBABU YAKE

 FANGASI • • • • • DALILI ZA FANGASI UUMENI,KORODANI PAMOJA NA MATIBABU YAKE Mashambulizi ya Fangasi sehemu za siri...

Magonjwa3 years ago

CHANZO CHA TATIZO LA KUOTA NYAMA PUANI PAMOJA NA MATIBABU YAKE

Chanzo cha tatizo la NYAMA PUANI,Dalili zake Pamoja na Tiba yake, Soma makala hii kwa Makini ili upate Kujua kuhusu...

Magonjwa3 years ago

SABABU ZA KUVIMBA KWA MASHAVU YA UKE(TEZI LA BARTHOLIN)

KUVIMBA MASHAVU YA UKE • • • • • • Katika Makala hii tumechambua zaidi kuhusu sababu za kuvimba mashavu...

Magonjwa4 years ago

TATIZO LA MWANAUME KUOTA MATITI(gynecomastia)

TATIZO LA MWANAUME KUOTA MATITI(gynecomastia) Tatizo hili linatokea kwa Baadhi ya wanaume,na hata kupelekea Wanaume hao kuwa na Matiti kama...

MAGONJWA MBALI MBALI

Magonjwa2 days ago

Dalili za infection kwenye damu,mchafuko wa damu

Dalili za infection kwenye damu Mchafuko wa damu,chanzo,dalili na Tiba Mchafuko wa damu; hiki ni kiswahili ambacho watu wamezoea kukitumia...

Magonjwa4 days ago

Ugonjwa wa ngozi sehemu za siri

Ugonjwa wa ngozi sehemu za siri Yapo magonjwa mbali mbali ya ngozi ambayo huweza kuathiri Sehemu za Siri za Mwanaume...

Magonjwa1 week ago

Dalili za acid reflux,Soma hapa Kufahamu

Dalili za acid reflux: Tatizo la Gastroesophageal reflux disease (GERD), ni tatizo ambalo huwapata Watu wengi,Tatizo hili hujulikana kwa jina...

Magonjwa3 weeks ago

Ugonjwa wa ngozi kuwa nyeupe,VITILIGO

Ugonjwa wa ngozi kuwa nyeupe,VITILIGO Vitiligo ni ugonjwa wa ngozi kuwa nyeupe au ni ugonjwa ambao huhusisha ngozi kupoteza rangi...

Magonjwa4 weeks ago

Mlipuko wa ugonjwa wa macho,Macho Mekundu

Mlipuko wa ugonjwa wa macho,Macho Mekundu Baada ya Ugonjwa huu wa macho kusumbua watu wengi kwa kipindi cha Hivi Karibuni,...

Magonjwa4 weeks ago

Scabies ni ugonjwa gani? Soma hapa kufahamu

Scabies ni ugonjwa gani? Soma hapa kufahamu Utangulizi: Scabies huhusisha mtu kuwa na vipele na muwasho kwenye ngozi yake ambapo...

Magonjwa1 month ago

Dalili za ugonjwa wa gono kwa mwanaume

Dalili za ugonjwa wa gono kwa mwanaume Gono ni neno maarufu ambalo kirefu chake ni Gonorrhea na kiswahili chake ni...

Magonjwa1 month ago

Dalili Mpya za ukimwi kwenye ngozi

Zipi ni Dalili za ukimwi kwenye ngozi Zipi ni dalili za Ukimwi kwenye ngozi ya mtu? Fahamu hapa kupitia makala...

Magonjwa1 month ago

Madhara ya COVID-19: Athari za Ugonjwa, Asili na Matibabu

Madhara ya COVID-19: Athari za Ugonjwa, Asili na Matibabu Huu ni ugonjwa wa kuambukiza uliosababishwa na kirusi cha corona, ambao...

Magonjwa1 month ago

Ishara za Maambukizi ya Njia ya Mkojo (UTI) kwa Wanaume na Wanawake

Ishara za Maambukizi ya Njia ya Mkojo (UTI) kwa Wanaume na Wanawake Karibu! Hapa kwa makala yenye taarifa muhimu kuhusu...

Trending